SIMBA SC 1-1 UD SONGO: FULL HIGHLIGHTS (CAF CL - 25/8/2019)

  Рет қаралды 815,979

Azam TV

Azam TV

5 жыл бұрын

Wekundu wa Msimbazi Simba SC wameangukia pua kwenye Ligi ya Mabingwa barani Afrika baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 na UD Songo ya Msumbiji na kutupwa nje ya michuano katika hatua ya awali.
Simba imeyaaga mashindano hayo kufuatia matokeo ya sare ya bila kufungana iliyoyapata katika mcheo wa kwanza uliopigwa wiki mbili zilizopita nchini Msumbiji, na hivyo wapinzani wao UD Songo kufuzu raundi ya kwanza kwa faida ya bao la ugenini.
Katika mchezo wa leo uliopigwa kwenye Dimba la Taifa Dar es Salaam, wageni Songo ndiyo waliotangulia kupata bao dakika ya 14 kwa free-kick kupitia kwa nahodha wao Luis Misquissone.
Simba waliongeza kasi ya mashambulizi na umiliki wa mpira huku wakifanya mabadiliko kadhaa na kufanikiwa kupata bao la kusawazisha kwa mkwaju wa penati lililofungwa na Erasto Nyoni dakika ya 87 baada ya Miraji Madenge kuangushwa ndani ya eneo la hatari.
Mara baada ya mchezo Msemaji wa Simba Haji Manara ameomba radhi huku akisema yuko tayari kuwajibika.

Пікірлер: 280
@fatumabakaribindo1820
@fatumabakaribindo1820 5 жыл бұрын
Hongereni Simba 2tukubali matokeo na 2jipange upya kutetea ubingwa wetu wa Bara .
@cosmasdickson4941
@cosmasdickson4941 4 жыл бұрын
Dah miqusone ulitusononesha sana Leo unatufurahisha sana all the best Taifa KUBWA Simba sc @2020
@isackpatrick2315
@isackpatrick2315 5 жыл бұрын
Inauma ila tumshukuru mungu kwa matokeo haya mpira unamatokeo katili ni vema tukayakubali yoyote haikuwa bahat yetu waachen tu yanga watambe ni muda wao ila mapambano bado yanaendelea ni mungu ndie ajuae sababu kwa nn tumeyapitia haya hakuna kukata tamaa na timu yetu bado ni bora na itaendelea kuwa bora SIMBA NGUVU MOJA
@nomansifaely
@nomansifaely 3 жыл бұрын
Simba timu kubwa na nzuri pia Ila matokeo haya siyo mbaya tunamshukuru Mungu tutajtahidi katika mechi zinazofuata
@isunga1964
@isunga1964 5 жыл бұрын
Simba nguvu moja kweli tumefungwa kizembe ila hatukati tamaa ipo siku tutatinga fainal never give up
@dominickallute3169
@dominickallute3169 5 жыл бұрын
This is so called simba, next level for very bad performance.
@faridisaidi3187
@faridisaidi3187 5 жыл бұрын
amati
@ombenijonathan7107
@ombenijonathan7107 4 жыл бұрын
Aisee. Imetoka hii, labda tuone mwaka kesho
@joachimligwa5424
@joachimligwa5424 4 жыл бұрын
Umefungwa wewe simba haikufungwa
@jonesmadanya4008
@jonesmadanya4008 2 жыл бұрын
@@faridisaidi3187 well
@saidasa3921
@saidasa3921 5 жыл бұрын
Naipenda Simba ❤❤❤❤
@aulilaezekiel3749
@aulilaezekiel3749 5 жыл бұрын
Mambo
@Christophermagesa1985
@Christophermagesa1985 5 жыл бұрын
Mambo
@festohamad4174
@festohamad4174 4 жыл бұрын
Mpende mmeo au mpenz wako lakin ndio isha toka
@peterjulius9332
@peterjulius9332 4 жыл бұрын
Sana mwaaaaa
@agustinosamweli5305
@agustinosamweli5305 2 жыл бұрын
Nyimbo za ngelela
@michaelathanasy35
@michaelathanasy35 5 жыл бұрын
Kiukweli mmepambana napenda kuwapongeza mungu hakuwa wetu ishara mungu yu mwema tutaendelea
@tabitajoseph7331
@tabitajoseph7331 4 жыл бұрын
Dilunga love uuu💞💞💞💞💞💞💞💞
@fatimamzee6218
@fatimamzee6218 3 жыл бұрын
Vp
@allymtumbati179
@allymtumbati179 5 жыл бұрын
Dah polen sana jilani zetu
@mahengomahengo8191
@mahengomahengo8191 3 жыл бұрын
Kagere kaupisha mpira upite
@lwitikophilipopelela1891
@lwitikophilipopelela1891 4 жыл бұрын
Wangapi tumekuja hapa baada ya Miqiussone kutua Simba?
@aishasalum2963
@aishasalum2963 4 жыл бұрын
😀😀😀😀nimefurahi
@danielmshingilwa5257
@danielmshingilwa5257 4 жыл бұрын
Lwitiko philipo pelela hahahaaa kabsa
@waziriwaziry4179
@waziriwaziry4179 3 жыл бұрын
Daa jamani hawo yanga wana jitapa tutawaona hio ijamaa pir
@wamburawarioba986
@wamburawarioba986 5 жыл бұрын
Kocha wetu anatatizo la kukaliri , manula .wawa,! viwango vyao vinatia shaka
@Damarry-FX
@Damarry-FX 5 жыл бұрын
Ushamba. Manila ana kosa gani. Kufungwa ni kawaida sana. Mbona man city, juve, real Madrid, barca wanafungwa. Huu sio muda wa kurumbana tugange yajayo.
@emanuelmabula680
@emanuelmabula680 5 жыл бұрын
Simba mpira upo simba nguvu moja
@joelezekiel9921
@joelezekiel9921 5 жыл бұрын
simba chama la sana wana hata kama tulifungwa ila naikubali sana simba
@mohammediallykaboza5862
@mohammediallykaboza5862 4 жыл бұрын
Usajili wa.huyu dogo luisi upo sahihi anajituma mungu ibariki simba
@linusrohomoja8856
@linusrohomoja8856 5 жыл бұрын
iga ufe, this is simba next level. hu hu hu hu hu
@barakakaduma8803
@barakakaduma8803 5 жыл бұрын
linus rohomoja 😂😂😂😂 eti next level
@rashidrehan7338
@rashidrehan7338 5 жыл бұрын
Kama mwana simba unapenda mpira usife moyo hata ss simba tulizifunga tim ambazo kiuwezo wa mpira kifedha wala hu2ziwezi tusishangae ila tim tunayo tim tunayo subirini mdaufike tunatim mzuri sana
@judithpaul5946
@judithpaul5946 5 жыл бұрын
Kbs
@rasvankiller8732
@rasvankiller8732 3 жыл бұрын
Tundulis
@rasvankiller8732
@rasvankiller8732 3 жыл бұрын
Mkutano wa tundulisu
@SlamaMatunda
@SlamaMatunda 5 жыл бұрын
Kwani okwi ndo nani ataangekuwepo tungefungwa mungu kapanga chamuimu tuwape moyo naso kuaza kulaumu tungeshinda mngewaponda acheni izo mashabiki wacmba mi naipenda sana smba lkn ndo mpira mbona man u juzi kafungwa kawaida la
@enockdaniel290
@enockdaniel290 4 жыл бұрын
Hiyo machine kama inatinga msimbaz tumeulamba
@ahmedtajdin9521
@ahmedtajdin9521 4 жыл бұрын
Simba ya safarii ni nomaaaaaa
@bernardchibwana1907
@bernardchibwana1907 5 жыл бұрын
mpira una matokeo 3, kwahiyo wanasimba lazima tukubali matokeo, mpira wachexaji wamepiga tena mkubwaa ila bahati haikua kwetu tujipange kwa michezo mingine.
@victordogan582
@victordogan582 5 жыл бұрын
Ifke Mahali lazma tujue huu ni mpira wa miguu unachezwa uwanjani na sio mdomoni....😂🤣🤣🤣🤣
@frankmahena7342
@frankmahena7342 4 жыл бұрын
alie ludi kumuangalia miquison tujuane
@josephkobeli8405
@josephkobeli8405 5 жыл бұрын
nabado tunawa subili ligi kuu mtawapenda yanga bureeee
@shadyahemedy1276
@shadyahemedy1276 5 жыл бұрын
yanga mbona ndondocha unazani atafika wapi yanga tuna piga sita ligikuu
@aluphonscharles1558
@aluphonscharles1558 5 жыл бұрын
bora heshima iwe mjn ingikuwa kelo
@mohamedishaibu6178
@mohamedishaibu6178 4 жыл бұрын
Wewe pimbi shekhe
@geofreysolomon5954
@geofreysolomon5954 4 жыл бұрын
Kama umekuja kumchek upya Luis like hala😂😂😂😂
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@gervacymartial7864
@gervacymartial7864 4 жыл бұрын
Huyuuu jamaa ana sifaaa San
@mefyuzimaico3200
@mefyuzimaico3200 4 жыл бұрын
Tumefungwa kizembe
@nuranzubail8134
@nuranzubail8134 3 жыл бұрын
Luiz alikuwa mweusi, bongo kuzuri
@franklugiko2071
@franklugiko2071 5 жыл бұрын
Hilo ndilo soka ndioama tunasema kwenye soka amna mwenyewe mpaka dak 90 zitimie ndio useme yako juu ya timu yako...
@cotagery1834
@cotagery1834 5 жыл бұрын
Grande uds!
@eunicejackson5636
@eunicejackson5636 5 жыл бұрын
Jamani ata mfungwe me nawapenda
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 4 жыл бұрын
hivyo
@frankgwasa4201
@frankgwasa4201 5 жыл бұрын
Kelele za kwenye vyombo vya habari sio Mpira wa uwanjani. Bora simba kafa ajipange vizuri. Yanga na azam hongereni.
@salymkitumbika8644
@salymkitumbika8644 5 жыл бұрын
Daaah Daktari kafa kaacha wagonjwa wodini Ipo kazi
@michaelsteven6466
@michaelsteven6466 4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭, simba yangu wewe lini tena utanirudisha kule kwenye raha ya msimu uliopita? Daaah naumia sana nikiangalia hiiii daaaah eeeeeh mungu ibariki simba
@dechaggagirl1614
@dechaggagirl1614 4 жыл бұрын
Dah wacha best inaniumagA mpk leo
@michaelsteven6466
@michaelsteven6466 4 жыл бұрын
Duuh kabisa lakin hamna jins tutaenda tena mwakan
@estherpascal7253
@estherpascal7253 5 жыл бұрын
Brother brother walahi hii simba haijawahi kutoa, sasa hii hatari Barcelona, hayo siyo maneno yangu bali ni ya msemaji wa simba Haji Manara. Dharau nyingi, kejeri nyingi kwa Young Africans, mpira haupo hivyo, ukiwa na furaha control mdomo, sasa wametolewa, safi sana, maana dharau ilizidi sana, na waliweka pesa nyingi sana walitegemea watafika mbali zaidi, sasa ni msiba mkubwa kwao, wakome
@michaelgabriel3634
@michaelgabriel3634 4 жыл бұрын
Diamond
@yohanakangaro5724
@yohanakangaro5724 4 жыл бұрын
Walitufunga kwa shelia ya gol la ugenini,, lakin kama soka simba mliupiga mwingi sanaaaa.
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 5 жыл бұрын
Kocha wakulaumiwa vipi utamuweka manula golikipa wakati ametoka katika majeruhi
@nasibumikindo6323
@nasibumikindo6323 3 жыл бұрын
Kama umemuona Barbara gongs likes za kutosha hapa
@mikemnyamwezi7856
@mikemnyamwezi7856 4 жыл бұрын
Dah..! Hii game sintoisahau ilinifanya nisile
@frankafrica3973
@frankafrica3973 4 жыл бұрын
Nililia usiku Kucha wee Acha tyuu
@edwardchacha5128
@edwardchacha5128 4 жыл бұрын
Hata sitaki kuikumbuka!
@petermagege9358
@petermagege9358 4 жыл бұрын
Simba oyeeeeeeee
@athumanmgissasimbadamu3316
@athumanmgissasimbadamu3316 5 жыл бұрын
Simba Angu 😭😭😭😭
@elishabigazaba1485
@elishabigazaba1485 2 жыл бұрын
Mikison aludi jaman nimemc kumuona akicheza simba
@stevenfumbi9566
@stevenfumbi9566 5 жыл бұрын
Yaaani wachezaji wangu mmeniangusha sana
@benadethakiula4853
@benadethakiula4853 5 жыл бұрын
Mimi presha mpaka dakika hii
@jamesmoses375
@jamesmoses375 5 жыл бұрын
Pengo LA okwi limeonekana halijaonekana?????
@ericmasumbuko5091
@ericmasumbuko5091 5 жыл бұрын
Mikia Leo hamja puliza madawa ya kuwarewa L ewesha
@josephkambe7265
@josephkambe7265 5 жыл бұрын
Mikia ni mama yk K ww
@mtedewede22
@mtedewede22 3 жыл бұрын
2020 hii namchek mmakonde
@joshuayusuph8476
@joshuayusuph8476 5 жыл бұрын
Mwanaume kafa kwa ngoma ...ni swala la muda tu mwanamke atafuata muda sio mrefu
@benjaminzephaniah4583
@benjaminzephaniah4583 5 жыл бұрын
kuna muda chama huwa anaigarimu timu make inapohitaji ushindi yeye anataka kuchenga na kuonesha ufahali hiyo ndo shida niliyoiona
@sticulardickyson7776
@sticulardickyson7776 4 жыл бұрын
mambo
@wilsonpatrickmlogwa2559
@wilsonpatrickmlogwa2559 5 жыл бұрын
Daaa jamani nimeumia sanaa
@ayangaotacho2057
@ayangaotacho2057 5 жыл бұрын
Mtawakumbuka okwi , nihonzima na kotei wachezaji waliowapeleka mbali kwa kiburi Cha pesa mnawasajili wabrazil mpaka mmalize kuwatibu mmeshatolewa au mshakua wa nyuma nyuma kwenye ligi kuu mlijiamini ila ukweli wa viwango vyenu ziro wachezaji wazuri ni Daniel Michael,deo Kanda kwa wachezaji mliawasajili
@cosmasthomas9164
@cosmasthomas9164 5 жыл бұрын
Tatizo siyo kucheza bahati pia simba walikosa.
@muharramtsanze1727
@muharramtsanze1727 5 жыл бұрын
Hivi kweli unamuacha okwi unamsajili ajib,unamuacha nionzima kwa ajili ya kibobo sijui shibobo,juuko murshid unamfananisha na mbraziri aliyeokotwa india,james kotei kwa nani sijui,lazima kuna mtu aliyewaroga sio bure.
@bonifacembilinyi5576
@bonifacembilinyi5576 5 жыл бұрын
Unaacha timu iliofika robo fainali unasajili wageni unategemea nin , hawa lazima wamfukuze kocha
@abdulbhaijaanabdulbhaijaan3380
@abdulbhaijaanabdulbhaijaan3380 5 жыл бұрын
Nyie wapuuzi subirieni
@mhandowalace2594
@mhandowalace2594 5 жыл бұрын
Unajua sie wote ni mashabiki Wa simba tumefungwa tukubali tumefungwa tujipange kivingine lakini ukitaka kulinganisha wachezaji tunakosea sana labda nikuulize swali kama kweli mpira unaujua nionzima unaweza kumfananisha Na shibobo au miemko Na asira nionzia ni mcheziji mdogo sana Kwa shibobo Na kama ukitaka mpaka yofauti zao ntakwambia ifike maala tukubali tumefungwa zinafungwa timu kubwa dunian itakua simba acheni ushabiki mandazi
@saidmamu3470
@saidmamu3470 5 жыл бұрын
Ttuna wasubiri mnafuata
@muharramtsanze1727
@muharramtsanze1727 5 жыл бұрын
Said,hilo ni dua la kuku
@othumanmwela9710
@othumanmwela9710 5 жыл бұрын
Daaa malindi imesonga mbele mabingwa wanchi wamerudi kwenye kombe lamapinduzi
@shadyahemedy1276
@shadyahemedy1276 5 жыл бұрын
malindi nitimu nzuri siokama yanga mabindia
@selemanikimbwene279
@selemanikimbwene279 5 жыл бұрын
Kafa Kabla Jua Halijachomoza.
@joramujohn8826
@joramujohn8826 4 жыл бұрын
Siku mbaya kwangu hii dah isije jirudia
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Жыл бұрын
Siku ile Gadiel Michael alianza halafu Zimbwe Junior alikaa bench... kuna ile through ball ya Shaiboob kwa Gadiel ingekua Zimbwe angechomoa goli... mechi iliniuma sana! Ila ilisaidia kutuchangamsha... uzito wa Mkude ulifanya kuteswa sana na Jose Luiz 😁😁
@winstonemugarula9601
@winstonemugarula9601 5 жыл бұрын
Kocha leo hakuvaa shati lake jeupe analo amini kuwa ni la bahati....inauma sanaaaa
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 5 жыл бұрын
huu ni mwaka wa wananchi.Mtamjua juma balinya ni nani.Subirini january mshiriki mapinduzi cup😄😀
@aisharashid2785
@aisharashid2785 4 жыл бұрын
Leo ndo tumemjua juma balinya ni nani
@kacherosimba5762
@kacherosimba5762 4 жыл бұрын
Wangapi wanamuangali konde boy 25/7/20/20🤣🤣🤣huyu mtoto ali tusumbua sana
@mubamubasaid9949
@mubamubasaid9949 5 жыл бұрын
Karibuni kwenye Tim LA wana safari hii mpira simba akuna
@benmwasakujonga3575
@benmwasakujonga3575 4 жыл бұрын
Nimerudi tena kuicheki hii 27/07/2020 saa 14:15 ili nimuone Louis
@sanifukahemela8962
@sanifukahemela8962 3 жыл бұрын
Sawa blo
@AbduRahman-os2vx
@AbduRahman-os2vx 5 жыл бұрын
Msemaji wenu sijui atasema nn,kelele zimekwisha njooni mshangilie yanga chama la wana. Daima mbele nyuma kwetu mwiko.
@maryamzuheir1633
@maryamzuheir1633 5 жыл бұрын
TUTAKUTANA KTK LIGI. TPL , KWA SSC TUNASEMA KUJIKWAA SIYO KUANGUKA AU SIYO MWISHO WA SAFARI , TUTAWATESA TU NYIE.
@aminaluvingaallahamlindehu7150
@aminaluvingaallahamlindehu7150 5 жыл бұрын
Nakuchanika kwa jamvi sio mwisho wa maongezi....tukutane kwenye ligi
@AbduRahman-os2vx
@AbduRahman-os2vx 5 жыл бұрын
@@aminaluvingaallahamlindehu7150 huko kwenye ligi labda muhonge tena marefa na viongozi wa tff,boss wenu katoa billioni tatu kwa ajili ya tpl kweli simba kwake porini mjini kunataka mahesabu mengi,daima mbele nyuma kwetu mwiko..
@judithpaul5946
@judithpaul5946 5 жыл бұрын
Akushangilie nan 😂😂
@emmanuelmussa8331
@emmanuelmussa8331 4 жыл бұрын
Karibu unyamani miquissone
@fadhilmpola5800
@fadhilmpola5800 5 жыл бұрын
Simba imetia aibu sanaaa
@mzeewajambo8293
@mzeewajambo8293 4 жыл бұрын
Mechi hii sitakuja isahau aiseee Ila vitu vya Luis bhn😁😁😂😂
@amanmsigala2799
@amanmsigala2799 5 жыл бұрын
Inauma sana lakni ndo mpira
@nuh9433
@nuh9433 4 жыл бұрын
Daaah nikimuangalia uyu deo kandaa iv kwel tumemuacha kirahis rahis 2
@Jastus100
@Jastus100 3 жыл бұрын
Alikuja kwa mkopo na timu yake iliweka dau kubwa kumchukua
@rajabuselemani8904
@rajabuselemani8904 3 жыл бұрын
Hapa konde boy alisumbua sana
@mubamubasaid9949
@mubamubasaid9949 5 жыл бұрын
Makelele kwisha barabara kesho nyeupe akuna ngoma
@hildembilinyi7346
@hildembilinyi7346 4 жыл бұрын
Hii mechi nimeirudia kumbe mkude ni tabia yake kucheza hizi faulo
@edwardchacha5128
@edwardchacha5128 4 жыл бұрын
Ni kweli
@kingkingd5073
@kingkingd5073 3 жыл бұрын
Ilasimba wanaonekanawako vizuri hawana presha lakini wajitahid mwanzonByKingdToka budekera
@rebekapetro9622
@rebekapetro9622 5 жыл бұрын
Yanga mnaongea nn mbere ya wanaume zenu Simba tulieni humuuwezi huu mziki.
@muharramtsanze1727
@muharramtsanze1727 5 жыл бұрын
Rebeka inaelekea hujaolewa,wanaume wanaoishi kwa pesa ya mwanaume mmoja?,akifa ghafla na hajaandika wosia na timu imekufa,maana nina uhakika mke wake hatafanya huo ujinga wa kulisha watu asiokuwa na undugu nao.
@baklangrauss9654
@baklangrauss9654 5 жыл бұрын
Rebeka Petro nyie ndo wanawake yanga wanaume
@sosomacharles2422
@sosomacharles2422 5 жыл бұрын
huyoooooooo leo cyo kwa Mkapa tena ni kwa Kikwete
@hassanseif6452
@hassanseif6452 5 жыл бұрын
@@muharramtsanze1727 kwani mmiliki wa Leicester City alivyofariki timu nayo imekufa
@muharramtsanze1727
@muharramtsanze1727 5 жыл бұрын
Hassan nakubaliana na wewe,lakini wale watu weupe mambo yako kiutaratibu na kisheria tofauti na sisi weusi,ndo maana nina mashaka kuwa je mo akiondoka ghafla documents zimekaa sawa?
@eliaskirato4070
@eliaskirato4070 5 жыл бұрын
Ilitakiwaa mpgweee zakutsh
@dreambutterfly244
@dreambutterfly244 4 жыл бұрын
😆😆😆😆wewe
@ashuumizz942
@ashuumizz942 4 жыл бұрын
Fala ww unaonaje ukapew ww
@veronikamartin2315
@veronikamartin2315 3 жыл бұрын
Nan apgwe lbd yng
@veronikamartin2315
@veronikamartin2315 3 жыл бұрын
Nan apgwe lbd yng
@hermankoba4970
@hermankoba4970 5 жыл бұрын
Bahat aikuwa yetu wana simba
@marianomariomagaia8406
@marianomariomagaia8406 5 жыл бұрын
Parabens Mocambicanos parabens luiz dicson
@johnernesternestjohn5606
@johnernesternestjohn5606 5 жыл бұрын
Replies
@manalamanjale643
@manalamanjale643 3 жыл бұрын
Kumbe Miqson alikua mjanja mjanja toka UD Songo
@sungwanhandi2602
@sungwanhandi2602 2 жыл бұрын
Mara. Hawezi. Hata. Kama. Akihamia. Yanga
@japharshitindi6050
@japharshitindi6050 5 жыл бұрын
Madhara ya kuwa bingwa wa viti maalum
@mubamubasaid9949
@mubamubasaid9949 5 жыл бұрын
Mmefungwa na watoto jaman
@bernardchibwana1907
@bernardchibwana1907 5 жыл бұрын
kwa deo kanda simba tumepata mchezaji bora kabisaa
@stevenfumbi9566
@stevenfumbi9566 5 жыл бұрын
Mtaani hakukaliki
@yusufalimasi4433
@yusufalimasi4433 5 жыл бұрын
Steven Fumbi amna vumilia ndiyo mpirauo
@andreastanely1380
@andreastanely1380 5 жыл бұрын
Steven Fumbi nikwel
@sarahrajabu9812
@sarahrajabu9812 3 жыл бұрын
Simba nguvu Moja
@bhokedavid8932
@bhokedavid8932 3 жыл бұрын
Na bado mtapigwa tena round hii mkome😀😀😀😀😀😀
@bahatiswago1027
@bahatiswago1027 5 жыл бұрын
Kaeni nyumbani mpike mboga wanaume ndio hao mbele kwa mbele
@judithpaul5946
@judithpaul5946 5 жыл бұрын
We chizi kwl... ni ubingwa mmebeba au 😂😂😉 kweli chura hawana akil
@man.lule.585
@man.lule.585 5 жыл бұрын
Simuoni haji manara, ooo amna hela, oooh wazee wa vibakulii. mbona pamoja na hela zenu mmetolewa sasa. acheni mboyoyo, kuujaza uwanja sio ushindi. ushindi ni dk 90.
@nasorokazimoto3625
@nasorokazimoto3625 5 жыл бұрын
unauza bunduk unanunua rungu na Hugo zeluzelu ataongea nn?
@nasorokazimoto3625
@nasorokazimoto3625 5 жыл бұрын
wabrazil wanini sasa
@soccertv293
@soccertv293 5 жыл бұрын
Mm hao wabrazil sioni umuhm wao wauzwe anunuliwe straiker
@abdulbhaijaanabdulbhaijaan3380
@abdulbhaijaanabdulbhaijaan3380 5 жыл бұрын
Kwa fikra zako finyu
@shabanipili4919
@shabanipili4919 3 жыл бұрын
25_8_2020 baada ya miqson kuchelewa kurudi msumbiji
@leonardhosea5537
@leonardhosea5537 4 жыл бұрын
Nikikumbuka duu inauma sana
@josephmanyama435
@josephmanyama435 4 жыл бұрын
Huyu jamaaaaaa anajua sana luis
@DjullyBreezy_Tha_Prince
@DjullyBreezy_Tha_Prince 5 жыл бұрын
Tanzania siku zote amutiwezi ki mpira... Moz for life
@mamajonsonmamajonson461
@mamajonsonmamajonson461 5 жыл бұрын
Mh? tutaona kama na nyie mtaendelea kwenye club bingwa kama hamja sokomezwa kwenye maji mile kama vyula yanga nyie Hanna lolote mtatolewa 2 kwenye club bingwa
@yacenharuna380
@yacenharuna380 3 жыл бұрын
Tatzo la Simba SC huwa kuanzia Dk ya 1 had 20 za mwanzo kufungwa goli kwao n kawaida sana, angalien mechi nying za Simba SC kufungwa, huwa wanapoteana sjui tatzo huwa n nn
@aluphonscharles1558
@aluphonscharles1558 5 жыл бұрын
manar aongee tena km anaubav
@didassikombe412
@didassikombe412 5 жыл бұрын
Mtafuteni OKWI. Simba bila Okwi ni tatizo.
@samsonlukenza2958
@samsonlukenza2958 5 жыл бұрын
Odokeni tu mana hamkuzamilia kucheza kimataifa haiwezekan kumuacha okwiii kwa ajili ya hela, halafu hela hizo ununue takataka 3 hizo zakutoka Brazil
@Damarry-FX
@Damarry-FX 5 жыл бұрын
Upuuzi unaongea.
@dreambutterfly244
@dreambutterfly244 4 жыл бұрын
Yanga jaman kumbe ndo maana simba wanatuchukia kumbe kunawanayanga walikua wanaishangilia ud song
@batwelyaloise6080
@batwelyaloise6080 5 жыл бұрын
Hakika hawa mashemeji feki tukanyage
@mubamubasaid9949
@mubamubasaid9949 5 жыл бұрын
Jamani kapumziken yenu yameisha nendeni nyumban
@didassikombe412
@didassikombe412 5 жыл бұрын
Tatizo vile viporo vililiwa bila utaratibu mzuri
@hermenejoseph2131
@hermenejoseph2131 5 жыл бұрын
Imeniuma lkn ndio mpira kushinda ,kufungwa
@shedy_marie
@shedy_marie 5 жыл бұрын
Bless simba cku zote
@rosemaryaloyce8746
@rosemaryaloyce8746 3 жыл бұрын
Aisee leo tare 16-01-2021 nimekija kumcheki mikison
@habibaissa6778
@habibaissa6778 5 жыл бұрын
Vyura mnakoroooma! Haya tunasubiri tumuone baunsa Molinga akiwafikisha robo fainali, mtaishia shirikisho tu c kwa timu ile 😎😎😎bakisheni maneno!!!
@judithpaul5946
@judithpaul5946 5 жыл бұрын
Umeona ehh... waache wajitape km wamebeba kombe
A little girl was shy at her first ballet lesson #shorts
00:35
Fabiosa Animated
Рет қаралды 15 МЛН
UNO!
00:18
БРУНО
Рет қаралды 1,3 МЛН
The Day Ronaldinho Showed Zidane Who Is The Boss.
14:05
RDHDComps
Рет қаралды 42 МЛН
Knee Slide Fails 😂
0:26
footpanna
Рет қаралды 7 МЛН
Could you beat Adam Peaty?
0:54
Propulsion Swimming
Рет қаралды 29 МЛН
Хабиб НЕЖДАНУЛ ФАНАТА #мма
0:32
Тайна ММА
Рет қаралды 6 МЛН