Рет қаралды 9,079
Tazama kipindi cha Simba TV kikiwa na mkusanyiko wa habari mbalimbali ikiwemo Rais wa Heshima wa Simba SC, Mohamed Dewji (MO) atangaza kurejea katika nafasi ya uenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa timu hiyo baada ya aliyekuwa Mwenyekiti, Salim Abdallah kuomba kung'atuka.
Mo amrejesha Try Again kwenye ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi.
Ahmed Ally afanya ziara kuitangaza Simba.
Mfadhili wa zamani wa Simba, Azizm Dewji awatuliza mashabiki wa Simba.