GPS: Hii ndio sababu ya kukamatwa Mwanzilishi wa Telegram Pavel Durov Ufaransa, URUSI yataka maelezo

  Рет қаралды 26,411

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Пікірлер: 81
@kelvinkibenje
@kelvinkibenje 2 ай бұрын
Nyie jamaa ni hatari 🙌. Nilitaka kupata hizi taarifa nikasema sns lazima wanazo na kweli
@MoneyKey247-fk4oy
@MoneyKey247-fk4oy 2 ай бұрын
Kweli kabisa hawa jamaa wapo vizuri sana kaka
@optatusduqangw1071
@optatusduqangw1071 2 ай бұрын
jamani sns Mungu awabariki Sana
@TherealJoe_21
@TherealJoe_21 2 ай бұрын
SKY I appreciate a lot your media, you the only media in Tanzania ambayo haipo under matrix control kama kina milard ayo. That's why information zako unazichambua in deep. Keep it up bro we understand how the system work. #FREEDUROV
@ZeProDJay
@ZeProDJay 2 ай бұрын
Swala la muda tu kaka, kwani Milard alianzaje? Au SNS yupo China, si tupo nae hapa hapa TZ.. naipenda sana hii channel ila sitamani kuona ikifikia huko kwakua mbogamboga wameshikiria mpini mzee utajitenga nao sana ila mwisho wa siku wanakuminya mahali
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Hawa ni ngumu kufikia huko sababu hawa mada zao nyingi ni za kimataifa na sio kitaifa tofauti na Millard ayo.
@chambalafrankdaniel397
@chambalafrankdaniel397 2 ай бұрын
Dj Sima nakukubali sana upo vzr unasema ukweli mtupu
@KUSINIFINEST
@KUSINIFINEST 2 ай бұрын
kazi mazuri sana Big up brother 🎉🎉⏫
@Markhomestz
@Markhomestz 2 ай бұрын
Dj sma welcome back…🔥🔥
@imaniseba
@imaniseba 2 ай бұрын
Nice talk....
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 2 ай бұрын
Hi ni kubwa sana bro sky
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 2 ай бұрын
Big up GPS
@ReyzDon
@ReyzDon 2 ай бұрын
telegram haina mfumo Wa kuhifadhi massage
@raydanfrenk
@raydanfrenk 2 ай бұрын
Kumbe nyote wageni telegram wanaingiza ela nzr kwa kulipia Priumiam unalipia mwezi au mwaka ni ww tu
@banajuliana758
@banajuliana758 2 ай бұрын
Wa mkome kabisa 😮
@RayMakini
@RayMakini 2 ай бұрын
Uuuuuyuu jaamaa a joing kweny timuu na yey
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 2 ай бұрын
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@Fgldesigns
@Fgldesigns 2 ай бұрын
Telegram na wao wana matangazo pia watumiaji unaweza kulipia kuwa premium yaani bila matangazo kuna kulipia kwa mwezi na mwaka pia telegram inatumika kutuma na kupokea pesa za kidijitali kama M-pesa na Tigopesa
@Mikede-j9b
@Mikede-j9b 2 ай бұрын
GPS 4life
@Kisalaurenceramson
@Kisalaurenceramson 2 ай бұрын
Kuhusu Durov anavyotengeneza faida I think ni kwa namna watu wanalipia premium services
@SuryaAneth
@SuryaAneth 2 ай бұрын
Wanazemgua hawajui kama sisi tunauza movie telegram
@DahleezCekiz
@DahleezCekiz 2 ай бұрын
Tumia VPN inafanya kazi 100%
@raydanfrenk
@raydanfrenk 2 ай бұрын
Duh asant kumbe kdg nichanganyikiwe
@ZeProDJay
@ZeProDJay 2 ай бұрын
Tumia telegram plus huitaji VPN
@yassernoah8984
@yassernoah8984 2 ай бұрын
Eti bhana weh mafala kweli hao
@RayMakini
@RayMakini 2 ай бұрын
akaaa ka nyimboo mbona siwezii KUKIDOWNLOD jamn
@hubman6780
@hubman6780 2 ай бұрын
Inawezekana Urusi ishachukua control then akawaloby
@TomFelix-s9t
@TomFelix-s9t 2 ай бұрын
hiyo nyimbo ya outro/mwisho inaitwaje jamani
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 2 ай бұрын
Henry mwinuka na ally masubi wako wapi?? Kuna gap kubwa linaonekana hapo
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 2 ай бұрын
Ila huo uchambuzi kuhusu Edward Snowden mje siku 1 mjadili humu GPS.
@RobertBitambaOfficial
@RobertBitambaOfficial 2 ай бұрын
Nafanyaje kuwapata live
@AyoubHajj
@AyoubHajj 2 ай бұрын
Sema nini sns mnachelewa kutuhabarisha ivyo tuh
@onesmolwambano9349
@onesmolwambano9349 2 ай бұрын
Whatsapp kweli kuna ushenz sana
@Elizabeth-gq9kl
@Elizabeth-gq9kl 2 ай бұрын
Huyu mgeni anajuwa kufafanuwasana nampenda, yeye halalimahalimoja.
@toyikudratullah1466
@toyikudratullah1466 2 ай бұрын
Wote wapo saw kw ubora wao.
@MohamedRashid-py7ro
@MohamedRashid-py7ro 2 ай бұрын
Telegram inatoa habari za kweli na utakuta kukamatwa mfadhiri wa Telegram Marekani anausika asilmia mmoja
@riddi676
@riddi676 Ай бұрын
Arrest warrant ilikuwa trh July 8
@boniphace1
@boniphace1 2 ай бұрын
Ukiwa hauna akili ni mzigo kwa nchi, ukiwa na akili nyingi ni tatizo kwa serikali. Telegram ndiyo kampuni kubwa pekee duniani ambayo kila kitu kinafanywa na mtu mmoja tu, Pavel Durov.
@gayanimwansasu
@gayanimwansasu 23 күн бұрын
Major kati yenu hayupo hapo
@ConsciousBNB
@ConsciousBNB 2 ай бұрын
Privacy sio uharifu 😢
@cryptoboy_5
@cryptoboy_5 2 ай бұрын
LEO NDIO NIMEGUNDUA RASMI KWANINI SATOSHI NAKAMOTO HAJULIKANI NA KUTUACHA TUPAMBANE NA HALI ZETU BAADA YA KUTUPA CRYPTO
@anisethzefrine6757
@anisethzefrine6757 2 ай бұрын
Af telegram inasumbua kuanzia jana
@hekimaelisha2736
@hekimaelisha2736 2 ай бұрын
Nitumie account ya telegram ya dj esma
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 2 ай бұрын
Vita yamatajiri
@ericklenjima455
@ericklenjima455 2 ай бұрын
R and L
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 2 ай бұрын
Henry na masoud wako wapi jaman tunawamis😢
@FastpayMauzo
@FastpayMauzo Ай бұрын
Kwanini Telegram huwa aikubali VPN?
@rejius11
@rejius11 Ай бұрын
Inakubali sasa ivi bila vpn inaload sana
@kengodhil
@kengodhil Ай бұрын
Inatumia proxy
@mosesdavid-vm5hk
@mosesdavid-vm5hk 2 ай бұрын
NAKUBALI VAN DIZOO
@KassimKhalaid
@KassimKhalaid 2 ай бұрын
Wazungu bna wsko mbele sanaa mtoto mdogo ati billlionee kweli lkn sie sasa weusi roo mbaya tu ndo utajiri wetu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 2 ай бұрын
😂
@masilyaalain8798
@masilyaalain8798 2 ай бұрын
Hello brothers just wanted to comment about the new guy please brother sky jama huyo ajitahidi kuji correct with his pronunciation Ana pronouns English vibaya sana nafasi ya R anatiya L that’s not good thanks
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 2 ай бұрын
Wengine hata dollar 1 hawana 🤣🤣🤣
@Smart_FundamentalFx
@Smart_FundamentalFx 2 ай бұрын
2700😢
@Smart_FundamentalFx
@Smart_FundamentalFx 2 ай бұрын
2700/=😢
@hamisimwinzagu6624
@hamisimwinzagu6624 2 ай бұрын
Unaongea Sana kiingereza Una hisi wote wanao angalia chaneli yenu wanajua icho kiingereza punguza mbwembwe
@alitomorrow166
@alitomorrow166 2 ай бұрын
VITA YA MATAJIRI. CRYPTO
@MaurusMpinga
@MaurusMpinga 2 ай бұрын
Uyo jamaa alieva miwani ndio anakili namkubalisa sio kipara. kipara chenge kabisa
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 2 ай бұрын
Chuki zko n Bure na hazikusaidii chchte ndgu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 ай бұрын
Umkubali kwa sababu alimkaxa mama yako
@zuumlondwa9518
@zuumlondwa9518 2 ай бұрын
We unamuongelea dj sma umekuja leo GPS embu tulia
@MaurusMpinga
@MaurusMpinga 2 ай бұрын
@@aishaarusha894 unawaza kuliwa tu
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 ай бұрын
@@MaurusMpinga tena na baba yako mwana haramu
@MwanaHussein-s2n
@MwanaHussein-s2n 2 ай бұрын
Pumbavuuuu Hawa wameshimdwa kumpata Abuu ubaida na anatumia telegram
@MwatatuHamisi-lu4cn
@MwatatuHamisi-lu4cn 2 ай бұрын
Ata wafanyeje tutatumia vpn
@paulntalima6998
@paulntalima6998 2 ай бұрын
😂😂😂😂vpn kufanyaje
@alexmalyango1405
@alexmalyango1405 2 ай бұрын
Ila utawala nimzuri na mubaya tena leo ufaransa anamvimbia mrusi ama kweli Putin kua makini
@JumaAyo-qp3fm
@JumaAyo-qp3fm 2 ай бұрын
hemu ninaomba muijadili hile gari alopewa Ramadhani kadirovu na bilonia wa marekani nikweli itakua ina usalama kwataifa lao na tukiangalia yeye ninani kwenye mitandao
@bishweko
@bishweko 2 ай бұрын
Kwa Urusi wanasema alikimbia hayo hayo na pia walimshutumu kuwa kibaraka wa CIA.
@kassimbayuu
@kassimbayuu 2 ай бұрын
Mlimiki wa telegram hapo kafeli kwa sababu hicho alichokuwa nacho hakuna nchi ambayo hakita kuhitaji,wamiliki wa fb, WhatsApp n.k wa West wanashirikina na cia na fbi, linapokuja suala la usalama wa taifa ni lazima serikali ihataji information kutoka kwako,
@lianasekro8121
@lianasekro8121 2 ай бұрын
Huwezi kuzungumzia kukamatwa kwa Durov bila kuzungumzia influence ya Israel... The whole thing imeanza baada ya Hacker kuiba Thousand of Gigabyte of data kutoka Israel government na kuanza kuziachia kwenye channel ya Telegram. Also Telegram ndio the real time source of Raw updates of information kutoka Gaza.
Finansmarknadens roll i klimatomställningen | Makro 2024
35:28
ЛУЧШИЙ ФОКУС + секрет! #shorts
00:12
Роман Magic
Рет қаралды 7 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,7 МЛН
The Muslim Prophet: #1 Sign That the End of Times is Upon Us | Bek Lover
33:49
Best of Danny Jones
Рет қаралды 475 М.