SIKIA MKASA ULIOSABABISHA MCH.KATEKELA AKAOKOKA ALIPOKWENDA KUROGA MKRISTO MOMBASA KENYA

  Рет қаралды 16,170

PROMOVER TV

PROMOVER TV

Күн бұрын

Пікірлер: 51
@HalimaPaskal
@HalimaPaskal 2 ай бұрын
Mtumish mungu akubariki sana kwa kazi njema unayoifanya welcome Kenya 🇰🇪 Nairobi
@FortunateAkaro
@FortunateAkaro 2 ай бұрын
Njoo na Moshi khubiri hayo
@FortunateAkaro
@FortunateAkaro 2 ай бұрын
Naomba fafanua maana ya kiringe wengine hatujui
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 2 ай бұрын
​@@FortunateAkarokiringe ni kikao au mkutano wa washirikina.
@HellenDana
@HellenDana 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa kuhubiri ukweli napenda mahubiri yako nikiwa Kenya 20:08 🇰🇪
@SiratusApoloMugalula-qr2ql
@SiratusApoloMugalula-qr2ql 25 күн бұрын
Mungu akubaliki mchungaj
@nangongolukundula9367
@nangongolukundula9367 2 ай бұрын
BWANA YESU asifiwe sana nikiwa Canada 🇨🇦 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
@enidkanini
@enidkanini 2 ай бұрын
Niko live hapa Kenya pastor niombee leo nipone nimeokoka na mpenda yesu amen ameni👏👏👏,
@nellyapelesi8741
@nellyapelesi8741 2 ай бұрын
Nami pia nikiwa hapa nyumbani Kenya.
@pastorwycliffesudi5989
@pastorwycliffesudi5989 26 күн бұрын
​@@nellyapelesi8741Uko Kenya wapi
@gracewanjiru3278
@gracewanjiru3278 25 күн бұрын
Amen nikiwa hapa kenya
@dorcusmuania9629
@dorcusmuania9629 7 күн бұрын
Pastor nashukuru kwa mafundisho yko , naeza ongea nawe unisaidie???
@peterwandena8206
@peterwandena8206 2 ай бұрын
Amen & Amen Mungu akubariki sana Mtumishi ujumbe mzito sijawai skia karbu Kenya
@Kosai-g8o
@Kosai-g8o Ай бұрын
Nemo Lita simama God is good
@rebekaadorphine8296
@rebekaadorphine8296 2 ай бұрын
Amen
@BernadetteNikuze-n1p
@BernadetteNikuze-n1p 2 ай бұрын
Mungu akulinde daima mtumishi
@hildawashe4199
@hildawashe4199 2 ай бұрын
Mimi ni mkenya napenda injili yenye ukweli unayoihubiri.Naomba mchungaji Amiel umuombee dadangu alirogwa na uchawi wa wendawazimu.
@phionahsimiyu8334
@phionahsimiyu8334 2 ай бұрын
Amen 🙏 mtumishi wa mungu nafwandilia mafunzo yko nkiwa Kenya be blessed 🙏 🙏
@tulibakobellon1235
@tulibakobellon1235 Ай бұрын
Bwana YESU akutunze Mtumishi wake.
@LucyMerchiorly
@LucyMerchiorly Ай бұрын
amen
@petronyereresaliboko4047
@petronyereresaliboko4047 2 ай бұрын
Amen kutoka hapa Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿
@RubaR-nr5wz
@RubaR-nr5wz 2 ай бұрын
Aminaa mungu ni mwema ubarikiwe sana mtumishi kwa ujumbe huu mzuri wa kutufundisha 🙏🙏🙏
@EmanuelLemba-t1d
@EmanuelLemba-t1d 2 ай бұрын
Ameeen
@GggyJhh-y4x
@GggyJhh-y4x 2 ай бұрын
Ameen and ameen mtumishi wa mungu ubarikiwe sana nimebarikiwa ❤
@andrewmhagama9816
@andrewmhagama9816 2 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu tunabarikiwa
@DamasiIzaki
@DamasiIzaki Ай бұрын
Bwana yesu apewe sifa Niko luvuma ubalikiwe mchungaji kalibu luvuma
@FurahaCiza
@FurahaCiza 2 ай бұрын
Amen amen
@peninahkariuki4679
@peninahkariuki4679 2 ай бұрын
Ameen 🇰🇪
@AnnWanjiru-ic1td
@AnnWanjiru-ic1td 2 ай бұрын
Ameni, ameni🙏🏾
@YohanaWagana
@YohanaWagana 2 ай бұрын
Sawa kabisa
@anglestinailungu9252
@anglestinailungu9252 Ай бұрын
Mtumishi niombee Kuna vitu viko kwenyemgogo na mabega na mguu
@JaneDoe-hf3zy
@JaneDoe-hf3zy 2 ай бұрын
Ameeni
@phanicekhavere
@phanicekhavere 2 ай бұрын
Eee kumbe Malawi ni waswahili ? Mungu awabariki ubarikiwe sana mchungaji
@simonnsengiyumva1000
@simonnsengiyumva1000 2 ай бұрын
From Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@EdsonSamwel-p4k
@EdsonSamwel-p4k 2 ай бұрын
Tuko pamoja mtumishi tupelekee injili nyumbani kigoma wamekumic kigoma
@dorcusmuania9629
@dorcusmuania9629 7 күн бұрын
Niombee nifunguliwe niwe kama ww nko kenya
@jotafungo4622
@jotafungo4622 2 ай бұрын
Fix
@LindaJohn-fy1in
@LindaJohn-fy1in 2 ай бұрын
Acha kunyoa kiduku mitindo ya kidunia mchungaji samahani kama nitakosea
@andrewmhagama9816
@andrewmhagama9816 2 ай бұрын
Usiwe kama farisayo na masadukayo Unaosha kikombe nje wakati ndani ni kichafu au unapaka chokaa makaburi kwa nje wakati ndani ni mifupa inayonuka..Tafuta Neno
@Jesusisaking1
@Jesusisaking1 2 ай бұрын
Jamani wapendwa mnaona andika comment ni Mungu na mungu!
@SamoraTabaga
@SamoraTabaga 2 ай бұрын
Kazinjema mchungaji katekela, naomba kuuliza kwanini uliandika alahu akibaru kwenye shuka, Hilo neno ulimaanisha nini wakati umeenda kuloga?
@HellenDana
@HellenDana 2 ай бұрын
Sababu huwezi kuwa mganga au mchawi bila kuslimu kiislamu na usome lugha ya majini ambayo ni kiarabu
@AgnessMpanduka-l5g
@AgnessMpanduka-l5g Ай бұрын
Mungu anaeitwa Allah wa waislam ndio anatumika na Waganga na wachawi huwezi kusikia kwa jina la Yesu kwa Mganga wa kienyeji, wenyeuwezo huo wakutumia jina la Yesu ni Freemasons ndio wananguvu ndio hawa Manabii wa michango wameandikwa mpaka kwenye Biblia.
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur
@SmilingBulldogPuppy-nb9ur 2 ай бұрын
Ivi kwanini lugha za kiarabu na kiislamu zinatumika sana na wachawi?
@SamoraTabaga
@SamoraTabaga 2 ай бұрын
Yasi nataka na Mimi kujua hapo
@HalimaPaskal
@HalimaPaskal Ай бұрын
Hata me nataka kujua audhu billah minashetani rajim inatumika kwa waislim na huko kwa wachawi initumika???
@AgnessMpanduka-l5g
@AgnessMpanduka-l5g Ай бұрын
@@HalimaPaskal Lazima itumike bila hivyo huwezi kuita Majini hasa ya Kiarabu ndio yanatumika sana kwa waganga na wachawi.
@ruthmwamburi756
@ruthmwamburi756 Ай бұрын
Amen
@jannetteanzemo3280
@jannetteanzemo3280 2 ай бұрын
Amiiina.
@YohanaWagana
@YohanaWagana 2 ай бұрын
Sawa kabisa
@BONIFACEBIDA
@BONIFACEBIDA 2 ай бұрын
Mch ubarikiwe sana karibu shinyanga huku anga bado zito tunakuitaji sana
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН
Não sabe esconder Comida
00:20
DUDU e CAROL
Рет қаралды 54 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,7 МЛН
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00
EVA mash
Рет қаралды 2,2 МЛН
NGUVU YA NAFSI|UKOMBOZI NA MAMLAKA YA KUZISHINDA|Mch Amiel Katekella
1:05:57
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН