No video

Shujaa aliyelala chumba cha Idi Amin wa Uganda aeleza mazito

  Рет қаралды 125,220

Mwananchi Digital

Mwananchi Digital

Жыл бұрын

Brigedia Jenerali Ambros Bayeke, aliyeweka shoka kwenye mnara wa mashujaa kwenye uwanja mpya wa mashujaa unaojengwa eneo la Mtumba Jijini Dodoma leo Jumanne, Julai 25, 2023 akieleza anayoyakumbuka kwenye vita vya Kagera vya mwaka 1978 hadi mwaka 1979.

Пікірлер: 76
@madaiincubationcenter4947
@madaiincubationcenter4947 5 ай бұрын
Brigedia Jenerali Ambrose Bayeke,hongera sana kwa busara mzalendo wewe uliyejitoa kwa ajili ya Tanganyika yetu
@gadielshedaffa3333
@gadielshedaffa3333 Жыл бұрын
Mzee Brigedia General Bayeke Hongera sana na una hekima kubwa! Tunafurahi kusikia historia mwaka 78 nilokuwa darasa la 1! Duh Mungu amekupa baraka za kuishi! Ubarikiwe
@OswardMadege-gd7yo
@OswardMadege-gd7yo Жыл бұрын
Nimeipenda hiyo jeshi ni kazi ngumu ya kijitolea hasa kizarendo SI kutajilika Mungu awatie nguvu makamanda wetu wote
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 6 ай бұрын
Iam very much blessed with this speech, or Lord help this speech to dwell in our hearts .
@jumamohammed2748
@jumamohammed2748 5 ай бұрын
Da! Nimejifunza mengi kwa muda mfupi sana.shukran mzee
@annatemu4488
@annatemu4488 5 ай бұрын
Mzeee yupo vzr sn kichwani👏👏👏
@lucaskanyamaha4885
@lucaskanyamaha4885 5 ай бұрын
Mwamba ana kumbukumbu sana anakumbuka tr. Mpaka na no za vyumba alivolala 🎉
@user-vy8tb2hq9w
@user-vy8tb2hq9w 5 ай бұрын
Serikari iwajari sana watu kama Hawa na iwatafute iwenaokaribu kwajiri ya kuwahudumia wamejitorea maisha ❤🎉🎉🎉
@saleheluvanga9929
@saleheluvanga9929 5 ай бұрын
SALUTE bregedia General 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@gracesamike8927
@gracesamike8927 2 ай бұрын
Hongera Sana baba wengine wapo huku kwetu wapganaji wa idiamin
@cosmasmilanzi7117
@cosmasmilanzi7117 Жыл бұрын
Historia inaandikwa lakini pia inasomwa; hongera sana kwa kuandika historia itakayosomwa na vizazi vyote!
@ramadhanimtetu3656
@ramadhanimtetu3656 5 ай бұрын
Hongera Baba yetu
@UzalendoNaUtu
@UzalendoNaUtu 5 ай бұрын
Mzee kichwani yupo vizuri na hazeeki
@spantonsamba6191
@spantonsamba6191 5 ай бұрын
Anakumbuka vyema tarehe
@AmbeleJames-cb1el
@AmbeleJames-cb1el 5 ай бұрын
Tunapenda sana kutuletea historia za wazee wetu wazalendo ambao wanaongea ukweli.Mfano Mimi nilikuw sijazaliwa nimejua kwa kifupi historia ya amini.
@titus_maridhia
@titus_maridhia Жыл бұрын
Kavalishwa Suti. Umenielewa? kavalishwa suti. Huenda atakumbukwa tena mwakani majira haya. Salute Mzee wetu
@allynayomo485
@allynayomo485 4 ай бұрын
Mzee bayeke namkumbuka alikuwa jirani yetu pale NACHINGWEA Mtaa wa Kilimani road akiwa CO aa 41kj majimaji,nakumbuka watoto wake akina Digna
@mgeleka2378
@mgeleka2378 Жыл бұрын
Very smart old man ✊
@NassonEvarist
@NassonEvarist 5 ай бұрын
mungu AKUBARIKI sana
@mayombomajenga9778
@mayombomajenga9778 Жыл бұрын
Huyu mzee anamadini mazuri wajukuu na watoto wake wanafaidi sana
@alphoncenestorybishirangon1836
@alphoncenestorybishirangon1836 5 ай бұрын
Safi sana
@hassanabdulrahman9380
@hassanabdulrahman9380 5 ай бұрын
IDD Amin dada Allah aiweke roho yake mahali pema peponi alikuwa mtu mwema sana propaganda hazitufanyi tuamini kuwa eti alikuwa akila nyama za watu tafuteni uongo mwengine kisa hasa alikuwa muislamu hakuna jengine
@Kabeya410
@Kabeya410 6 ай бұрын
ALHAMDULILAH MZEE MKRISTO LAKINI KASEMA UKWELI KULIKUA NA PROPAGANDA KUBWA KWAMBA ALIKUA IDD AMIN KULA NYAMA ZA WATU MZEE UMEWAFUNGUA MACHO ASANTE MUNGU ATAKULIPA. GOOD AND SMART VERY SMART 😅HAO VIJANA HAWAWEZI KWENDA MGAMBO WANAPENDA STAREHE 😅
@eliajimmy95
@eliajimmy95 5 ай бұрын
Mzee amenifumbua akili wanapotosha sana kuhusu Idd amini
@liebechapuga7804
@liebechapuga7804 6 ай бұрын
Mipakani ulinzi si mzuri sana Dar Wamalawi wajazana sana inamaana wanapita bila shida mtuambie kama mpaka wa Malawi uko wazi kabisa ?
@peterkariuki9073
@peterkariuki9073 5 ай бұрын
Wewe hutaki wageni au? Wacha za ovyo!
@SurprisedDaffodils-jp3xi
@SurprisedDaffodils-jp3xi 5 ай бұрын
Tembea uone ndugu yangu wa bongo wamejaa Malawi Kama kwao nenda Zambia Mozambique tumejaa watz
@sebastiankilongo2052
@sebastiankilongo2052 5 ай бұрын
Mungu ni mwema DC WETU jamani. Nafurahi kukuona bado kichwani upo vzr baada ya vita mwalimu hakukuacha akakuteua na ulitutumikia vizuri hakuna aliyekufahamu atakayekusahau. Binafsi nilikuwa primary school.
@kijazi6506
@kijazi6506 Жыл бұрын
Mzee aandike kitabu cha maisha yake...ana vitu vingi vya kusimulia, matukio ya kuvutia...
@mohamedally1594
@mohamedally1594 5 ай бұрын
Kabisa
@marcominja8850
@marcominja8850 Жыл бұрын
Serikali ni vema kufanya documentary ya vita vya uganda na wazee adimu kama hawa ambao wanazidi kupotea, ili kupata utajir wa historia ya vita ilivokua kutoka kwa wahusika wenyewe
@dvjtwentyfivedecember4398
@dvjtwentyfivedecember4398 5 ай бұрын
big point
@salimmatitu5984
@salimmatitu5984 6 ай бұрын
Watu waongo kweli,eti alikuwa anakula nyama za watu,tupo wengi tuliamini hii
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 5 ай бұрын
Wazungu ndio walitengeneza c aliwafukuza ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya
@ramsonhudson4013
@ramsonhudson4013 Жыл бұрын
Chuma hiki 💪💪💪
@mathayomwashambwa1238
@mathayomwashambwa1238 5 ай бұрын
MZEE YUKO FIT UFAHAMU NA MWILI, HONGERA SANA KWA KAZI YA KULITUMIKIA TAIFA
@user-ly2tv5og1n
@user-ly2tv5og1n 5 ай бұрын
Hongera sana. Umeweka wazi Propaganda za chuki dhidi ya Idd Amin. Hakika u mcha Mungu.
@cairoshampeny
@cairoshampeny Жыл бұрын
AFU ANATOKEA MAREHEM MMOJA ANASEMA JESHI LA TZ HALINA NGUVU
@jeffhard5773
@jeffhard5773 6 ай бұрын
Hata mi nasapoti halina nguvu lingekuwa na nguvu utumbo na upumbavu wa ccm usinge fumbiwa macho na kuwepo Hadi leo
@peteremmanuelymatwimatwiem3258
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 5 ай бұрын
Hapo Unataka jeshi litende matakwa yako Unataka jeshi lifsnyeje kama hari ya U salama ikopoa
@user-ue3yv1or9c
@user-ue3yv1or9c 6 ай бұрын
Very smart
@hassankalwelamseya2562
@hassankalwelamseya2562 Жыл бұрын
safi wewe mzee ndiye umeongea ukweli sio wale wanoa potosha watu kuwa Idd amin alikua anakula nyama za watu ,ukweli utajulikana tu muda ukifika
@mwlpierre
@mwlpierre Жыл бұрын
Gaddafi alikuwa anajiona yeye ni bora sana kuliko Waafrika website kwasababu yeye ni mwarabu hataki kupingwa hadi na viongozi wenzake
@EvaristoMlowe-yp3pu
@EvaristoMlowe-yp3pu 6 ай бұрын
BIGUP MZEE.
@yasinmwegamile8329
@yasinmwegamile8329 Жыл бұрын
Jeshi letu ndio imani yetu na usalama was nchi na bara letu.
@muhammednassor690
@muhammednassor690 6 ай бұрын
Wasngereza au wamarekani nao wanaonekana wamehusika kutusaidia kupigana na Iddi Amini
@OmarMohamed-zf8dp
@OmarMohamed-zf8dp 5 ай бұрын
Hakuunashujaa kwenye kjmpiga iddi amini mana haikuwa vitaya kumuondoa etikwakikele kinacho ongelewa
@OswardMadege-gd7yo
@OswardMadege-gd7yo Жыл бұрын
Ushauri kwa serikali kwa makamanda wetu ni kuwajali stahiki zao ili wakumbuke zaidi kazi waliojitoa mhanga maana nao ni wanadamu sio vyuma
@user-mr3fn1hc2y
@user-mr3fn1hc2y 5 ай бұрын
Huyu ni shujaa.
@dottomatola5905
@dottomatola5905 Жыл бұрын
Alafu linajitokeza jitu linasema nchi hii hakuna kilicho fanyika
@bcozhenry2698
@bcozhenry2698 Жыл бұрын
Huna akili ya kujifunza toka kwa shujaa huyu, Uzalendo wao ungeendelea kwa viongozi kama ilivyokuwa kwa wapambanaji hawa tungekuwa na maendeleo makubwa ni huu udwanzi unaoridhika nao bila kukokotoa muda kiasi gani umepita
@christopherkiswaga9270
@christopherkiswaga9270 Жыл бұрын
Be blessed!
@mirajihassani2952
@mirajihassani2952 6 ай бұрын
Kwanituko kwaajili ya vita alafu vile Vita vimetugharimu sana
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 5 ай бұрын
​@@bcozhenry2698nchi gani hapa afrika mashariki inamaendeleo kusema wananchi wake Hawana shida tena kwamba cc tuwaige, shida mnataka kujifananisha na mbele wenzenu wanazaidi ya miaka mia mbili alafu aoao ndio walikuwa watawala wetu wanachuma malizetu wanakwenda kutengeneza kwao na ata nguvu kazi ya rasilimali watu wametuchukua cc kama watumwa wao tumeafanya kazi ngumu kwa mateso kwaiyo angalia majirani zako sio ulaya kwa mzee kama uyu hawezi ongea ujinga kama huo coz anajua tz ilipotoka mapaka sasa kunamabadiliko makubwa
@EphraimWekesa-je7gy
@EphraimWekesa-je7gy 5 ай бұрын
Saba Saba
@user-ie5ob7ue9r
@user-ie5ob7ue9r 6 ай бұрын
Busara zaidi
@meddixempire292
@meddixempire292 Жыл бұрын
8:30 mzee umeongea pwent sana😂😂😂😂😂
@DeoKimbe-gt4op
@DeoKimbe-gt4op Жыл бұрын
Mzee huyu na mfaamu nimwadilifu sana amesitafu hana gali hana shumba dsm nimwadilifu sawasawa mwl nyelele
@AyubuMbaga-hn1lq
@AyubuMbaga-hn1lq 6 ай бұрын
Jeshi ndio kuna uzalendo
@makhanguwakhutu2408
@makhanguwakhutu2408 6 ай бұрын
Idd amin alitolewa kwa musada wa wamagharib Tanzania ilikuwa tu kivuli
@madindangonde4044
@madindangonde4044 5 ай бұрын
Kha kha kha khaaaaa
@elevenfebo1372
@elevenfebo1372 5 ай бұрын
hii ni CALL OF DUTY BLACK OPS kabisaa yaani 😂
@DeoKimbe-gt4op
@DeoKimbe-gt4op Жыл бұрын
Naalikuwa akipangiwa safari aliakikisha anabana bajeti pesa inabaki anailudisha selekalini.
@Wastara001
@Wastara001 5 ай бұрын
Wazungu kwa kueneza propaganda hawawezekani
@zambanirockfirefightingsupplys
@zambanirockfirefightingsupplys 5 ай бұрын
Yuko chojo
@cairoshampeny
@cairoshampeny Жыл бұрын
Nouma sana
@florencemeza6540
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Mashujaa babu zet walijitoa mhanga kupigania Taifa leo mtu anauza kwa waarabu??
@salmasalum7735
@salmasalum7735 Жыл бұрын
Mhuuuuuuuuuuuuuu
@jastinsanare2725
@jastinsanare2725 Жыл бұрын
Kumbe hats gadafi majeshi yetu yalikomaa naye
@mnamamnama2732
@mnamamnama2732 Жыл бұрын
Nawashauri kama hamjafanya mgambo kafanyeni mnafanya kazi huku mnalinda nchi
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 5 ай бұрын
Makosa kutoa mtu kwenye taifa lake kwajili ya utiifu kwa wazungu
@user-ks8oy9lt7z
@user-ks8oy9lt7z 5 ай бұрын
Huyu mzee anakumbukwa mfukoni? au kila mwaka tu?
@inukauleunywe5717
@inukauleunywe5717 6 ай бұрын
Huyu mzee anaitwa nani....ni vyema kuwafahamu Wazee hawa walifanya kazi kubwa
@Kabeya410
@Kabeya410 6 ай бұрын
Anaitwa Brigadia jeneral Ambrose BAYEKE. muwe mnasikiliza mpaka mwisho kataja jina lake.
@inukauleunywe5717
@inukauleunywe5717 5 ай бұрын
Ilikuwa kwa faida ya wengi.... Black mamba
@EliaMbise-el7hl
@EliaMbise-el7hl Жыл бұрын
Safi sana
NYOTA WA WIKI   BRIGEDIA JEN.(MST) BAYEKE
28:13
TBConline
Рет қаралды 4,5 М.
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 8 МЛН
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Gli occhiali da sole non mi hanno coperto! 😎
00:13
Senza Limiti
Рет қаралды 3,2 МЛН
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 35 МЛН
Vita Vya Kagera 1977 1978 Sehemu Ya Pili
31:05
SIMU. Tv
Рет қаралды 1,9 МЛН
Mwanzo Mwisho Lissu Afunguka Kilichotokea Mbeya
23:21
The Chanzo
Рет қаралды 36 М.
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Boxing After Dark
Рет қаралды 7 МЛН
ROLLING DOWN
00:20
Natan por Aí
Рет қаралды 8 МЛН