Mrembo aliyekufa kwenye ajali ya Ginimbi alitabiri kifo, aliweka video hii, imetokea hivyo hivyo

  Рет қаралды 120,220

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

3 жыл бұрын

#Ginimbi #Moana

Пікірлер: 355
@wanguindungurecheal
@wanguindungurecheal 3 жыл бұрын
Ukiwa na doto baya ama uoga kila wakati. Usisahau maombi kimbilia kwa Mungu ndiye muweza wa vyote. And to rebuke all evil dreams
@johnmwadime4590
@johnmwadime4590 3 жыл бұрын
Thankx kwa ujumbe wako
@michaellpeter3661
@michaellpeter3661 3 жыл бұрын
You for me👉👉👉👉👉 Bado wewe ishi kwa ndoto njema 🙏🙏🙏👍👍
@husseinchea5524
@husseinchea5524 3 жыл бұрын
Hatujui siku wala saa ila tusiishi kijingajinga yani maisha ya starehe km vile kubugia mipombe, kuvuta mibangi, kufanya ngono km wanyama...tuishi km anavyotaka MUNGU si tuishi km tunavyotaka wenyewe...Maisha bila Yesu Kristo si maisha
@lapozzydone5203
@lapozzydone5203 3 жыл бұрын
Sns ninachowapendea munatujali Sana mashabiki wenu Yani munabidii Sana ya kutupasha habari tusozijua ama ambao inakua ngumu kuzipa..Asanteni kwakweli
@ruthmusau5190
@ruthmusau5190 3 жыл бұрын
Our Gavana.. 001
@jamilaingu7922
@jamilaingu7922 3 жыл бұрын
My governor 🔥🔥🔥
@jamilaingu7922
@jamilaingu7922 3 жыл бұрын
254
@JulienKambaleN
@JulienKambaleN 3 жыл бұрын
001
@AishaAli-lk7gh
@AishaAli-lk7gh 3 жыл бұрын
#001
@SandraSalomeAngolorctr
@SandraSalomeAngolorctr 3 жыл бұрын
Eh..Mimi Namuelewa huyu marehem. Ni sha wahi kuota mara mengi eti nimekufa kwenye ajali ya gari lakini namuomba Mwenyezi Mungu isiwe hivo! Unaweza ku badili kifo chako kama Mfalme Hezekiah kwenye biblia. RIP to them all.
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 3 жыл бұрын
Muda mwingine Mungu anataka utubu
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 3 жыл бұрын
Mimi nlikuwa noata ndoto mbaya za kufa kunajitu nilikuwa nikilala linanikabaa sana hasa nikilala peke yangu chumbani ila watu wakitokea linaniachia nikilala tu lazima lije linasemaleo lazima ufe kwahiyo mimi kifo changu kingekuwa usingizini aisee nilisali sana siku moja nikaskia sauti inaniambia jitu linalokutesa kila siku ni hili sikuamini niliona kwa macho yangu linatishaa limevaa nguo nyeupe tokea siku ile 2012 hadi leo sijawahi kukabwa tena, jaman mkiota mandoto mabaya mkumbuke kusali ni siraha tosha
@nevisdaniel5276
@nevisdaniel5276 3 жыл бұрын
Sahihi ukiota ndoto mbaya amka swali omba mungu kemea kisha ludi lala na ukiota ndoto nzuri muombe mungu ndoto iyo itimie
@fainajaffary4070
@fainajaffary4070 3 жыл бұрын
Pole my
@oscanyakunga9674
@oscanyakunga9674 3 жыл бұрын
Sawa sawa
@danyanthony3582
@danyanthony3582 3 жыл бұрын
Nikwel kabisa
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 3 жыл бұрын
Shukrani sana kaka SKY... Ni vizuri kuomba mwisho mwema hakika mwenyezi MUNGU uyapokea haraka maombi yetu tumuombayo uku tukibubujikwa machozi...
@hopechidera
@hopechidera 3 жыл бұрын
Jaman kifo😭Mungu Baba tujalie mwisho mwema🙏🏽
@maryamjilo7318
@maryamjilo7318 3 жыл бұрын
Ameeen
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
Amin
@Awatee
@Awatee 3 жыл бұрын
Amiin
@aminaramadan184
@aminaramadan184 3 жыл бұрын
Amiiin
@salehalbasam41
@salehalbasam41 3 жыл бұрын
Amina
@nonofelix3903
@nonofelix3903 3 жыл бұрын
Ulimi ni kiungo chenye nguvu sana, she was supposed to pray hard na kukataa hiyo hali, sometimes ukijiongelea kitu shetani hukisimamia na kuhakikisha kinakua hivyo. R.I.P guys.😢😢
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 3 жыл бұрын
Pesa ya shetwani inawamiliki,kiasi cha ata huwa hawajui kama kuna m/mungu angeomba nini Kwa MUNGU ?wakati shetwani ashawapa pesa????🇰🇪
@gockoomzawa3389
@gockoomzawa3389 3 жыл бұрын
Hata ulimi uspozungumza swala la kufa lipo palepale
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 3 жыл бұрын
Kifo kinasiri kubwa sana MwenynziMungu awarehemu😭
@zennakailo8106
@zennakailo8106 3 жыл бұрын
😭😭😭kifo hujui lini kinatoa hakika siri ya Mungu ni Mungu mwenyewe
@fatmaamran1335
@fatmaamran1335 3 жыл бұрын
Wapo ambao hujuwa siku zikiwa kàribu lakin kumwambia mtu uwa Hana hiyo kauli
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 3 жыл бұрын
Sahihii kabisaa ma dear....
@nellyflo9736
@nellyflo9736 3 жыл бұрын
Kikweli kifo hakina huruma 😭😭😭😭😭😭😭Mungu ndie Anaye jua saa...siku na muda wako katika dunia ss n wapita njia Mungu awalaze pema
@kweka14l35
@kweka14l35 3 жыл бұрын
Hii ni sawa na Movie ya Final Destination. R. I . P Dears 💔
@KA-yz2ld
@KA-yz2ld 3 жыл бұрын
May her soul RIP. Still so young, kwa M/Mungu tumetoka na kwake tutarudi; tuishi bila yakujisahau kwamba hapa tunapita tuu 🌹🙏🏽.
@baranmohamedmbashir5299
@baranmohamedmbashir5299 3 жыл бұрын
Mungu awaweke pema penye wema peponi inshallah
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 3 жыл бұрын
Yaan kuna mda Mungu anakuonyesha siku yko itakuwaje ila sie bila kujua maskin rest in paradise wote waliofariki kwenye ajali hii🙏🏽🙏🏽🙏🏽😥
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 жыл бұрын
Yesu anaokoa,kimbilieni kwake kuna usalama,at uwe tajir ama maskin tutakufa tu,waebrania9:27
@ramadhanimohamed2272
@ramadhanimohamed2272 3 жыл бұрын
Kwani Yesu ndiye muumba?? Muogope MOLA WETU MLEZI MTUKUFU aliyejuu. Muumba ndiye mjuzi na ndiye muokozi
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 жыл бұрын
@@ramadhanimohamed2272 Mungu wangu na Bwana wangu n Yesu Kristo Mwamba aliekufa msalabani kwaajili yakila mtu hivo wee kama humtambui mm ndo namtambua vyema ndo maana sion aibu kumtangaza,
@lydiawafula3484
@lydiawafula3484 3 жыл бұрын
@@ivonaevarista4654 HALLELUJAH hatuna haya kumtangaza bwana na mwokoxi wetu kristo , ,, kwa hakika bwana yesu yuarudi tutubuni
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 жыл бұрын
@@lydiawafula3484 ameeeeeeeeeen Bwana Yesu epewee sifaaaaaaa yani hakuna kuogopa Yesu ni lazima tumtangaze mpaka kieleweke yani kama hujamjua Mungu huwez kumjua shetani ila ukshamjua Mungu ndo utajua kuwa shetan anawaliza wengi sana jaman,asante sana barikiwaaaa
@lydiawafula3484
@lydiawafula3484 3 жыл бұрын
@@ivonaevarista4654 HALLELUJAH,, tutamtangaza maana yu hai ktk maisha yetu🔥🔥🔥🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️💃💃💃💃💃💃
@Aminamodhir
@Aminamodhir 3 жыл бұрын
You guys should run back to God he is the only hope and way to heaven
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 3 жыл бұрын
Yes Liz.only God can give u clean money with no conditions.🇰🇪
@rhodahj7121
@rhodahj7121 3 жыл бұрын
God is the answer
@lucyolindo5732
@lucyolindo5732 3 жыл бұрын
God is the only answer repent and follow jesus you will never lack or cry...
@stanleymathias7877
@stanleymathias7877 3 жыл бұрын
Hiyo ilikuwa ni vita kwenye ulimwengu wa roho akashindwa kuitambua inahitajika uwe na roho mtakatifu ili kuitambua na kama angejua kumtafuta mtumishi wa Mungu ilikuwa inazuilika;
@deboraisuja5375
@deboraisuja5375 3 жыл бұрын
Nimejifunza jambo nashkyru Sana ntazid kuomba kwa bidii
@wepoorman8944
@wepoorman8944 3 жыл бұрын
Sure
@rachelshebesh2752
@rachelshebesh2752 3 жыл бұрын
Ooh so sad, Nothing BT prayers Every body must believe in God and trust in him.
@swalehemusa4546
@swalehemusa4546 3 жыл бұрын
Subutu kifo hakina roho mtakatifu wala mtakabifu
@stephanieeunice8572
@stephanieeunice8572 3 жыл бұрын
Things like this you dont share but you provoke and pray pray, tongue is a powerful organ.
@claudiangowi9585
@claudiangowi9585 3 жыл бұрын
Very correct
@puritysidi1066
@puritysidi1066 3 жыл бұрын
The power of the toungue
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
Praying now won't change a thing. Is too late, lesson learned the hard way.
@allthingdranabeauty
@allthingdranabeauty 3 жыл бұрын
So true
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
@RICH HOMIE So you pray then you go wild drinking and driving the fastest car? God won't answer that kind of prayer.
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 3 жыл бұрын
Mungu azilaze roho za marehem mahala pema peponi Ameen 🤲🙏
@josephkomba64
@josephkomba64 3 жыл бұрын
Urembo wao haupo tena jaman tufanyen ibada xana kuliko kujipamba
@chunaamina8719
@chunaamina8719 3 жыл бұрын
Kbsa urembo hauna faida mbele ya alotuumba zaidi ya ibada
@baranmohamedmbashir5299
@baranmohamedmbashir5299 3 жыл бұрын
Pia sisi atupe mwisho mwema inshaallah
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 3 жыл бұрын
Lala peponi young girl . Mungu atakupokea kwa uwezo wake ichaallah
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious 3 жыл бұрын
😭😭😭😭 Mungu Awalaze Mahali Pema Peponi, Site Njia Yetu Ni Moja 🙏🙏🙏🙏🙏
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 3 жыл бұрын
Seriously?? Uishi Kwa utawala WA shetwani na hapo hapo utarajie M/mungu akueke maali pema peponi???mbona tunamkejeli MUNGU?????
@gracerevocatus4686
@gracerevocatus4686 3 жыл бұрын
Amen
@dinasinyangwe9340
@dinasinyangwe9340 3 жыл бұрын
Maimuna abdallah huwezi muhukumu binadamu mwenzio, maana wewe so Mungu, na ukumbuke kuwa Mungu husamehe na anaweza kukupa sekunde tu yakutubu na akakusamehe, nahicho ndiyo tegemeo letu sote katika safari yetu yamwisho hapa duniani, maana Mungu si binaadamu Mungu nimkuuu sn
@lulually6722
@lulually6722 3 жыл бұрын
Sio mahala pema peponi mahala panapostahili
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious 3 жыл бұрын
@@lulually6722 Sawa Mkuu 🙏🙏🙏🙏
@nataemsuya
@nataemsuya 3 жыл бұрын
Kwa hakika kifo ni fumbo na hakikwepeki. Imagine he had enough money to hire a driver who could drive him when got drunk. Again,he could sleep at his caffee&bar where the party was taken (it is a huge place with a lot of rooms to relax on,but he opted to drive back home . It's just a lesson to us!
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious 3 жыл бұрын
Kwa Mungu Kila MTU Anathamani So Sio Fukara, Mwendawazimu, Au Watenda Zambi. Mungu Huwa Anatuhitaji Sisi Kondoo Wapotevu 🙏🙏🙏
@maryamkhatau9445
@maryamkhatau9445 3 жыл бұрын
Nikiwaza kifo mwenyewe nasalim Amri kwa Allah naishi km alivyonitaka maana Duniani sisi ni wegeni na ubaya hatujui lini mtu atakndoka Allah atujaalie mwisho mwema na atujaalie kauli thabiti kabla ya mauti inshaAllah mauti yatukute Hali ya kuwa ameturidhia amiin 🤲🏻
@fadhilarajabu903
@fadhilarajabu903 3 жыл бұрын
Amiin🙏
@HassanAli-vy3kb
@HassanAli-vy3kb 3 жыл бұрын
Amin
@abdulikikuge5824
@abdulikikuge5824 3 жыл бұрын
🙏
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 3 жыл бұрын
Amiin yaa Rabbi
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 3 жыл бұрын
🙏🙏
@sarahogama9540
@sarahogama9540 3 жыл бұрын
Huyu alikua tayari ashatolewa kafara na ilikua apate mtu wa maombi amsaidie kufafanua hio hali but anyway God above all
@annamoka6605
@annamoka6605 3 жыл бұрын
Kabisa ilikua roho ya mauti
@wepoorman8944
@wepoorman8944 3 жыл бұрын
Sure u say it all
@evaemil856
@evaemil856 3 жыл бұрын
Mungu alaze roho za marehani mahali pema peponi!
@user-un3df1sl2h
@user-un3df1sl2h 3 жыл бұрын
Iyo hali sio nzuri,ata mimi ilinikuta maombi yamenisaidia sana
@roi2553
@roi2553 3 жыл бұрын
SnS nawakubali sana Munafanya Kazi nzuri sana hongereni
@stephanierona6592
@stephanierona6592 3 жыл бұрын
R.I.P mungu awape kauli zabiti😭😭😭😭
@aminihaminih7846
@aminihaminih7846 3 жыл бұрын
😭😭😭😭mungu tupe mwisho mwema,kila nikiwaza naic😭😭😭 kifo ni siri kubwa jamani
@zaitunijuma7831
@zaitunijuma7831 3 жыл бұрын
hakika mauti yanauma sn jaman Ya Allah tujalie mwisho mwema 😭
@lehhassan5853
@lehhassan5853 3 жыл бұрын
Ooooh my GOD It is very sad story Bro SKY hichi nnachokuelezea sasa hivi ni really story nilikuwa kazini just day before yesterday sasa nikawa nakuwaza jinsi gani unavyokuwa na mpangilio au mvutio pale unapotowa au kuelezea tukio fulani hakika inakuwa na UTAMU Wake wa kipekee siwezi hata kuuwelezea ...sasa ktk kumbukumbu zangu nikawa najiambia mwenyewe kwa mwenyewe niliikumbuka siku ulivyoiyelezea BIRTHDAY YA DIAMOND PLUTINUMZ Then nikawa nasema yule SKY Hata Aje siku Asimulie Story ya MAJONZI Basi kwa utaalamu wake ontop ya kwamba ni huzuni basi kwa jinsi atakavyoiyelezea still utaenjoy Na kupatwa na msisimko wa ile story ....Its exactly nimemaliza kuisikiliza hii story ya Accident iliyochukuwa roho nne za wapendwa ndugu na marafiki lkn point yng ni ule umahiri wako wa kukielezea kile kilichotokea na kwenye TONE AMBAYO NI AMAZING DUUUH HONGERA BRO MM NI FAN WAKO 💯/💯 nnakufuatilizia into every story na pia ni mpenzi wa SNS Again thank you bro ........all the way from CANADA🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🙏🙏R.I..P TO THOSE WHO LOST THEIR LIFE
@fredrickbundala3759
@fredrickbundala3759 3 жыл бұрын
Wow! Asante Sana! 🙏🙏
@jackiephyll1250
@jackiephyll1250 3 жыл бұрын
😭😭😭 let them shine on their way
@saumukaisi7003
@saumukaisi7003 3 жыл бұрын
Kifo nisiri kubwa Sana daah pole family yote💘😭😭
@vumbakingvumbaking9571
@vumbakingvumbaking9571 3 жыл бұрын
Innah lilah wainnah illah rajiun hili SoMo tuji funze wote ibada ni nguzo ya kesho🙏
@abdarahamaniabubakari4036
@abdarahamaniabubakari4036 3 жыл бұрын
hakika
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 3 жыл бұрын
Yaa Rabbi husnul khaatwimah, alhamdulillaah fii ni’imatil islaam
@chany9950
@chany9950 3 жыл бұрын
Asante saaana mungu awabarike kwenye kipindi cenu
@johnmwadime4590
@johnmwadime4590 3 жыл бұрын
Mwenyez Mungu Alaze roho zao..panapostahili..
@pericykiko6198
@pericykiko6198 3 жыл бұрын
Shetani hana shukrani hata umfanyie Nini bora kumkimbilia Mungu kabla ya siku mbaya
@Mazoea
@Mazoea 3 жыл бұрын
Yani shetani awezi kukupa utajiti bure utavilipia tu ..no free lunch
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 3 жыл бұрын
Ee mungu baba unakufa unajiangalia tu,jamani
@rhodahj7121
@rhodahj7121 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭 inasikitisha saaana mungu ailaze roho zao mahali pema condolence to the family
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 жыл бұрын
Kusema kweli stare za duniya zimetubeba sahi mungu atupe mwisho mwema amin RIp
@saniajuma6123
@saniajuma6123 3 жыл бұрын
Mungu awalaze mahala pema peponi amina 🙏🙏🙏🙏so sad daa inauma 😭😭😭😭😭😭😭
@RandB_Channel
@RandB_Channel 3 жыл бұрын
Daaaaa hatujuwi siku wala sahaa kweli yoooo huruma sana ina umma pole sana kwa family
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 3 жыл бұрын
Duuuhhhh!!😣😣 Kiukweli haya mambo hayazungumziwi Sanaa kwenye jamii yetu sanaaaaaaa.. Ila ni Tatizo kubwa Sanaaaa hili, WaTanzania wengi tunapitia sana hiki kitu.. MSONGO WA MAWAZO.. Natamani Watangazaji wetu mungekuwa munajua hiki kitu deeply ili muweze kuzungumzia kiunaga ubaga.. Sio hivi juu juu Tu. Kwakweli vijana wengi sanaaaaaaa wanapitia hali ngumu Sanaaa... Na hizi social media's na matv ya siku hizi yalioanzishwa. Kwakweli watu wanaumia Sanaaa.. Ukimuona Aaliyah au Lilommy wanavopiga pamba kali na kila siku ni design mpya kabisa.. Then wewe ukijiangalia huna kazi, kazi yako ni kuscroll down tu kwa mitandao yote.. Kumuangalia Mondi na familia yake, Kumuangalia Wolper, Uwoya.. Mwisho unatukana kwenye mitandao bila sababu za msingi. Na pia Hata ukipata iyo kazi, basi Umekuwa unafanya Tu, ili upate mshahara ila sio kitu unachokipenda kutoka Moyoni kukifanya. Kiukweli kuna watu wanapata misongo ya mawazo kama hiyo mifano.. Tatizo lililopo ni kwamba vijana wanaona ni vitu rahisi na hawakuwahi kujua ni njia gani wafanye ili wafanikiwe. Mwisho wa siku tunapata vidumenyoronyoro mjini kibao.. Then hakuna kitu wanachopitia zaidi ya msongo wa mawazo. Kwa baadae wanapokuwa peke ao.. Kwakweli Inaumiza vijana wengi sanaaaaaaa..
@user-ij5ig4uu1y
@user-ij5ig4uu1y 3 жыл бұрын
Hicho ndicho kilifanya tanasha akaondoka bongo kwenye interview yaka alisema alipitia wakati mgumu Sana na alikua na mimba
@Ketee25
@Ketee25 3 жыл бұрын
Social media is toxic na hakuna kitu kigumu kama huijui na depression one day upo poa next day hari mbaya kinoma unapata mental breakdown
@user-ij5ig4uu1y
@user-ij5ig4uu1y 3 жыл бұрын
@@Ketee25 you're right and you die anytime
@pesmobilegamemonster2749
@pesmobilegamemonster2749 3 жыл бұрын
Hiyo ni kweli ni acha kutumia social media kama facebook,insta,twitter kwa sababu ya deprssion yn zinadestruct sana hila ndo hvy watu awawezi kukusikiliza hata kidogo
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 3 жыл бұрын
@@Ketee25 Kabisa.. Kama vijana wa siku hiz wengi hatujitambui.. Hapo ndipo tunapoelekea shimoni..
@chiefkaitaba.m.9466
@chiefkaitaba.m.9466 3 жыл бұрын
Hila yule dreva alikuwa amezidisha Champagne na ukijumlisha na uchovu wa ucku kucha kwenye club walipokesha,nimeona video alizo post huyo Ginimbi (Genius) yaani alikuwa amechachuka hatari sana,but R.I.P
@zainbomary3970
@zainbomary3970 3 жыл бұрын
Asnt sana Kaka Sky kwa trfa hiz isngekuwa SNS ningejulia wapi haya kama alijitbria kifo
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 жыл бұрын
Lesson learned...,don't drink and drive. Sorry to say some will learn it the hard way.
@bahatijoseph8763
@bahatijoseph8763 3 жыл бұрын
Sure
@safiamani7005
@safiamani7005 3 жыл бұрын
Facts
@ecamshorts471
@ecamshorts471 3 жыл бұрын
Siku yako ikifka haina jinsii
@bahatisunga1642
@bahatisunga1642 3 жыл бұрын
Rlp Marehemu wote 4 hakika kifo Kinatisha 😭😭😭 Pole Zari kwa kuondokewa na Shemeji yako
@charlesboniface28
@charlesboniface28 3 жыл бұрын
Aisee kifo acheni mimi nili tumbukia kwenye shimo la choo nlivo jiskia mungu ndio ana jua nkasema leo ndio nakufa lakin ikaja nguvu ya ajabu sijui ata ime toka wapi nilitoka kutoka chini kule chini kabisa bila kupumua nkapanda kwa speed adi nime toka ndio watu wana fika
@khadijafaudhi89
@khadijafaudhi89 3 жыл бұрын
Da pole sn inabid ufnye sn ibada. Maan umepon kweny tundu l sindano. Muwek mungu mbel sn kil dakik
@jasmineshechambo3401
@jasmineshechambo3401 3 жыл бұрын
Pole sana mpenz
@Ray-vk7bp
@Ray-vk7bp 3 жыл бұрын
Pole sana
@elizabethkassoga493
@elizabethkassoga493 3 жыл бұрын
Pole
@charlesboniface28
@charlesboniface28 3 жыл бұрын
ASANTENI sana ni unforgettable day ni 17/7/2020
@dicksonishayo9025
@dicksonishayo9025 3 жыл бұрын
Boss kaacha ela mingi sana
@marymwita9806
@marymwita9806 3 жыл бұрын
Duuu Mungu tupe mwisho mwema pumzikeni kwa amani amina
@mariamibrahim3162
@mariamibrahim3162 3 жыл бұрын
Mungu. Ajali nibaya niulizeni mm wallah
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 3 жыл бұрын
Vipi iliwahi kukuta nn
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 3 жыл бұрын
Kifo hakikimbiliki Inalillah waiina irayhi rajioun
@kwizerasamia5397
@kwizerasamia5397 3 жыл бұрын
Mwenyez mung awarehem 😔🤲
@giftkondo8936
@giftkondo8936 3 жыл бұрын
Tunatembea na kifo😭😭 mwenyezi mungu tupe mwisho mwema 🙏🙏
@williamray7751
@williamray7751 3 жыл бұрын
Alisema ni ndoto Aliota, alikuwa sehemu hapati pumping na kulikwa na Giza, akijaribu kupumua akashindwa,Alikua anaelezea hiyo ndoto iluyomtisha sana
@cendrillonnam4549
@cendrillonnam4549 3 жыл бұрын
Inalillahi wa inailayhi rajiun 😭😭😭
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 3 жыл бұрын
Sky nakukubali sana broo huaga ubahatishi yani nakusoma sana unaitendea kaz tasnia ya utangazaji na huna stori za kufoji broo big up sana
@joiceqtr4215
@joiceqtr4215 3 жыл бұрын
RIP ALL GOD IS THE WILL OF GOD WE JUST SAY THANKS GOD 😭😭😭🙏
@maryokwatch8935
@maryokwatch8935 3 жыл бұрын
May their souls rest in perfect peace.
@nurually8466
@nurually8466 3 жыл бұрын
Mungu atupe mwisho mwema Amin inshaallh
@ashashabani4210
@ashashabani4210 3 жыл бұрын
inalillah wainaillah rajiuun Allah awape kauli thabit
@teacherchundu4062
@teacherchundu4062 3 жыл бұрын
Mystic visionary.
@magrethjohn4929
@magrethjohn4929 3 жыл бұрын
Mungu amrehemu mbele yake nyuma yetu
@maryamm7765
@maryamm7765 3 жыл бұрын
Inalilah wainailah rajiun Mungu atupe mwisho mwema
@natariaboniphace7127
@natariaboniphace7127 3 жыл бұрын
Nikatika jina layekristu wanazareti alie hai mungu wasamehe waja wako naukawaweke mahala pema peponi amina.
@alysena4649
@alysena4649 3 жыл бұрын
Pole sana my sister yote yanayotokea tuyapokee kwasababu mipanga ya hatuwezi kuyapangua
@hanifaally4694
@hanifaally4694 3 жыл бұрын
M/mng awalaze mahari pema awasamehe makosa yao km anavyotusamehe cc wengine wote na atupe mwisho mwema Yarab 🙏😭
@minabuelysee8
@minabuelysee8 3 жыл бұрын
tatizo tunapata kujua kama muda wowote twaeza kufa ila kutubu tunashindwa
@anahna6788
@anahna6788 3 жыл бұрын
HAO NI MASONIC OG MWAMINI YESU KWA KUWA NDIYO MUNGU MKUU WA DUNIA NZIMA
@aishamuhammad7785
@aishamuhammad7785 3 жыл бұрын
ALLAAH ndie Mungu mkuu sio yesu
@princegerard4704
@princegerard4704 3 жыл бұрын
Ukimuamini yesu hautakufa?
@princegerard4704
@princegerard4704 3 жыл бұрын
@@aishamuhammad7785 Ukimuamini Allah hutokufa?
@josephinejoseph542
@josephinejoseph542 3 жыл бұрын
Yesu niyule Jana Leo na atamilele Yesu ndo kimbilio la milele
@ramadhanimohamed2272
@ramadhanimohamed2272 3 жыл бұрын
MUNGU MTUKUFU aliyejuu ndiye MUNGU mkuu wa ulimwengu mzima. Yesu ni mjumbe tu kwetu
@lavindiva9406
@lavindiva9406 3 жыл бұрын
May her Saul rest in peace 😭😭😥 so sad
@mabyserolouchcraig2431
@mabyserolouchcraig2431 3 жыл бұрын
Innalilah Rajiun Mola awasamehe makosa yao na awapunguzie adhabu ya kaburi Amin
@zainbomary3970
@zainbomary3970 3 жыл бұрын
Hkika Mungu angekuwa antuonyesha kbla wasnge ondka ile sehem daaah
@esthermoraa6648
@esthermoraa6648 3 жыл бұрын
So sad 😭😭😭😭😭RIP darling
@hashiyatmohammedy156
@hashiyatmohammedy156 3 жыл бұрын
Innalillah wainnairah rajuun munguawasamehe zambizao
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 3 жыл бұрын
Mwisho mwema tuanze kuutafuta wenyewe ndio allah atufanyie wepesi tuishi tukijua kuna siku dunia tutaiwacha tujifunze kupitia kifo
@emmyyahya8358
@emmyyahya8358 3 жыл бұрын
Daa this so sad 😒 mungu atupe mwisho mwema inauma sana
@bumeplatnumz8445
@bumeplatnumz8445 3 жыл бұрын
Dah,Duniani kuna vitu😎
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 жыл бұрын
Mungu tujalie mwisho mwema
@hassanmkuta7784
@hassanmkuta7784 3 жыл бұрын
Amiin in shaa Allah
@wepoorman8944
@wepoorman8944 3 жыл бұрын
Come out of darkness It doesn't matter whether ur have sold ur soul to satan or possess Jesus is ready to save rescue redeem and cleanse u from sins .
@zainbomary3970
@zainbomary3970 3 жыл бұрын
Mungu tujaliemwsho mwema Mungu awarehem R I P
@mwaminindayishimiye4434
@mwaminindayishimiye4434 3 жыл бұрын
SnS asante saaana kwa kutupa hbr
@vanderjoe2551
@vanderjoe2551 3 жыл бұрын
Mjh
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 3 жыл бұрын
Sky Mw.Mungu akuponeshe mn flu zimekushika kwa unavyoongea unajikaza tuu ili fans wk tuenjoy all in all pole sana
@fredrickbundala3759
@fredrickbundala3759 3 жыл бұрын
Asante sana
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 3 жыл бұрын
Dah innalillah wainna ilayh rajiuun😢😢😢
@jasmine.mayala7597
@jasmine.mayala7597 3 жыл бұрын
😣😣😣😣😣😣Mwenyez Mungu awarehem awape pumziko l milele kifo nifumbo kubwa
@bafaello2619
@bafaello2619 3 жыл бұрын
Pole
@Razkenya001
@Razkenya001 3 жыл бұрын
Sad sana ..may they r.i.p
@anahna6788
@anahna6788 3 жыл бұрын
Kuzimu kutawatana sana wote wenye MIZAHA na Mungu wetu
@zuwena1zuwena114
@zuwena1zuwena114 3 жыл бұрын
Oh mungu tupe mwisho mwema
@shaadenshaduni7755
@shaadenshaduni7755 3 жыл бұрын
Allah awasameh makosa yao
@rosemarysulle9288
@rosemarysulle9288 3 жыл бұрын
R.I.P fundisho kwa tuliobaki,pombe na kuendesha vyombo vya moto,havikuwahi kumwacha mtu salama.starehe za kupitiliza,Mungu naye anachoka kuvumilia
@shaniabdallah6910
@shaniabdallah6910 3 жыл бұрын
Innalillah wainnallilah rajiun
@sakinaabdallah7713
@sakinaabdallah7713 3 жыл бұрын
Mungu awarehemu awalaze pema peponi
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 3 жыл бұрын
Hakuna cha kujitabilia walikuwa wanajua kinacho fata mwana kuyatafuta mwana kuyapata tatizo vijana wana pupa ya maisha yani awataki kupata shida ya kutafuta pesa kiualali
@Mazoea
@Mazoea 3 жыл бұрын
Inaoneka yule kaka alikua anajua kinachoendelea...utajiri wa haraka haraka ina cost maisha sheltani akupi utajiri for free utavilipia tuu
@joharijj2164
@joharijj2164 3 жыл бұрын
Vijana jamani tuacheni tamaa na kuacheni kutaka maisha mazuri ambayo niya rahisi... Ebu tutoshekeni na kidogo chetu, tuishi maisha tuliopangiwa na tufe vifo halizo tupangia mwenyezi mungu....... Yaani hii story bana inasikitisha ebu tujikazeni kuongea na vijana wetu,,, Leo kampuni imelipuka moto, so sad
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 29 МЛН
HAPPY BIRTHDAY @mozabrick 🎉 #cat #funny
00:36
SOFIADELMONSTRO
Рет қаралды 18 МЛН
HAWA NDIO MASTAA TISA  WA BONGO WENYE FOLLOWERS WENGI INSTAGRAM
4:59
🤔Какой Орган самый длинный ? #shorts
00:42