Spika Tulia akutana na PUTIN St. Petersburg, wazungumzia vita vya URUSI na UKRAINE, Gaza na Israel

  Рет қаралды 25,656

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

24 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 320
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 22 күн бұрын
Putin anajua kingereza vizuri sana ila sio mtumiaji sana wa kingereza kwa nini? WENZETU wanajali sana lugha zao
@zaexplore
@zaexplore 22 күн бұрын
putin anazungumza english german tena vizr sana maan ameish german maish mingi than kirud ndo lugha yake
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 22 күн бұрын
kwa sababu sio rimbukeni 😂😂😂
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 22 күн бұрын
Wenzetu wanajali mnoo lugha zao ndo maana hata Leo uende ulaya nje ya uingereza kila mtu anaongea lugha yake kuongea lugha ya mwenzio ni utumwa sisi bado tu malimbukeni hatujipendi wala hatupendi vyakwetu na akili za ukaragosi ndo maana tunaganda vya kwetu
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 22 күн бұрын
Sa we Leo bila aibu Kuna nchi kibao za kiafrika zinajisifu lugha zao za taifa ni kiingereza, kifaransa au kireno , angali Wanalugha zao za asili
@deniccgabriel6153
@deniccgabriel6153 22 күн бұрын
Ukizungumza na Putin nisawa umeongea na walusi walioko urusi
@allykwaya
@allykwaya 22 күн бұрын
11:42 Dr Tulia kapata bahati sana kukaa meza 1 na Raisi halisi wa Dunia ya
@dullahabdallah-nu1py
@dullahabdallah-nu1py 22 күн бұрын
Hakuna haki sawa
@PUTINN365
@PUTINN365 22 күн бұрын
Ushakuwa shoga​@@dullahabdallah-nu1py
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 22 күн бұрын
Kabisa
@festohaule9716
@festohaule9716 22 күн бұрын
Asante na hongera sana...Spika wetu jifunze uzarendo.. na waulinze Russia bandari zao wamempa nani!!!! Russia wanalinda Rasilimali zao Kwa nguvu kubwa sana!!!!
@shijandobehe4953
@shijandobehe4953 22 күн бұрын
Point kabsa
@lovisfrederick3629
@lovisfrederick3629 22 күн бұрын
Safi💪
@Vwanaman
@Vwanaman 19 күн бұрын
Duh we ni master mind
@JuliusKiria-j7i
@JuliusKiria-j7i 22 күн бұрын
Hapo mnajitahidi kutuhabarisha kwa wakati mkifanya hvy mtapata wa fuasi wengi zaidii
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 22 күн бұрын
Kweli maana taarifa ni ya jana
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 22 күн бұрын
Sio rahis kukaa meza moja na Putin, it needs a heart of lion to speak with. Hongera kwa Madamee
@sarahmuhammed6872
@sarahmuhammed6872 22 күн бұрын
Huyo put in,ni mchafuzi wa dunia,vita kila pande ,yeye na ISRAEL
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 22 күн бұрын
Putin yupo makini sana 😊
@evaristmbuya6220
@evaristmbuya6220 22 күн бұрын
Kwa vyovyote vile lazima Ukraine isalimu amri au iwe majivu
@issandule1750
@issandule1750 22 күн бұрын
Nafasi yake ndiyo imempa hiyo nafas ya kukutana na wakuu wa dunia
@jumamayonga8914
@jumamayonga8914 22 күн бұрын
Tanzania oyeee✋✋
@dullahabdallah-nu1py
@dullahabdallah-nu1py 22 күн бұрын
Tanzania wanazungumza lugha gani kabla ya oyee
@ImaiJuna
@ImaiJuna 21 күн бұрын
Oyee ya nini sasa
@atupelemwasambili4476
@atupelemwasambili4476 22 күн бұрын
Bravo madam speaker
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 22 күн бұрын
Mama Anacheo kikubwa sana Mainshaallah
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 22 күн бұрын
Ma Sha ALLAAH?
@cath-ef7wd
@cath-ef7wd 22 күн бұрын
Our future presidee
@Maryc2G
@Maryc2G 22 күн бұрын
Nashukuru sana Dr Tulia kwa kazi nzuri ya kudumisha Amani Duniani.👏🏽
@amourmbarouk1568
@amourmbarouk1568 22 күн бұрын
Mheshimiwa Tulia, shukran kuwakilisha Tanzania na watanzania
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 22 күн бұрын
Hongera sanaa maadam speaker una muhimu sanaa ktk hili .
@mlelwatv5831
@mlelwatv5831 22 күн бұрын
Utuletee huyu putin Serengeti tulia 🎉🎉❤
@user-sr8tc8ke6q
@user-sr8tc8ke6q 22 күн бұрын
Tulia kwani kasomea wapi na mimi nimpeleke mwanangu,🔥🔥🔥
@user-ri5ks4zs4n
@user-ri5ks4zs4n 22 күн бұрын
Waombee watoto wako kwa Mungu awabariki Mungu ndie uinua watu hallelujah
@user-wc3hn4kt1x
@user-wc3hn4kt1x 22 күн бұрын
Yaani daa kila nikifikiria Combination safi ambayo ingekuwepo kati Tanzania na Urusi kama HAYATI Rais Magufuli angekuwepo daaa!!!!. Tanzania tungekuwa mbali sana. Mungu aendelee kumpa ujasiri Mheshimiwa Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA
@allykwaya
@allykwaya 22 күн бұрын
Nikweli kabisa.
@Hussein-gx4qu
@Hussein-gx4qu 22 күн бұрын
Kasim majaliwa wa mama Samia mlea wezi kama mama Samia mwenyewe
@mejamiela7436
@mejamiela7436 22 күн бұрын
Sana
@mejamiela7436
@mejamiela7436 22 күн бұрын
​@Hussein-gx4qu kweli kbs
@user-wc3hn4kt1x
@user-wc3hn4kt1x 22 күн бұрын
@@Hussein-gx4qu wewe hauelewi. Akikamata watu nakuwafukuza kazi. Kesho yake wanarudishwa na Mkubwa. Unategemea nini?
@josephmwinyi
@josephmwinyi 22 күн бұрын
Hongera sana Madam speaker
@josephjohn1143
@josephjohn1143 22 күн бұрын
Spiker Tulia, ni sehemu Product ya Magufuri , katika uongoizi ❤ Tanzania 🇹🇿
@KudraWanguvu-em1xw
@KudraWanguvu-em1xw 22 күн бұрын
Ni kiwete ndio alie mteuwa kwa mara ya kwanza tunajivunia chetu anawasilisha African na tz
@gosbertireneus5558
@gosbertireneus5558 22 күн бұрын
kukaa meza moja na Putin wakati huu ni sawa na kuongea na dunia nzima...
@BrotherR9
@BrotherR9 22 күн бұрын
Mwamba vladmir Putin live long
@user-pd5hl9di2q
@user-pd5hl9di2q 22 күн бұрын
Hongera sana Dr Tulia
@faridmnyamike556
@faridmnyamike556 22 күн бұрын
Very Articulated Hon. Dr. Tulia Akson, you really deserve the Presidency of IPU, am very proud of You Madam Speaker and President of IPU.
@HassanToboke
@HassanToboke 17 күн бұрын
Thek you tulia akson
@hubman6780
@hubman6780 22 күн бұрын
Hongera sana madam speaker.Naamini mama anatakiwa akutane na huyu mwamba
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 22 күн бұрын
Kazi nzuri sna
@19ddr
@19ddr 21 күн бұрын
Nafasi kubwa sn umeipata dada Tulia
@Machozihussen-er8cp
@Machozihussen-er8cp 22 күн бұрын
Congratulations, umeongea kiingereza kizuri na sauti nzuri( lafidhi) nimekuelewa mzalendo mwenzako
@aidanikasembe8191
@aidanikasembe8191 22 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@abcelectricalsolutions7000
@abcelectricalsolutions7000 21 күн бұрын
Tulia ametulia kweli ni mwanamke makini sana. Nafurahi kuona mtanzania anakwenda kusuruhisha migogoro worldwide ni heshima kubwa kwa nchi yetu.
@rejobu9723
@rejobu9723 19 күн бұрын
Ukweli usemwa hapa tanzania 🇹🇿 imetumia akili kubwa sana hongera kwako madame spiker
@jevanallan802
@jevanallan802 22 күн бұрын
Moja kati ya kazi yako ni kutafsiri kwa kiswahili bwana mwandishi
@allykwaya
@allykwaya 22 күн бұрын
Nashangaa anatupa kazi 2,
@papaamasauti1973
@papaamasauti1973 22 күн бұрын
WAKENYA mnasema hatujui kiengereza hapa Dr Tulia anaongea kiRussi
@kibwetere1418
@kibwetere1418 22 күн бұрын
Huyu Tulia anaonekana ana kitu kikubwa ndani yake aungwe mkono
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 22 күн бұрын
Tanzania tumepiga atua Kubwa hongera Sana spika wa Dunia ingekuwa powa sana ungepiga kinyaqusa kidogo
@vladimirputn1809
@vladimirputn1809 22 күн бұрын
Sasa nimeanza kukupenda tulia 🌺🌺
@user-tb8gi3ut5z
@user-tb8gi3ut5z 22 күн бұрын
Hongera sana spika wetu kwa kuongea na raisi wa dunia ambaye tunamwamini sana mtata wa dunia tunataka watu kama Vladimir Putin
@user-vi7ly9zh1q
@user-vi7ly9zh1q 22 күн бұрын
Sasa kwann nayeye asiongee kiswahili 😂😂
@muddyso1953
@muddyso1953 22 күн бұрын
Kweli kabisa na nimekuelewa saana Mwenyezi Mungu atujalie tusimamie vyakwetu tujivunie kila kitu chetu maana hata lugha yetu ametujalia Mwenyezi Mungu kwanini tuikatae!
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 22 күн бұрын
Yeye ni Rais hapo wa mabunge duniani awakilishi Bongo tu ..mnafeli
@davidanselmo4041
@davidanselmo4041 22 күн бұрын
​@@LastdayJesu4153 Ndugu zetu wanadhani ni kiswahili tu 😂😁
@user-sr8tc8ke6q
@user-sr8tc8ke6q 22 күн бұрын
Tulia ongea kidogo bwana mwenzio ana KIKAO NA MABOMU
@Abdillahjuma-u2q
@Abdillahjuma-u2q 22 күн бұрын
wee vp imagine ww unakutana Mama samia tu unaongeaje kdg
@JohnDonard-u9h
@JohnDonard-u9h 20 күн бұрын
😂😂😂
@user-ju4md1yq6o
@user-ju4md1yq6o 22 күн бұрын
Dr tulia ❤
@sharifahabsi5004
@sharifahabsi5004 22 күн бұрын
Mashaallah 🎉
@AdamAmos-rr6fg
@AdamAmos-rr6fg 22 күн бұрын
Nayeye angeongia kiswahili amefeli hapo
@Mumewangu
@Mumewangu 22 күн бұрын
Sio lazima
@MendezyMendezy
@MendezyMendezy 22 күн бұрын
Hpo kaenda kma mwenyekiti wa bunge kidunia
@emmanuelmtalis1590
@emmanuelmtalis1590 22 күн бұрын
@@MendezyMendezykweli
@khlafanmwassa
@khlafanmwassa 22 күн бұрын
Huu ndio upumbavu wa Waafrika, Mwafrika anaona akiongea kiingereza ndio ataonekana kasoma kumbe ni ufala
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 22 күн бұрын
Huyo anaetafisri anajua Kiswahili?
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 22 күн бұрын
Madam tulia tunakuomba utuwakilishe, iambie selikali ya cremlin ,Tanzania kuna vijana wengi tuna nia yakuja urusi kuipigania kwa maslahi ya mataifa mawili na dunia kwa ujumla ila hatuna muwakilishi tunakutegemea wewe kulingana na hyo atua uliyo ichukua 🙏
@allykwaya
@allykwaya 22 күн бұрын
Wazo zuri sana, Dunia ya Haki na Usawa
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 22 күн бұрын
@@allykwaya haswaaaa
@rejobu9723
@rejobu9723 19 күн бұрын
Mwenzako anaisha utaifa wake wewe umeg'ang'ana na lughu zawatu piga kiswahili hapo 🎉🎉
@GraceMashinga-be9wb
@GraceMashinga-be9wb 22 күн бұрын
This is to big big up tz
@aboudasilver6541
@aboudasilver6541 22 күн бұрын
Mainshaallah
@kelvinmboya5846
@kelvinmboya5846 22 күн бұрын
Good work 👍,
@wamsifunimweta
@wamsifunimweta 22 күн бұрын
Ingependeza Sana Tulia Ackson angeongea kiswahili nayeye kujivunia lugha yake
@emmanuelfari8924
@emmanuelfari8924 22 күн бұрын
UBARIKIWE na kutunzwa sana dada Tulia YOHANA 14:14🙏🤝
@dullahabdallah-nu1py
@dullahabdallah-nu1py 22 күн бұрын
Acha kuchanganya dini na serikali,amka
@nicksonmusa3457
@nicksonmusa3457 22 күн бұрын
Dj sma najua utatufafanuliaa hii kitu naona kuna kitu hakipo sawaa
@dullahabdallah-nu1py
@dullahabdallah-nu1py 22 күн бұрын
Utumwa maombolewo ndio unatumaliza,
@jumamasele5793
@jumamasele5793 22 күн бұрын
Hata mm nimeona kuna kitu hakipo saw
@juliusdonard933
@juliusdonard933 22 күн бұрын
Congratulations our head of parliament , m nataman kukutana na putin ila sna uwezo
@zuwenarajab6675
@zuwenarajab6675 22 күн бұрын
Natamani nchi zote za Afrika zijiunge Brics.
@kingsniper9769
@kingsniper9769 22 күн бұрын
@Mpapyrizy
@Mpapyrizy 22 күн бұрын
I wish Angekuepo mzee 😢
@user-xp6xw8fy8o
@user-xp6xw8fy8o 22 күн бұрын
We need logical things that will bring about change in Africa, not looking for a solution in Ukraine, Volrdimir Zelenky, the mayor of Ukraine, how he and his Americans are talking about our relationship with Russia.
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 22 күн бұрын
🙏🙏🙏💪💪💪
@SalumSalim-ss5me
@SalumSalim-ss5me 22 күн бұрын
Mashallah
@JumanneissaK
@JumanneissaK 19 күн бұрын
🖐️🤚
@SamSamwel-p2z
@SamSamwel-p2z 22 күн бұрын
Tanzania🎉🎉🎉
@ZainabuBakari-yb4vj
@ZainabuBakari-yb4vj 22 күн бұрын
Sina shaka na spika wangu,luga ipo
@josephntungiye6232
@josephntungiye6232 22 күн бұрын
Lugha gani ushamba tuu! Kwani unazani putin hajui kingereza?
@LastdayJesu4153
@LastdayJesu4153 22 күн бұрын
Hongera madam speaker hata mafuta yameshuka bei tunashukuru...bravo madam
@Josmedard
@Josmedard 22 күн бұрын
👏👏👏👏
@wasswapatrick1063
@wasswapatrick1063 22 күн бұрын
Hii hatua nzur ya kujiunga bric's+
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 18 күн бұрын
Huu ndo utofauti kati ya mzungu namuafrika sisi bado tumebaba bendera ya kitumwa lkn pia nakupongeza dr tulia
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc 22 күн бұрын
Tulia na Duniani hatariiiiiii
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 22 күн бұрын
Msisahau kuifuatilia crown media pendwa zaidi tz
@justinelukumay5308
@justinelukumay5308 22 күн бұрын
Kila la heri Dadaangu Tuliaackson katika ziara ya kujenga Tz na Dunia KWA Ujumla
@allykwaya
@allykwaya 22 күн бұрын
BRICKS. NEW CROSS AND POWERPOINT OF NEW WORLD.
@almasbakari5359
@almasbakari5359 22 күн бұрын
Was a grate attempt to try to to advise Mr Putin in a good intentions but remember attained peace to him is still threatening. Fact to know that he is not ready to do that but he try to. Listening to you mam if you are also understand his situation,I’m not looking for violence just i just try to overlook indeep Pc
@NimClassic360
@NimClassic360 22 күн бұрын
First
@thebmcblackmiccatcher3949
@thebmcblackmiccatcher3949 21 күн бұрын
Hii DJ SMA aitafsir vizuri, tumsikie Putin anamwambia nini shangazi yetu, shangaz tumemsikia kawakilisha VYEMA SAWA SAWIA 😂😂😂
@PUTINN365
@PUTINN365 22 күн бұрын
Mama samia hapa nakukubali spika wetu nmekuelewa me ndo putin wa tanzania upo upande sahihi viva russia
@mohamedmzeemohammed3739
@mohamedmzeemohammed3739 22 күн бұрын
❤🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@athumanikajembe4585
@athumanikajembe4585 22 күн бұрын
Safi sana madam huyu Putin tumshike sana mzee wa kuamsha akili za wafrika pia ni muarubaini wa kukomeha ushoga na usagaji.Mwenyezi atuingize bricks AMIN
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 22 күн бұрын
Putin na tulia niwatu nawakubali Sanaa kuliko 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥
@MustaphaManole
@MustaphaManole 22 күн бұрын
Bora tujiweke uku
@mvullamanase
@mvullamanase 22 күн бұрын
Rasmi Tumeanza kuingia Duniani
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 22 күн бұрын
Kuna haja ya kiongiz wa bunge wajifunze kupitia urus jinsi wanavoongoza bunge, na mambo ya muungano jinsi inavofanyika sio ile mchanga na mchanga halaf tukapigwa za kichwa
@jumashedafa
@jumashedafa 22 күн бұрын
Huyu ndiye mwenetu
@dullahabdallah-nu1py
@dullahabdallah-nu1py 22 күн бұрын
Sio kwa kimombo, wakati yeye Ni mtanzania
@jumashedafa
@jumashedafa 22 күн бұрын
@@dullahabdallah-nu1py si kumaanisha Tulia..Mie namaanisha Putin..Suala lugha lishaniumiza mno sasa nimechoka..Sisi tunathamin sana lugha za watu kulik kiswahili chetu huku tunajiita ndio waasisi na wapigania kiswahili kienee...Yan tunajiitwa tupo ktk harakati za kukuza kiswahili kienee hasa baran afrika na dunia kwa ujumla ukirud Tanzania..Shule, mahakama, mihadhara, midahalo na ktk baadhi ya sehem watu wanaongea kidhungu na wanaona ndio usomi..Hili lianze na Doktori Samia suluhu
@AjudeKaluwa-bp1zz
@AjudeKaluwa-bp1zz 22 күн бұрын
Sns ninaierewa saana kwa habari zao huwa hawakurupuki wakikaa kimya najua wanakuja na ukweri tusio taarifa za kudandia
@bakarmsangimsangi7757
@bakarmsangimsangi7757 22 күн бұрын
kujichoreshaa tuu wakati Africa tuna mengii yanatusumbuaa mmeshindwaa kuyatatua mnadilii na putin mtuu mzito tujadili yakwetu umeme tanesco wanakata kila siku nini tatizo maandamano #kenyas nini ufumbuzi #kongoo nini chakusaidiaa au tunakulana wenyeweee😢😢😢😢
@user-zh3cf5wk1k
@user-zh3cf5wk1k 22 күн бұрын
Putin anaona anacheleweshewa muda 2...
@paschalsafari9747
@paschalsafari9747 22 күн бұрын
😂😂😂😂 true
@saidfhamad
@saidfhamad 22 күн бұрын
😂😂😂😂 Muda wa nini au Vita 😂😂😂
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 22 күн бұрын
Hahahah Huyo nae anaongea na Putin nini hahahaha
@saadasalum6033
@saadasalum6033 22 күн бұрын
nampongeza sana maadam spika wetu bi Tulia kwa uwakilishi, ila hapo naona kama katuangusha kidogo ilibid atumie lugha yetu ya kiswahili. Inabid tufike hatua tuanze kujivunia lugha yetu ili tuikuze na tuache kuendekeza lugha za wakoloni hasa pale tunapowakilisha nchi yetu na kwenye mambo yote ya msingi yanayohusu nchi yetu. hao warus kila sehem wakienda wanaongea lugha yao, wachina hivo hvo, wafaransa , wajerumani n,k na sisi Africa ni wakati sasa tuamke tusiendeleze ukoloni.
@MohamedyMsagati
@MohamedyMsagati 22 күн бұрын
Moja ya vitu vinanikera ni wakuu wetu wa nchi kuongea kiingereza wanapokutana na viongozi wakubwa duniani halafu wanabaki kutusisitiza sisi tukuze lugha yetu ya kiswahili wakati wao ndo wanatakiwa wawe wa kwanza maana wanapata nafasi kubwa dunia inawatazama Kama mh spika hapo hiyo ndo ilikuwa nafasi kuitangaza lugha yetu
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc 22 күн бұрын
Mhhhhhhhhhhh
@michaelchunser734
@michaelchunser734 19 күн бұрын
Lugha yetu pia ni vyema ikatumika kimataifa kwa kuitangaza sisi wenyewe kama wafanyavyo wengine
@African511
@African511 22 күн бұрын
Afrika tunataka technologies kutoka kwa mrusi na siyo chakula na mambo mengine.
@allykwaya
@allykwaya 22 күн бұрын
Dj smaa. Vunja vunja hii.
@mrishojumbe4572
@mrishojumbe4572 22 күн бұрын
Mbona hiyo meza ni tofauti na ile wanayo karibishiwa wengine swali kwa sns
@user-mt6nu5hs8q
@user-mt6nu5hs8q 22 күн бұрын
Je maiki vp?
@user-tb8gi3ut5z
@user-tb8gi3ut5z 22 күн бұрын
Natamani sana siku moja Africa tuwe na raisi mwenye msimamo na mwenye ubunifu mkubwa ktk nyanja zote sio kwenye vita tu bali Urusi imeendelea sana sana tujifunze kwake Vladimir Putin
@akidashekue163
@akidashekue163 22 күн бұрын
BIDEN anamsikiliza ili andae vikwazo kwa nchi yenu
@joycelinelyimo-fenske8745
@joycelinelyimo-fenske8745 22 күн бұрын
Na yeye siku si nyingi atapigwa mkwala na Trump. Hakuna shida.
@hamudshabani7801
@hamudshabani7801 22 күн бұрын
Bado sijaona uzalendo wa tulia ikiwa hatekelezi utawala bora na utendaji haki ndani ya bunge
@kibokutiwanatanyika1540
@kibokutiwanatanyika1540 22 күн бұрын
Dj smaa tafadhali naomba ufafanue kutizama videos ambazo zinaonesha matangazo ya pombe😢
@chikusangalala7759
@chikusangalala7759 22 күн бұрын
Hapo puti anamuogopa doctor Tulia body language yake inazungumza
@user-kg9fn1ph9d
@user-kg9fn1ph9d 22 күн бұрын
Ila huyu mama eti wamezungumzia vita
@LucasRozi
@LucasRozi 22 күн бұрын
Wewe ongea kiswaili izo endi endi atuzielewi
@Africaamkenitznawenuso
@Africaamkenitznawenuso 22 күн бұрын
Labda viongozi wa tz mmeanza kujitambua hivi, ila msitetereke lazima msimame imara kama jpm magufuri mana hivi punde vikwazo vinakuja, manyang'au wanawasikiliza na wana waona. Uzuri rasia na china nikila kitu lkn watu hamjui tu.
@masungadutta3823
@masungadutta3823 22 күн бұрын
Umetuangusha ungekitangaza kiswahili spika
@deomajuva2432
@deomajuva2432 22 күн бұрын
Angeongea kiswahili tu kwan lazn aongee ma bailatro bailatro bwana
@Godfreyolekidongo
@Godfreyolekidongo 22 күн бұрын
Mbona Kama tunataka kuhusishwa kwenye migogoro ya mataifa mengine? Tukiwa kama waafrika hatuegemei upande wowoteule ijulikane hivo tu.
@issalyanali4119
@issalyanali4119 22 күн бұрын
Ruto yeye anasemaje? Kwa hili alilofanya speaker wa bunge TZ
@TuroRukiko
@TuroRukiko 22 күн бұрын
Mbona anaongea ye ye tu
@muharramhamisi5140
@muharramhamisi5140 22 күн бұрын
😮kimombo ndo lugha gan kak
FULL: Kamala Harris speech at Atlanta rally | FOX 5 News
20:31
FOX 5 Atlanta
Рет қаралды 747 М.
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 87 МЛН
IQ Level: 10000
00:10
Younes Zarou
Рет қаралды 10 МЛН
Каха заблудился в горах
00:57
К-Media
Рет қаралды 9 МЛН
Walichozungumza Tulia Ackson na Rais Putin
4:13
TRT Afrika Swahili
Рет қаралды 1,9 М.
Nabii Kiboko ya Wachawi afunguka alivyotimuliwa Tanzania ndani ya saa 24
8:03
Jipya laibuka kuhusiana na jinsi Ismail Haniyeh alivyouawa IRAN
2:41
Simulizi Na Sauti
Рет қаралды 10 М.
Full interview: Trump speaks at Black journalists conference
48:56
WTKR News 3
Рет қаралды 102 М.
PRADO 250 - классная машина!
0:28
Тарасов Auto
Рет қаралды 4,3 МЛН
T55 Narxi 23 900$ 📞95 155 03 00 | 📞91 033 03 03
0:18
China Avtouz
Рет қаралды 7 МЛН
Мужик купил китайское авто и сразу поехал в СЕРВИС
0:14
Собиратель новостей
Рет қаралды 4,1 МЛН