Simple and clear Muheshimiwa Jerry Slaa umeongea Kweli kabisa, ila ninachokiona mimi, baadhi ya watu wenye pesa huamini pesa zao zinaweza kufanya lolote tena kwa njia za fupi , , sasa ni wakati wa wao kupata hasara ,
@hassankajembe41189 ай бұрын
Huyu wazur ni kichwa sana,,anajua kazi yake hongera sana
@nasirmohamed15894 ай бұрын
Alafu ana heshima sana anamuiheshimu kila mtu
@hanifamziray2774 ай бұрын
Allah akufanyie wepesi pole masawe kwa kununua eneo la bakwata dhambi kubwa sn
@dignakanje45089 ай бұрын
Mungu akupiganie kaka mweshimiwa.Hyo mambo yanafanywa sana kupokonya hki zawatu.Viwanja vinabadilushwa mtu anapewa hti tena orgno,naukifatilia utapiga mguu mpka uchoke.
@BJMKANGALA19 ай бұрын
Asante Mkuu. Umesimama katika ukweli na haki. Umerudisha mali ya Ndugu zetu Waislamu mikononi mwao. Mungu azidi kukuongoza katika utekelezaji wa majukumu yako!
@kilogreekachananawatuwasio40545 ай бұрын
Waziri silaa wewe na makonda matajili wanachuki sana kwenu lakini mungu Atawalinda yupo na nyinyi ☝️☝️🤲🤲❤️❤️
@nasirmohamed15894 ай бұрын
Kabisa kabisa waendelee mbele mungu atawatangulia
@safiaothman51754 ай бұрын
Aamiin
@AbdulmalikFedrick-ct7nb7 ай бұрын
Alha akufanyie wepesi inshallah Kwenye uongozi wako ❤ Rais wangu Samia umepata wazili Safi kabisa
@respiciusndyanabo3669 ай бұрын
I love you Wewe waziri makini sana
@rosehaule67659 ай бұрын
Very good in deed❤
@hamzakimaro37649 ай бұрын
SLAA HUKO BAKWATA KUMEJAA MATAPELI WATUPU!!
@nasirmohamed15894 ай бұрын
Alafu huyu waziri mbali na kutenda haki kila siku ana heshima sana pia
@user-ur4rx1lr6l9 ай бұрын
Huyo alijichanganya alinunua hewa
@abdirizakibrahim19759 ай бұрын
Huyu ni moja ya mzalendo katika Taifa letu MUNGU amlinde kijana huyu na akipata madaraka makubwa huyu ujanja ujanya kwishaaa
@awadhally10524 ай бұрын
Kwel kabisaaa
@shabanponera28955 ай бұрын
Waziri anza na wizarani kuna wafanyakazi sio waaminifu
@rashdiyange77585 ай бұрын
SIJAWAI ONA WAZIRI WA ARDHI MWENYE AKILI NYINGI KAMA UYU DAAAA MAMA UME PATA MTU WALAH UNA KUJA KWAPUPA UNAONDOKA KIWA MPOLE WALIJUA SLAA KAWEKWA LABDA AJUI CHOCHOTE OGOPA SANA MTU ANAE KWAMBIA ANYWI POMBE ATOK KWAKE MDA MWINGI ANAPATA MADIN YA KUWABANA KINA MZEEE MASAWE
@rashdiyange77585 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-sj3wf5vz7l3 ай бұрын
Anaelewa sana. Na wenye makosa wanaelewa makosa yao. Simple kabisa
@user-oh6pc7zd4s5 ай бұрын
FIDA HUSSEIN HUKU DAR NI TAPELI MKUBWA WA NYUMBA ZA WANYONGE NA VIWANJA VYAO
@salumjumaruhaga25137 ай бұрын
Yaani huwafuuata wale wenye njaa na kuwa danganya
@HamduniAbdulrazaki-wl5lg4 ай бұрын
Nakuwelewa Sana Jeri slaha
@mpindafamily14964 ай бұрын
jamani wazili sio msemaji wa mwisho .mahakama ndio wenye uwamuzi wa mwisho
@awadhally10524 ай бұрын
We mjinga kwel mahaka Wakipewa rushwa hawatendi haki anavo fanya wazir ndo sawa
@ismailabbas41974 ай бұрын
@@awadhally1052jinga hilo halijuwi kama mahakama ndio husababisha hii migogoro
@salumjumaruhaga25137 ай бұрын
Duuu kwelii wewe ni kamanda
@shabanihugo83329 ай бұрын
Piga kazi
@BilalShingwa6 ай бұрын
Unatakiwa. Uwe waziri. Hadi kufa kwako. Usibadilishwe majukumu
@ismailabbas41974 ай бұрын
Na Urais agombee 2030 anastahili kuwa kiongozi mkubwa wa juu serikalini
@user-ps7kv7lp4m7 ай бұрын
Mh huyu nikiongozi
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Tembea kama makonda usikilize wananchi
@user-fv4zw5ki3x4 ай бұрын
Mungu amekutuma kwa wanyonge
@emmanuelmlowe-ew7gx5 ай бұрын
Aina yamakonda itatusaidia sana
@salummussa98717 ай бұрын
Slaaa kijana wewe ni mrema,, sokoine,, magufuli ,,
@zariadunia63284 ай бұрын
Viongozi wetu wa dini mungu anawaona
@mussakiligaliga43484 ай бұрын
Mheshimiw kumbuka uwanja wa bakwata pale uwanja wa bakwata
@godfreymbwambo44609 ай бұрын
MANGI PAMOJA NA UJANJA WAKE KAINGIZWA MJINI!
@salumjumaruhaga25137 ай бұрын
Shida huwafuata wale wenye njaa na kuwa danganya
@Skyboyofficial614 ай бұрын
Wakili njaa huyo nayy apigwe ndan
@MohamedKinega-jt4vi7 ай бұрын
Mbona hvyo viwanja vya taasisi kimojawapo ni kile cha lango la jiji kilichopo barabara ya kigogo hapo mikumi kwani kina kesi ya taasisi kinataka kiwanja chao lakini majibu ya kesi hayaendi kwenye haki
@YaeLondon-xy7sh9 ай бұрын
Karatu Bibi yangu tajiri kununua kiwanja Kwa kijani wa Bibi yangu tunaomba msaada wako maana Kamishina wako na viongozi wa wilaya ndo wanaoo zulumu
@NOORMOHAMED-sg9lo9 ай бұрын
Bakwata na juwakita vitu 2 tafauti. Halafu mbona mnaleta uwajibikaji wa viongozi kama ni habari? Mmekuwa hamna nidhamu kabisa. Nchi hii imekosa nidhamu
@furahamwaseba79109 ай бұрын
Mkuu tembelea na mkoa wa manyara hapa babat watumishi niwajeur wanazulumu maeneo ya watu tunakuomba maeneo ya makatanini
Waislm wa Bakwata wanajiita viongozi ni wezi hawataki kufanya kazi
@geraldemanuel36139 ай бұрын
Mfanyakazi wetu uje na Arusha urudishe eneo la azimio arusha sakina ccm wamechukua
@hajjisanga7897 ай бұрын
Sio serekali ya dini fulani yeye ni kazi yake uwe mkiristo au muislam kama ni kiongizi unafata sheria hata kama ni baba au mama ndugu zako kwahiyo suala kuwa mkiristo au muislam halina nafas
@angellomarcel56776 ай бұрын
Slaa wewe ni JEMEDALI wa VITA
@user-iw5hu3mc7l5 ай бұрын
Usghasema masawe mwizi tu huyo
@sciencesocietyoftanzania59574 ай бұрын
Inamaana hujasikia kauziwa na Abubakari?
@paulmushi24289 ай бұрын
Waziri Mkristo kaokoa Mali ya Waislamu tena kutoka Kwa Mkristo mwenzake, wasivyo na shukrani kesho kutwa utakuta Waislamu hao hao wanamshutumu Waziri.
@fatumasukwaju2269 ай бұрын
Kazi unayo .uislam unakukeleketa haswa.karibu ktk dini ya haki ujachelewa.
@hilmialiomar19839 ай бұрын
Acha uchochezi
@andrewkissavah82729 ай бұрын
Hakuna dini ya haki bali ni dini ya hasara ,viongozi wa hasara kama hawa wa uza bandari ,mbuga za loliondo na kuwaondoa wa masai katika aridhi yao
@hassankajembe41189 ай бұрын
Wew paulmushi ni mpumbavu sana,,huyo Wazir hakufuata uduni hapo!!amefuata haki na sheria!!Rudi darasan hauna kitu kichwani mjinga wew
@hassankajembe41189 ай бұрын
Mnawaza udini udini!!hiyo Elimu ya dini yako unayo kichwani!!inakufundisha nn dini yako!!?nin hekima,busara, heshima,na unyenyekevu!?some vitabu vya dini Kisha muijue dini ni Ipi?!ndipo mtoe maoni yenu...ni aibu..sana.dini dini dini,unaelimu yakutosha kuhusu hiyo dini yako!??
@beatricemush9 ай бұрын
HAKIKA BWANA ABUBAKARI KWA ITAPELI HUO MTAFUTE BWANA MASSAWE ILI UMRUDISHIE GHARAMA ZAKE.