Je Upo na mwanaume sahihi? Usiache ku Subscribe ili uendelee kupokea masomo yangu kila nitakapo post hapa, Asante sana.
Пікірлер: 99
@selina-tm7hv15 күн бұрын
ASANTE kwa ushauri mzur Mr GOD bless you AMEN
@mbekitv69314 күн бұрын
@@selina-tm7hv amina mpendwa😊🙏
@mbekitv6933 ай бұрын
JE HII VIDEO IMEKUSAIDIA?
@DativaMbowe2 ай бұрын
Mnoo
@aishajuma17392 ай бұрын
Imenisaidia sana shukuran ❤
@omankafa15552 ай бұрын
Vp kuhusu mwanaume ambae lakifi ake Alikutongoza ukamwambia ukweli kua wew ni mpenzi wa rafiki ake ila huyo rafiki ake alipoenda kumuuriza kua yule Dada ni mpenzi wako uyo mpenzi wako akakukana mbele za watu kua wew si mpenzi wake kisha badae akakupigia sm na kusema nakupenda sana ila nilikukana sababu jamaa aliniuriza mbele za watu wengi ivi ipoje brother
@DativaMbowe2 ай бұрын
@@omankafa1555 unauliza nini ndugu yangu wakati jibu lipo wazi akutaki
@JohaynaKhamis-sv3yg2 ай бұрын
Ndiyoo san asant kwa ujumbe mzuri
@DiannaJumanne-de1kkАй бұрын
Me mwanaume wangu ana sifa hizi sana t sema ana shida moja anapenda sana kununa kitu kidogo t kazira
@mbekitv693Ай бұрын
@@DiannaJumanne-de1kk kuna matatizo mengine yanakuwa kama maumbile, kwamaana ndio wamekuwa katika tabia hiyo tangia wakiwa wadogo.
@IreneSantu-fd7kbАй бұрын
Asante Kaka Mbeki,mmh nimemuacha mwanaume wangu hanisapoti kwa lolote na pesa zangu anachukua za kwake sizijui kabisa😭
@mbekitv693Ай бұрын
@@IreneSantu-fd7kb pole sn😓
@IreneSantu-fd7kb2 ай бұрын
Asante Kaka Mbeki,wewe ni mwalimu mzuri sana,nabarikiwa na vipindi vyako
@mbekitv6932 ай бұрын
@@IreneSantu-fd7kb asante sn mpendwa. Usiache ku subscribe🤝😊
@user-sy1rr1sg7i3 ай бұрын
Shukuran Kwa ujumbe huu
@mbekitv6932 ай бұрын
@@user-sy1rr1sg7i karibu sn sana😊🙏
@TilferMtigaАй бұрын
Ahsante sana brouh nimejifunza
@mbekitv693Ай бұрын
@@TilferMtiga good😊💪
@GraceSteven-qq5hn3 ай бұрын
Ndio imenisaidia asant
@mbekitv6932 ай бұрын
@@GraceSteven-qq5hn good😀👏
@user-sy1rr1sg7i3 ай бұрын
M Wangu mpk awe Na shida zake ndo akupigie cm Na kuhusu uaminifu no no no muongo kupitiliza Na hata umuambie hili kosa hakubali wee Bora ukaushe au useme Kisha uombe musamaha tu😅😅😅😅
@mbekitv6932 ай бұрын
@@user-sy1rr1sg7i mmmh hii sio nzuri
@delinevamwakapasa69483 ай бұрын
Aminaaa ubarikiwe sana
@mbekitv6932 ай бұрын
@@delinevamwakapasa6948 asante sana mpendwa 😊🙏
@priscerjohn578814 күн бұрын
Hamna mtu muleeeee.hakuna
@mbekitv69313 күн бұрын
@@priscerjohn5788 kuna nini tena😀
@AnjelNgongo14 күн бұрын
Mtu anekuoa lakini hakushilikishi kitu chake chochote na haongelei kitu cha maisha yenu anakupa hela ya kula 2 ila anakuona kama hujitambui
@@mbekitv693 yeye ananipigia cm ila sijajua anamashaka ya nn tukionana haongei chochote ananihudhi tutaonana tutaongea hata sio vya maana then tunaagana anaondoka au kama mm ndio nilienda naondoka Kunasaa nikawaza au hana hela anahofia nikawa nawaza nimpe ila sasa naogopa kumpa sasa mbona haongelei mambo ya mahusiano yetu ye anajichekesha tu mmmh so nawaza naweza muacha kumbe akawa mtu powa sana....
@fathiyahmuzney73673 ай бұрын
Asante kwa somo 🎉
@mbekitv6932 ай бұрын
@@fathiyahmuzney7367 karibu saaana 😀🙏
@neemajumbe58023 ай бұрын
❤❤❤
@mbekitv6932 ай бұрын
@@neemajumbe5802 ❤️❤️❤️❤️
@user-jt9to1el5l3 ай бұрын
Shukran sana unafahamisha vizuri . Kweli uliposema wanaume wengine unapohitaji kuamua jambo flani kujifundishe yeye anakuvunja moyo inauma sana maana apo maneno tele utaambiwa hujui , huwezi , utashindwa
@mbekitv6932 ай бұрын
@@user-jt9to1el5l yaaani ni changamoto kwakweli
@EvePatrick-u7m20 күн бұрын
Je mwanaume Ambye anakuambia wenzako wanajtaftia mavaz wenyewe na apo una kichnga hauwz ktafta n boraa
@mbekitv69320 күн бұрын
@@EvePatrick-u7m sijakuelewa
@nurugeogri3 ай бұрын
Samahani kaka mwanaume atakiuwende popote je ni sahihi
@mbekitv6932 ай бұрын
@@nurugeogri inategemea na maisha mliyoyachagua cos mahusiano ni ya wawili hayafanani
@user-ng5xe7ze3jАй бұрын
Shukran cna
@mbekitv693Ай бұрын
@@user-ng5xe7ze3j karibu sn😊
@rahmasuleiman788821 күн бұрын
Imenisaidia sana....
@mbekitv69320 күн бұрын
@@rahmasuleiman7888 woow vizuri sn👏
@JacqulinedeogratiusKahwa2 ай бұрын
Me nina mpenzi kwanza mzinzi,pili anapenda kunihusisha mambo yake yote.ila me sijamuelewaga pia anapenda twende mahali pamoja ila tu sikuhizi apendi kunipa raha. Pia sijui hatima yetu
@mbekitv6932 ай бұрын
@@JacqulinedeogratiusKahwa myb anaenjoy kampani yako tu nothing more. So endelea kuangalia masomo yangu yaliyopita hapa hapa yanaweza kukusaidia kumjua vizuri
@AnatoriaGregory2 ай бұрын
Kaka unaushauli mzur ahsate
@mbekitv6932 ай бұрын
@@AnatoriaGregory karibu sn mpendwa. Usiache ku subscribe
@AkitakaHuwa2 ай бұрын
Wakora
@mbekitv6932 ай бұрын
@@AkitakaHuwa 🤣🤣🙌
@bettymariga3 ай бұрын
Asante Sana bro
@mbekitv6932 ай бұрын
@@bettymariga karibu sn😊❤️
@bettymariga2 ай бұрын
@@mbekitv693 nimekaribia bro
@scolastikavictor2 ай бұрын
Niunge kwenye group maana nimeipenda mafunzo yko plz niunge kwenye group
@mbekitv6932 ай бұрын
@@scolastikavictor 0659152333
@nurugeogri3 ай бұрын
Ddio nimehiyelewa
@mbekitv6932 ай бұрын
@@nurugeogri vizuri sna😀👏
@rizikimikidadi6879Ай бұрын
vipi akisema bado kitogo
@mbekitv693Ай бұрын
@@rizikimikidadi6879 kidogo nini?
@user-lt5wx8re2hАй бұрын
Namna gani naweza kujoin group
@mbekitv693Ай бұрын
@@user-lt5wx8re2h nicheki whatsapp
@PrisilaGwakisa-no6kxАй бұрын
Kaka ninamsiba usio isha kwangu naomba n0 Yako nikutafute in box maana sina wakumwelezea maana ktk maisha yangu sinaga rafiki
@mbekitv693Ай бұрын
@@PrisilaGwakisa-no6kx pole sn mpendwa 0659152333
@PrisilaGwakisa-no6kxАй бұрын
@@mbekitv693 Asante kaka
@EvePatrick-u7m20 күн бұрын
Nijb kka
@mbekitv69320 күн бұрын
@@EvePatrick-u7m Nicheki whatsapp 0659152333
@amneally4135Ай бұрын
Bro jamaa ana kila ktu ila ndoa hataamki yaan yupo tayar kuzaa hapo inaa maana gan
Brother naitaji kujiunga kwenye groupe ila nimeshindwa sijuwi nikutumiye namba zangu uniunge please. Napenda mafunzo yako kwa ulefu
@ommy12462 ай бұрын
Mh so kwa huo mchupi uliotoboka
@mbekitv6932 ай бұрын
@@magnibrondi3152 0659152333
@mbekitv6932 ай бұрын
@@ommy1246 🤣
@IreneSantu-fd7kbАй бұрын
Asante Kaka Mbeki,mmh nimemuacha mwanaume wangu hanisapoti kwa lolote na pesa zangu anachukua za kwake sizijui kabisa😭
@mbekitv693Ай бұрын
@@IreneSantu-fd7kb duh😰
@joycehaule971720 күн бұрын
@@IreneSantu-fd7kb jamani mm mwanaume hata asipo nipa mia ila awe na UPENDO LUKUKI KWANGU WALLAH SINAHAJA YA MIA YAKE , YAN ANIJALI TU UKO WAPI MAMBO YAKO YALIENDAJE UNAENDELEAJE, YAN WANAUME WOTE WAMEKAA KUDANGA TU SIKUHIZI UPENDO HAWANA NGUVU ZA KIUME HAWANA , HELA HAWANA SA SIJUI UNAHAMASIKAJE MTU KUTOA HELA WAKATI HANA CHOCHOTE HAHAHAHAHAHAA AAAH JAMANI