Mashallah mashallah😋😋😋😋👌🏻kuku amenoga mzuri kwa naan
@lutfiarashid87703 жыл бұрын
Hata Mimi nimewaza nipike kwa hyo mikate
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Thank you beautiful 😍💓
@ndasimimassi463 жыл бұрын
Waoo dada asante kwa kutuongezea ujuzi zaidi wa mapishi pia huwa napenda sana unavyotamka neno steps 😎
@pastorygumiye63883 жыл бұрын
@@ShunasKitchen Umetutajia moto wa Oven mara moja tu kwenye 1st step, je hizo step nyingine 2 zilizofuata ambazo tunaweka kwa dk 10 kwenye oven mtot unakuwa wa kiasi gani ?? Ahsante
@gundam39453 жыл бұрын
Habar Rukia. Sorry naomba kuchujua kama una account either ya facebook au Instagram kwa hii channel yako ya Mapishi.. Asante.
@terryskitchen3373 жыл бұрын
This is amazingly delicious👌😋
@hafswaahmed54623 жыл бұрын
I have to try this looks amazing mashallah
@nururogastian36373 жыл бұрын
Mashallah my hab8ty mashallah
@haleemaramzan38753 жыл бұрын
Mashaa Allha
@HadijaSheban3 жыл бұрын
MashaaAllah 😋😋yaani na asubuhi hii mpenzi 😂 Mate yamenijaaa
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Asubuh mapema upate muda wa kuandaa 😚🙌💓
@HadijaSheban3 жыл бұрын
@@ShunasKitchen Haswaa hapo umesema habibty InshaAllah nitajaribu maana nihealthy kabisa hii😋
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Please let me know how it goes 😉😚💓
@HadijaSheban3 жыл бұрын
@@ShunasKitchen okey habibty huko IG InshaAllah na vile leo basday ya hubby mbona tunamla kama hatumjui🤣🤣🤣🤣🤣
@najlaskitchen15723 жыл бұрын
Am here my sister...shokran for the recipe mpenzi wangu 😘😘🥰🥰
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
You are welcome darling 😘
@zubedaally44583 жыл бұрын
Ma Shaa Allah.. So nice l will try.. Shukran
@hadidjamohamed14732 жыл бұрын
Jazakallah I made this dish tiday = my family were very happy
@amrahschannel55993 жыл бұрын
mashaAllah
@ukhutymamuu74703 жыл бұрын
Mashaa Allah shukran sana 🙏 jana nimepika wageni wangu wamependa sana🥰🥰
@nussmam20093 жыл бұрын
Mashallah
@saidanur313 жыл бұрын
Looks yummy MashaAllah
@ashayummy22993 жыл бұрын
mashaallah kujuanVutia3 sana
@user-rn1ls2hm5e3 жыл бұрын
Mash Allah...
@bintsalimalbimany53403 жыл бұрын
Mashallah mambo yanayohusu thank uuuu😘😚😙
@kishanakamendu81603 жыл бұрын
Amazing recipe am inspired Asante Sana your cooking is admirable ❤️
@khadijaamur60323 жыл бұрын
😋😋😋
@a.8563 жыл бұрын
😋
@margaretfestokessy74703 жыл бұрын
You are The greatest cook ever!!!
@shebanishebe78663 жыл бұрын
Maa sha ALLAH, kuku yuko sw
@sngash3 жыл бұрын
Wow! This looks so delicious. Ahsante sana 👍👍
@hadiajuma26263 жыл бұрын
Mashaallah ❤️
@mariammuscat43003 жыл бұрын
Mashalllah
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Asante sana kwa kuangalia :)
@maggienjambi32793 жыл бұрын
Wow. This is my next dish..my husband must marry me again once he eats this 😂😂😂😂
@beatricefrank47673 жыл бұрын
😂😂😂😂
@beatricefrank47673 жыл бұрын
Kesho najaribu nitakutumia mrejrsho kwa instagram😁😊😊mtakaotaka kuona majaribio yangu from shuna angalia instastory yangu kesho @babysky_bae nawapenda sana🥰🌹🌹
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Please do invite me to your wedding 😄😃🥰💓
@norbertenock31543 жыл бұрын
@@ShunasKitchen namshukur mung kwa kukuongoz we utufunze na ss mapishi nakpenda dada angu Sasa hivi tnapika vzur Waume zetu wanajramba tu mungu akubalik
@zaharamsafiri8253 жыл бұрын
😜😜😜😜😜😜
@mariamymariam81163 жыл бұрын
MashaAllah
@abuahmed16103 жыл бұрын
Yummy
@mohamedoierussis17843 жыл бұрын
Mashallah ❤❤❤👌
@raimahabdisalami96233 жыл бұрын
Maa shaa Allah... Yummy 😋😋.. Ahsantee💗💗
@mariangala41852 жыл бұрын
Very nicely done. How much degrees when you return back to the oven for 10 minutes? Kindly
@fatmehfaraj51883 жыл бұрын
Mashaallah sis.looking delicious
@zaharamsafiri8253 жыл бұрын
😋😋😋😋😋😋😋
@ummohammed83803 жыл бұрын
Masha allah allah akubariki inavutia na inapendeza na in sha allah nitajaribu nimeipenda sana
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Ameen asante sana
@aminahaj87803 жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰
@RaniyahAnwar3 жыл бұрын
Ma shaa Allah 😍 Amazing as usual 😋😋
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Thanks sweetie 😘
@aidaabdul46333 жыл бұрын
Mashallah nimependa habibty
@nm2093 Жыл бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰💯
@ninahgrey11152 жыл бұрын
All the way from America… Shunu I never cook anything without you😂! Love you mama… my favourite you tube cooking Chanel😍
@hamisakasim64503 жыл бұрын
MashaAllah 😘 😘
@mdm_2223 жыл бұрын
nilihama kutoka kenya nikiwa mtoto kwa hivyo nimeanza kusahau kiswahili lakini sasa ninatumia video zako kujifunza kiswahili na kupika :) asante sana
@fatmaabubakar5983 жыл бұрын
You never disappoint!
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Thank you so much for watching 💓
@m.mmarckus62983 жыл бұрын
Waooooooo,sikwa utamu huwo jamani
@huzlayfathamad42153 жыл бұрын
woooooo mateeee mpk ymetoka
@faridahjumanne77733 жыл бұрын
My Madam👌👌👌MashaAllah
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
My sweetie pie ❣ Thanks for watching 💕
@salmaalnaamani27863 жыл бұрын
Mansh'Allah nice habibty shukran sana kwa recipe nzuri sana😍, na mimi nikinunua chombo kipya sikiachi Natumia tu😂😂
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Chombo kipya kinatia hamu ya kupika 😆 💓💓
@khadijaamur60323 жыл бұрын
Kinavutia😋
@leluumwinyi16903 жыл бұрын
Mashallah dear,Allah akulipe kila lakheri
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Ameen kwa sote. Shukran sana kwa kuangalia :)
@latriciah01augustino673 жыл бұрын
2021 imeanza vizuri 😍 ni kula kujigalagaza😋😋😋
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Kaabisa 😃
@pastorygumiye63883 жыл бұрын
Umetutajia moto wa Oven mara moja tu kwenye 1st step, je hizo step nyingine 2 zilizofuata ambazo tunaweka kwa dk 10 kwenye oven mtot unakuwa wa kiasi gani ?? Ahsante
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Moto sawa mara zote 2 au 3.
@pastorygumiye63883 жыл бұрын
@@ShunasKitchen Ahsante
@elmakigondi79883 жыл бұрын
Delicious food. Nakama hauna oven whats the other option
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Naweza kufanya video pia kuwaonesha, kiufupi ni kutumia tu stove.
@fatmasalim71323 жыл бұрын
Shukran Shuna love u🥰
@fatmina.qalbiisaafi70033 жыл бұрын
Waaw masha allah keep going my sister always nice to see how to cooking chakula tamu sana nataka group cooking yako uniengeze na mimi please sister
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Thank you my dear
@maryamkhamis94933 жыл бұрын
Shukran habbty 😍😍😍😋😋😋
@vailethanod15223 жыл бұрын
Asante dear
@juneriaahmed20143 жыл бұрын
Mnshl tnx
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
You are welcome 😊
@RehemaSalum-vp6rf4 ай бұрын
Ivo vyombo unaosha mwenyewe au unaoshewa
@ShunasKitchen3 ай бұрын
Hehe ningetamani nikawa na mtu ananioshea vyombo tu.
@levinaringoma3 жыл бұрын
Tanduri masala ni ipi kwa jina lengine
@sumaiyyahilali28103 жыл бұрын
Asalama alkyumu nahitaji kitabu chako nipo Zanzibar
@ShunasKitchen3 жыл бұрын
Hi dear, please wasiliana na mmoja wa wakala wa znz +255 779 796 060 au +255773776839. Asante.
@sumaiyyahilali28103 жыл бұрын
Asante
@mwanamisiramadhan47733 жыл бұрын
Masha allah 😘😘😘😘
@ashayummy22993 жыл бұрын
jama I hii yo mikate naisubiri kwa hamu utuwekee 😂😂