Рет қаралды 79,980
Sikia Mapovu ya Mbunge Ally Kessy kwa Wazanzibari!
Mbunge wa Nkasi kwa tiketi ya CCM, Ally Kessy amewatolea mapovu wafanyabiashara wenye asili ya Visiwa vya Zanzibar, kwa madai kuwa wamekuwa wakiongoza kwa kufanya biashara za mapendo.
Nkasi ameyasema hayo bungeni mjini Dodoma, wakati akichangia hoja kuhusu wizara ya fedha na mipango, na kuitaka serikali kuacha kuwachekewa wafanyabiashara wa aina hiyo, badala yake wakikamatwa, wafilisiwe biashara zao na kufungwa jela.
Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER