SHUHUDIA MAFUNZO HATARI YA JWTZ NA CHINA, MEDANI ZA KIVITA, RISASI NA KUNG FU NDANI

  Рет қаралды 152,390

Millard Ayo

Millard Ayo

Күн бұрын

Пікірлер: 230
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Жыл бұрын
Kongole askari wetu mmefanya demonstration moja kati ya mbinu na maneuver muhimu sana katika mapambano ya karibu au Close-Quarters Battle(CQB) . haya ni mapambano (mapigano) ya karibu ,ana kwa ana yanatokea haswaa maeneo ya mijini(urban area) ambako kuna kuna na structures nyingin kama majengo ambayo yana zuia uono(visual) NA UWEZO WA KUMKABILI ADUI KUTOKEA MBALI HIVYO KUHITAJI UMAKINI,UHARAKA NA UWELEDI wa hali ya juu katika mienendo(movement) maana adui anaweza kutokea ghafla kutoka kona yeyote delaying ya hata ya nusu dakika tu inaweza kugharimu uhai wa askari au team kwa ujumla. Hongereni saan Maafande 👍👍.
@jeremiahwilson317
@jeremiahwilson317 Жыл бұрын
Roja roja
@stn4873
@stn4873 Жыл бұрын
Unanikumbusha kipindi kile nipo katika Rasi ya Tumaini Jema na Ghuba ya uajemi.
@Manfilly
@Manfilly Жыл бұрын
Roger that!!
@swahili3603
@swahili3603 Жыл бұрын
Timamu
@tatankakoroba48
@tatankakoroba48 Жыл бұрын
Medani na chinese au Russians ni better than westerners...ambao sina imani nao
@rosemuhandoofficial5676
@rosemuhandoofficial5676 Жыл бұрын
Aaah hongereni wanajeshi wetuuuuu, ni fahari kuwa mtanzania na hivi Kuna bamia ,nyanyachungu , maharage ,Michele na dagas ,samaki Amina zote weeeeee ilove TANZANIA!!!!!
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Жыл бұрын
Ni kweli Kama ilivyo ada avumae baharini PAPA na NYANGUMI lakini Kuna wengi wazuri na watamu kuliko hata hao Samaki wakubwa ukitoa nyama kubwa bado shombo iko pale pale.
@WernerMselewa-ie8co
@WernerMselewa-ie8co 11 ай бұрын
@@jeffhard5773 Jifunze Kupenda Cha Kwako,Hata Kama wapo Wazuri Kuliko Hao Hawatakusaidia Chochote,Hao ambao unasema sio wazuri ndio wanafanya Mpaka saivi uishi kwa amani..
@jeffhard5773
@jeffhard5773 11 ай бұрын
@@WernerMselewa-ie8co kitu pekee usichokijua kuhusu hii serikali kila kitu wao hufanya kwa sababu na pia kwa kutazama maslahi yao binafsi na hata mafunzo ya kijeshi kutupiwa mtandaoni lengo nikujenga hofu kwa wananchi wao na pia kwa wasemaji mbali mbali wa vyama pinzani ili waendelee kufanya utopolo bila kusemwa mfano angalia nchi zilizo endelea na zisizo endelea Kama Wana tabia yakurusha mbona hatuoni majeshi yao mtandaoni mara nyingi na mwisho Amani ya kila mja hutoka kwa Allah na si serikali kwani hakuna Amani kwenye Unyonyaji na Ukandamizwaji wa haki za msingi sisi tuna utulivu
@Patrick-rf6ro
@Patrick-rf6ro Жыл бұрын
Najivunia kuitwa Mtanzania, nchi ya amani nchi ya pendeka...... Asante Mheshimiwa Rais kwa kuleta uhusiano huu utakaoboresha ulizi wa Taifa letu Mama la Tanzania. Mungu IBARIKI AFRIKA IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE MBALIKI RAIS NA WAANDAMIZI WAKE TUIJENGE KESHO YAKE ILIYOBORA NA YAKUJIVUNIA...
@hassankuka1104
@hassankuka1104 Жыл бұрын
Wanatutisha tusipingi bandari sisi chadema wakinzisha tunaanza
@matukiotvonline6366
@matukiotvonline6366 11 ай бұрын
​@@hassankuka1104kunawatu wanachekesha kweli😮😂
@mwassamwassa7264
@mwassamwassa7264 11 ай бұрын
​@@hassankuka1104Badala ya kudeal na miccm mijizi unaanza chadema wasiyo kusanya Kodi, Jifunzeni kwa Gabon, Mali walio kataa utumwa wa kivyama, jeshi linapokuwa mali ya watawala ni hatari zaidi
@erickzephania1030
@erickzephania1030 Жыл бұрын
Ahsante sana jeshi letu kwa huduma yenu, ila kwa upande wa teknolojia msijisahau sana maana dunia inabadilika kwa kasi sana
@lengachapati3728
@lengachapati3728 Жыл бұрын
Safi sana na sisi tupo nyuma yenu ila nashukuru kwakuni achia kabegi na kofia ntafanya kazi kwa juhudi na uchungu wa nchi yangu kama nilivyo aidi mbele ya kiongozi mmoja sitomtaja kwa sasa nipo Mbalali Mbeya kwa kazi maalum nahakuna MTU alie nisumbua kuusu begi Mungu mkubwa
@ellyjacob9897
@ellyjacob9897 Жыл бұрын
Kombati ya Tanzania iko safiii sana 💪💪💪
@olarivolariv1313
@olarivolariv1313 9 ай бұрын
Ipo bright Zaidi, kitu ambayo sio poa sana mana porini ni rahisi kuonekana.
@saidharbinie-dl4dd
@saidharbinie-dl4dd Ай бұрын
Kombat inategemeana na uhalisia w mazingira..ww unafikiria china haijui kuchagua kombati...?😮
@edwardmongi4484
@edwardmongi4484 Жыл бұрын
Nimeipenda sana Mungu awabariki Jeshi letu
@sayeedmsct4255
@sayeedmsct4255 5 күн бұрын
Tanzania tufanye na Russia pia mazoezi❤❤❤❤❤
@constantinochalle856
@constantinochalle856 11 ай бұрын
Good,,,zoezi nzuri sana
@samuelemmanuel3400
@samuelemmanuel3400 11 ай бұрын
Hapo mmelenga sio kujifunza wenyewe na kujichua wenyewe, mnavyo shirikiana na nchi zingine kwenye kufanya mafunzo kama haya yaki jeshi mnaimarisha zaidi ulinzi wetu, maana mnakuwa na ufahamu na uelewa wa ainambali mbali ya combart na iyi itatusaidia kipindi cha vita, sio ile mlio kuwa mnafanya wenyewe. Hongereni sana kwa hatua. Kweli jeshi mnasikiliza wananchi sasa
@jogoomohamed2652
@jogoomohamed2652 Жыл бұрын
Safi sana jeshi langu/letu.Safi sana watu wangu wa nguvu.Jwtz.Safi sana makamanda wangu/wetu.Safi mhe Rais wangu/Wetu Mama Samia Suluhu.Imara Jeshi letu daima
@jeffhard5773
@jeffhard5773 Жыл бұрын
Wafanye mazoezi ya kuuwa mahain waujumu uchumi na wezi wa lrasilimali za nchi na wanao uza mali za nchi hii hapo wata wini lakin kama ni lengo la kuwa tishia wasemaji na watetezi wa wanyonge hapo mmepolola!
@omarbuud-tc4jj
@omarbuud-tc4jj Жыл бұрын
Good
@lizyonce7414
@lizyonce7414 Жыл бұрын
Nimeipenda hiii
@seneu.2128
@seneu.2128 Жыл бұрын
JWTZ inahitaji silaha na vyombo vya kisasa zaidi hilo ndio tatizo kubwa zaidi teknolojia ndio mpango zaidi jeshi linunuliwe vifaa vya kileo.
@manenoramadhan1432
@manenoramadhan1432 11 ай бұрын
Ukiangalia kwa makin wachina wako fiti sana coz wameshapitia vita sasa sisi hp tz nikuwatishia tu raia kwa mabom ya machoz
@GHAZWACREWBAJOMBA
@GHAZWACREWBAJOMBA 11 ай бұрын
we haupo jeshini hauwez kujua masuala hayo ila jeshi letu lina vifaa vya kisasa na vingi na wataalam wapo na wengine kama ulskia kuna watoto wa form 6 div 1 na 2 walchkuliw jeshini wote wanasomeshwa degree ya military science..... Do not underestimate.... Tuwape moyo na tuwaa appreciate walinzi wetu
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 11 ай бұрын
​@@manenoramadhan1432sio wako fiti kwa sababu wamepitia vita, sema wako sharp kwa sababu ya mazoezi, kuhusu vita Kwenye hii dunia mtaalam ni Russian peke yake, wala hakunaga choko yoyote anayeingia apo
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 11 ай бұрын
​​@@GHAZWACREWBAJOMBAbig up bro 💪💪💪
@allysimu6856
@allysimu6856 Жыл бұрын
Hili ndojeshi tunalotaka kuliona Sina mashaka na jeshi langu jwt na China kazi nzuri Sana walinda amani.
@eliudmkumbwa5681
@eliudmkumbwa5681 11 ай бұрын
Kazi nzuri
@magesagambajr3546
@magesagambajr3546 11 ай бұрын
Tuombe basi pambano la kirafiki na marekani
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 11 ай бұрын
Jaman mama samia upo vizuri sana ujamaa udum
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Жыл бұрын
hayo sio mafunzo hayo ni mazoezi ya pamoja kwa ajili ya kubadilishana uzoefu na kujiweka fit zaidi ni kama friend match kwenye mpira. kitaalam huitwa "drill"
@muhammadjuma8457
@muhammadjuma8457 Жыл бұрын
Kwa lugha ya kiingereza ndio inaitwa drill na sio kitaam izo ni lugha tu zimetofautiana
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Жыл бұрын
@@muhammadjuma8457 No !! Wakati mwingine lugha (kina)hutumika kutofautisha jambo hakuna ukawaida hapo hivyo vitu viko technically. Kuna tofauti kati ya Drill na Rehearsal au Exercise. Training, Rehearsal au Exercise ndo Mazoezi au Mafunzo ila Drill ni Maonyesha yanayo fanywa ili kubadilishana mbinu na uzoefu baina ya majeshi au vikosi viwili tofauti. Hapo watu hawajifunzi ila wanaonyesha kile walichojifunza ili kuboresha zaidi utendaji wao. Drill ni kama Friend Match .
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Жыл бұрын
@@muhammadjuma8457 Mafunzo ni Exercise sio "Drill" au kiingereza/lugha Gani ulikuwa una maanisha..??
@EdwardSamson-uf1ee
@EdwardSamson-uf1ee Жыл бұрын
@@muhammadjuma8457 Drill Kwa kiswahili huitwa Luteka. Hayo ni mambo deep kidogo
@muhammadjuma8457
@muhammadjuma8457 Жыл бұрын
Umezungumza kwa kitaalamu huitwa drill nikamwambia iyo ni lugha tu . Tatizo sisi tunaizarau lugha yetu ilo neno litafute maana yake kwa kiswahili
@audaxonesmo263
@audaxonesmo263 Жыл бұрын
Kwahyo skutukichokozwa mojakwamoja nachina ndaniiii😂😂😂😂❤
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 11 ай бұрын
Kiduku na urusi pia 💪💪💪
@oscarsagara8813
@oscarsagara8813 Жыл бұрын
Niliisubili kwa hamu kubwa hii,nawaomba wafanye jambo hili na mataifa mawili mengine ambayo ni North Korea na Urusi.Nidhamu na uweledi vitani ndo mpango mzima.⚔️⚔️⚔️🇹🇿
@EliyaUhaula-ck3pu
@EliyaUhaula-ck3pu Жыл бұрын
North Korea Alisha wahi kufanya jambo lake hapa na Jeshi Letu USA Waka Waka kinouma
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 11 ай бұрын
Yaani ukiona China apa ujue north Korean ipo na urusi ipo apo kabla ya mazoezi ayo kuanza 😂😂😂😂
@KihangoIsmail-qn2uh
@KihangoIsmail-qn2uh 11 ай бұрын
Jeshi letu lipo vizuri viva Tanzania nawanajeshi wetu(hapana chezea)nadiliki kusema kwa furaha
@MaumetaMarçal
@MaumetaMarçal Ай бұрын
❤️🇨🇳🙏🙏
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿Najivunia. Kuwaa MTANZANIA❤❤❤❤
@khalidabdulla6545
@khalidabdulla6545 Жыл бұрын
Nchi yakina Juma lokole
@samsonkusupa6809
@samsonkusupa6809 11 ай бұрын
Mko vizur hongera kwenu
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 Жыл бұрын
Amazing very good
@allyahmadimbukuli8681
@allyahmadimbukuli8681 Жыл бұрын
Nimeipenda hii sio ile ya mashoga wa US.
@RashidYam-k6w
@RashidYam-k6w 10 ай бұрын
2017 hapa kazi tuu
@ambokilemussa3518
@ambokilemussa3518 11 ай бұрын
safi sanaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@batsmanintruder419
@batsmanintruder419 Жыл бұрын
Sawa
@m-tatu1050
@m-tatu1050 11 ай бұрын
Haya ndiyo mambo yanayowapa heshima, waachane na habari za kutesa raia kisa nguo za mtumba... love my military JWTZ❤
@stn4873
@stn4873 Жыл бұрын
Askari sifa wepesiiiii. Alfu vitendo vifanyike kwa viwango.
@OmarOmar-vf9dv
@OmarOmar-vf9dv Жыл бұрын
Ahahahahaha. Nakubali sanaaa uwezo wa jeshi letu
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 11 ай бұрын
Marekani na Umoja wa ulaya hatutaki wakanyage kwenye nchi yetu
@kijorapambetv
@kijorapambetv 10 ай бұрын
ALAFU KUNA MTU ANAKWAMBIA WACHINA WOTE WAFUPIII.
@planetanimals9547
@planetanimals9547 Жыл бұрын
Wako vzr sana
@theafricanbyorigin7981
@theafricanbyorigin7981 Жыл бұрын
First to comment
@user-yp5xk9yz2y
@user-yp5xk9yz2y Ай бұрын
Kunaswali pia naitaji kujuwa kunahawa Jeshi la Akiba mbn halipewi kipaumbelee hata nafasi zikitangazwa hali ya kuwa kunawatu wanaumri mdogo na wanajuwa kupitia kule ndoto ztatimia alafu atimayake nafsi zikitangazw n jku na jkt
@samuelemmanuel3400
@samuelemmanuel3400 11 ай бұрын
Pia mafunzo haya yange fanya hata ya kijamii, technologia, kilimo na mengineyo kuimarisha na uchumi
@africayetu2965
@africayetu2965 Жыл бұрын
Tumeni onyo kwa marekani
@user-sm5tt3fv9z
@user-sm5tt3fv9z 11 ай бұрын
Safi
@AbasiShabani-lw2fd
@AbasiShabani-lw2fd 11 ай бұрын
Yaaan hawa wachina ndo wakushirikiana nao hata suala la bandari tungewapa wachina watusaidie nisingelia
@user-uc3jr1ko5o
@user-uc3jr1ko5o Жыл бұрын
Congole sana....i mis home
@rukiamadati336
@rukiamadati336 Жыл бұрын
Wow napenda sana kuangalia hii kitu🇹🇿❤️
@EliasJohn-lc8nu
@EliasJohn-lc8nu Жыл бұрын
Mmetisha sanaaa ni hatari
@matombotv1507
@matombotv1507 Жыл бұрын
nipeni like zangu leo mimi wa kwanza 😢😢 sema awa jamaa noma
@user-fy3gc8iu5c
@user-fy3gc8iu5c 9 ай бұрын
Nzuri hiyo
@shadowmedia7644
@shadowmedia7644 Жыл бұрын
Shida watching wanatumia Kachina sisi tunatumia English akati sisi ni swahili alie fatilia hili awake likes 👍
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 11 ай бұрын
Wanatumia kichina ni lugha yao, kiingereza ni utumwa soon unatoweka labda ubakie Kenya, mwishowe kabisa jiulize we mwenyewe wamewezaje kuelewana? think deep sisi tuna kiswahili na sio swahili 😂😂😂Kwanini wazungu weupe na weusi mnaikwepa hii Ki? Ili kutimia usahihi wa kiswahili 😂😂😂😂
@benjaminsanare-ug6ge
@benjaminsanare-ug6ge Жыл бұрын
Safi sanaa
@allenmambasa408
@allenmambasa408 11 ай бұрын
Safi Sana.
@kassebo
@kassebo 11 ай бұрын
Nice
@shalomchaula4420
@shalomchaula4420 Жыл бұрын
Ni jambo zuri Sana ila tukiweza washirikiane na sisi tekinolojia yao maana vita sikuizi ni akili mtu wangu
@anselmokidaboma9328
@anselmokidaboma9328 Жыл бұрын
Safi sana makamanda wetu, xie xie
@khalidwaziri5403
@khalidwaziri5403 Жыл бұрын
Wow😮
@jonathanmaengo4281
@jonathanmaengo4281 Жыл бұрын
Tunawaomba pia mfanye mafunzo na Russia ❤🇷🇺🇹🇿
@yeshuasnewweapon5509
@yeshuasnewweapon5509 11 ай бұрын
Wagumu hao..hta sura hawaonyeshi
@lughanojohn4211
@lughanojohn4211 11 ай бұрын
Russia mbona Yupo kabla ya iyo video ya mazoezi kupostiwa we tulia tu, apo kaonekana mchina, yes ni mbinu za mikakati izo alishakuja kiduku keleke zikawa nyingi leo anaonekana mchina 😂subiri uone siku atakavyo jionesha mrusi sasa 💪💪💪💪
@tanzaleo8670
@tanzaleo8670 Жыл бұрын
hiyo inaitwa urban drill close combat hapo wangetupigisha kidogo na Jungle daaah ingependeza sana 😅😅😅
@kamandashupavu206
@kamandashupavu206 Жыл бұрын
Imekaka vizur sana
@hans_tech0015
@hans_tech0015 11 ай бұрын
Watu saiv hawapgani hvo watoe ushirikiano kwenu silaaha nzto za kvta
@emanuelmandasha
@emanuelmandasha 11 ай бұрын
Bravooo. Tanzania Huraaaa
@enjoysoccer1
@enjoysoccer1 11 ай бұрын
China na Tanzania ❤ for life
@user-ui7lb5yc2l
@user-ui7lb5yc2l Жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿💯🇹🇿✈️✅
@saidharbinie-dl4dd
@saidharbinie-dl4dd Ай бұрын
Wangetufunza ata namna y kutengeneza droni pamoja na kuendesha..maan droni ndio vita halisi ilipo duniani kw sasa..hapo wanapigiwa mbali sna n droni😂
@dannywillson5874
@dannywillson5874 Жыл бұрын
Haya ndio mambo muhim sasa jengen jesh
@hanifamasudi9732
@hanifamasudi9732 Жыл бұрын
❤❤❤
@msamanga2277
@msamanga2277 Жыл бұрын
Sari sana. Mmarekani lazima aje upya
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 11 ай бұрын
Our Boys, Be blessed
@PeterNkilijiwa-ij3rw
@PeterNkilijiwa-ij3rw Жыл бұрын
Wafanye na mazoezi ya kuua mafisadi.
@user-ys2gn1nd4q
@user-ys2gn1nd4q 11 ай бұрын
mipia naweza
@EzekielMisungwi-zn6qh
@EzekielMisungwi-zn6qh Жыл бұрын
Dah jeshi kweli balaa sana
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 11 ай бұрын
One love tutalipua mtu akituchokoza watanzania
@patrickmuvendi142
@patrickmuvendi142 Жыл бұрын
Safi sana makamanda wetu
@husseinally5550
@husseinally5550 Жыл бұрын
Hii kweli mafunzo
@radhiambwana3353
@radhiambwana3353 Жыл бұрын
Tz Nchi yangu nakupenda kongole waasisi kwa mising imara
@GabrielSky64
@GabrielSky64 Жыл бұрын
Mechi lini
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 11 ай бұрын
Nashangaaga sana lazima muongee icho kingereza hakati mpo tz wezenu hao mnao fanyanao mazoez wanongea lugha ya kwao nyinyi mnaongea lugha ya inchi nyingine amuoni ata aibu 2barike watz 2pende lugha ye2 ya kiswahil 2achane lugha ya kitumwa wazo langu niilo2
@peterandrea9438
@peterandrea9438 21 күн бұрын
Hapo kwenye waziri tu waulinzi ndio tumekosea angekuwa man ingefaa
@ahmadymisanga4755
@ahmadymisanga4755 11 ай бұрын
Mmmmh nimejaribi kuangalia kwa umakini nimeona Kuna kuchelewa katika tukio Yaani hatuko fasta uzito ni mwingi
@jameschumbula7351
@jameschumbula7351 Жыл бұрын
1🔥💪🏾✌️
@biasharaonline693
@biasharaonline693 11 ай бұрын
Vijana sasa wamewiva hata sisi tunaona
@tztanzania2262
@tztanzania2262 Жыл бұрын
Turudishen sare yajayo ni mazito😂
@user-bj2xg8xz7b
@user-bj2xg8xz7b Жыл бұрын
Kweliii jeshi ni kitu inginee kbx
@baracknzingula
@baracknzingula 11 ай бұрын
Kongole sana wanajeshi wetu
@Majambo_Duniani_Tv
@Majambo_Duniani_Tv Жыл бұрын
wanaingia mdogo mdogo kwenye sekta zetu nyeti kwa mbinu ya kushirikiana,. hata jana nimeona wanajeshi wa kenya wakipewa mafunzo na wamarekani.., mdogo mdogo mabeberu wanaingia upya
@mgalatinojengo3663
@mgalatinojengo3663 Жыл бұрын
Vizur,ila wageni wanaonekana ni wepes na wako chap,Tuongeze juhudi zaid.
@user-os7gx1ed1e
@user-os7gx1ed1e Жыл бұрын
Mama ana uza na jeshi la tanzania
@hamadsheni8997
@hamadsheni8997 11 ай бұрын
Kuna m23 mkapimane kama mko sawa.
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n Жыл бұрын
Hatari sana
@user-us4tg2it5q
@user-us4tg2it5q Жыл бұрын
Washamba tuu hawa
@abdulfattahkhamis9440
@abdulfattahkhamis9440 Жыл бұрын
Hahahahhahaha
@hamismchome2720
@hamismchome2720 11 ай бұрын
Hizo show game tuu
@singidaone5628
@singidaone5628 Жыл бұрын
Hayo ni mazoezi ya pamoja sijawahi kuona mafunzo yanaoneshwa hivyo mafunzo ni siri ili wengine wasiyaige ili vita ikitokea iwe lahisi kumshugulikia adui
@sadickponera2464
@sadickponera2464 11 ай бұрын
Nikisikia vita nalala tu wakombozi tunao🤣🤣🤣🤣🏃
@hamidusibye5241
@hamidusibye5241 11 ай бұрын
Kuna wawili wananifurahisha hapo😂😂😂
@surusuru1994
@surusuru1994 Жыл бұрын
❤❤❤🔥🔥🔥
@maishacenter-eastafricatv3976
@maishacenter-eastafricatv3976 11 ай бұрын
Hamna kitu 😄😄😄
@Jiuspeack
@Jiuspeack Жыл бұрын
nimemuona chama
@emmanuelmajele8953
@emmanuelmajele8953 Жыл бұрын
Nimekubari Sasa hiyo ndio shoo ya maana
@rashidlwengo6940
@rashidlwengo6940 Жыл бұрын
Wachina oyee
@G.r.e.a.t.I.Q
@G.r.e.a.t.I.Q Жыл бұрын
Mh! Jeshi, Mchezo(Table Tennis)! Iwe salama kwa uwezo wa Mola. Ila, "huanziaga" humo!
@nasrqmatimbwa6688
@nasrqmatimbwa6688 11 ай бұрын
Hawa weusi mbna mabonge,ndo wachina au
@Gmlscf
@Gmlscf Күн бұрын
no
@consult_alex9411
@consult_alex9411 Жыл бұрын
Kuna Nanga mmoja nimemuona, mstari wa mwsho kulia 😂😂😂😂😂
@Patrick-rf6ro
@Patrick-rf6ro Жыл бұрын
😂😂😂
@crershawmafia1009
@crershawmafia1009 Жыл бұрын
Boya anachelewa 😂😂😂
@jilalamaligisa4854
@jilalamaligisa4854 Жыл бұрын
nimecheka sana hilo neno limenikumbusha mbali
@Kegorokegoro-ri4yb
@Kegorokegoro-ri4yb 11 ай бұрын
Unafutilia namba hahaha 😂😂😂 Hao wapo tu Kila sehemu
@Kegorokegoro-ri4yb
@Kegorokegoro-ri4yb 11 ай бұрын
Unafutilia nanga tu hahahaha duuuuuuuuu Hao wapo tu Kila sehemu
@ellymaz2187
@ellymaz2187 11 ай бұрын
Nawaza tu, hawa Wachina si wanaingia hadi jikoni au chumbani? Jeshi letu haliwi uchi kweli?
Bend The Impossible Bar Win $1,000
00:57
Stokes Twins
Рет қаралды 44 МЛН
Alat yang Membersihkan Kaki dalam Hitungan Detik 🦶🫧
00:24
Poly Holy Yow Indonesia
Рет қаралды 11 МЛН
Throwing Swords From My Blue Cybertruck
00:32
Mini Katana
Рет қаралды 11 МЛН
MICHEZO YA HATARI MAKOMANDO WA JWTZ| WABAKI VINYWA WAZI
5:59
JEMEDARI TV
Рет қаралды 4,1 МЛН
MAKOMANDO WAWILI WA JWTZ WAKIVUTA IVEKO MBELE YA RAIS MAGUFULI
6:09
MOA Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
KWA KISWAHILI HOTUBA YA IBRAHIM TRAORE' MBELE YA RAIS VLADIMIR PUTIN
5:35