Рет қаралды 12,903
Simba imejipima ubavu na Al Hilal ya Sudan ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya.
Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally ameeleza mengi kuhusu maandalizi ya mchezo huo na mipango ya kuwa na mechi nyingine ya kirafiki, Septemba 7.
Hii ni #SimbaTV kila Jumatano saa 4:30 usiku #AzamSports1HD