Kuna nyakati unaweza kupita kama huna mtu sahihi wa kuongea nae haki unaweza kufanya maamuzi ya ajabu. Huyu kaka alifika mwisho wa akili yake ya kawaida ni nadra sana kumuona mwanaume analia hivyo mbele za watu.Uchungu aliobeba ni mzito.Mwenyez Mungu tujalie kila mwenye changamoto iliyomzidi uwezo amuonyeshe neema na njia ya kupita iliyo sahihi.Haya maisha yana mambo mengi sana😢Nyumba amejenga zaidi ya miaka 19 inavunjwa kimakosa na watu hawana habar aiseee😢😢😢
@subrynerysegerow13232 ай бұрын
Mungu akuepushie hayo mawazo mabaya aisee na wote waliokosa majibu na utatuzi wa matatizo yao😢
@kulwankuba27852 ай бұрын
Makonda na huyu mkuu silaa mungu awasimamie katika maisha yenu.
@augustinesombi62852 ай бұрын
Utendaji kazi wa Mh. Jerry na Rc Makonda, naomba watumishi muige,, tuache kujijali wenyewe kwa mamlaka tuliyopewa, kuna kifo na hukumu, tusisahau.
@joycekisamo48962 ай бұрын
Hongera sana Mheshimiwa kwa kufanya kazi zako kwa moyo wako wote, kutumia taalama, na kwa kufuata haki. Umejaliwa usikivu, na hiyo inakusaidia sana. Kila la kheri 🙏🏽
@johasaeed3912 ай бұрын
Aisee kwakweli nimelia
@audaxbizimana80842 ай бұрын
Duuuh huyu waziri mbona naona huruma😢😢😢😢😢 Mungu Baba wa Mbinguni Akutunze MHESHIMIWA❤❤❤❤
@user-kf9pu3cl9g14 күн бұрын
Yaani mama Sania Rais wetu mpendwa hakika Mungu akubariki, akusamehe mapungufu yote kama mwanadamu akulinde uendelee.kutuongoza mama. Kama kuna faraja umetupatia ni outuletea kijana mh. Waziri Silaa waziri wa Ardhi na makazi. Kijana msomi, mnyenyekevu, muungwana mwenye hofu ya Mungu.na nchi pia. Barikiwa mama tunakupenda, Barikiwa Silaa tunawaombea. Endele3ni iuwatetea watanzania.
@rehemaadam41022 ай бұрын
Mdogo wangu Silaa Mungu akubariki kwa upendo wako mimi nilizurumiwa eneo langu la biashara Mikumi na mama mmoja wa kichaga na nilimshinda kesi Mahakama ya Rufaa Kilosa kwa pesa yake nikanyinwa haki yangu😭
@christainc.52172 ай бұрын
Mutafute makonda kaka atakusaidiy
@susanwambui63612 ай бұрын
Kazi nzurii mhesimiwa👏👏
@jumapiliissa48352 ай бұрын
Muheshimiwa M/MUNGU akulinde sana na aendelee kukupa hekima uliyonayo kazi njema
@vickyshayo7880Ай бұрын
Jerry kaletwa Na Mungu tuendelee kumuomba jamani pole Sana mwanangu kwa kweli umeumia
@mwanakombopopo51172 ай бұрын
Duh paka machozi yanitoka 😭😭😭 ya Allah tuhurumie waja wako hasa ss wanyonge na atujalie kupata tutakacho weza kunitumia kwa njia ya haki sio chakudhumu watu wasio na atia
@neemanziku54032 ай бұрын
Hongera Sana jerr silaa tunakupenda mno Mungu akutunze
@ireneimbuhira77592 ай бұрын
Feel his pain 💔 😢👏 pole sana kaka
@user-sx1xi4yb2z2 ай бұрын
Waziri hongera na mungu akubariki,,, Naomba uje na kwetu kibaha,,,kata ya kidimu, Tumezuiwa kujenga ili kupisha ujenzi wa bara bara nane,,miaka Sasa imepita,,Hadi tuna zeeka,Kila siku tunapigwa tarehe tuu ya kulipwa pesa zetu za fidia,, Baba tunaomba uje kibaha jamani,,
@muniraahmed6242 ай бұрын
Asee imeniumaaaa Sanaa nimeliaaa ma mm 😢😢😢 huyu jamaa namfaham anauza cheni pale stendi
@mr.yahzadochuno79142 ай бұрын
I love this man
@ElihurumaThomas-kz8nq2 ай бұрын
JERRY SLAA NI KIONGOZI MZURI MUNGU AMPE NAFASI KUBWA ZAIDI KATIKA NCHI YETU
@malietamaliet2 ай бұрын
Nyie nimejikuta nalia jmn 😢bduuh hii Dunia mwenyezi Mungu atusaidie aki pole kaka etu baba etu alifariki 2003 akatuacha na mama pekee ndugu zake wakachukua Kila kitu mashamba alikua na maboti wakachukua ila adi sai Mwenyezi Mungu kamsaidia mama angu adi kutufikisha apa azid kumpa maisha marefu mama angu mzazi 🤲🙏 amen 🙏
@user-cb5zb3fy8y2 ай бұрын
MAMA etu SAMIA Hawa ndo mawaziri wakuwakumbatia na watakao kuvusha. Achana na mawaziri wale wenye swager nyiingi mdomoni lkn hawana uchungu na mateso wanayo pitia wa TZ
@janetchinga6952 ай бұрын
Nakombea waziri Stra mungu akulinde baba uishi myaka mingi usizeke akaraka ufanyekazi apaduniani ❤❤❤❤ from Capetown South Africa
@mahmoudhamisi6732 ай бұрын
Dah jamaa kanifanya mpaka na mm nalia
@ashuramuhammed32572 ай бұрын
Huku Zanzibar hakuna viongozi kama Hawa why kwel zenji si nchi zuluma tupu huku #
@Natashawaziri-bv2xl2 ай бұрын
Wallah tunaumizwa sana ktk hili
@fatmamati52462 ай бұрын
Allah akubarik muheshimiwa na akulinde na kila hatua unayo piga amiin
@boniventurehussein72762 ай бұрын
Makonda kuja Arusha tunashukuru jer slaa pia Mungu akulinde tunanyanyasika
@StellaWaillu2 ай бұрын
Mungu akulinde mh Jerry
@THOMASMAYOGU-vu5nyАй бұрын
Hongera sillaa❤❤❤❤❤
@Josephineexsuper2 ай бұрын
Pole sana kaka...Arusha Kuna maumivu sana...mh.waziri Rudi umalizie kiporo Cha clinic. KUMBUKA ulituahidi...tuna maumivu makubwa sana
@njuka35152 ай бұрын
Huo ndio uongozi sio ule wa kukaa kwenye viti ofisini
@ruthleonard2958Ай бұрын
Nimelia jaman.. Dah katika yote Mungu yupo
@naigeorge77652 ай бұрын
MUNGU akutunze Mh.waziri.Tunakuombea
@safiaothman51752 ай бұрын
Pole kaka Mwenyezi Mungu yupo nawe.
@JescaMuyabi-ix8ly2 ай бұрын
Pole Sana
@RASHIDMOHAMMEDI2 ай бұрын
Mwenye kujua njia ya kumpata muheshimiwa naomba connection yake please sababu hata sisi na familia yetu tumezurumiwa vya kutosha na tunatamani tupate haki zetu
@mwantumuhassani50862 ай бұрын
❤ mwenyezi mungu akulinde silaha
@ahmesaofficial9611Ай бұрын
Mitaaa ya kibaha (kidimu) piaa wananchi wanateseka na masuala ya Ardhi
@eddietaxidriverzanzibar43952 ай бұрын
Hii Safyy MuheshmiW 🔥🔥🔥👏👏
@MonicaDamsoniMonikaDamsoniАй бұрын
Mungu akubari sana kaka
@OllerDesononline6333Ай бұрын
Kaka Allah akulinde n wakuache ktk kitengo hicho hicho. Naimba serikali kwahlo. Insha'Allah
@neemaneychricious64932 ай бұрын
daaah mwanaume mpka alie ameumiaa kwel mwenyew mpka nimelia daaah pole sana broo na mweshimiw hii ndio talantaa umepew na Mungj na Mungu akutetee piah
@suleymanimixkatafighter26692 ай бұрын
Mh silaa nafanya kazi nje,ma sanaa ameokoa uhai wa kijana
@eddytheophil76262 ай бұрын
Pole sana brother..
@SaadiyaMohammad-og5bg2 ай бұрын
Goog wazire hakee huyo bro amitowa machozia apatea hakee yake naww wazire mungu takulipa
@rewardyesse73142 ай бұрын
Hata ningekuwa mm slaa ningelia,,ni machozi flani hivi yanakutoka baada kugundua ulifanya jambo lililobadilisha maisha ya mtu bila ww kujua,,,hotuba imeleta tumaini
@fifo2622 ай бұрын
Mungu tusaidie na ugumu huu wa maisha tunaopitia
@paulinakiria79182 ай бұрын
Huyu kaka ameongea Kwa uchungu
@PASCHAL-kh8qp2 ай бұрын
Kazi nzurii mheshimiwa wazir
@johasaeed3912 ай бұрын
Jamani 😢😢😢😢😢😢😢 uwiiiii nakufa kwa uchungu nilivyo hapa nataabika kutfuta pesa nimalize nyumba yangu alafu nizulumiwe jamani inauma sana
@MrishoHussein-oz9nr2 ай бұрын
Mh mmungu akulinde maana kupambana na manyangau kazi ngumu sana lakini kwa uwezo wa mmungu utashinda vita hivi
@ramadhanisalum38982 ай бұрын
Hapa paul makonda pale jerry silaa wee spana watakula wale wezi na wapenda rushwa
@christaoman88902 ай бұрын
Kwa kweli muheshimiwa Silaa kwapamoja muendelee kuungana na Makonda ili muwanyooshe mabepari na makabaila yanayodhulumu mali za watu
@user-kt1vy1wf7d2 ай бұрын
Ooh lord, it's so painful, but God is good
@user-gr6wb9oq1n2 ай бұрын
Uyu ndo magufuli wapili nazani watu sahi Bado wapo
@user-vf5gs7ik7w2 ай бұрын
Kbs
@judyngowi3912 ай бұрын
Tuwaombee sasa hawachelewi kuwaondoa
@LeonardChacha-it2pb2 ай бұрын
Jaman viongozi mjitathimin dhambi mbaya sana hiz,
@denisrukangula2227Ай бұрын
Ukiona mwanamume analia ujue kaumia sana
@LovelyOmbreSky-pu4jt2 ай бұрын
Hii ndiyoo tanzania ya sasa mwenye pesa anakuwa na mamlaka ya kufanya lolote lakini Kuna baaziya viongozi wachache wanajaribu lakini mmmm itakuwa ngumu sana coz wapo wachache kuokoawanyonge
@thomastemu33322 ай бұрын
Inauma 😢jamani mungu akutie nguvu waziri wangu
@ismailchibonda50052 ай бұрын
Aise dah! Inauma sana
@mswadikinamambo22762 ай бұрын
Mkuu, habari tunachangamoto ya mgogoro wa ardhi nyumba zetu zinavunjwa bila utaratibu elekezi tunamuomba mheshimiwa silaa namba zake nasisi tutoe kero zetu, matatizo ni mengi sana yanatuandama wananchi
@user-yp8vt8ni8e2 ай бұрын
Najiuliza maswali mengi sana Ivo chain ile inafanana nini hawajui wajibu wapi au
@frankazalia59852 ай бұрын
Polèe sanaaa aseeee
@ajaykilawah26222 ай бұрын
Imargin slaaa waziri mkuu na makonda raisi wanchi😅😅
@LudovickTibakyenda-gs2wh2 ай бұрын
Makonda waziri Mkuu, Jerry Rais
@abedysteven49302 ай бұрын
Aisee ila haya maisha bana Kama Huna pesa 2tateseka xana dah😭😭😭
@MagdalenaMatiko2 ай бұрын
Mungu hajaruhusu kifo chako
@honoratusmodest2852 ай бұрын
Mimi nimezulumiwa eneo langu lindi jelii njoo lindi
@fifo2622 ай бұрын
Da ! Mambo magumu
@user-pd1kt3xr3s2 ай бұрын
Yaani inauma sn uje na dar es salaam mkoa wa pwani kibaha uku niatari mh
@mohamedkitemwe35692 ай бұрын
Inaumiza sana
@zabibubashiri30342 ай бұрын
Daah nnamwelewa huyu kaka tunatafuta kwa shida sana mtu kujakukupora ulichokipambania mhm
@reginamtitu55922 ай бұрын
Ayo TV nawapenda sana naomba na mimi mnisaidie mimi na mme wangu tunateseka tunaishi kwashida naomba mnisaidie
@giftyjohn38522 ай бұрын
Haya mambo ya kisenge kisenge tutakuja kuuana siku moja😭
@babazungu31802 ай бұрын
Tatizo letu sis watanzania hatupendan kabisa roho mbaya ndiyo inatumiuumiza sn
@user-cz5oy1od5d2 ай бұрын
Nchi ya mateso tupu, Jumatatu hadi Jumapili. January mpaka December.
@kamrudinelias3922Ай бұрын
2025 nje nje au!!!!!
@karolikisaka89912 ай бұрын
Ccm hutengeneza tatizo halafu waje walitatue kupata kick. Hili eneo kesi imechukua miaka zaidi ya 30 je serikali ilishindwa kutumia busara. Kwa tulioona hili eneo kiukweli inauma sana
@joycekisamo48962 ай бұрын
Masuala ya Ardhi kuchukua miaka si ajabu. Lakini usisema tatizo limetengenezwa litatuliwe! Mheshimiwa Waziri anafanya kazi zake kwa moyo na haki. Acha kumtuhumu kwani hujui ufanyaji wake wa kazi. Jiongeze zaidi.
@nassercurtis95792 ай бұрын
Huna akili wewe mpumbavu, kila kitu ccm, huyu jamaa ni kijana na muadilifu hana njaa na hatokei kwenye njaa na kwao yeye peke yake ndio mwanasiasa, malezi na maadili mema na hofu ya Mungu ndio humpelekea kuwa hivi, ila hata makonda nae si kijana? Na kazi yake si inaonekana? Tuliwaamini wazee ndio walitufikisha hapo na wala si maswala ya chama.
@KS-iw7qv2 ай бұрын
Akili za kufikiri ujinga 😢😢
@Natashawaziri-bv2xl2 ай бұрын
Daaah
@chany9950Ай бұрын
Nimejikuta naria 😭😭 pore baba🙏🏾
@MariaChiwaligo2 ай бұрын
Hata cc shamba letu limeuzwa kitapeli .. cijui nampataje
@NixonJohnson-zn8nkАй бұрын
Mimi sijiui nitaua... Weeee mtu asiniletee umwamba nitampotesa ili na Mimi nipotee sio nipotee ni la wao
@SKY-fk3fz2 ай бұрын
Arusha kumezidi kwa dhulma
@EsterMbise-pj4vd2 ай бұрын
Jamani huu ni wakati wa mungu kuwasaidia watu mungu aendelee kuwalinda jamanimsaidie watu
@KassianChengo2 ай бұрын
Mheshimiwa kuna Eneo la Kimele kule Bagamoyo karibu na Shule ya BAOBAB kuna ukatili watu wanadhurumiwa viwanja na pesa na watu wanaojiita Kamati ya Ugawaji wanauza viwanja mara tatu,nne mpaka hata mara saba msaada wako Mheshiwiwa.
@jareengeorge54782 ай бұрын
Hao watu Mungu awalaani.wanaoumiza watu.
@dr.phormenykishaija65082 ай бұрын
Da😪
@imanimussa62562 ай бұрын
Watu km huyu wazir hawakushuka tu bali ni malezi mazur na utu wa wazee wake Mungu atuekee kizazi hichi chema
@ArafaJafari2 ай бұрын
Dah 😢😮
@barakadaprince37422 ай бұрын
So painful 💔 😢
@Allybinamour2 ай бұрын
nataman huyu wazir angekua mzanzibar akafanya kazi huku
@ChemworldTV2 ай бұрын
Nyi wazanzibar mbona naona mambo yenu yanaenda vizuri tu... huku kwetu ndo hatari sana
@teddyndungurusabnu47922 ай бұрын
hapa Paul makonda,, pale jerry siraha we huogopii😅
@FaridaKaduguda18 күн бұрын
Duuu sasa sisi huko kigoma tumedhulumiwa. Na hatujui tuanzie wapi?
@stevenemwakasimba-pt8er2 ай бұрын
Msihamishe huyu kijana yupo serious sana kwenye hii wizara ya ardhi
@Zainab-sq1tc2 ай бұрын
Yaaan nch yetu jomon dhuruma kila kona
@mariamdullazy81662 ай бұрын
😢
@BaltazarSavinndowo2 ай бұрын
😂 MUNGU mwema sana
@frankdablacknation20572 ай бұрын
Mungu ndio tumaini la mioyo yetu na si kitu aina chochote
@samiraabdimahamed44492 ай бұрын
😢😢😢😢
@e.mwaipasitv80882 ай бұрын
Duuuu Hakika Haki ni Haki
@abdallahkambangwa72152 ай бұрын
😭😭😭😭😭😭
@SayiMadaha-fq7tu2 ай бұрын
Mm napongeza wote mulio mupongozi wazir huyu
@lusajomwaipopo50422 ай бұрын
Huyu jamaa kitaifa yuko vzur kijimbo yuko hovyo kabisa namfananisha na harson mwakyembe wa kyela zamani