Mungu wangu wa Israel 🙏🙏🙏 Semaji la CAF huna baya! Mungu ibariki Simba Mungu ibariki Africa.
@BigZhumbe9 күн бұрын
Yaani wewe ni Mtanzania Mungu wako ni wa Israel 😂😂😂
@Ramakimo-d4y10 күн бұрын
Good San semaje 🎉🎉🎉🎉
@Aed12610 күн бұрын
Vizuri sana. Msimu ujao tupate VAR itazidi kunoga😂.
@mwinyimkuukambi96129 күн бұрын
Wazo zuri sana 👏🏽
@VascoMwasile-f4d10 күн бұрын
Ubaya ubwela🔥
@GeorgeSaimon-kt2kh10 күн бұрын
Semaji ni mmoja tu wengine ni wapiga debee😂😂
@NeemaMushi-r4o10 күн бұрын
😂😂😂 kwa kweli
@chusseboywcb280810 күн бұрын
Huyu jamaa hakulupuki anaongea Kwa kituo
@ZainulJuma10 күн бұрын
Goood
@JaphalyAlly-n1c10 күн бұрын
Simba is a big team
@CareenJulias-iu7tf10 күн бұрын
Hiyo speech ya pongezi ilivyotolewa imetolewa kiuledi Sana Mimi nadhani huyu semaji anapaswa kuwa Kiongozi mkubwa katika nchi yetu ikiwemo nyanja ya siasa na serikali. Hongera Sana semaji langu la chama langu. HONGERA SAANA ACHA YULE "ALLY KAMWE KIDIMBWI" ARUKERUKE MTAANI HATA AFANYEJE HAKUFIKII HATA KIDOGO. 👏👏👏👏👏👏
@GervasBukwimba10 күн бұрын
God bless ssc
@AmaniRamadhani-rw8jp10 күн бұрын
Simba ❤❤❤❤❤
@LemaroniSironga10 күн бұрын
Obrigado 😂
@Hussein-w2q9 күн бұрын
Simba nguvu moja
@aminahhuawei113310 күн бұрын
Tunakupenda sana semeji letu laubaya ubwelaa❤❤❤❤❤❤❤🦁🦁🦁🦁🦁💪🏽💪🏽💯💯💯💯
@KhanashyAlmassi10 күн бұрын
Simba nguvu moja I love SIMBA.❤❤❤❤❤
@swahibafilms10 күн бұрын
Ubaya ubwela ❤❤❤❤
@IlhamMohamed-dh8ng10 күн бұрын
❤❤❤❤ Good speech 🎉🎉🎉
@JoshuaTuya-o1b10 күн бұрын
❤❤❤❤
@Aina-p4f10 күн бұрын
Hongera sana semaji letu la kaf
@hilariyomatalangana989610 күн бұрын
Safi
@Jayhood2810 күн бұрын
UBAYA UBWELA..
@TinnaPitta10 күн бұрын
🎉
@josephvenus325910 күн бұрын
Ubaya Ubwela Hadi huku. Semaji la CAF umetisha🎉🎉🎉
@AnnastaziaMrina10 күн бұрын
Semaji letu Yan yy kotekote anagongaa❤
@mwandedigitalshow10 күн бұрын
🦁⚽🦁🦁🦁⚽🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jeremiahmashaka96310 күн бұрын
🦁
@PaskiiSlaa10 күн бұрын
Nakupenda bure semaji letu
@ZaburiJeremia10 күн бұрын
Semaji la ubaya ubwera 🦁
@BongoKinoXtra6 күн бұрын
SIMBA NGUVU MOJA ❤
@ShukuruMakoko10 күн бұрын
🎉🎉🎉
@Janethmagige9 күн бұрын
Good speech 🎉🎉
@AmaniYohana-ck3uw8 күн бұрын
Semaji la kafu🎉🎉🎉🎉
@MkudeRobert10 күн бұрын
Ubaya ubwela
@godfreydeuli535710 күн бұрын
Wewe jamaaa unajua sana ,,,semaji ni MOJA tu
@HenryKailole10 күн бұрын
Nguvu moja👏
@orbitcom-u4f10 күн бұрын
Simba ni ya hatari sana, hizo kelele hazitoshi
@Siwa-n5p10 күн бұрын
Huna bayaa semaji letu ubaya ubwela🎉🎉
@NeemaJuma-t4g8 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@CristinLyanga10 күн бұрын
Dah! Kiukweli wewe ni msemaji msomi na wa hali ya juu' yaan unajua ni mazingira gani na uzungumze nn kwa wakati gan? Kweli wewe ni msomi na unazingatia MUkTADHA. Ahsante sana kaka hakika unaiwakilisha clabu vema mnoo ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤🎉.
@RocksonJunior-e5c9 күн бұрын
🎉congelatulation for semaji😂😂😂😂
@civianipyana491510 күн бұрын
Semaji letu❤❤
@JuliusMbikilwa10 күн бұрын
Hakika Ahmed ni msemaji makini sana,uende mbali katika mafanikio,najivunia kuwa na msemaji Simba aina yako.Wewe si usemaji tu ni KIPAJI na hivi karibuni utachaguliwa kuwa mkuu wa wilaya
@OmariKibwanga-w1m10 күн бұрын
Semaji hapa tanzania ni mmoja tu @Ahmed Ally tu
@GIFTEDANDTALENTED-v1p10 күн бұрын
Semaji la CAF baba unatupa raha
@IbrahimuKayombo-w9b10 күн бұрын
Naipenda xan simba
@MeddyMo-co5jt9 күн бұрын
Huu ndo ubaya ubwela yani upo makini sana kama raisi wa nchi kaka love you Simba sports ♥️♥️♥️ Sema uyo jamaa yako apo nyuma mshika bango la azania mwambie aache kusinzia😂😂😂😂😂😂😂😂
@SamsoniKaka10 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏 hongera Semaji la taifa 🇹🇿🦁♥️♥️♥️♥️👏👏👏👏👏🙏🙏
@pst.mibsonthesupervisor125210 күн бұрын
Tunaomba Semaji ongea na Bishop Gwajima acheze,yy ni simba na ni mchezaji mzuri sana
@ShabaniKawambwa-o6w10 күн бұрын
Semaji km semaj una mpinzani tizi wew ndio msemaji pekee unao ongea kwa fakti wengine wapiga debe tu umetulia inaongea kama vile laisi wa nnchi
@happygeorge-y1x10 күн бұрын
yaan huy jamaa wakimtumia kwenye kampen watatoboa maana anamaneno flan hiv unadanganywa mbaka unahis ni ukweli😂😂😂 huyu jamaa anajua kucheza na akili za watu🎉🎉🎉
@chusseboywcb280810 күн бұрын
Mtu mkubwa mwenye madini yake 💪💪💪🤲🤲💯💯 namkubali sanaaa huyu jamaaa
@BigZhumbe9 күн бұрын
Tanzania kuna SEMAJI Ahmed Ally na WAZUNGUMZAJI
@Esterkomba-ef7eb10 күн бұрын
Moroco kufanya nn?
@FinisherMxangi9 күн бұрын
Ingekuwa n kamwe hapo neno la kwanza angeizungumzia simba
@JescacasianChaho10 күн бұрын
Fanyeni mpango wa VAR bc panoga zaidi na italeta maendeleo zaidi ya kimichezo
@husseinchibu659410 күн бұрын
Utashiriki perpendicular tena!?😅 Au parallel
@shabanikipingu-tz2pz10 күн бұрын
It's wasn't easy 😐
@anthonymilinga869610 күн бұрын
Mwambie ameambie GSM aache kuzamini timu 8 kwenye ligi moka
@Saidmgalula-l3q10 күн бұрын
Sema ukwel semaj
@Mohdali-ot2dp10 күн бұрын
ila nyiee huyo dada
@prudencejosephati10 күн бұрын
Ubaya ubwela semaji ukiwa kweny ubora wako
@NDoncall-b9y10 күн бұрын
Ubaya ubwera
@BoniphaceLeonce-u7k10 күн бұрын
Wew ashamed all nini baba a
@geophreychristopher732010 күн бұрын
Ahmed kasongo😂😂😂😂
@MahmoudMohammad-h2m10 күн бұрын
Hatutaishia apa mpaka kombe lije
@kassidpandu86610 күн бұрын
Ki vp mbona yanga Kaishia Makundi katufelisha halafu leo Tanzania iwe Nafasi ya 4 kwa ubora hivi viwango ni FEKI
@FRANSKALITUSI493710 күн бұрын
😂😂😂
@beaugosseadam683110 күн бұрын
Matawi ya CCM
@NasoroKapata10 күн бұрын
Ubayaaa ubwela huna baya semaji ila swali sana
@SamsoniKaka10 күн бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏🇹🇿🦁♥️♥️♥️♥️♥️💪💪💪💪💪🙏🙏🙏
@NaureenWarda10 күн бұрын
Kwakweli semaj tunalo ubay ubwela
@Emmanuelyamoikivuyo-b6x10 күн бұрын
Bunge bonanza ni NN??
@JohnSaimoni-x7c10 күн бұрын
ubaya ubwelaaaaa
@HamzaMwelondo6 күн бұрын
Ubaya ubwela group from to Dihinda turiani
@EusebiusKristofa10 күн бұрын
Hakuna kama semaji la CAF. Huyu ni mashine yakuongea
@EzekielEzekiel-yd1xt10 күн бұрын
Ahmed Ali ni mtu na nusu kudadek 🫡🫡🫡
@ShijaJagady10 күн бұрын
Bhubhaya bhubwela
@Wallacenyusi332610 күн бұрын
Huu semaji wa madunduka mbona hajaenda Morroco ?
@AltemiusAjuna10 күн бұрын
,😂😂😂 alafu aliendaa Morocco kapata nn😂😂
@asiarehani737910 күн бұрын
@@AltemiusAjuna Hapo Sasa kheeee😂😂😂
@STELLAMARCELY10 күн бұрын
Aliyeenda Moroko atabaki kuwa mpenzi mtazamaji tu.