Рет қаралды 18,765
Ni mila na Desturi za baadhi ya madhehebu ya Wahindi kuzikana kwa kuchoma mwili wa marehemu moto. kwa hivyo Aliyekua Bilionea ambaye alimiliki Viwanda vya Nondo ( MMI STEEL ) Mabati ya Chapa Kiboko, Sayona, pamoja na Hotel za White Sands na Sea Cliff za jijini Dsm Ndugu Subhash Patel naye baada ya kufariki imelazimika Mila ifuatwe kwa mwili wake kuchomwa moto.