Tukifika hapa Tz itakuwa safi sana hakuna muda wa kupoteza kusoma kiingereza ni wanasoma wachache wengine kujenga uchumi, nguvu nyingi sana inatumika kusoma kiingereza,kuliko kufunza uchumi,huu ni utumwa wa kifikra.
@ZuhuraNassoro2 ай бұрын
Utumwa wa fikra ndio unaliangamiza taifa letu
@HamzaMbasha-xs2ky2 ай бұрын
Wanapewa mikopo ya masharti wanapangiwa hadi cha kufundisha mashuleni hatuwezi kufika...
@mohdmohd84282 ай бұрын
Isipochukuliwa kisiasa comment yako ni fact moja kubwa sana
@maniamba.tz_2 ай бұрын
Kweli vipaji vingi vinaishia uko
@ShabaniSudi-d1x2 ай бұрын
This man Putin I appreciate him. Hapo bhana no retreat no surrender, forever forward 🪓☠️🪓🌹🌹
@africanmandetraveler28472 ай бұрын
Bora mara nyingine bro sky umetuletea haya makala mwenyewe sababu kaka Dj smaa na Ally wakituambia ukweli kuhusu Russia 🇷🇺 kuna comments mbili tatu zinapenda kuwatukana watu bila sababu.I love ❤️ Russia 🇷🇺
@cocotz18922 ай бұрын
Ni 🔥 sana
@antonymathias82192 ай бұрын
Mm naomba mnaotoa habari za urusi nawapenda sana tumekuwa gizani mda mrefu sana
@johnmajondokitulla2 ай бұрын
I love 💕💕💕 them much more
@bensonscott34912 ай бұрын
Quality voice 🎉🎉🎉
@aminaali7922 ай бұрын
💯😍
@kamazima112 ай бұрын
Hawa jamaa sio kama awajui kiingereza wa najua vizuri tu lakin wanathamini lugha Zao, alikuwa akifanya TAnzania MAgufuli kutumia Kiswahili watu wakasema hajui kiingereza 😊 ( akili za kushikiwa ni mbaya sana unakuwa mtumwa wa fikra 😂)
@MsAggie52 ай бұрын
Kweli kabisa, Magufuli alikuwa na PHD na amesomea England sasa Nani alimfanyia research? Watu wanapenda utumwa. Hata kama unajua kiingereza haina haja iwe ndo lugha yako na kuacha Kiswahili chetu
@giztony2009Ай бұрын
Tulimsikia mara nyingi jamaa yule hakuwa anajua English ni kweli kabisaa
@aboudasilver65412 ай бұрын
Hiyo ndio nchi ya kushirikiana nayo sio America
@georgedaniel49622 ай бұрын
Umejuaje
@rumdeesonsoa18112 ай бұрын
India inashirikiana na pande zote mbili
@dn.n49832 ай бұрын
Safi sana
@hassangaddafi23472 ай бұрын
Putin baba lao ❤❤🇷🇺🇷🇺🇷🇺 Free Palestinian❤❤🇵🇸🇵🇸🇵🇸🇰🇪
@omarmohammed51572 ай бұрын
Modi kaipenda memory ya Putin na korea kaskazini ❤
@SalmaKhamis-io4ei2 ай бұрын
Pamoja sana.
@emmanuelfari89242 ай бұрын
Hapo English haitakiwi kbs huu ni uzarendo ama hakika💯🙌
@eyanlenjorin45662 ай бұрын
Hawa si wa English ni mhindi na mrusi wataongea vipi English.
@evelynemugeni23692 ай бұрын
Kwasababu wana thamini vyakwao ss wa Africa ndo tunashobokea lugha za wenyewe.usipo ongea kingeleza vizuri ao kifaransa unachekwa sanaaa.watu weusi ss tuna ujinga
@KilonzoGodson2 ай бұрын
Nataka wale wanaosema Kiingereza ni elimu na ndio ujanja. Miamba 2 hii inabidi wakae na mkalmani maana mmoja hajui kiingereza na ni Raisi wa taifa kubwa duniani
@musasaidi71932 ай бұрын
Putin anaogopa kijerumani na kingereza. Kumbuka alikuwa nani kabla ya siasa.
@MsAggie52 ай бұрын
Wote wanajua kiingereza ila Putin hapendi kuonekana mtumwa WA nchi za America na Uingereza. Miaka ya nyuma raisi WA America alienda Urusi wakawa wenyewe tu walikuwa waliongea kiingereza na ndipo magazeti yakaanza kuuliza na kuhoji Putin alikuwa anaongea lugha gani kama sio kiingereza pia Putin alikuwa mjasusi wa Urusi haiwekani afanye hiyo kazi bila kujua kizungu.
@PlatnamMogo2 ай бұрын
Tanzania sijui ina feli wapi !? Wanasiasa wa Tanzania wame kazana na Marekani na Europe huku ku mtegemea Mwigulu avushe nchi kwenye uchumi.
@pascalntandu12172 ай бұрын
Hatari sana; watu wanakimbia wezi wa magharibi sisi tunawakaribisha na kuwakumbatia;nyuki hakumbatiwi jamani;heri kwa mali;BurkinaFaso na niger maana sasa wanajitambua.
@farajiissa5602 ай бұрын
Cc tunatawaliwa na magenge si viongoz
@georgedaniel49622 ай бұрын
Mm kwa uelewa wangu NATO mwisho wao upo karibu.
@paschalfausitine71082 ай бұрын
Safi Sana ❤
@mohamedrashid65782 ай бұрын
Amesahau pilipili tu hapo kwa mgeni
@RAMADHANIAMIRI-i5y2 ай бұрын
😀😀
@MarrySalanga2 ай бұрын
😂😂😂
@mdouharoon662 ай бұрын
😂😂😂
@rosemarymwanitega79262 ай бұрын
😂😂😂😂
@felisteronesmo30912 ай бұрын
Aff kweli ..
@abdallahathuman94932 ай бұрын
Putin nampenda sana mungu ampe maixha malef
@MustaphaManole2 ай бұрын
Good
@ClementJacob-sd8lf2 ай бұрын
always great thinkers plant ther croups on good fertile soil to allow them to grow better do you know the better government
@Brunotarimo102 ай бұрын
America kwisha
@mohdmohd84282 ай бұрын
Mnangagwa ajifunze kutafuta nguvu ya uchumi
@enocksitta63502 ай бұрын
Safi sana
@HappyatHome-bn8wm2 ай бұрын
Mungu akurinde putin
@paschalsafari97472 ай бұрын
Safi sana putin
@johnmalembo64642 ай бұрын
Viongozi wetu wa afrika wanafikiri kuongea lugha zao za nchi mfano kiswahili, kiganda, kirundi, kijaluo... Wanapokuwa katika mataifa ya nje ....eti kama vile ni kukoswa elimu.....viva JPM....ULIONGEA KISWAHILI DAIMA.....tuige jamani....kiswahili chetu kina radha nzuri....mi nakipenda
@kibwetere14182 ай бұрын
Walau hawa viongozi wanaweza kutembea wenyewe,sio kama lile lizee linalotembea kwa kushikiliwa
@aminaali7922 ай бұрын
Huyu mhindi nae siwakumuamini maana wa Europe wanamtumia vile vile 🙄🤦🏽♀️pengine wamemtuma 😒
@Rakim-y2z2 ай бұрын
Hapa ni ngumu sio Africa hiyo ni Russia
@aminaali7922 ай бұрын
@R1Lifestyle-f6nmmmmh kwa kweli tuendelee kuwaombea wazalendo wanajielewa 🤲🏼😃
@aminaali7922 ай бұрын
@@Rakim-y2z tuzidi kuomba kheri kwa Rasia na wanampa support maana anajielewa sio kama wale wa Europe wanaotafuta vita kila siku 🤦🏽♀️😒
@aminaali7922 ай бұрын
@R1Lifestyle-f6n hasa kwa waliokuwa hawana dini ndani ya mioyo yao hawana kukinai🤦🏽♀️
@jotafungo46222 ай бұрын
Ok sawa. Ila kupiga stori na wakalimani hainogi😂
@jamesmethusela11482 ай бұрын
Putin smart sana.
@jumashedafa2 ай бұрын
Bas huku kwetu ukitafsiriw unaonekan hujasoma...Kwann tusitumie lugha yetu na sisi unatak unambie hawajui kiingereza...Mama Samia ww ndio unatakiw uwe kiongoz ktk hili yan watafutwe wakaliman watakao tafsir kiswahili kwend kwa hao wazungumz lugha ingin
@brianbaltazar61982 ай бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@Chettymlambalipsi-lb9km2 ай бұрын
Ni zaidi ya upendo .lakini naomba kuuliza bwana sky kwanini leo VLADIMIR PUTIN hajavaa tai?
@abuukajembe-to6sd2 ай бұрын
Putin ni mjanja sana kajishusha
@giztony2009Ай бұрын
Kwenye swala la usalama lipoje hapo maana chai mgeni ameikuta imeshamiminwa! Hii ni hatari sana
@kassimrajabu78052 ай бұрын
Uraaaa
@salehkhalfan73452 ай бұрын
Huyu mwana mama asije akawa Mkaliman km yuleee wa Magufuli
@Oboss_billharvester2 ай бұрын
Wenzetu wanazipa nguvu laugha zao Sisi tupo busy na kingereza cha wenyewe😢,
@MsAggie52 ай бұрын
Lakini wote wanajua kiingereza ila wanataka kuionyesha dunia kama they don't give a sh........na kiingereza.
@Oboss_billharvester2 ай бұрын
@@MsAggie5 and that's a reason why God gave everyone his or her own language so that when he or she speaks his or her language nobody understand, Great God with marvellous action
@MsangoDiesel2 ай бұрын
Mangaribi wanaumia Sana master plan Putin amechagua watu wa mhimu tu
@djdeprince32662 ай бұрын
Mwamposa katajwa alie sikia kama mmi like apa
@paschalfausitine71082 ай бұрын
Peleka huko mwaposa wako
@mapundarajabu54162 ай бұрын
DUH jamaa wame wachukia wazungu adi runga yai
@kaittheleast2 ай бұрын
.......🏃
@julianmsele38802 ай бұрын
putin ni mkarimu sana mwaka jana tulienda kumtembelea jamaa alitubless had makaa ya mawe, mshikaji ni mtu na nusu
@MsangoDiesel2 ай бұрын
Hawa wanao tafsiri lugha za viongozi kazi wanayo wako makini Sana vyakula hapo baga hamna
@filmsx64842 ай бұрын
SKy young killer katoa nyimbo kakudiss 😂😂😂😂😂😂😂😂 sema tusimfananishe na kizazi cha gen z yuko mbele ya muda kama kendrick lamar
@goodluckmsoka36602 ай бұрын
Unaona Sasa kutokujuwa lugha Fulani sio kwambia wewe ni mjinga tujifunze
@FredrickMatiku-xf2uk2 ай бұрын
Asije akawa kama mkalimani wetu hapa bongo anaweka na maneno yake
@sultanbakary42922 ай бұрын
😂😂😂
@hajimlaponi19002 ай бұрын
Kwann mkaliman? Hakai kwenye kiti😢😅
@msukumamnywamaziwa27852 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kalengashoppingcenter11082 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂❤ Putin
@MasterOil-qm6vw2 ай бұрын
Putin anaishi kiisilam sana huyu mwamba
@josepheriah59772 ай бұрын
Ukraine babalao
@paulhema57132 ай бұрын
Ivi India wanaongozwa na waziri mkuu au....mbona simsikii rais wao...
@kanisiuschumacannireal-zg2ee2 ай бұрын
System ya india waziri mkuu ndo mtendaji mkuu wa serikali,
@aishaarusha8942 ай бұрын
Tena chori chori
@aminielkombe662 ай бұрын
Mzee tembea yake kama chalii
@AbdallahBakar-oc3ue2 ай бұрын
Huyu jamaa hapingiki duniani raisi wa kenya alijalibu tu chamoto anakiona kivumbi chake
@saidsalum34752 ай бұрын
😂😂😂
@evansogutu41672 ай бұрын
Wakalimani wako wa wili
@muzafarsharif94652 ай бұрын
kwani Putin hajui English??!
@jut11612 ай бұрын
Anajua ila hapendi kuongea hata dakika moja
@RamadhaniMohamedi-de2vc2 ай бұрын
Anajua ila akiwa kwenye taifa lake aongei kingereza anajitambua mana watu wake wanao msikiliza ni warusi kwaiyo lazima aongee kirusi.
@WilsonMushi-u1n2 ай бұрын
Putin lazima awashukuru sana India na china.la sivyo urusi sa wangekua wanabeba ela na Marlboro..😅😅😅😅😅
@Awatee2 ай бұрын
Binaadam kusaidiana Mungu mkubwa hawezi kuwakosesha ridhiki waja wak alizo wapangia
@Muharram-c5n2 ай бұрын
Umepongea kitu kikubwa sana,binaadamu tunategemeana,huo ndio mpango wa M'mungu @@Awatee