PUTIN amkarimu Narendra MODI kwa tende, matunda na karanga kwenye makazi yake ya NOVO-OGARYOVO

  Рет қаралды 32,105

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 96
@msafirimiracle6613
@msafirimiracle6613 2 ай бұрын
Tukifika hapa Tz itakuwa safi sana hakuna muda wa kupoteza kusoma kiingereza ni wanasoma wachache wengine kujenga uchumi, nguvu nyingi sana inatumika kusoma kiingereza,kuliko kufunza uchumi,huu ni utumwa wa kifikra.
@ZuhuraNassoro
@ZuhuraNassoro 2 ай бұрын
Utumwa wa fikra ndio unaliangamiza taifa letu
@HamzaMbasha-xs2ky
@HamzaMbasha-xs2ky 2 ай бұрын
Wanapewa mikopo ya masharti wanapangiwa hadi cha kufundisha mashuleni hatuwezi kufika...
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 2 ай бұрын
Isipochukuliwa kisiasa comment yako ni fact moja kubwa sana
@maniamba.tz_
@maniamba.tz_ 2 ай бұрын
Kweli vipaji vingi vinaishia uko
@ShabaniSudi-d1x
@ShabaniSudi-d1x 2 ай бұрын
This man Putin I appreciate him. Hapo bhana no retreat no surrender, forever forward 🪓☠️🪓🌹🌹
@africanmandetraveler2847
@africanmandetraveler2847 2 ай бұрын
Bora mara nyingine bro sky umetuletea haya makala mwenyewe sababu kaka Dj smaa na Ally wakituambia ukweli kuhusu Russia 🇷🇺 kuna comments mbili tatu zinapenda kuwatukana watu bila sababu.I love ❤️ Russia 🇷🇺
@cocotz1892
@cocotz1892 2 ай бұрын
Ni 🔥 sana
@antonymathias8219
@antonymathias8219 2 ай бұрын
Mm naomba mnaotoa habari za urusi nawapenda sana tumekuwa gizani mda mrefu sana
@johnmajondokitulla
@johnmajondokitulla 2 ай бұрын
I love 💕💕💕 them much more
@bensonscott3491
@bensonscott3491 2 ай бұрын
Quality voice 🎉🎉🎉
@aminaali792
@aminaali792 2 ай бұрын
💯😍
@kamazima11
@kamazima11 2 ай бұрын
Hawa jamaa sio kama awajui kiingereza wa najua vizuri tu lakin wanathamini lugha Zao, alikuwa akifanya TAnzania MAgufuli kutumia Kiswahili watu wakasema hajui kiingereza 😊 ( akili za kushikiwa ni mbaya sana unakuwa mtumwa wa fikra 😂)
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
Kweli kabisa, Magufuli alikuwa na PHD na amesomea England sasa Nani alimfanyia research? Watu wanapenda utumwa. Hata kama unajua kiingereza haina haja iwe ndo lugha yako na kuacha Kiswahili chetu
@giztony2009
@giztony2009 Ай бұрын
Tulimsikia mara nyingi jamaa yule hakuwa anajua English ni kweli kabisaa
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 2 ай бұрын
Hiyo ndio nchi ya kushirikiana nayo sio America
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 2 ай бұрын
Umejuaje
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 2 ай бұрын
India inashirikiana na pande zote mbili
@dn.n4983
@dn.n4983 2 ай бұрын
Safi sana
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 2 ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 2 ай бұрын
Modi kaipenda memory ya Putin na korea kaskazini ❤
@SalmaKhamis-io4ei
@SalmaKhamis-io4ei 2 ай бұрын
Pamoja sana.
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 2 ай бұрын
Hapo English haitakiwi kbs huu ni uzarendo ama hakika💯🙌
@eyanlenjorin4566
@eyanlenjorin4566 2 ай бұрын
Hawa si wa English ni mhindi na mrusi wataongea vipi English.
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 2 ай бұрын
Kwasababu wana thamini vyakwao ss wa Africa ndo tunashobokea lugha za wenyewe.usipo ongea kingeleza vizuri ao kifaransa unachekwa sanaaa.watu weusi ss tuna ujinga
@KilonzoGodson
@KilonzoGodson 2 ай бұрын
Nataka wale wanaosema Kiingereza ni elimu na ndio ujanja. Miamba 2 hii inabidi wakae na mkalmani maana mmoja hajui kiingereza na ni Raisi wa taifa kubwa duniani
@musasaidi7193
@musasaidi7193 2 ай бұрын
Putin anaogopa kijerumani na kingereza. Kumbuka alikuwa nani kabla ya siasa.
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
Wote wanajua kiingereza ila Putin hapendi kuonekana mtumwa WA nchi za America na Uingereza. Miaka ya nyuma raisi WA America alienda Urusi wakawa wenyewe tu walikuwa waliongea kiingereza na ndipo magazeti yakaanza kuuliza na kuhoji Putin alikuwa anaongea lugha gani kama sio kiingereza pia Putin alikuwa mjasusi wa Urusi haiwekani afanye hiyo kazi bila kujua kizungu.
@PlatnamMogo
@PlatnamMogo 2 ай бұрын
Tanzania sijui ina feli wapi !? Wanasiasa wa Tanzania wame kazana na Marekani na Europe huku ku mtegemea Mwigulu avushe nchi kwenye uchumi.
@pascalntandu1217
@pascalntandu1217 2 ай бұрын
Hatari sana; watu wanakimbia wezi wa magharibi sisi tunawakaribisha na kuwakumbatia;nyuki hakumbatiwi jamani;heri kwa mali;BurkinaFaso na niger maana sasa wanajitambua.
@farajiissa560
@farajiissa560 2 ай бұрын
Cc tunatawaliwa na magenge si viongoz
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 2 ай бұрын
Mm kwa uelewa wangu NATO mwisho wao upo karibu.
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 2 ай бұрын
Safi Sana ❤
@mohamedrashid6578
@mohamedrashid6578 2 ай бұрын
Amesahau pilipili tu hapo kwa mgeni
@RAMADHANIAMIRI-i5y
@RAMADHANIAMIRI-i5y 2 ай бұрын
😀😀
@MarrySalanga
@MarrySalanga 2 ай бұрын
😂😂😂
@mdouharoon66
@mdouharoon66 2 ай бұрын
😂😂😂
@rosemarymwanitega7926
@rosemarymwanitega7926 2 ай бұрын
😂😂😂😂
@felisteronesmo3091
@felisteronesmo3091 2 ай бұрын
Aff kweli ..
@abdallahathuman9493
@abdallahathuman9493 2 ай бұрын
Putin nampenda sana mungu ampe maixha malef
@MustaphaManole
@MustaphaManole 2 ай бұрын
Good
@ClementJacob-sd8lf
@ClementJacob-sd8lf 2 ай бұрын
always great thinkers plant ther croups on good fertile soil to allow them to grow better do you know the better government
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 2 ай бұрын
America kwisha
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 2 ай бұрын
Mnangagwa ajifunze kutafuta nguvu ya uchumi
@enocksitta6350
@enocksitta6350 2 ай бұрын
Safi sana
@HappyatHome-bn8wm
@HappyatHome-bn8wm 2 ай бұрын
Mungu akurinde putin
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 2 ай бұрын
Safi sana putin
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 ай бұрын
Viongozi wetu wa afrika wanafikiri kuongea lugha zao za nchi mfano kiswahili, kiganda, kirundi, kijaluo... Wanapokuwa katika mataifa ya nje ....eti kama vile ni kukoswa elimu.....viva JPM....ULIONGEA KISWAHILI DAIMA.....tuige jamani....kiswahili chetu kina radha nzuri....mi nakipenda
@kibwetere1418
@kibwetere1418 2 ай бұрын
Walau hawa viongozi wanaweza kutembea wenyewe,sio kama lile lizee linalotembea kwa kushikiliwa
@aminaali792
@aminaali792 2 ай бұрын
Huyu mhindi nae siwakumuamini maana wa Europe wanamtumia vile vile 🙄🤦🏽‍♀️pengine wamemtuma 😒
@Rakim-y2z
@Rakim-y2z 2 ай бұрын
Hapa ni ngumu sio Africa hiyo ni Russia
@aminaali792
@aminaali792 2 ай бұрын
@R1Lifestyle-f6nmmmmh kwa kweli tuendelee kuwaombea wazalendo wanajielewa 🤲🏼😃
@aminaali792
@aminaali792 2 ай бұрын
@@Rakim-y2z tuzidi kuomba kheri kwa Rasia na wanampa support maana anajielewa sio kama wale wa Europe wanaotafuta vita kila siku 🤦🏽‍♀️😒
@aminaali792
@aminaali792 2 ай бұрын
@R1Lifestyle-f6n hasa kwa waliokuwa hawana dini ndani ya mioyo yao hawana kukinai🤦🏽‍♀️
@jotafungo4622
@jotafungo4622 2 ай бұрын
Ok sawa. Ila kupiga stori na wakalimani hainogi😂
@jamesmethusela1148
@jamesmethusela1148 2 ай бұрын
Putin smart sana.
@jumashedafa
@jumashedafa 2 ай бұрын
Bas huku kwetu ukitafsiriw unaonekan hujasoma...Kwann tusitumie lugha yetu na sisi unatak unambie hawajui kiingereza...Mama Samia ww ndio unatakiw uwe kiongoz ktk hili yan watafutwe wakaliman watakao tafsir kiswahili kwend kwa hao wazungumz lugha ingin
@brianbaltazar6198
@brianbaltazar6198 2 ай бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@Chettymlambalipsi-lb9km
@Chettymlambalipsi-lb9km 2 ай бұрын
Ni zaidi ya upendo .lakini naomba kuuliza bwana sky kwanini leo VLADIMIR PUTIN hajavaa tai?
@abuukajembe-to6sd
@abuukajembe-to6sd 2 ай бұрын
Putin ni mjanja sana kajishusha
@giztony2009
@giztony2009 Ай бұрын
Kwenye swala la usalama lipoje hapo maana chai mgeni ameikuta imeshamiminwa! Hii ni hatari sana
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 2 ай бұрын
Uraaaa
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 2 ай бұрын
Huyu mwana mama asije akawa Mkaliman km yuleee wa Magufuli
@Oboss_billharvester
@Oboss_billharvester 2 ай бұрын
Wenzetu wanazipa nguvu laugha zao Sisi tupo busy na kingereza cha wenyewe😢,
@MsAggie5
@MsAggie5 2 ай бұрын
Lakini wote wanajua kiingereza ila wanataka kuionyesha dunia kama they don't give a sh........na kiingereza.
@Oboss_billharvester
@Oboss_billharvester 2 ай бұрын
@@MsAggie5 and that's a reason why God gave everyone his or her own language so that when he or she speaks his or her language nobody understand, Great God with marvellous action
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 2 ай бұрын
Mangaribi wanaumia Sana master plan Putin amechagua watu wa mhimu tu
@djdeprince3266
@djdeprince3266 2 ай бұрын
Mwamposa katajwa alie sikia kama mmi like apa
@paschalfausitine7108
@paschalfausitine7108 2 ай бұрын
Peleka huko mwaposa wako
@mapundarajabu5416
@mapundarajabu5416 2 ай бұрын
DUH jamaa wame wachukia wazungu adi runga yai
@kaittheleast
@kaittheleast 2 ай бұрын
.......🏃
@julianmsele3880
@julianmsele3880 2 ай бұрын
putin ni mkarimu sana mwaka jana tulienda kumtembelea jamaa alitubless had makaa ya mawe, mshikaji ni mtu na nusu
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 2 ай бұрын
Hawa wanao tafsiri lugha za viongozi kazi wanayo wako makini Sana vyakula hapo baga hamna
@filmsx6484
@filmsx6484 2 ай бұрын
SKy young killer katoa nyimbo kakudiss 😂😂😂😂😂😂😂😂 sema tusimfananishe na kizazi cha gen z yuko mbele ya muda kama kendrick lamar
@goodluckmsoka3660
@goodluckmsoka3660 2 ай бұрын
Unaona Sasa kutokujuwa lugha Fulani sio kwambia wewe ni mjinga tujifunze
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 2 ай бұрын
Asije akawa kama mkalimani wetu hapa bongo anaweka na maneno yake
@sultanbakary4292
@sultanbakary4292 2 ай бұрын
😂😂😂
@hajimlaponi1900
@hajimlaponi1900 2 ай бұрын
Kwann mkaliman? Hakai kwenye kiti😢😅
@msukumamnywamaziwa2785
@msukumamnywamaziwa2785 2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kalengashoppingcenter1108
@kalengashoppingcenter1108 2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂❤ Putin
@MasterOil-qm6vw
@MasterOil-qm6vw 2 ай бұрын
Putin anaishi kiisilam sana huyu mwamba
@josepheriah5977
@josepheriah5977 2 ай бұрын
Ukraine babalao
@paulhema5713
@paulhema5713 2 ай бұрын
Ivi India wanaongozwa na waziri mkuu au....mbona simsikii rais wao...
@kanisiuschumacannireal-zg2ee
@kanisiuschumacannireal-zg2ee 2 ай бұрын
System ya india waziri mkuu ndo mtendaji mkuu wa serikali,
@aishaarusha894
@aishaarusha894 2 ай бұрын
Tena chori chori
@aminielkombe66
@aminielkombe66 2 ай бұрын
Mzee tembea yake kama chalii
@AbdallahBakar-oc3ue
@AbdallahBakar-oc3ue 2 ай бұрын
Huyu jamaa hapingiki duniani raisi wa kenya alijalibu tu chamoto anakiona kivumbi chake
@saidsalum3475
@saidsalum3475 2 ай бұрын
😂😂😂
@evansogutu4167
@evansogutu4167 2 ай бұрын
Wakalimani wako wa wili
@muzafarsharif9465
@muzafarsharif9465 2 ай бұрын
kwani Putin hajui English??!
@jut1161
@jut1161 2 ай бұрын
Anajua ila hapendi kuongea hata dakika moja
@RamadhaniMohamedi-de2vc
@RamadhaniMohamedi-de2vc 2 ай бұрын
Anajua ila akiwa kwenye taifa lake aongei kingereza anajitambua mana watu wake wanao msikiliza ni warusi kwaiyo lazima aongee kirusi.
@WilsonMushi-u1n
@WilsonMushi-u1n 2 ай бұрын
Putin lazima awashukuru sana India na china.la sivyo urusi sa wangekua wanabeba ela na Marlboro..😅😅😅😅😅
@Awatee
@Awatee 2 ай бұрын
Binaadam kusaidiana Mungu mkubwa hawezi kuwakosesha ridhiki waja wak alizo wapangia
@Muharram-c5n
@Muharram-c5n 2 ай бұрын
Umepongea kitu kikubwa sana,binaadamu tunategemeana,huo ndio mpango wa M'mungu ​@@Awatee
@mohdmohd8428
@mohdmohd8428 2 ай бұрын
Mnangagwa ajifunze kutafuta nguvu ya uchumi
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 90 МЛН
My Daughter's Dumplings Are Filled With Coins #funny #cute #comedy
00:18
Funny daughter's daily life
Рет қаралды 21 МЛН
How To Get Married:   #short
00:22
Jin and Hattie
Рет қаралды 27 МЛН
Do you choose Inside Out 2 or The Amazing World of Gumball? 🤔
00:19
Sanaa ya Vichekesho ilivyobadili maisha ya Eliud Samwel
40:37
BBC News Swahili
Рет қаралды 102 М.
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 653 М.
Players vs Corner Flags 🤯
00:28
LE FOOT EN VIDÉO
Рет қаралды 90 МЛН