MTANZANIA ANAELIPWA KWA KUCHOMA MAITI ZA WACHINA TANZANIA

  Рет қаралды 299,464

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 1 000
@MohammedAli-wy2pb
@MohammedAli-wy2pb 5 жыл бұрын
Kama Unamuona jamaa ni Bonge la Hodari gonga like hapa
@merinaissulu9896
@merinaissulu9896 4 жыл бұрын
Kama unaamini kwamba mtu hawezi fanya kazi hii bila ukatili gonga like hapa
@salehsports6372
@salehsports6372 5 жыл бұрын
Uislamu ni Neema kutoka kwa Muumba. Alhamdulillah. Nakushukuru Mola wangu nimezaliwa katika Uislamu na nife na kuzikwa Kiislamu. Allahuma Amiin.
@yusufmohamed7161
@yusufmohamed7161 5 жыл бұрын
Alhamdulilah
@safiaothman5175
@safiaothman5175 Ай бұрын
Aamiin Yaa Rabbal Alaamiin
@sellah4603
@sellah4603 5 жыл бұрын
Kama unaona miwani ya muojiwa inakuzinguwa gonga like hap chin🤙
@ndikumanajuma6614
@ndikumanajuma6614 5 жыл бұрын
H TV
@bjzee1981
@bjzee1981 5 жыл бұрын
Hahahaha. Watanzania kwa woga. Toooo
@peterthomas9298
@peterthomas9298 5 жыл бұрын
SELLAH TV jamaa ana roho ngumu huyu
@peterthomas9298
@peterthomas9298 5 жыл бұрын
SELLAH TV jamaa ana roho ngumu huyu
@lindatogether
@lindatogether 4 жыл бұрын
🤣🤣
@minaziparasu3352
@minaziparasu3352 5 жыл бұрын
Kama ww nimuislamu basi mshkuru Allah namuombe upatemwishomwemaa.
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 5 жыл бұрын
Minazi Parasu amini amin amin
@mariamvicent7312
@mariamvicent7312 5 жыл бұрын
Minazi Parasu Alhamdulillah Aameen inshaallah
@nassormussa4236
@nassormussa4236 5 жыл бұрын
Amiin
@lawmaina78
@lawmaina78 5 жыл бұрын
Uislamu wapi na wapi, kwani jamaa anachoma na kuwatafuna? Mtu akifa mwili wake kwisha unarudi kwenye majivu.
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 5 жыл бұрын
Amiin Allahumma Amiin
@fursatanzania6040
@fursatanzania6040 5 жыл бұрын
Huyu jamaa ni mtu safi sana, So cool...Big up Mmarekani...
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 5 жыл бұрын
Duuuuh kama umeshangaa kama mimi like
@fatoomefathima5307
@fatoomefathima5307 5 жыл бұрын
Kelvin huu mtihani wallah
@kelvinaudax8287
@kelvinaudax8287 5 жыл бұрын
Sio wakitoto inabidi uwe na roho ngumu
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 5 жыл бұрын
Sasa kushangaa nn mbona nivitu vyakawaida saana ivyo
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
@@walivyojuma7095 hahaaaa
@wemaelimbwambo3429
@wemaelimbwambo3429 5 жыл бұрын
Du
@elishamwabalogile8775
@elishamwabalogile8775 5 жыл бұрын
Kiuno nde kinachelewa 😀😀😀😀😀😀😀😀 nde kichwa kinalia pauuuuuuu kama umesikia gonga like
@sophiakitaly3227
@sophiakitaly3227 5 жыл бұрын
duh umenishinda tabia imebid nirudie kumskiliza tena nmecheka mwenyew kma chiz
@elishamwabalogile8775
@elishamwabalogile8775 5 жыл бұрын
@@sophiakitaly3227 nomaaa sana
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
@@sophiakitaly3227 kazi kazi
@elishamwabalogile8775
@elishamwabalogile8775 5 жыл бұрын
@@tkhabari 😂😃😂😂😂 et pauuuuuuu nimecheka kinyama
@yusufmohamed7161
@yusufmohamed7161 5 жыл бұрын
Uislamu ni neema Alhamdulilah Allah amekataza kiumbe kumchoma moto kiumbe mwenzake
@Dhulqarnain-qc6gz
@Dhulqarnain-qc6gz 5 жыл бұрын
Ila ukaruhusu mtu kumchinja binadamu mwenzie.
@zeyfaafarzey1036
@zeyfaafarzey1036 5 жыл бұрын
Alhamdulillah
@mussashehizaathumani5220
@mussashehizaathumani5220 5 жыл бұрын
Mussa Shehiza to
@yusuphjuma4638
@yusuphjuma4638 5 жыл бұрын
@@Dhulqarnain-qc6gz sema sema
@ismailbuchwa398
@ismailbuchwa398 5 жыл бұрын
@@Dhulqarnain-qc6gz hapana... Ao una uthibisho kwa hilo
@salumuhamissi3492
@salumuhamissi3492 5 жыл бұрын
Wengine munajifanya kulaani hyo kaz lkn mukisia sauti ya mwizi munatoka majumbani kiberit na petrol kumchoma mwizi
@bukheribukheri798
@bukheribukheri798 5 жыл бұрын
Umeshasema mwizi
@khadijakassimu3710
@khadijakassimu3710 5 жыл бұрын
Heri yeye anaechoma maiti kuliko raia wanaochoma mwizi(Mimi shemeji yangu ni Muingland lkn pia alipofariki alichomewa kwao England ,mdogo wangu ndio aloenda akarudi na jivu
@nellywizz9631
@nellywizz9631 5 жыл бұрын
Tunaongea tu ila wote atuna akika km kizikwa chin ya udongo ndo njia sahihi
@lassonlwemaw9586
@lassonlwemaw9586 5 жыл бұрын
Wewe akili auna mwiz alitumwa kuiba
@hadijamatola5230
@hadijamatola5230 4 жыл бұрын
Ni kweli kaka iyo ni kazi km kazi nyingine ila dahh km ni mpenzi wako mhhhhh anaweza kukumaliza ila ni hisisia zangu🤗🤗
@petermgombozi8098
@petermgombozi8098 4 жыл бұрын
Sasa akukute na mkewake anakuchoma kama wachina😂😂😂
@asiamwarabu7510
@asiamwarabu7510 4 жыл бұрын
Hapo kwenye kuchoma na vitu vyake laptop simu itakuwa iPhone hizo turudie kidogo aiseee mmmh sema we Baba nenda kalime Mungu atakusaidia dhambi Sana tumeumbwa Kwa udongo na tutarud udongon sijaona sehem ilioandikwa tuchomane jmn Alhamdulilah kuzaliwa muislam
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 5 жыл бұрын
Dah Al hamdulillah Allah atustiri sisi na vizazi vyetu na waislamu wote kwa ujumla in sha Allah
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 5 жыл бұрын
Amiin Allahumma Amiin
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 5 жыл бұрын
Shukran na ww pia
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 5 жыл бұрын
@@masoudyrashidy9041 👍
@habbyhamdoun7064
@habbyhamdoun7064 5 жыл бұрын
Amiiiin..
@ashurasss1044
@ashurasss1044 4 жыл бұрын
Amiin
@wazirihamisi6484
@wazirihamisi6484 2 жыл бұрын
Nakushauri brother hiyo kazi ni haramu iache kabisa mara moja ya kuzika kwa kuunguza hatakama unalipwa pesa nyingi hili jambo ni haramu anae azibu kwa moto ni Allah pekee subhanallah wallahi ikiwa ww ni muislam sema alhamdulillah mshukuru sana Allah
@aminaagostin
@aminaagostin Ай бұрын
Hamdulilah 🙏 I'm proud Muslim 🙏
@lucasdismas4314
@lucasdismas4314 4 жыл бұрын
“mtu mweusi anapokuwa na njaa ndio anakuwa na akili” 😂
@EmanuelMwimi
@EmanuelMwimi 4 жыл бұрын
Hahahah
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 4 жыл бұрын
😜😜😜
@jumamohamed9350
@jumamohamed9350 4 жыл бұрын
Kama
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Hap 🤣🤣🤣 Km Mazur
@safari23
@safari23 5 жыл бұрын
Kazi nzuri baba
@jei_maimu6957
@jei_maimu6957 5 жыл бұрын
Duh,,atari sana..UOGA WAKO NDO UMASIKINI WAKO!!! 🙌🙌🙌 big up master
@MUKSINIMBARUKU
@MUKSINIMBARUKU Жыл бұрын
vp kuhusu msimamo wa imani yako?
@sarahminja7255
@sarahminja7255 5 жыл бұрын
Aiseee huyu kweli kazoea kuchoma choma mpaka miwani yake aliyotuvalia ni ya kuchomea watu
@lattyhansy6608
@lattyhansy6608 5 жыл бұрын
😂😂
@salimumanyiri2698
@salimumanyiri2698 5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🌹
@sollo1182
@sollo1182 5 жыл бұрын
😀😀
@fatmaathuman6706
@fatmaathuman6706 5 жыл бұрын
Umenichekesha eti miwani yke
@shakilamasoud8979
@shakilamasoud8979 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@atwityemkolla2971
@atwityemkolla2971 5 жыл бұрын
Mmh inatisha aseeee. Mungu tusamee madhambi yetu,turehemu kwa rehema yako iliyo kuu
@johfighter170
@johfighter170 5 жыл бұрын
Daaah yaan huyu jamaa na hao wenzie akina Gaju ni noma sana mpk mzee baba Milard anahc kuchomwa chomwa tu!! 😂😂
@azizahassan3673
@azizahassan3673 5 жыл бұрын
Duu jamaa kiboko
@bensonmahenge889
@bensonmahenge889 5 жыл бұрын
ALie sikia mtu anakithembe kama hamorpa agonge like hapa
@ashurasaburi8967
@ashurasaburi8967 5 жыл бұрын
Na wewe ukifa uchomwe tu
@princess-uf5ux
@princess-uf5ux 5 жыл бұрын
@@ashurasaburi8967 kwel
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
@@ashurasaburi8967 hahaaaaaa
@jumandutu2275
@jumandutu2275 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@miriamjohn7644
@miriamjohn7644 2 ай бұрын
Huyo ni mchumbq wangu mchoma maiti😅😅😅😅 kila nikikaa Nawaza kuchomwa
@anthonyfaru9908
@anthonyfaru9908 5 жыл бұрын
Halafu unasema eti we Unafanya KAZI ngumu, Sikia madini HAYO, halafu jamaa hawazi wala nini
@chaudelechauchaudeee3347
@chaudelechauchaudeee3347 5 жыл бұрын
Jamaaa ashazoea
@florahburton9641
@florahburton9641 5 жыл бұрын
Kabisa yan
@richardb.masika4375
@richardb.masika4375 5 жыл бұрын
Ooooo kaz yazege ngumu...mamaeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@richardb.masika4375
@richardb.masika4375 5 жыл бұрын
Yani uyu ukiingia ktk angazake anakuona kama andaz2
@AS-qh5mb
@AS-qh5mb 5 жыл бұрын
@@richardb.masika4375 😁😁
@bramwels2011
@bramwels2011 5 жыл бұрын
Kama umesikia kwamba mtu Mweusi akiwa na njaa anakuwa na akili gonga like tuwende pamoja!
@lissagloo350
@lissagloo350 5 жыл бұрын
The way he is speaking kama anachoma takataka😭😭
@michaelchiwalo8444
@michaelchiwalo8444 5 жыл бұрын
Hahahhaha si ndo hapo , Kwahiyoo anaombea wakufee wengiii
@Bisekoson
@Bisekoson 5 жыл бұрын
Maiti ni takataka tu, tena angalau taka taka unaweza kurecycle. Vitabu vinasema binadamu ni udongo tu, ukishakufa huna thamani tena.
@reyham1722
@reyham1722 5 жыл бұрын
Hahahah
@emmanuelandrew9941
@emmanuelandrew9941 5 жыл бұрын
Huyu jamaa ana roho ngumu kama nn Atar sana ni kwel kabisa kama anachoma takataka an
@naamohamed9964
@naamohamed9964 5 жыл бұрын
@@emmanuelandrew9941 dahhh hatarii sana
@reginalucosi7286
@reginalucosi7286 5 жыл бұрын
Minapenda sana kazi ya kuosha maiti mwenzenu atasijui kwa nini ila nikipata ospt yoyote ntajifundisha zaidi
@trifoniambilo2400
@trifoniambilo2400 2 жыл бұрын
Nenda bugando koz inaanza tr 11_7_2022 ada lk tano miez mitatu ajira uhakika
@asiakheir6406
@asiakheir6406 5 жыл бұрын
Alhamdulillah kuwa muislam
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 5 жыл бұрын
Let's appreciate together we can in God we trust say alhamdullillah
@uislamutv2573
@uislamutv2573 5 жыл бұрын
Allah atujalie tufe halikua tupo waislamu thabiti
@antybabybintrashid2333
@antybabybintrashid2333 5 жыл бұрын
Alhamdhulillah
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 жыл бұрын
Alhamdhulillah
@masoudyrashidy9041
@masoudyrashidy9041 5 жыл бұрын
Naam da Asia hakika tunafaraja kubwa kua waislamu
@aminaabdallah7702
@aminaabdallah7702 4 жыл бұрын
Broo acha hio kazi nikazi yakiyuhamu sasa haswa mbele yamungu hawo watakushitaki mbele yamwezimungu kazi yakiharamu sana muogope mungu fikiri hatimae mbele
@asyaibrahim1504
@asyaibrahim1504 5 жыл бұрын
Mtangazaji nakuona umee vaa kofia juu.... Ndio ujuwe na mm pia nafanya utafiti wangu 🤣🤣🤣 kwenye miwani
@yakwetutv8525
@yakwetutv8525 5 жыл бұрын
Tena kaigeuza kwanyuma
@mazobason5031
@mazobason5031 5 жыл бұрын
Hahahaha
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
Hahaaa
@ukhutysalmaah1463
@ukhutysalmaah1463 5 жыл бұрын
No Comment 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆😆😆😆😆😆maisha haya yani hakuna kuchagua kazi
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
😂
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
Sub our channel pls
@alhaddajmohammed4768
@alhaddajmohammed4768 5 жыл бұрын
SUBHANNALLAH...! Kweli raha kuwa Muislamu MashaAllah. Coz Uislamu faradhi/mambo muhimu ya kumfanyia maiti ni ma4; 1) kumuosha, 2) kumvisha Sanda, 3) kumsalia na 4/mwisho ni kumzika Kaburini kwa kuzingatia vigezo na cfa za Kaburi kwa mujibu wa Kaburi la Muislamu. Kuichelewesha maiti zaidi ya cku, Wks, miezi ni kuinyima/kuicheleweshea haki zake/malipo yake marehemu eg' kama marehemu ni wa Peponi mnamchelewesha kwenda ku2mia/kufurahia kheri zake na kinyume chake kama marehemu anashari/dhambi zake (m2 wa Motoni) kumchelewesha kumzika inaweza kupelekea kushea nae adhabu zake/ghadhabu za Allah zinaweza kukukuteni/kuuipateni nyote kwa kumchelewesha kumpeleka akahukumiewe. But inashangaza na kusikitisha kuona/kusikia ndg kuridhia ndg wenu/maiti wenu achomwe moto na kumuogopa hata kutorithi v2 vyake, bac hata c wange wapa Masikini hivyo via!. Jamani nyie msobahatika kuwa Waislamu hebu usomeni Uislamu muuelewe/ulizeni mueleweshwe msikubali kusikiliza na kuamini uzushi na propaganda za Wapagani/Makafiri (Wafuasi wa Shetani). Kuzika ni miongoni mwa ibada kama ibada zingine na image yeyote ili iitwe ibada lazima ibada hiyo iwe imekubalika/imerdhiwa na Mungu co kujibunia /kuji2ngia. But Wasokuwa Waislamu hawana dini balinwamenibunia mifumo ya kuabudu na kujifanya ndo mfumo/njia walofundishwa na Mungu kumbe ni Ushetani, Upagni na Ukafiri m2pu. So someni maana ukweli hamfanyi ibada za kweli ni kujifurahisha nafc zenu 2..! Hata ndoa means c ndoa bali ni kuhizinisha kuzini/zinaa kwa kurithi mila/dini (njia) iloaccwa na Wapagani/Makafiri kama msingi wa upatikanaji wa dini c sahihi means ibada zote zifanywazo c sahihi/ni batiri. So jiandaeni ya kumjibu Allah/Mola Muumba.
@betramraphael7219
@betramraphael7219 2 жыл бұрын
waislam mna vikosi vingi sana vya kigaidi hapa duniani. hakuna raha yeyote hile
@boniphacelusato
@boniphacelusato Жыл бұрын
Huna haki ya kumuita Mtu Kafiri
@Sharmy_02
@Sharmy_02 10 ай бұрын
​@@betramraphael7219kujitoa muhanga na kuvalishwa mabomu we huogop,
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 5 жыл бұрын
Kazi kazi tu. Utakuta kajenga hapo, watoto wanasoma vzr, na anasaidia ndugu kwa kazi yake
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
Kaz kazi
@christophermsekena616
@christophermsekena616 5 жыл бұрын
Hii ndiyo maana ya man at work daah
@EmanuelMwimi
@EmanuelMwimi 4 жыл бұрын
Hatar
@djsandi4419
@djsandi4419 5 жыл бұрын
Kazi kazi babu ukipata mwingine wa kuchoma niite tushirikiane napenda sana hiyo kazi
@mwajabually2407
@mwajabually2407 2 жыл бұрын
😄😄😄
@onsportleo1965
@onsportleo1965 4 жыл бұрын
Aliyesikia magogo mabichi atie like hapo
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 4 жыл бұрын
🐱🐱🐱
@hadijahmwajombe9588
@hadijahmwajombe9588 4 жыл бұрын
haaaaa mungu wangu asa ndonasema ata mke anamoyo sana kwakweli kukakaa na mume uyo yataka moyo sana
@raphaelbruno2743
@raphaelbruno2743 5 жыл бұрын
Creative man like u never die poor!!
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
Obsolutely
@shamymtanda1656
@shamymtanda1656 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂huyu wamtwara anachoma km anachoma mishkakii alafu hana shida namtu ila baba umeanza mda kuchoma maiti hata idadai wenda ndogo hyo babu
@gggjjahhhh9419
@gggjjahhhh9419 5 жыл бұрын
😳😳😳😳😳😳 Heee tutaona mengi jaman 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@nduwimanafazili58
@nduwimanafazili58 5 жыл бұрын
Yani.nahela.zake zinachomwa.nakadizake yabenki.inacomwa
@jumaabeleu3720
@jumaabeleu3720 5 жыл бұрын
One of the best interview Never seen b4, Safi Ayo
@musafrancis3584
@musafrancis3584 3 жыл бұрын
Kazi zingne hizi noma jamaa mpk anatisha😀🤣
@TALLUBOY
@TALLUBOY 5 жыл бұрын
Hi miwan nimeikalili Sitonunua kamwe Hata nipew bule sitoichukua
@ummysaid5600
@ummysaid5600 5 жыл бұрын
Hahahaha
@kasembebarakah4494
@kasembebarakah4494 4 жыл бұрын
Upumbvu huo
@devisshirima6780
@devisshirima6780 Жыл бұрын
Thawa thawa, thatha mbona unafanya kadhi ya ibilithi, akifika huko kama ana dhambi motoni watachoma nini? 😂😂😂
@ipyanaibrahim4122
@ipyanaibrahim4122 5 жыл бұрын
Alie sikia kifua chest weka like hapa
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
Hahaaaa kifua chest
@missnamwambemomentstv7753
@missnamwambemomentstv7753 Жыл бұрын
Naangalia leo hii video...khaaaah! Huyu baba😢 ...." Kichwa hakiungui snaa...faster tu!!
@selemanmohammed3523
@selemanmohammed3523 5 жыл бұрын
Jamaaa nimekubali sana yani kumbe ni party time bt style ana kazi yake!
@josephkiwale374
@josephkiwale374 11 ай бұрын
No joke bro amechoma maiti mpaka ndevu zimeungua,,
@johnshigela9369
@johnshigela9369 5 жыл бұрын
Nimeona Kama miladi Ayo umeishiwa pozi Leo kwa interview ya ajabu leo
@salimumanyiri2698
@salimumanyiri2698 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@sammy-b6281
@sammy-b6281 Жыл бұрын
Uyu mzee Wachaina wakikutana naye wanatimka😅😅
@josephkiwale374
@josephkiwale374 11 ай бұрын
😂😂😂
@thetwen2167
@thetwen2167 5 жыл бұрын
Mtu mweusi akishiba hana hakiri 😂🤣😂🤣
@shaninaftary1693
@shaninaftary1693 5 жыл бұрын
😆🤣🤣😆umefanya nicheke kwa sauti wallah
@chayogasperi9783
@chayogasperi9783 5 жыл бұрын
Ha ha ha ha ha ha katutukana hapa .
@carenmsafiri8498
@carenmsafiri8498 4 жыл бұрын
the twen 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salmaelvina1002
@salmaelvina1002 4 жыл бұрын
😁😁😁duuh mungu amekupo roho ngum
@najmaabdul3836
@najmaabdul3836 5 жыл бұрын
Duh mungu akusamehe yallahbi dah mungu nisamehe na nipe iman
@debormtitu2720
@debormtitu2720 5 жыл бұрын
Hongera baba Ila usiwe unachioma cm laptop
@mdeeboy846
@mdeeboy846 5 жыл бұрын
Aithee,jamaa anatabathamu vithuri tu hata hana wathi wathi😂🤣😂
@wj1421
@wj1421 5 жыл бұрын
Khahahaa
@wj1421
@wj1421 5 жыл бұрын
Thatha atafanyaje
@aminahasan3564
@aminahasan3564 5 жыл бұрын
Uislam ni mzuri sana🤔
@reginawitacha7921
@reginawitacha7921 5 жыл бұрын
Amina Hasan Kwani maiti za kiislamu hazichomwi ndugu
@aishaomari1881
@aishaomari1881 5 жыл бұрын
Alhamdulilah gjala neema l islam
@najmasalimsalim2741
@najmasalimsalim2741 5 жыл бұрын
Alhamdhulillah
@jerrysonshayo1557
@jerrysonshayo1557 5 жыл бұрын
Amina Hasan...acha nyege ww... Uislam ni mzuri usingekufa mbwa wewe
@alexchungu9505
@alexchungu9505 5 жыл бұрын
Amina Hasan , tupe evidences
@maryamjuma3799
@maryamjuma3799 5 жыл бұрын
Yaani anavyosema Hilo neno Kuchoma utafikiri anachoma mishikaki kumbe watu
@abdulfatahjuma5355
@abdulfatahjuma5355 5 жыл бұрын
Duuh !! Kweli njaa lakini hizi nyengine si kazi
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 2 жыл бұрын
Ni kazi
@zaituniathumani3375
@zaituniathumani3375 4 жыл бұрын
Baada ya kuchomwa na mungu. Unaaza kuchwa na binadam.dah . mungu atupe mwisho mwema .inshaallah.
@kasembebarakah4494
@kasembebarakah4494 4 жыл бұрын
Izo ni tamaduni zao acha kujiona uko vzur na imani yako yakigenj hiyo
@florahburton9641
@florahburton9641 5 жыл бұрын
Yan hata mkeo akizingua unaweza mchoma wew
@jerrysonshayo1557
@jerrysonshayo1557 5 жыл бұрын
Florah Burton yaah
@olivanadickson1945
@olivanadickson1945 5 жыл бұрын
Nakweli kbs
@salmajuma4015
@salmajuma4015 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅
@bigbossmanbossman6946
@bigbossmanbossman6946 5 жыл бұрын
No he can't do that mbona ni kazi kama kazi ingine
@florahburton9641
@florahburton9641 5 жыл бұрын
@@bigbossmanbossman6946 sio kwa kaz iyo changamoto ujue
@leahally4618
@leahally4618 3 жыл бұрын
😂😂😂😂nacheka km mazur anavosema nimechoma Yan km kuku dah
@wardajoseph6909
@wardajoseph6909 5 жыл бұрын
Astaghafrullah Astaghafrullah Astaghafrullah kwa nini hamuwaziki muogope mungu kaka yangu tubu kabla nawe siku haijakufika
@adamjuma9847
@adamjuma9847 5 жыл бұрын
Asa kosa lake ni nini wakt kila jamii ina utaratibu wake wa mazishi
@neemakawogo7153
@neemakawogo7153 5 жыл бұрын
Ukifa huna thamani tu ni vumbi tu ww
@atukuzweluhanga7401
@atukuzweluhanga7401 5 жыл бұрын
Kuzika ni utamaduni
@mariakayana9956
@mariakayana9956 5 жыл бұрын
Hiyo ni sheria ya China..kila nchi inasheria zake
@anitajames4394
@anitajames4394 4 жыл бұрын
😀😀😀 nimesoma comment nimechekaa, jamani huyu baharia hana makosa,cose kila kabila wanautaratibu wao, sema inshu iliyopo hapa wote tuliosikiliza ni waogaa,maana yeye hapa ameangalia pesaa, uwoga akaweka pembeni😀😀😀
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 5 жыл бұрын
Na Mimi mwenyewe na Mimi nikifa napenda kuchomwa moto et. Kazi nzuriii sanaaaaaa
@halimaabdi2026
@halimaabdi2026 5 жыл бұрын
kibasa mohamedi unajiombezea kuchomwa au kifo kibaya Astaghafirullah
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 5 жыл бұрын
@@halimaabdi2026 . Kawaida tuu
@abdulabass5808
@abdulabass5808 5 жыл бұрын
Wanaita ku Burne ,kama simple ,sasa wewe mzee baba km huyu endelea kungua km hatoku Burne fasta
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 5 жыл бұрын
Mulaniwe kwakweli. wote wenyeimani izo zakuchomana .kaaa na bado mzunguko mkubwa.Asante mungu kwa kunijalia uislam.mungeacha wachomane wenyewe.inaitaji moyo
@jacquelinosmond221
@jacquelinosmond221 2 жыл бұрын
Acha upuuzi kila sehemu na imani zao na tamaduni zao, rudi shule
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 2 жыл бұрын
@@jacquelinosmond221 kama na ww dini yako hii ludi class uijue haki.huu ni ukafili habibi
@rahimaaaaa8699
@rahimaaaaa8699 5 жыл бұрын
Kumbeeee ndio maana yulenwa Geza ULOLE NI MMAKONDE NDIO MAANA ALIMCHOMA.NAOMI MKEWE NI UJUZI WA.KIMAKONDE.
@aishachambo3293
@aishachambo3293 5 жыл бұрын
Rahima Aaaa 🤣🤣🤣
@issakawanya8511
@issakawanya8511 5 жыл бұрын
Bora kazi
@realrachelbuttu2783
@realrachelbuttu2783 5 жыл бұрын
Rahima Aaaa 😀😀😀😀
@georgemashauri4657
@georgemashauri4657 5 жыл бұрын
Fasta masaa3 mpka 4 daaaaa!
@asiaissamtanzania8700
@asiaissamtanzania8700 5 жыл бұрын
Shezi wewe mbona sisi tunazikwa kikawaida wamakonde hatuchomani.moto?
@mgangashabanu8878
@mgangashabanu8878 2 жыл бұрын
Ila mmarekani mbabaifu sana hahahaaha nimekumiss
@gabrielisack7786
@gabrielisack7786 5 жыл бұрын
Aliyesikia lose report tujuane
@amirikalindimya9742
@amirikalindimya9742 5 жыл бұрын
Uncle wangu mm hatari sana nakumbuka enzi zile kibanda wazi umetisha unamisemo kama yote
@jogoolashamba3074
@jogoolashamba3074 5 жыл бұрын
Ni kweli kuna mchina mmoja niliwahi shuhudia alikaa mochwari kama mwezi hv
@bernardminja5089
@bernardminja5089 5 жыл бұрын
Huyo wa songea kampuni ya chico alikuwa boss wangu Mr zhung shigun,nilikuwa nae mradi wa kahama
@robertlinuma6051
@robertlinuma6051 5 жыл бұрын
Mnaobisha na nyie mtachomwa na mmarekan 😀😂
@mamasswtkichuna8969
@mamasswtkichuna8969 5 жыл бұрын
Mmmmh , wonders shall never end wallah🙄🙄🙄mmmh aiseeee mungu tunusuruuuu
@tinkiboniface3342
@tinkiboniface3342 5 жыл бұрын
Duh wa Kwanza like zangu
@mwanzashinyanga8060
@mwanzashinyanga8060 5 жыл бұрын
kweli tupo mwisho leo hii binadamu anamchoma binadamu mwenzie bila kua hata na hofu duuh 😱😱😱😱
@nadystyle339
@nadystyle339 5 жыл бұрын
Kama umesikia spitali gonga like hapa😜
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@haidadishemahonge9970
@haidadishemahonge9970 5 жыл бұрын
😂😂
@hamadrashid5140
@hamadrashid5140 4 жыл бұрын
Mtu mweusi anapokuwa na njaa ndo anapokuwa na akili daaahhhh huyu jamaa noma
@eliyamalele.masindi4910
@eliyamalele.masindi4910 5 жыл бұрын
siyo kuchoma bali ni mazishi maana kunaaina nyingi za mazishi. ukisikia wanaozika wanasema majivu kwa makivu ndiyo hii.
@silyadamian5708
@silyadamian5708 5 жыл бұрын
Baba huyu amekaa kikuchomachoma watu tu uwiiii🙈
@nadiahussein5892
@nadiahussein5892 5 жыл бұрын
Allhamdulllah yarabbi tupe mwisho mwema
@kingsultan2223
@kingsultan2223 5 жыл бұрын
Ameen
@hildababyabdullah5627
@hildababyabdullah5627 5 жыл бұрын
Amiin
@georgematahimba5242
@georgematahimba5242 5 жыл бұрын
Duuuuu....kule Angola nimechoma wanne....mtwara nimechoma wawili......HUYU JAMAA KIBOKO
@kadogoomushadi5409
@kadogoomushadi5409 5 жыл бұрын
Subhannallah mmmmmmhhhhhhhhhhhh kakaweeee. Hebu.tubu.kwamungu huoni kutisha roho yako itakuwa ngumu mmhh
@eliabumakunzo8856
@eliabumakunzo8856 5 жыл бұрын
Dah! Namfahamu huyu jamaa.😂
@patrickjohn9495
@patrickjohn9495 5 жыл бұрын
Me mwenyewe ni mshikaji wangu sana anasifa sana
@bukheribukheri798
@bukheribukheri798 5 жыл бұрын
Ana sifa kivipi?
@BINTIwaKITANGA
@BINTIwaKITANGA 3 жыл бұрын
@@patrickjohn9495 halafu mmakonde huyuu 😆😆
@maliethnyoni2847
@maliethnyoni2847 5 жыл бұрын
😆😆😆😆😆nimecheka et mweusi akiwa na njaa anakuwa na akili kweri kbs😂😂😂
@subiraomar4771
@subiraomar4771 5 жыл бұрын
Subhanallah ndio leo naskia
@Raymond6497
@Raymond6497 5 жыл бұрын
Sishangai sana..nilivokuwa mdogo kule kwetu upareni kulikuwa na mmakonde mkata mkonge alikuwa anasifika kwa kula watu, na tuliammini hivyo...so its more likely huyu bwana akawa na hiyo roho...
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
Kbsa
@zebdayleonard8599
@zebdayleonard8599 5 жыл бұрын
Nilwachoma pale wa nne kule nilchoma watano hela iz ogopa
@greysonsimba5366
@greysonsimba5366 5 жыл бұрын
Mmh kaazi kweli kweli
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 5 жыл бұрын
Iyo si dhambi ww ndo imani yao wachina nawazungu nawabaniani nikawaida niimani tu iyo mbona poa tu hakuna dhambi yoyote
@richardb.masika4375
@richardb.masika4375 5 жыл бұрын
Hii dunia🤔
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 5 жыл бұрын
@@walivyojuma7095 the devol is a liar only God knows about everything ☝️☝️☝️unatumika vibaya aisee
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
Kazi kazi....
@fatumahassan8212
@fatumahassan8212 5 жыл бұрын
Subahnallah Yaani kaka nimemuogopa kwa history yake
@ummysaid5600
@ummysaid5600 5 жыл бұрын
Yaaaani daaaaaah
@euniestherwilliam1513
@euniestherwilliam1513 2 жыл бұрын
Kazi anayofanya ni nzuri hajaiba Wala kudhulumu mtu
@harithwhite589
@harithwhite589 5 жыл бұрын
Sio wachina tu hata wewe mtangazaji ukianguka tu hapo amekupiga moto
@mst1studio270
@mst1studio270 5 жыл бұрын
Hongera saaaana! Ila Wewe unae mu Interview, jaribu kuandaa maswali hasa kuyaandika ndipo utoe Interview.
@BIN_NOOR27
@BIN_NOOR27 5 жыл бұрын
Duhhh ama kweli "tonge tu lipatikane" kazi kazi tu
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
Ndo jambo la msingi hilo
@henrymatebe1492
@henrymatebe1492 3 жыл бұрын
Aiseee ukiona mtu ana hela wadada hebu jaribuni kukaa nae distance kidogo umsome kwanza tutawapoteza jamani daah
@salmaelhinai833
@salmaelhinai833 5 жыл бұрын
Subhanallah
@zaynpdogdhgg8755
@zaynpdogdhgg8755 5 жыл бұрын
Subhanallah.hatakama kazi ni kazi lakini hii hatari manake yanatisha!!!!
@zamirumayembe4385
@zamirumayembe4385 5 жыл бұрын
Namjuwa huyo Mmarekani yuko mtwara
@khadijahbanana5602
@khadijahbanana5602 4 жыл бұрын
Ni mmarekani?
@BINTIwaKITANGA
@BINTIwaKITANGA 3 жыл бұрын
🙄🙄🙄🤔🤔Sasaaa kama marehemu anawekewa alichokuwa anapenda...sasaa kama alikuwa anapenda ngono jee?!?!😆😆
@lucymasuod41
@lucymasuod41 5 жыл бұрын
Duuuu!!! Na wachina kumbe wanachoma maiti??
@mariamvicent7312
@mariamvicent7312 5 жыл бұрын
Lucy Masuod na me ndo kwanza nasikia leo
@lucymasuod41
@lucymasuod41 5 жыл бұрын
@@mariamvicent7312 najionea maajabu ya dunia wenzetu sijui wana imani za aina gani kwa kweli
@tkhabari
@tkhabari 5 жыл бұрын
Yeah
@Mpakauseme
@Mpakauseme 5 жыл бұрын
Waachoma ndio kwasababu ya maeneo ya mazikio kuwa machache huko kwao tofauti na miaka mingi iliyokwishapita
@happymollel713
@happymollel713 4 жыл бұрын
Ni sawa ndugu,maana hata hao wanaosema dini zao haziruhusu kuchoma,hao hao wanahubiri kuwa ukifa na dhambi unachomwa Jehanum,uchomwe usichomwe,wote tunarudi mavumbini,au labda kama ukizikwa hautaoza
@jumaakalama1276
@jumaakalama1276 5 жыл бұрын
Nakuomba unifundishe broo mm kuna watu nataka niwachome wazima wanapuwa Shenz zao
@TeamKRX
@TeamKRX 5 жыл бұрын
Ebu jianze mwenyeo ata mkono au kidole kabla hujawanza wao nyooo mrudie mungu wee hasira hasara
@saadakiyungi6437
@saadakiyungi6437 5 жыл бұрын
😂
@fanuelmwalikaka9224
@fanuelmwalikaka9224 5 жыл бұрын
😂😂😂
@seifaysha2962
@seifaysha2962 5 жыл бұрын
Jichome kwanza ww mkono
@rukiashoko7528
@rukiashoko7528 5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@zahorrashid5459
@zahorrashid5459 5 жыл бұрын
Hahahahaha jamanii makafiri. eti mnawatia motoooo.duu.halafu.mnaita kuzika pia.
@njonjolomahfudh3238
@njonjolomahfudh3238 5 жыл бұрын
Muamerika uyu😂😂😂😂😂😂😂😂
@fatmaismail6393
@fatmaismail6393 4 жыл бұрын
Hatari jmn🙁
@mariammuscat4300
@mariammuscat4300 4 жыл бұрын
Stafirulllah kazimbaya sana aaallah tupemwisho mwema nagopa
@DrSanai
@DrSanai 5 жыл бұрын
Aisee nimependa kazi yako, ningependa unifundishe ndugu mmarekani.
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 5 жыл бұрын
Nikazi mzuri saana ata mm napenda saan pia nikifa hata mm nichomwe
@princess-uf5ux
@princess-uf5ux 5 жыл бұрын
@@walivyojuma7095 ovyooo 😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 5 жыл бұрын
Jamani mimi naona msimzingue huyo jamaa kama kuna vibali na ndiyo wachina wanavyozika nani angechoma. Ukiwa na vibali ni kazi halali na tayari anayechomwa ameshakufa achene woga. Ni sawa tu na mfanyakazi wa Mochwari. Mimi namuona anajiamini, Kiswahili chake tu ndiye kithembe
MWANAMKE ALIEKWENDA MOCHWARI KUMTAFUTA MUME WAKE
14:30
Millard Ayo
Рет қаралды 262 М.
Жездуха 41-серия
36:26
Million Show
Рет қаралды 5 МЛН
Почему Катар богатый? #shorts
0:45
Послезавтра
Рет қаралды 2 МЛН