WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI BAADA YA JAMAA KUTAKA KUJIUA KWA SUMU "WAMENIONEA"

  Рет қаралды 73,363

Millard Ayo

Millard Ayo

2 ай бұрын

Пікірлер: 151
@hildajoel5
@hildajoel5 2 ай бұрын
Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 2 ай бұрын
Mungu akuepushie hayo mawazo mabaya aisee na wote waliokosa majibu na utatuzi wa matatizo yao😢
@kulwankuba2785
@kulwankuba2785 2 ай бұрын
Makonda na huyu mkuu silaa mungu awasimamie katika maisha yenu.
@augustinesombi6285
@augustinesombi6285 2 ай бұрын
Utendaji kazi wa Mh. Jerry na Rc Makonda, naomba watumishi muige,, tuache kujijali wenyewe kwa mamlaka tuliyopewa, kuna kifo na hukumu, tusisahau.
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 2 ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽
@johasaeed391
@johasaeed391 2 ай бұрын
Aisee kwakweli nimelia
@audaxbizimana8084
@audaxbizimana8084 2 ай бұрын
Duuuh huyu waziri mbona naona huruma😢😢😢😢😢 Mungu Baba wa Mbinguni Akutunze MHESHIMIWA❤❤❤❤
@user-kf9pu3cl9g
@user-kf9pu3cl9g 14 күн бұрын
Yaani mama Sania Rais wetu mpendwa hakika Mungu akubariki, akusamehe mapungufu yote kama mwanadamu akulinde uendelee.kutuongoza mama. Kama kuna faraja umetupatia ni outuletea kijana mh. Waziri Silaa waziri wa Ardhi na makazi. Kijana msomi, mnyenyekevu, muungwana mwenye hofu ya Mungu.na nchi pia. Barikiwa mama tunakupenda, Barikiwa Silaa tunawaombea. Endele3ni iuwatetea watanzania.
@rehemaadam4102
@rehemaadam4102 2 ай бұрын
Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭
@christainc.5217
@christainc.5217 2 ай бұрын
Mutafute makonda kaka atakusaidiy
@susanwambui6361
@susanwambui6361 2 ай бұрын
Kazi nzurii mhesimiwa👏👏
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 2 ай бұрын
Muheshimiwa M/MUNGU akulinde sana na aendelee kukupa hekima uliyonayo kazi njema
@vickyshayo7880
@vickyshayo7880 Ай бұрын
Jerry kaletwa Na Mungu tuendelee kumuomba jamani pole Sana mwanangu kwa kweli umeumia
@mwanakombopopo5117
@mwanakombopopo5117 2 ай бұрын
Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia
@neemanziku5403
@neemanziku5403 2 ай бұрын
Hongera Sana jerr silaa tunakupenda mno Mungu akutunze
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 2 ай бұрын
Feel his pain 💔 😢👏 pole sana kaka
@user-sx1xi4yb2z
@user-sx1xi4yb2z 2 ай бұрын
Waziri hongera na mungu akubariki,,, Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu, Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,, Baba tunaomba uje kibaha jamani,,
@muniraahmed624
@muniraahmed624 2 ай бұрын
Asee imeniumaaaa Sanaa nimeliaaa ma mm 😢😢😢 huyu jamaa namfaham anauza cheni pale stendi
@mr.yahzadochuno7914
@mr.yahzadochuno7914 2 ай бұрын
I love this man
@ElihurumaThomas-kz8nq
@ElihurumaThomas-kz8nq 2 ай бұрын
JERRY SLAA NI KIONGOZI MZURI MUNGU AMPE NAFASI KUBWA ZAIDI KATIKA NCHI YETU
@malietamaliet
@malietamaliet 2 ай бұрын
Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏
@user-cb5zb3fy8y
@user-cb5zb3fy8y 2 ай бұрын
MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ
@janetchinga695
@janetchinga695 2 ай бұрын
Nakombea waziri Stra mungu akulinde baba uishi myaka mingi usizeke akaraka ufanyekazi apaduniani ❤❤❤❤ from Capetown South Africa
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 2 ай бұрын
Dah jamaa kanifanya mpaka na mm nalia
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 2 ай бұрын
Huku Zanzibar hakuna viongozi kama Hawa why kwel zenji si nchi zuluma tupu huku #
@Natashawaziri-bv2xl
@Natashawaziri-bv2xl 2 ай бұрын
Wallah tunaumizwa sana ktk hili
@fatmamati5246
@fatmamati5246 2 ай бұрын
Allah akubarik muheshimiwa na akulinde na kila hatua unayo piga amiin
@boniventurehussein7276
@boniventurehussein7276 2 ай бұрын
Makonda kuja Arusha tunashukuru jer slaa pia Mungu akulinde tunanyanyasika
@StellaWaillu
@StellaWaillu 2 ай бұрын
Mungu akulinde mh Jerry
@THOMASMAYOGU-vu5ny
@THOMASMAYOGU-vu5ny Ай бұрын
Hongera sillaa❤❤❤❤❤
@Josephineexsuper
@Josephineexsuper 2 ай бұрын
Pole sana kaka...Arusha Kuna maumivu sana...mh.waziri Rudi umalizie kiporo Cha clinic. KUMBUKA ulituahidi...tuna maumivu makubwa sana
@njuka3515
@njuka3515 2 ай бұрын
Huo ndio uongozi sio ule wa kukaa kwenye viti ofisini
@ruthleonard2958
@ruthleonard2958 Ай бұрын
Nimelia jaman.. Dah katika yote Mungu yupo
@naigeorge7765
@naigeorge7765 2 ай бұрын
MUNGU akutunze Mh.waziri.Tunakuombea
@safiaothman5175
@safiaothman5175 2 ай бұрын
Pole kaka Mwenyezi Mungu yupo nawe.
@JescaMuyabi-ix8ly
@JescaMuyabi-ix8ly 2 ай бұрын
Pole Sana
@RASHIDMOHAMMEDI
@RASHIDMOHAMMEDI 2 ай бұрын
Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu
@mwantumuhassani5086
@mwantumuhassani5086 2 ай бұрын
❤ mwenyezi mungu akulinde silaha
@ahmesaofficial9611
@ahmesaofficial9611 Ай бұрын
Mitaaa ya kibaha (kidimu) piaa wananchi wanateseka na masuala ya Ardhi
@eddietaxidriverzanzibar4395
@eddietaxidriverzanzibar4395 2 ай бұрын
Hii Safyy MuheshmiW 🔥🔥🔥👏👏
@MonicaDamsoniMonikaDamsoni
@MonicaDamsoniMonikaDamsoni Ай бұрын
Mungu akubari sana kaka
@OllerDesononline6333
@OllerDesononline6333 Ай бұрын
Kaka Allah akulinde n wakuache ktk kitengo hicho hicho. Naimba serikali kwahlo. Insha'Allah
@neemaneychricious6493
@neemaneychricious6493 2 ай бұрын
daaah mwanaume mpka alie ameumiaa kwel mwenyew mpka nimelia daaah pole sana broo na mweshimiw hii ndio talantaa umepew na Mungj na Mungu akutetee piah
@suleymanimixkatafighter2669
@suleymanimixkatafighter2669 2 ай бұрын
Mh silaa nafanya kazi nje,ma sanaa ameokoa uhai wa kijana
@eddytheophil7626
@eddytheophil7626 2 ай бұрын
Pole sana brother..
@SaadiyaMohammad-og5bg
@SaadiyaMohammad-og5bg 2 ай бұрын
Goog wazire hakee huyo bro amitowa machozia apatea hakee yake naww wazire mungu takulipa
@rewardyesse7314
@rewardyesse7314 2 ай бұрын
Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini
@fifo262
@fifo262 2 ай бұрын
Mungu tusaidie na ugumu huu wa maisha tunaopitia
@paulinakiria7918
@paulinakiria7918 2 ай бұрын
Huyu kaka ameongea Kwa uchungu
@PASCHAL-kh8qp
@PASCHAL-kh8qp 2 ай бұрын
Kazi nzurii mheshimiwa wazir
@johasaeed391
@johasaeed391 2 ай бұрын
Jamani 😢😢😢😢😢😢😢 uwiiiii nakufa kwa uchungu nilivyo hapa nataabika kutfuta pesa nimalize nyumba yangu alafu nizulumiwe jamani inauma sana
@MrishoHussein-oz9nr
@MrishoHussein-oz9nr 2 ай бұрын
Mh mmungu akulinde maana kupambana na manyangau kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mmungu utashinda vita hivi
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 2 ай бұрын
Hapa paul makonda pale jerry silaa wee spana watakula wale wezi na wapenda rushwa
@christaoman8890
@christaoman8890 2 ай бұрын
Kwa kweli muheshimiwa Silaa kwapamoja muendelee kuungana na Makonda ili muwanyooshe mabepari na makabaila yanayodhulumu mali za watu
@user-kt1vy1wf7d
@user-kt1vy1wf7d 2 ай бұрын
Ooh lord, it's so painful, but God is good
@user-gr6wb9oq1n
@user-gr6wb9oq1n 2 ай бұрын
Uyu ndo magufuli wapili nazani watu sahi Bado wapo
@user-vf5gs7ik7w
@user-vf5gs7ik7w 2 ай бұрын
Kbs
@judyngowi391
@judyngowi391 2 ай бұрын
Tuwaombee sasa hawachelewi kuwaondoa
@LeonardChacha-it2pb
@LeonardChacha-it2pb 2 ай бұрын
Jaman viongozi mjitathimin dhambi mbaya sana hiz,
@denisrukangula2227
@denisrukangula2227 Ай бұрын
Ukiona mwanamume analia ujue kaumia sana
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 2 ай бұрын
Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge
@thomastemu3332
@thomastemu3332 2 ай бұрын
Inauma 😢jamani mungu akutie nguvu waziri wangu
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 2 ай бұрын
Aise dah! Inauma sana
@mswadikinamambo2276
@mswadikinamambo2276 2 ай бұрын
Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi
@user-yp8vt8ni8e
@user-yp8vt8ni8e 2 ай бұрын
Najiuliza maswali mengi sana Ivo chain ile inafanana nini hawajui wajibu wapi au
@frankazalia5985
@frankazalia5985 2 ай бұрын
Polèe sanaaa aseeee
@ajaykilawah2622
@ajaykilawah2622 2 ай бұрын
Imargin slaaa waziri mkuu na makonda raisi wanchi😅😅
@LudovickTibakyenda-gs2wh
@LudovickTibakyenda-gs2wh 2 ай бұрын
Makonda waziri Mkuu, Jerry Rais
@abedysteven4930
@abedysteven4930 2 ай бұрын
Aisee ila haya maisha bana Kama Huna pesa 2tateseka xana dah😭😭😭
@MagdalenaMatiko
@MagdalenaMatiko 2 ай бұрын
Mungu hajaruhusu kifo chako
@honoratusmodest285
@honoratusmodest285 2 ай бұрын
Mimi nimezulumiwa eneo langu lindi jelii njoo lindi
@fifo262
@fifo262 2 ай бұрын
Da ! Mambo magumu
@user-pd1kt3xr3s
@user-pd1kt3xr3s 2 ай бұрын
Yaani inauma sn uje na dar es salaam mkoa wa pwani kibaha uku niatari mh
@mohamedkitemwe3569
@mohamedkitemwe3569 2 ай бұрын
Inaumiza sana
@zabibubashiri3034
@zabibubashiri3034 2 ай бұрын
Daah nnamwelewa huyu kaka tunatafuta kwa shida sana mtu kujakukupora ulichokipambania mhm
@reginamtitu5592
@reginamtitu5592 2 ай бұрын
Ayo TV nawapenda sana naomba na mimi mnisaidie mimi na mme wangu tunateseka tunaishi kwashida naomba mnisaidie
@giftyjohn3852
@giftyjohn3852 2 ай бұрын
Haya mambo ya kisenge kisenge tutakuja kuuana siku moja😭
@babazungu3180
@babazungu3180 2 ай бұрын
Tatizo letu sis watanzania hatupendan kabisa roho mbaya ndiyo inatumiuumiza sn
@user-cz5oy1od5d
@user-cz5oy1od5d 2 ай бұрын
Nchi ya mateso tupu, Jumatatu hadi Jumapili. January mpaka December.
@kamrudinelias3922
@kamrudinelias3922 Ай бұрын
2025 nje nje au!!!!!
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 2 ай бұрын
Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick. Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara. Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 2 ай бұрын
Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 2 ай бұрын
Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 2 ай бұрын
Akili za kufikiri ujinga 😢😢
@Natashawaziri-bv2xl
@Natashawaziri-bv2xl 2 ай бұрын
Daaah
@chany9950
@chany9950 Ай бұрын
Nimejikuta naria 😭😭 pore baba🙏🏾
@MariaChiwaligo
@MariaChiwaligo 2 ай бұрын
Hata cc shamba letu limeuzwa kitapeli .. cijui nampataje
@NixonJohnson-zn8nk
@NixonJohnson-zn8nk Ай бұрын
Mimi sijiui nitaua... Weeee mtu asiniletee umwamba nitampotesa ili na Mimi nipotee sio nipotee ni la wao
@SKY-fk3fz
@SKY-fk3fz 2 ай бұрын
Arusha kumezidi kwa dhulma
@EsterMbise-pj4vd
@EsterMbise-pj4vd 2 ай бұрын
Jamani huu ni wakati wa mungu kuwasaidia watu mungu aendelee kuwalinda jamanimsaidie watu
@KassianChengo
@KassianChengo 2 ай бұрын
Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.
@jareengeorge5478
@jareengeorge5478 2 ай бұрын
Hao watu Mungu awalaani.wanaoumiza watu.
@dr.phormenykishaija6508
@dr.phormenykishaija6508 2 ай бұрын
Da😪
@imanimussa6256
@imanimussa6256 2 ай бұрын
Watu km huyu wazir hawakushuka tu bali ni malezi mazur na utu wa wazee wake Mungu atuekee kizazi hichi chema
@ArafaJafari
@ArafaJafari 2 ай бұрын
Dah 😢😮
@barakadaprince3742
@barakadaprince3742 2 ай бұрын
So painful 💔 😢
@Allybinamour
@Allybinamour 2 ай бұрын
nataman huyu wazir angekua mzanzibar akafanya kazi huku
@ChemworldTV
@ChemworldTV 2 ай бұрын
Nyi wazanzibar mbona naona mambo yenu yanaenda vizuri tu... huku kwetu ndo hatari sana
@teddyndungurusabnu4792
@teddyndungurusabnu4792 2 ай бұрын
hapa Paul makonda,, pale jerry siraha we huogopii😅
@FaridaKaduguda
@FaridaKaduguda 18 күн бұрын
Duuu sasa sisi huko kigoma tumedhulumiwa. Na hatujui tuanzie wapi?
@stevenemwakasimba-pt8er
@stevenemwakasimba-pt8er 2 ай бұрын
Msihamishe huyu kijana yupo serious sana kwenye hii wizara ya ardhi
@Zainab-sq1tc
@Zainab-sq1tc 2 ай бұрын
Yaaan nch yetu jomon dhuruma kila kona
@mariamdullazy8166
@mariamdullazy8166 2 ай бұрын
😢
@BaltazarSavinndowo
@BaltazarSavinndowo 2 ай бұрын
😂 MUNGU mwema sana
@frankdablacknation2057
@frankdablacknation2057 2 ай бұрын
Mungu ndio tumaini la mioyo yetu na si kitu aina chochote
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 2 ай бұрын
😢😢😢😢
@e.mwaipasitv8088
@e.mwaipasitv8088 2 ай бұрын
Duuuu Hakika Haki ni Haki
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 2 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭
@SayiMadaha-fq7tu
@SayiMadaha-fq7tu 2 ай бұрын
Mm napongeza wote mulio mupongozi wazir huyu
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 2 ай бұрын
Huyu jamaa kitaifa yuko vzur kijimbo yuko hovyo kabisa namfananisha na harson mwakyembe wa kyela zamani
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 120 МЛН
World’s Largest Jello Pool
01:00
Mark Rober
Рет қаралды 111 МЛН
Идеально повторил? Хотите вторую часть?
00:13
⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Рет қаралды 10 МЛН
FULL SPEECH: Donald Trump speaks before the NABJ in Chicago
36:28
FOX 32 Chicago
Рет қаралды 380 М.
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 120 МЛН