Ubarikiwe baba wa kiroho kwa mafundisho mazuri nakupata vizuri sana nipo zambia
@gabrielinterschool3539 Жыл бұрын
Mungu ni mwema anakutumia Kwa kutuokoa sisi wenye shingo nguma Ameen
@barazamatibila84127 ай бұрын
Always following you from Washington DC nakupenda Bure mtumishi. Nikita Dareslaam January nitakutafuta nikusalimie katika jina la Yesu kristo.
@mickyvlogs6342 ай бұрын
Yesu wewe nintegemeo langu🙏🏼
@dorothtobias8053 Жыл бұрын
Mchungaji KIMARO nakuelewa Sana tunaomba uwe na makongamano Live mikoani. Mungu AKUPE ufunuo Huo.
@rezegerezege691 Жыл бұрын
Barikiwa sana Daddy nakupata hapa OMAN.
@epimackmbeteni88064 күн бұрын
Mungo akubariki sana mchungaji
@magrathmichael7475 Жыл бұрын
Pastor eliona mi nikushukuru kwa somo lako na mafundisho kutoka madhabahuni.nimekupata vzr kutoka Nairobi Kenya
@leahmollel6589 Жыл бұрын
Hakika ujumbe mzito huu! Dhambi unayoifanya ofisini au kazini inaingia nyumbani! Mungu utusaidie tuweze kufikiri sawasawa🙏
@mandeladuwe77473 ай бұрын
Wat a blessing i got 4m this massage God bless u Dr kimaro man of God
@elizabethsalingwa7404 Жыл бұрын
Mungu akubariki sanaa mtumishi....
@demicratia4071 Жыл бұрын
Eee Mungu Haya mahubiri yameniingia rohoni sijawahi kujuta kama Leo Mwenyezi Mungu Tusamehe sisi wanao Rev Kimaro nakupata kutoka London KWA KWELI UNAJUA KUHUBIRI
@bina2557 Жыл бұрын
Ubarikiwe sanaa Baba Kwa mafundsho mazuri nakupata nikiwa Nairobi Kenya
@angelalaizer3762 Жыл бұрын
Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu. Mwenyenzi Mungu azidi kukulinda nakukuinua viwango vingine uendelee kutufundisha neno lake.
@jeniphajeremiah80087 ай бұрын
Uwiiiii mungu tusamehe
@user-bo1wt8ez7q Жыл бұрын
nayapenda sana mafundisho yako mungu akutunze Dk kimaro
@paulomagodya646710 ай бұрын
Hakika Mungu azidi kukuinua viwango vya juu ktk utumishi wako!
@danstansilanda5420 Жыл бұрын
Dastan, Rwanda. What a good teaching. Stay blessed.
@mashauriparapara4173 Жыл бұрын
Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua
@user-dw4zq3ii4h28 күн бұрын
Amen Amen
@MichaelMpangala-tr3gf11 ай бұрын
nimebarikiwa,nimejifunza namna bora ya kufikiria
@omegamongi2654 Жыл бұрын
Mungu anakutumia sana Mtumishi na watu wengi wanaponya.
@esthermashauri441 Жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi kwa mafundisho ya neno la Mungu
@user-es6xz6iy9y8 ай бұрын
Amina
@magrethhaule-wy4jh Жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@joycemlimba4926 Жыл бұрын
Amina mtumishi kwa mafundisho mazuri mno
@user-zq6xk8ou9w4 ай бұрын
Amen
@Paschalkahema-qb3em Жыл бұрын
Barikiwa sana Baba
@ney0015 Жыл бұрын
Ubarikiwe Mchungaji unanibariki
@bryasonlaizer Жыл бұрын
Barikiwaaaa mchungaji
@christinasanga9709 Жыл бұрын
Katika watumishi ambao sijawahi kuwasikiliza nikakosa massege ni wewe Mchungaji Kimaro kwa kweli Baba Mungu akutunze
@jofreychristian1593 Жыл бұрын
Amina sana
@elizabethmuia9839 Жыл бұрын
Very true pastor
@user-ll8qu1zw4k10 ай бұрын
🙏🙏
@gracedamas5883 Жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@jamesmasome359 Жыл бұрын
Maneno yako yananikumbusha JPM rip.
@annakadege8160 Жыл бұрын
Amina baba
@rahabnkya8276 Жыл бұрын
CLINTON NA MONICA LAWSKY! DAUDI NA MKE WA URIAH! DUNIANI HAPATOSHI TUNAVIACHA TUOMBEANE MEMA! DHAMBI SIO STAREHE!
@augustinocharles3732 Жыл бұрын
Binafsi nilikuwa sikujui,nilipoanza kukusikiliza nimegundua kuwa wewe nimtu makini sana.Mungu akubariki. Falsafa nimtazamo wa mtu kwanini iwe ofense
@demicratia4071 Жыл бұрын
Tunafundishwa kuwa watu wema na tusimuonee mtu maana malipo ni hapahapa duniani
@alicekatana1429 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@jamesmasome359 Жыл бұрын
Nimekuelewa...
@estheriluta2482 Жыл бұрын
Ivi najiuliza watu wazima wanao fanya dhambi kila siku watasamehewa kweli, maana ata ulifanya dhambi ukiwa mtoto afu ukaokoka "utailipia tu"" Mungu awapatilishie maovu yao wayatendao sio watoto
@janembalinga7074 Жыл бұрын
Mungu wetu ni warehema anasamehe na anasahau
@augustinenjakusi4544 Жыл бұрын
God is great good message🙏🙏🙏🙏🙏
@soberkaleya5148 Жыл бұрын
Zaburi 100: 1 Mfanyieni Bwana shangwe, dunia yote; 2 Mtumikieni Bwana kwa furaha; Njoni mbele zake kwa kuimba; 3 Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu; Ndiye aliyetuumba... 4 Ingieni malangoni mwake kwa kushukuru; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake; 5 Kwa kuwa Bwana ndiye mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake vizazi na vizazi. *TWENDE MBELE ZA MUNGU WETU KWA SIFA NA SHUKRANI!! KAMA SIO YEYE HATUNGEFIKA HAPA TULIPO, HALELUYA!!!*
@paulinaswalehe5298 Жыл бұрын
Kuua so
@MichaelMpangala-tr3gf11 ай бұрын
nimebarikiwa,nimejifunza namna bora ya kufikiria
@mashauriparapara4173 Жыл бұрын
Napenda Sana mahubiri yako baba Mungu azidi kukuinua