Рет қаралды 83,255
Kwa mara ya kwanza, Zodwa Mkandla, aliyekuwa mke wa mfanyabiashara wa Zimbabwe, Genius 'Ginimbi' Kandungure aliyefariki kwa ajali ya gari November 8, 2020, amefunguka kuhusiana na kifo chake pamoja na chanzo cha utajiri.
Zodwa amezungumzia tetesi kuwa Ginimbi alikuwa anafuga joka nyumbani kwake ambalo lililikuwa likitema hela na kumpa utajiri wake