Mungu azidi kukupa Umri Mzee wetu wa Uturuki in shaa Allah 🤲🌃
@Oldskulgemini99912 ай бұрын
Mzee wako wewe na nani? Shida udini mwingi, muda mwingine ruhusu ata akili ifanye kazi
@Williamstozzo2 ай бұрын
@@Oldskulgemini9991😂anawaza dini wenzioo wako na maisha
@rayisadesigns26462 ай бұрын
@Oldskulgemini999 UTURUKI NDIYO DOLA LA OTTOMAN AMBALO HISTORIA YAKE INAONESHWA AZAM TV KUANZIA SAA NNE USIKU MPAKA SAA TANO KUPITIA TAMTHILIA ZAKE MBALIMBALI KAMA SULTAN, ERTUGRUL, THE OTTOMAN, BARBAROSSA NA SASA NI ALPARSLAN. HAWA WATU WAMEITAWALA DUNIA MIAKA ZAIDI YA MIA NANE NA NCHI YAO ILIKUWA KUBWA SANA NA ILIUNDWA NA MABARA MATATU, ULAYA, ASIA NA AFRIKA. WAZUNGU WALIPATA SHIDA SANA KUIDONDOSHA TAWALA YAO, KWANI NDIYO TAWALA PEKEE ILIYOTAWALA MATAIFA YOTE DUNIANI. WAO NDIYO WAASISI WA MODERN SAYANSI INAYOTUMIKA KATIKA TEKNOLOJIA YA SASA DUNIANI, BAADA YA VITA VYA KWANZA VYA DUNIA WAZUNGU WALIFANIKIWA KUCHUKUA BAADHI YA MAENEO YAKE HASA ULAYA YA MASHARIKI NA KUSINI, ASIA YA YA MAGHARIBI NA AFRIKA KASKAZINI NA MAGHARIBI. NA NDIPO BAADAE IKABADILISHWA JINA NA KIONGOZI WAO AITWAYE MUSTAFA KEMAL ATATURK PASHA NA KUITWA UTURUKI. WAO NDIYO WALIOIFUTA ISRAEL KTK RAMANI YA DUNIA, KWA KARNE NYINGI SANA ARDHI YA ISRAEL ILIKUWA CHINI YA HIMAYA YA UTURUKI ILIPOKUWA IKIITWA OTTOMAN. BAADA YA VITA VIKUU VYA PILI VYA DUNIA WAINGEREZA NA WASHIRIKA WAO WALIPOSHINDA KWENYE VITA HIVYO NDIPO WALIPOIRUDISHA TENA ISRAEL KTK USO WA DUNIA KWA KUIWEKA MAHALA HAPO TUNAPOIONA SASA KUPITIA LEAGUE OF NATIONS AMBAYO KWA MIAKA HIYO ILIHUDUMU KAMA LINAVYOHUDUMU BARAZA LA UMOJA WA MATAIFA (UN) MIAKA YA SASA. UTURUKI NDIYO BABA WA MATAIFA YA ULAYA NA NDIYO MAANA HAUWEZI UKASIKIA MMAREKANI AU MUINGEREZA ANAMVIMBIA MTURUKI, NI DOLA LINALOHESHIMIWA SANA NA NCHI ZOTE ZA HUKO KWA SABABU ALIZITAWALA. NA SASA JESHI LAKE NI MIONGONI MWA MAJESHI BORA KABISA DUNIANI LINALOTUMIA ZANA NA TEKNOLIGIA YA HALI YA JUU, KWA HIYO UTURUKI SIYO IRAQ YA SADAM WALA LIBYA YA GADDAFI, UKIWAZINGUA WANAKUZINGUA KWELI. HAO WATU WAO WANA ROHO NGUMU, MATAIFA YOTE YA ULAYA YANAOMBA HAO JAMAA WASIRUDI KTK MISIMAMO YAO YA ZAMANI WAKAAMUA KURUDI KWENYE OTTOMAN YAO, HAO WATU NI HATARI SANA NA NDIYO MAANA MUISRAELI KTK HUO MKWALA WAKE HAKUSEMA YEYE NDIYE PEKE YAKE ATAKAYEHUSIKA KUFANYA HIVYO, AMATOLEA MFANO WA SADAM MAANA YAKE KUONDOKA KWAKE MADARAKANI KULITOKANA NA KUCHANGIWA KIJESHI KWENYE UWANJA WA MAPAMBANO NA MUUNGANO WA MATAIFA ZAIDI YA AROBAINI YALIYOPELEKA WANAJESHI NA VIFAA VYA KISASA KUIPIGA IRAQ NA KUMUUA SADAM. MUISRAELI PEKE YAKE HATHUBUTU KUFANYA HIVYO, AKIFANYA HIVYO PEKE YAKE ATACHAKAZWA NA MTURUKI NDANI YA DAKIKA SIFURI TU, TEL AVIV YOTE ITASAGWA SAGWA NA KUWA KAMA UNGA...
@raymrash2 ай бұрын
😂😂😂😂..mzee wenu!?...
@Jurbeg2 ай бұрын
Mzee wako bongo😏😏😏
@ImanSaid-ox3po2 ай бұрын
Maasha'allah Dunia inaanza kunoga sasa
@hajjiomary23832 ай бұрын
Erdogon mtu wa kazi na ivyo ndo inapaswa kuwa ana cha kupoteza ukifa mda wako umekwisha .much love erdogon mtu wa kazi .sadam husein Robert Mugabe mohamed ghadafi wote walisema aya sasa tunayaona
@emmadora78482 ай бұрын
Amesubiri mpaka Gaza imekuwa flat ,kachelewa sana ,anaongea sana vitendo 0
@jumamussantuiche2 ай бұрын
@@emmadora7848ata kusema na kulani ibada
@tekashisixtynin9threewithd7272 ай бұрын
Yani achaneni na ISRAEL ✊🏾
@allahisone63862 ай бұрын
@tekashisixtynin9threewith d727 WAO NI ZAYUNIST NASII TAIFA LA MUNGU KAMA WANAVYO SEMAGA
@Oldskulgemini99912 ай бұрын
Ukifa mda wako umeisha sio😅 wakati nchini kwenu Kuna mambo ya ajabu yanaendelea ila mkobize kujifanya mashababi kwa mambo yasiyowahusu, kama kufa muda wako unakuwa tumefika tungewaona hapa nyumba kwenu mnafanya kitu kwa akili ya nchi yenu, nyie kutwa kuwazia nchi za waarabu shenzi
@msukumamnywamaziwa27852 ай бұрын
marekani ni inchi yenye viongozi mashertani na wametapakaa damy
@MayaAlamari2 ай бұрын
Allah akuhifadhi mturuki huna baya
@snkhannassoro24042 ай бұрын
Unafik wote wa magharib lazm wote udhihirike
@aminatanzanya74752 ай бұрын
Erdogon anapaswa kupew saport hasa nchi za kislamu kwan hawaon yanayoendelea Palestine. Mungu ambariki katik safar yake
@BonifasiMichaer2 ай бұрын
Endeleeni kumshauli ujinga
@paulvimbamvula95082 ай бұрын
Sasa wa Islam akiwunvana munafikiliya itawezekana kumpiga mu Israel? Ashawai kuwapigwa wa Islam inchi zaidi 7
@j4amas52 ай бұрын
@@paulvimbamvula9508 mwaka gani? na alichukua muda gani? Na leo ni muda gani kashindwa kumaliza sio nchi kikundi tu cha Hamas? Mambo yanabadilika usiishi kihistoria
@aminatanzanya74752 ай бұрын
@@j4amas5 swali zuri sana
@aminatanzanya74752 ай бұрын
@@BonifasiMichaer kuna video ukiona jinsi watot na walemavu Walivyokufa huwez ongea huu ujinga
@MohammediKihimbwa-bj4pf2 ай бұрын
Wao ndiyo magaidi inch za magharibi
@ramadhanikivunde6152 ай бұрын
Let's also discuss about kinana and so we can know where is makonda
@SwedyMohamed-vt5zm2 ай бұрын
Hii dunia inatawaliwa na Mazayuni wa kiyahudi ambao ndio chanzo Cha matatizo mengi hapa duniani.Mfano Hawa ndio husukuma ajenda za ushoga.
@shabanibussara84542 ай бұрын
Exactly
@emmadora78482 ай бұрын
Hao mashoga wa huko kwenu nani kawafundisha hayo? Ushoga ni tabia ya mtu ndio maana hata kwenu wapo toka kitambo
@LucyNgowi-m5z2 ай бұрын
Yule polis wa Zanzibar aliyekua akifanyiwa hivyo vitendo wa Israel walikwenda huko Zanzibar kumfundisha?ushoga tabia ya mtu binafsi hakuna aliyeshikiwa bunduki awe shoga
@ZariaAbdullah-r5t2 ай бұрын
Chimbiko lamashoga ni mayahudi ndio wanao ongoza ushoga dunia Kate wazulumu nchi wanazo ziweza qakipata Mali wanazitumia kueneza ushoga hata papa nishoga na wala hajifichi anaweka wazi mwenyewe
@ronniemalima63252 ай бұрын
😂😂😂😂 @@LucyNgowi-m5z
@shebbylove31402 ай бұрын
Kwani wao Israel ni nini duniani kwaiyo awawezi kushikwa?
Wao ndio wameishikilia dunia kwa kila kitu kuanzia teknologia wao pia walikua ni taifa teule la Mungu lakini wamepatachangamoto ya kushambuliwa na maadui kwasababu walimuasi Mungu kwahiyo Mungu amewaacha ndio unaona wapo kwenye mateso yakushambuliwa mara kwa mara natayari shetani anawatumia kulipiza kisasi na kuua watu bila kujali
@nixsonmkamba28952 ай бұрын
Et ni taifa teule😢
@sayidabdillah85052 ай бұрын
Uturuki Allah sw atawapa nguvu juu ya washenzi wa Israel
@ahmedymahmudu95322 ай бұрын
Si kweli sio kila siku ni ijumaa Ninyi mashoga wa dunia
@bujsaudaselemani55622 ай бұрын
Allah atamlinda naao mashetani wa ulaya
@msodokidasilva67392 ай бұрын
Time will tell
@sayidabdillah85052 ай бұрын
I like turkey
@josepheriah59772 ай бұрын
Ajichanganye sharing yke
@adamchaka-vl7yk2 ай бұрын
Hiyo mikwara Kwa Uturuki,Wakiambia ukweli hawataki.Mbwa wakubwa Israel
@DafiMohamed-dz8xk2 ай бұрын
Hovyo kabisa mayahudi maisha yamebadilika Iraq sio uturuki jaribuni
@HumphreyAloyce-on1vl2 ай бұрын
Mlisema hivyohivyo kwa Iran hatimae rais wao wakamla kichwa Kwaiyo punguza mikwara😑
@DafiMohamed-dz8xk2 ай бұрын
@@HumphreyAloyce-on1vl nipe evidence ya rais wa Iran kuuawa na mayahudi
@annasolomon98552 ай бұрын
@@DafiMohamed-dz8xkkwani mpaka uoneshwe , haya tuachane na rais na huyu gaidi alouliwa ndani ya Irani 😊😊😊?
@TatuKhatib-f1u2 ай бұрын
Sote ni mungu tumeletwa duniani kwa lengo moja tuu kumuabudu . Haya tunayoyafanya ni mambo ya kishetani .na hakuna taìfa la mungu wala nini watahukumiwa tu hao siku sio nyingi @@annasolomon9855
@TeddyDickson-w5p2 ай бұрын
Nilichogundua Israel ni marekani,marekani akimwàcha Israel mwenyewe anapigika tu,wamemjazia sifa nyingi sana,anapigika kawaida
@ramadhanhassan52852 ай бұрын
Nabaki na huzuni tuu juu ya wapalestina nikiwaona jinsi wanavyo uliwa tena kwamakusudi mungu kua pamoja na uturuki ili washindwe israel
@geoffreymagessa2892 ай бұрын
Hujui hata unachokiomba nini. Hamas ndio waliowasababishia wapelestina matatizo yote hayo. Unapaswa kulilaani kundi la kikaidi la Hamas siyo Israel.
@RahmaMfaume-sp2oj2 ай бұрын
MWENYEZI MUNGU atunusuru Amin wale wote wanashabikia lzilaili MWENYEWE MUNGU anawaona mtajuta lpo siku.Kwasababu wale wanampinga MUNGU.
Nyokoooo,Israel isicheze na Turkey......Israel itapata shida kubwa.
@LucyNgowi-m5z2 ай бұрын
Usisahau nyuma ya pazi yupo mmarekani
@AFRICA_D6692 ай бұрын
@@LucyNgowi-m5z isisahau nyuma ya turkie yupo Russia A.K.A usoviety Brics ya sasa 😊😊
@zainabuabdul78522 ай бұрын
@@LucyNgowi-m5zusisahau kuwa Turkey ni mwanachama wa nato
@emmadora78482 ай бұрын
Tangu hiyo Turkey 🦃 yenu umeanza kuongea Leo tunakaribia miezi tisa but hakuna kitu zaidi sana biashara zake na Israel zinaendelea 😂😂😂
@IddyAmir-gq1jr2 ай бұрын
Israel hamuwezi uturuki hiyo mikwara yote ni kumtegemea marekani
@MohammediKihimbwa-bj4pf2 ай бұрын
Edogan siyo ashura
@Yussuf-b3b2 ай бұрын
Erdogan hongera kwa kauli yako maana umeongea UKWELI ,WAISRAEL WANAWAUWA WAPALESTINA UATAFIKIRI WANYAMA ,HII HAIKUBALIKI LAITI MATAIFA YOTE YA MASHARIKI YA KATI WENGEKUWA WANATOWA KAULI KAMA HII ISRAEL ASINGEFANYA MAUWAJI YA AINA HII ,,KILA DAKIKA MOJA MPAKESTINA MMOJA ANAUWAWA KWA MUJIBU WA TAARIFA ZA UMOJA WA MATAIFA
@allykwaya2 ай бұрын
Hao ndo Maraisi shupavu
@RaibebeBebe2 ай бұрын
Mda wa kuwatishs watu umeisha unafk wote marekan israil uko wazi sasa
@FahadAbubakari2 ай бұрын
Hawa mabwana waarabu wamewashinda Leo wanatishia watu waliwahi danganya watu wao ndo wanaakili kuliko mtu yeyote na wapuuzi wakaamini Hawa wanamifumo ya propaganda ilotukuka kama hujui unaweza waaamini ndio maana Leo kwa Mara ya kwanza nchi ka Spain inawapinga kitu ambacho awali hakikuwahi fikiriwa kikatokea wamedekezwa kwa miaka
@dannywillson58742 ай бұрын
Wajalibu waone wao wanaishi kama zaman now maisha yamebadilika 😂😂😂
@Oldskulgemini99912 ай бұрын
Unavyokomenti unadhani mnajuana vile kumbe upo huku mbali kabisa ila shobo na waarabu Sasa kisa dini tu😅
@christinewomanoffaith54792 ай бұрын
Ndioo Ajaribu aone kitakachomkuta km ye mwanaume ukweli
@unjuusalvatory53312 ай бұрын
Inaandikwa Reccep ila inasomeka Rejep
@WadySaidi2 ай бұрын
Waisraeli hawana lolote kazi yao kubwaa kuwadanya watu kama ni taifa lenye nguvu kwani hata uyo metanyooko anayetembeza bakuri marekani ana uwezo gani wa kumtishia mtu amulize mwenzake ametembeza bakuri Hadi NATO yao lakini wapi Bado netanyoko tunamtafuta kidogo akamatwe
@israelmwasota2 ай бұрын
Ina nguvu za kisiasa (political strength). Kubali usikubali Israel hata isipokuwa na kitu inapenya popote. Political strength ni muhimu hata kuliko nguvu za kijeshi Hutaki😂😂
@WadySaidi2 ай бұрын
Nguvu ya kijeshi ipi wew kumbe manyumbu mnapelekwa tu nchi yenye nguvu inaimba misaada
@WadySaidi2 ай бұрын
Pumbavu ww
@israelmwasota2 ай бұрын
@@WadySaidi I am sorry, nikajua naongea na mtu mwenye akili timamu. Watu wenye akili timamu wanaongea kwa hoja sio kuendeshwa na hisia.
@WadySaidi2 ай бұрын
Hata Mimi nilikuona mapema una hakili timamu kumbe wameshazikontro waisrael
@aliabdallah84562 ай бұрын
Waarabu wengi ni mashoga hawana umoja ni kama wanyama nyumbu wamedanganyw a wakamuua Sadam Hussein alafu Gadafu na hadi leo hii wanapata tabu nchi nchi zao hakuna amani kwa ujinga wao
@ZariaAbdullah-r5t2 ай бұрын
Asilimia kubwa ya warabu ni wanafki nadichokitu kinacho wasambaratisha
@africanmandetraveler28472 ай бұрын
Nakubaliana na wewe mkuu unakuja Iran ilivyorushwa drones na rocket kibao israel Jordan taifa la kislamu ndo waliisaidia israel kudungua hizo rocket .Waarabu wanafiki sana.
@HusseinSaguti-sj9nh2 ай бұрын
Tn bora hao mashioga kila mwaka wanakutana israel na kuuazimisha Na kutaka ukue Hawa waarabu mm siwapatiii jibu Mbaya zaid iran anaepambmbna hawamtaki Wao wamemkumbatia marekan ndio best yao Hata kulaan hawawez
@HusseinSaguti-sj9nh2 ай бұрын
@@nusalim3389cc nimasikin hatuna uwezo km wao
@emmadora78482 ай бұрын
@@HusseinSaguti-sj9nhtatizo mna ubaguzi sana ,Irani akipambana mnaanza sema sio waisilamu ni washia Hilo nalo janga ,second ,nchi nyingi za kiarahu by now wanataka amani na wanapambana kukuza chumi za nchi zao angalia ,Saidia ,Qatar, Jordan , Singapore,Oman hawana muda tena na vita ambavyo wanajua vitawagharimu Miaka na miaka
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl2 ай бұрын
Izraer inapigana na nnchi nyingi kisilisili
@Godfreyolekidongo2 ай бұрын
Uturuki sio kama hamasi , Hezbollah, Wala wakordi wa Yemen , wajichanganye Sasa ndowatajua .
@mgolozicrispin51262 ай бұрын
Hyo sio iraki wasijichanganye ata kidogo wataumia
@josepheriah59772 ай бұрын
Edogan afe
@IsayaNgoiva2 ай бұрын
shida ya haya yote ni marekani hakuna kingine ndio chanzo ya matatizo ya dunia
@mwawekomiuda97792 ай бұрын
Aaaah wapi hatutaki!!!! Eti waziri wa nje wa izrael anasema nini? Sadam ?Dunia yote watu wako macho hawathu tena uchafu ule. Na huu ndio mwisho wao.
@hamadikombo14922 ай бұрын
Kabisa aani mm naamni Sadam Hosein Muammar Gaddafi ingekuwa zama hzi wasinge uwawa Ile ilikuwa zama za Giza sio Sasa Kila kitu kipo wazi
@annasolomon98552 ай бұрын
@hamadimbina Raisi ameuliwa kwenye helcopta pamoja na huyu Gaidi ameuliwa chumbani Iran 😊😊😊 hio ni zamani?? Hakuna kinachoshindika kwao..😊kombo1492
@salehkhamis-ob8ln2 ай бұрын
Tunaishi Dunia ya mwisho sasa dalili kubwa kubwa zinaanza kujitokeza. ni kutokea kwa vita ulimwengu mzima
@stevenialbert50332 ай бұрын
Taifa la mungu
@yumbebacar2 ай бұрын
Lipi taifa lá Mungu? m medanganyua nyie vi pofu,Du nia itawa rekebisha lakini si ku sudi lenu, Mungu hawezi kuwa na taifa la ki shoga, kwanza Mungu há pendi vishoga
@yumbebacar2 ай бұрын
yani hawa makafiri wana fanya kusudi ku uwa watu kwa sasabu wa na jiamini,sasa watu wa nyamaze wa funge midomo wa kae wa kiwa angalia hao wana po uwa raia huko Gaza,na Falestina,ai wezekani
@muhammadmbaraka45152 ай бұрын
Waisrael ni waoga sanaaa..ikiwa watakosa misaada kutoka kwa nchi za maghrib
@emmadora78482 ай бұрын
Nani muoga ? Edgan ndio muoga maana toka mwaka Jana alaropoka tu lkn hakuna kitu amefanya😢
@hundredcopies27192 ай бұрын
Amalize dhamana yake Kama raisi ni kheri kwake kutetea Waislam wenzake Allah Atamnusuru siku ya Malipo #kila nafsi imehukumiwa kifo
@mutambukamubaraka2 ай бұрын
👍🇷🇺🇷🇺💪🇵🇸🇵🇸🇷🇺♥️👌
@mohammedhamad93922 ай бұрын
😊😊😊😊
@leonardalphonce89242 ай бұрын
Hebu jaribu kuingia israeli uone tunavokuchapa mpaka ukirudi uturuki koti lako limechanika
@othmanmaulid48672 ай бұрын
Sio Operation sema Mauaji
@shabanibussara84542 ай бұрын
Sawa sawa
@GabrielSky642 ай бұрын
Kama kafa Rais wa Iran adui number moja wa Israel basi hawa wayahudi hawashindwi kitu wakiamua lao
@jibriladat57492 ай бұрын
Iran unatumia helicopter za marekani ila uturuki wanaunda Helicopter zakwao nandege kubwa zakivita Uturuki ni number 2 kwamajeshi Nato
@somymoivanlukumay41982 ай бұрын
@@jibriladat5749 ata angekua namba moja ingekua tuu kama mkate kwa israeli!israeli ni simba wa kabila la yuda asiyekosea mawindoni 🔥🔥🔥🔥🇮🇱🇮🇱🇮🇱
@AlimachiusFaustine2 ай бұрын
Wape waislam ushabiki Kila siku lakn ukweli unajulikana kwamba Israel is still so powerful
@salimfaraj55092 ай бұрын
Zama za Sadam zimeshapita huu wakati mwingine mambo yamebadilika
@mohammedhamad93922 ай бұрын
Mambo yamebadilkka sasa naamini hilo
@annasolomon98552 ай бұрын
Watu wasipende vita vina garimu maisha ya watu na kuporomosha uchumi wa nchi 😊😊
@AbdallahBakar-oc3ue2 ай бұрын
Mungu imalize marekani mbona unaiyogopa
@omarnicesang55072 ай бұрын
Mungu hawezi ogopa viumbe alivyoviumba kamwe
@KassimMwembe2 ай бұрын
Hpn usivuke mipaka ndg yng Mwenyez Mungu ameshakadiria haya yote lkn mwisho wao upo hawatabakia milele kk mbwa hawa.
@AFRICA_D6692 ай бұрын
😁😂😂😂😂
@Officialjidaa-sn9cs2 ай бұрын
BIG UP ISLAEL 😂😂😂
@kafwimbimilambo85562 ай бұрын
Sio muda wote mwenye nguvu hushinda
@EnikoSanga2 ай бұрын
Wanatafuta kichapo
@majidikhatibu74792 ай бұрын
Kwaiyo wao wanavo wauwa wapalestina mbona hawanyongwi Mm mwenyewe natamani nikawaidie wapalestina
@tekashisixtynin9threewithd7272 ай бұрын
Kwan wakati hao HAMASI walivyoruha izo kombora walitaka wafe wanyama ama wanajeshi si walitarget kwenye raia sema kutokana na ulinzi wao wakazuia unazani yangetua chini watu wangap wangekufa 🥹✊🏾✊🏾🇮🇱🇮🇱🇮🇱
@Golanh47862 ай бұрын
Ndiyo ule msemo ukitaka kumuua mbwa mpe jina BAYA.
@FredCharles-u3z2 ай бұрын
Ila dunia imeamka saizi sasa 2003 leo na 24 nani wakumuonea mwingine
@IsackIsacksamson2 ай бұрын
Israel ni taifa la miujiza ,nyetanyahu ni more than u think alishasema ujasus tunao amerika tupen silaha
@abuusaid32972 ай бұрын
Kila jambo linamwishowake,izrael itafk mwisho wa ubay wake
@zebedemirambi30672 ай бұрын
Israël ♥️🇮🇱♥️ TAIFA LA MUNGU ♥️♥️♥️🇮🇱
@brownshirima59242 ай бұрын
Hawo wa israel. Wanapiga na gang ambalo alina vifaru wala ndege nusu mwaka. Wahii israel zamani bhana sasaiv hawatish tenah
@mohammedhamad93922 ай бұрын
Nguvu yao imebadilika sasa
@somymoivanlukumay41982 ай бұрын
Mungu Wa israeli Ndiyo Mungu wa Kweli na hapana Mwingine🇮🇱🇮🇱🇮🇱na ndiyo MUNGU Wangu❤❤❤
@wekezauchumi74402 ай бұрын
So mungu wako anaeneza dini yako kwa kuua watoto wasio na hatia eeh? Hao watoto aliwaumba shetani eeh
@somymoivanlukumay41982 ай бұрын
@@wekezauchumi7440 walianzisha uchokozi wenyewe acha wapate mshahara waho kama walijua wataleta shida kwa watoto wasingeichokoza israel acha wakipate💪💪🇮🇱🇮🇱🇮🇱
@ZariaAbdullah-r5t2 ай бұрын
Makafiri wanapenda zulma wali mzulumu sadamu husein na wamesha zulumu wengi kwa kuwasingizia mambo mengi tuwaone wao wakiishi milele makafiri yao dunia pamoja na wanafki
@zainabuabdul78522 ай бұрын
Israel hana uwezo wa kuipiga Turkey
@swalehemusa45462 ай бұрын
Uyu nata paka anasemaje vile yy na mashoga wenzake kma cjamsikia vizur
@jimalhussein32152 ай бұрын
Hapo jihad
@lucasngalawa88262 ай бұрын
Kumbe mlimuua sadam Kwa uonevu wenu Leo mnaropoka wenyewe
@DanielKigesa2 ай бұрын
Ssa hata kama wakiropoka watafanywa nn
@FocusMsimbe-k5m2 ай бұрын
Ombeni Amani Acheni ushabiki wa kidini
@ismailbuchwa3982 ай бұрын
Kaka Raisi wa uturuki ni kwa sihili Rajabu Twaybu
@nakalikyumile32342 ай бұрын
Hili taifa la mashoga israel linadekezwa mno
@paschalfausitine71082 ай бұрын
Siwapendi wazungu , washenzi. Bora. Putin ,izi,mbwa, za uray, bc ,tyu,
@AbelsonGidion-vo1uj2 ай бұрын
YESU kristo aliwafia msalabani ao ambao uwapendi
@PasserbyMan-ju8ky2 ай бұрын
@@AbelsonGidion-vo1ujIvi ujinga mtaacha lini?
@emmadora78482 ай бұрын
Hapa tu unatype kwenye app yao😂😂😂
@MsAggie52 ай бұрын
Hao waisrael ndo waliosababisha vita ya Iraq lakini kwa sasa hawataweza, America hawezi kufanya ule ujinga tena
@josepheriah59772 ай бұрын
Achaapigwe kama hamas
@gihungaselemani87272 ай бұрын
Hiv Iraq na Turkey wap n wap
@ce-082 ай бұрын
Erdogan hana vitendo anaongea sana ila vitendo hana
@hassangaddafi23472 ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian ❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸
@AbdulMichael-g4o2 ай бұрын
Eti Putin nyokonyoko yule Putin porojo hamna Cha maana kale kanchi kadogo kamemshinda mmarekn atawezana nae
Au kama Ibrahim rais unapigwa na kitu hata huwezi kumlaum mtu itabaki tu kazi ya mungu haina makosa
@mussabukarasha57752 ай бұрын
israel anategemea msaada wa nato
@paulvimbamvula95082 ай бұрын
Vita za Kidini.....sisi wa Christu tunajuwa Turkey 🇹🇷 itaingiya kwenye vita na uTuriki utakwisha vibaya. Ezekiel 38 bibiliya lishayandika. Israel itapambana na kama ataingiya vitani Israel ana uwezo wa vifaa hadi nuklia
@HawaBakari-u6q2 ай бұрын
We shoga huna unachokijua zaid ya ujinga umekujaa had matakon
@HusseinSaguti-sj9nh2 ай бұрын
Israet hawaina uwezo wwt Zaid inategea mbeleko ya marekan ungereza na nato Kila cku wanaomba silaha marekan
@kassimkhalid11852 ай бұрын
Waisrail ni waoga wanategemea inchi za kimagharibi kama nato walipo vamia Irag..Uturuki ni inchi yenye Unguvu sana si kama Iragi.
@chefbestfood2 ай бұрын
sisi china russia na north koea hatuwezi ruhusu edorgan tumpoteze
@NuhuHamisi2 ай бұрын
Magaidi yanayolindwa na maghalibi nchi za kishetani
@mapundarajabu54162 ай бұрын
Walificha ila leo wanatoa sili wenyewe sadam na viongozi wengen walio uwawa na malekan kwa kvuli cha nato awauwa na makosa kama tunavyo zani ila MUNGU nimwema nanyie zamu yenu imefka
@NafuuTaib-u8q2 ай бұрын
Km wanataka kujua dunia niyawatu wote siyo ya marekani na Israil tu na wamguse mturuki hamas tu juzi anarudi kulia na kuomba msaada marekani
@AliNassor-qt6fm2 ай бұрын
Hizi sio zama za Saddam , mmeshindwa kumtoa Bashar al asad syria israel msitishe watu
@kahemachowdry73462 ай бұрын
NATO ni Mbwawitu Kama ilivyo Izraeli
@raymrash2 ай бұрын
Anataka yamkute ya raisi wa Irani😂😂😂
@JajiZakayo-fw9mk2 ай бұрын
Eti mjinga mmoja anasema Israel anatembeza bakuli jidaganye kama ujui kuwa hiyo ni mbinu ya kuwapumbaza
@JamalKanani2 ай бұрын
Bila marekani israel atoboi kamwe
@mohammedhamad93922 ай бұрын
Israel atoboi kabisaaa mtu akiamua ameamua Rais Edogan Ingia ukawasaidie wenzako wanataka pepo ya Allah 😊😊
@MzeeKigogo_2 ай бұрын
Huyo mpuuzi wa Uturuki hawezi kufanya chochote mbele ya Israel. Ajaribu aone moto wake
@HusseinSaguti-sj9nh2 ай бұрын
Najuzi alikua apga magot aomba msaada wa silaha aendlee kupewa
@MzeeKigogo_2 ай бұрын
@@HusseinSaguti-sj9nh na wewe nenda kaombe silaha kama utapewa. Au unadhani zinagaiwa kama njugu
@nick1o7bang172 ай бұрын
Mkwara wa kutengemea msaada kutoka US ila amna kitu wanaweza
@DaudiHamisi-un2uu2 ай бұрын
Kwani vita vya Gaza ni vya NATO
@zuberisalum20042 ай бұрын
NATO na Israel nikitukimoja. Kaka
@kassimbayuu2 ай бұрын
Kama ataingia basi huenda akatolewa nato
@mohammedhamad93922 ай бұрын
Bora wamtowe aingie kwenye Chama la Wagga 😊😊 Brics
@ibrahimmakungu97112 ай бұрын
Watabaki peke yao duniani
@KatemboJeremica2 ай бұрын
sikiliza wewe mtangazaji wa habari kuwa una ongea ukweli izi habari zako ni uwongo sikiliza kitu ni kwambie uturuki sio nchi ya kuvamia siasa ya pale ni Kali sana ivi una fahamu uwezo wa uturuki kwa kijeshi au kwa silaha ni nchi ya nne duniani sasa ivi ina ongoza kwakila kitu
@gilbertkalanda93542 ай бұрын
Who are you demons, muamue mustakabali wa dunia
@ramadhanikalungwana83772 ай бұрын
Mnavyotamba utafikiri mna nguvu!! Watu wanahangaika kuzimaliza nguvu za samsoni!! Zikishaisha mtakosa pa kujificha Bora hata huyu saadam Hussein!! Kumbe ninyi ni mashwetwan kabisa!! Dam ya Iraq iliyomwagika bila sababu mliona sawa? Hats huko Gaza mnaona sawa tu!! Ni ulimwengu au kipindi cha shetani hiki!! Kumbe mnajua uovu wenu?