Dj smaa ndio mchambuzi mzuri alisema kwamba irone dome imefail , inatumika kuzuia vikombola vidogo vya hamas. Ona sasa hezzbullah anajipigia tu tena ndani tel avivi . Leo kwenye kambi ya binyamasi nchini islael hazbullah amepiga kambi ya jeshi ya islael kwa kutumia drone wanajeshi zaidi ya 70 wamejeruiwa vibaya na 5 wamefariki. Na pia drone zimeingia islael bila mfumo wa ulinzi wa islael kujua
@omondiowino7875Күн бұрын
Na hiyo ndo Hali ya vita...sasa uzuri ni kuwa wanajeshi WA Israel huwa wametenga kambi zao mbali na wanaanchi....ila sasa ukirudi Kwa Hezbollah...jamaa wanatumia nyumba za raia kufanyia mashambulizi na kujificha...sasa Israel ikilipiza kisasi wanakuwa hawana chaguo bali kuwachanganya wote
@sama-_8368Күн бұрын
@@omondiowino7875bado unaishi kwenye zama za propaganda tu???
@MohamedAhmada-ie7keКүн бұрын
@@omondiowino7875mnajulikana makafiri hmkosi lakusema Hezbollah wanapiga sehem za jeshi tu ila Israel yy anakimbilia kuuwa raia ili watu waogope lakin yeye muache auwe raia watu watapambana nao na ushindi utakuja
@salehkhalfan734523 сағат бұрын
@@omondiowino7875 Una ushabiki sana Izreal haijawah na haitowah kufata utaratibu wala Sheria yyt ya Umoja Mataifa
@henrymatebe23 сағат бұрын
Hassan hujui chochote una ushabiki wa kidini ndo maana hata hujui kuandika jina Israel
@suleimanh1826Күн бұрын
GPS ni bora sana. Si ya kukosa kabisa. Hongereni wandaaji nyote na wana SNS. Karibuni Zanzibar
@brianbaltazar619822 сағат бұрын
SNS🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@KhamisJuma-yw8xwКүн бұрын
Nd wakwanz leo kutoka zanzibar naomba like zang km zote
@fadhilngalanda7520Күн бұрын
Pa1 sana mikunguni hapa
@SabihaibrahimRajabuКүн бұрын
Wa saateni hapa
@RichardMwaja23 сағат бұрын
Hii GPS Ipewe heshim maan ni sehem y kufungua faham z watu wengi lkn ss n platform inayotakiw kuw inatoa dira n mitazamo y ss nin cha kufny km dira yetu km taifa.
@Chw_Kdmn83Күн бұрын
Msisahu pia wenye malengo yao wanatumia fursa kupenyeza majasusi wao ktk jeshi hilo la UN. Sikila anaepeleka jeshi anania njema...
@domajosep3797Күн бұрын
Gps🔥🔥🔥
@bakarijewel2082Күн бұрын
Pa1 sana wana GPS
@r.m.a7570Күн бұрын
Israel hawana lolote lile chief kamanda kadanya huko ali una penda kuwakuza sana Israeli hao n mbwa tu
@WilliamKiletaКүн бұрын
Hawa jamaa huu mgogoro bado hawajapata source za hbr za ndani zai maana walijikita zaid Kwa Putin na zelensky lkn huko Israel bado hawapo vzr kiuchambuzi taarifa nyng hawana ndyo maana Sasa nashndwa kumaliza kpnd chote ila Kuna mwamba anaitwa I ra rahby yule ukimpa dk 15 tu anamaliza kpnd
@josephorkitok1374Күн бұрын
Taarifa zenu huwa nazipenda maana ni za kweli kabisa
@hamismiraji3591Күн бұрын
Ali umeulizwa swali israel vita ya chini sio mzuri kama tulivyoaminishwa ww unazungua sana mara israel anatumia f-16 unatakiwa kuwa straight forward
@AzizihFarijala22 сағат бұрын
Hata Israel yenyewe haiko salama TEL Aviv nayo inachapwa Haifa imepigikaa vibaya mji wote umepondeka
@RamaHRIzmaelovКүн бұрын
Persona nãn grata-----Mtu asiye na shukrani
@HassanRamadhanPashuaКүн бұрын
Hio UN yenyewe waliitengeza wao 1920 kipindi icho walikua wanaiita Christian united Nations 1921 ndio wakabadilisha wakatoa ile Christian unaona sasa Israel yuaona inakuaje huyu
@MumewanguКүн бұрын
Yote haya anaesababisha ni marekani
@omondiowino7875Күн бұрын
Marekani ndo kamtuma Hamas sio..? Marekani ndo kamtuma Hezbollah kuwauwa watoto waisraeli sio...? 😊
@FredMwamgogwa-td6niКүн бұрын
Bila marekani dunia ingekua na vurugu sana😂😂😂😂
@hamismiraji3591Күн бұрын
Akili ndogo@@omondiowino7875
@MumewanguКүн бұрын
@@FredMwamgogwa-td6ni wewe kweli shoga marekani ndie gaidi wa Dunia ukrein amesababisha yeye, anampa israil silaha awauwe wanyonge, mpaka anaeneza ushoga
@SwedyMohamed-vt5zmКүн бұрын
Wazungu wa Marekani na Ulaya ndio walio muweka hapo Israel na wanamlinda kwa gharama yoyote ikiwemo damu za wenye haki.Na Marekani na Ulaya ndio waliokuwa wanawalinda Makaburu wa Afrika kusini.Sasa kama mtu anakataa huu ukweli,huyo ni shabiki TU,Hajui lolote.
@raymrash22 сағат бұрын
Vikosi vya amani vina tafuta nini Lebanon!? Wakati Israel inashambuliwa mbona Vikosi havikwenda
@sonnyr1899Күн бұрын
Kaka Sky kuna jama anaitwa Ibrahim Rahby anakuwaga sana AZAM TV na VOA huyo jama ana madini sana akiletwa hapo mambo yatachangamka.
@AliNassor-qt6fmКүн бұрын
Ali masuby nikuweke sawa hapo, mashambulizi ya hizbollah yanatumika kwa magari hivo gari Linarusha makombora Kisha linaondoka sasa hata ukishambulia hiyo sehemu hutopata chochote
@shabanimataka8418Күн бұрын
Vita inaenea taratibu duh
@phestostanley4019Күн бұрын
Mbona sijasikia kuhusu waziri mkuu wa Lebanon aliepeleka pendekezo umoja wa mataifa kuomba vita isitishwe!..?
@osmanmohammedosman5493Күн бұрын
Leo mapema sanaaa
@malulamuhoja1692Күн бұрын
Hawa jamaa wakiwepo gps inakuaje nzuri sana, yule jamaa smaaa Huwa anaharibu sana Yuko biased sana, congratulations brothers
@rajdaboy23 сағат бұрын
Kama kawa Nairobi Kenya tunawapata
@merrymwakunje4108Күн бұрын
Mwambie masub aje aoe hint yangu ana hakir sana
@josephkostans9128Күн бұрын
URUSI anapambana na NATO huko Ukraine na NATO hao hao wanapambana na Hezbollah na hamas huko mashariki ya kati. Ni wale wale wakoloni anaipiga Lebanon sio Israel ni NATO uliza marekani ametuma wanajeshi wangapi kwenda izraeli ingieni indeep msicheze na propaganda za wakoloni
@omondiowino7875Күн бұрын
Acha uongo buda... Putin alisema kuwa punde Tu NATO atakapoingilia vita vya Ukraine basi atatumia Nuclear...sasa ukisema kuwa NATO wapo Ukraine hivi wadhani unaakili Sana kumshinda Putin..?😂
@SwedyMohamed-vt5zm23 сағат бұрын
Ni kweli NATO wapo Ukrein isipokuwa hawajatangaza rasmi kwamba wako Ukrein.
@omondiowino787523 сағат бұрын
@@SwedyMohamed-vt5zm Uturuki yupo NATO na huyo ndo undercover wa Urusi ndani ya NATO hivyo NATO akiingia pale hata Kwa Siri Urusi atajua Tu... wanachokifanya wale jamaa ni kumpa silaha Ukraine... halafu sasa hivi ni wazi kuwa wanajeshi WA North Korea tayari wapo pale wanamsaidia Urusi ...Hilo nalo lilidhibitishwa maana kuna wale walioshikwa na kuna wale waliouliwa
@FilbertRobert-e4u23 сағат бұрын
Tuangalie peji gani bos?
@hemedjackson226123 сағат бұрын
Saiv huo mfumo unafeli wa Israel mana watu wanampiga sana na wanaendelea kumpiga sana
@MohammadiSefuКүн бұрын
Ila minaona wamarekani na israel wanahadaa ulimwenguo
@ManusuraWalumonaКүн бұрын
Mkiwa uwanjani nasisi tupo macho yatu masikio yetu na akili yetu yapo kwenu tusikie kinacho zungumziwa mpo vizuri na tunawapenda!!
@musajack7276Күн бұрын
Nyinyi ni zaid ya darasa
@SeifMassoudКүн бұрын
Netanyahu kama anadhani kuwa vita vitamsaidia kisiasa asahau mana upepo sasa unaenda kuwa mwengine, ndani ya siku Hizbollah wamepiga zaidi ya wanajeshi 25 huko lebanon lkn hapo hapo wametuma drone kwenye kambi ya jeshi ndani ya Israel Haifa na kusababisha madhara makubwa sana mpaka sasa majeshi 4 wameshakufa na zaidi ya 60 wamejeruhiwa
@omondiowino7875Күн бұрын
Halafu huyo mwengine ndo unaambiwa ni mbaya zaidi maana Yeye alitaka Netanyahu atumie Nuclear
@MohamedAhmada-ie7keКүн бұрын
@@omondiowino7875muache atumie nuclear aone kama na yeye atakaa kama hajapigwa nuclear
@omondiowino787523 сағат бұрын
@@MohamedAhmada-ie7ke vita vya Nuclear Hilo hata sio swali maana ni lazima Israel atatumia Nuclear
@MohamedAhmada-ie7ke23 сағат бұрын
@@omondiowino7875 tunasubir aanze
@erickrakitic9113Күн бұрын
SNS🔥
@JohnKaliadiКүн бұрын
Tukumbuke!!!!,mwaka mzima hezbollal wanarusha makombora israel,hamas waliingia israel wakateka wakaua, wakae kimya hebu semeni,minaona shida ipo,mbili hapo kwanza ni nchi hamasi wanasema nchi yao,israel nao wanasema yutaenda wap, pia dini mbili ,wazayun na shia ,tatizo hili haliji kuisha mpaka mmoja awe mshindi wa kimabavu
@AbubakarAlly-th6opКүн бұрын
Smaa yupo wapi?
@WazirBoy-fe5ewКүн бұрын
Habari za kupotezana au habari za kupoteana , vipi hapo ?
@peteremanuel2367Күн бұрын
Jamani, Umoja wa Mataifa hauwezi kufanya lolote wakati wanaosabisha matatizo ni hao wanne wa Baraza la Umoja wa Mataifa, USA, UK, France na Germany.
@hajjiomary2383Күн бұрын
Msisau wamepigwa na projecter
@JeannetteManirambona-o6m23 сағат бұрын
Tunashkuru san kwa uchambuzi mzri
@jumadaima1833Күн бұрын
Nikikosa Jps mmm....
@PlatnamMogoКүн бұрын
Alie vaa suti yuko vizuri kwenye uchambuzi.
@heriurio6410Күн бұрын
Dj smaa aliahid kutuletea makala ya mgogoro wa Israel kimaandiko naona kmya vp
@peterjr8073Күн бұрын
Hawa ndio uwa nawahelewa uchambuzi wao kwasababu hawako upande wowote
@adamnasibu5931Күн бұрын
Team israel mambo
@peteremmanuelymatwimatwiem3258Күн бұрын
@@adamnasibu5931😅😅😅utawajua tu kwakweli
@peterjr8073Күн бұрын
@@adamnasibu5931 aaaaaaah
@JafariNyalluКүн бұрын
Aya mwageni utam Sasa tufurahi
@dorcaskarago2876Күн бұрын
Wanalaani Israel kilasiku ndiyo mana wanapigwa anaejuwa maana ya jina ISRAEL ni nani apa aniambie?
@HassanRamadhanPashuaКүн бұрын
Israel ni makabila 12
@fadhilngalanda7520Күн бұрын
Israel hii siyo ile ya manabii Israel ya manabii siyo yenye uuwaji Israel ya manabii siyo ya kusapoti mashoga
@AwateeКүн бұрын
ISRAEL ni mwenda usiku ambae ni nabii Yakoub As na hakuna Israel bali ni wana wa Israel
@dorcaskarago2876Күн бұрын
@@fadhilngalanda7520 hello hawa watu wana Agano la milele Mungu wao anaweza akaruhusu wapigwe ila mwishoni analikumbuka lile Agano nakuwaokowa na zaidi yayote wana akili sana
@sylvestermalisha5292Күн бұрын
Israel ni mbarikiwa hivyo wanaoilaani wataangamia
@AyubuMotimaКүн бұрын
Bila hendry siangalii gps
@RobertBitambaOfficialКүн бұрын
Nawapataje live mbona nakutana na recorded
@hemedjackson226122 сағат бұрын
Israel ni kitaifa kidgo san dhidi ya Iran 🇮🇷
@j4amas5Күн бұрын
Jirani yako anapopata madhara kisha usishirikianenae katika utatuzi kwa kudhani kwamba hayatokufika basi ujue kesho itakuwa ni zamu yako.
@Daudimakaza-s1vКүн бұрын
Mm mislaam siipend,inazan mtamshinda Israel ht mngemchangia hamtowez hlo taifa teule kmandko litapgwa ndo yesu atashuk lasmi ss
@abdallahhuseinkabale7534Күн бұрын
Jifunze kwanza kuandika
@paschaljuma331223 сағат бұрын
We ni shoga sio muislam taufa teule lipo kwa wakrusto tu sio kwa wauslam bwege wewe
@abuukajembe-to6sdКүн бұрын
Habali mnanyo mkuu wamajeshi wa Israel auwawa
@nanguniMtaita-hz4ztКүн бұрын
Ok ACHA 50 hao wamlaani Netanyau, it's not a problem, Mungu amesema ktk vitabi vitakatifu hivi; nanukuu, " Atakaye mlaani Israel nitayarudisha kwake, maana huyu ni mboni ya jicho lake, kwasababu ya Ibrahim baba wa Imani" laana hiyo itarudi wenyewe. Subiri tuone.
@MumewanguКүн бұрын
Unajidanganya kumalamamayako. Kwa mungu anarizika kuuwa watoto na watu wasio na hatia? Alafu amrpora ardhi ya wapalestina jee ni haki?
@peteremmanuelymatwimatwiem3258Күн бұрын
@@Mumewanguhii vita mwenye Aridhi ni Myahudi ila mwisho wa siku katika vitabu vya hadithi za Imani watapigwa vibya mno naita leta anguko lanyangumi
@GoodluckHassanКүн бұрын
Wewe hiyo Israel unayoiona sasa hivi sio taifa teule ni makao ya mashetani tu tazama Ufunuo 2:13
@hassanmlawa-o6sКүн бұрын
@peteremmanuelymatwimatwiem3258 umedanganywa na wazungu amka
@leonardgervas7515Күн бұрын
@@Mumewangumatusi ya nini jibu hoja kwa hoja auna maharifa ya kumpa elimu akakuelewa zaidi ya matusi
@KhalfanSalim-v1xКүн бұрын
kuna mda unasema bila kufikiria sasa iyo vita wanao sapoti wakina nani American na urop yote wanasapotiana ndo maana vita aiwezi kuisha
@hamidamussa-sy4fmКүн бұрын
Nyie mnaikosoa marekani na washilika wake
@josephkostans9128Күн бұрын
Makomando wa marekani ni ushuzi tu hawana ubora huo unaoueleza hapo ni propaganda tu
Gaza Wana pigwa Líbanon, iraqui, hizo nchi zote IDF ina tandikwa, bali ukweli hutolewi😂😂😂😂😂
@WilliamstozzoКүн бұрын
UN,,,wanaruhusujee hezbollah kuweka mahandaki kwenye eneo lao la ulinzi? Na wanafanya nini kama wamewekwa kulinda mipaka na usalama na hawafanyii hivyoo?
@MumewanguКүн бұрын
Hizbullah wanaposhambulia kutuma makombora au rocket mda si mrefu lile eneo huwaga wanahama. Ndio maana israil ile sehemu huwaga anashambulia nakubaki kuvunja majumba
@jkifutu7936Күн бұрын
Msulimoto
@Daudimakaza-s1vКүн бұрын
Misram inapenda kusifiw Israel piga wte
@Hawa-qc9foКүн бұрын
HAPO BADO😅😅😅
@ericmutalemwa804022 сағат бұрын
Sky mueleweshe kijana wako vita vya Russia ni kukidhohofisha kwanza jeshi la Ukraine ndiyo MAANA wanawaaua tuu na SI kusonga mbele Kwa haraka inakadiriwa mpaka sasa Ukraine imeshapoteza wanajeshi wapatao million ndiyo MAANA inskanata watu na kuwapeleka front line na Russia ingetumia Method za Israel kisingekuwepo na Ukraine Leo hii
@josephkostans9128Күн бұрын
Wakalaaniwa sio netanyau TU bali ni marekani na ndio shetani namba moja duniani. Kwa sasa natamani nuclear kutokea popote pale zishuke marekani na miji ya marekani iwake moto maana marekani ndio anaefadhili mizozo yooote duniani sasa kwa nini dunia isisimame kinyume na shetani hili marekani na washirikina wake NATO. Hao nato wanachosema mdomoni sicho wanachokisema kwenye vikao vyao wakiwa na Israel.
@peteremmanuelymatwimatwiem3258Күн бұрын
Sema akili zako ziko matakoni unajua unachokitaja hapo kitumike alf una jua madhara yake au mnaongea utumbo aisee napenda Russian na Iran but nyukilia sipo upande huo hakuna kitaka chobaki alf uku ndo tukufa na huku wana pigana wao
@mohdhilaly7900Күн бұрын
Nyatanyau kachanganyikiwa kama zelesky
@JafariNyalluКүн бұрын
mmetukimbia wanetu
@hemedjackson226123 сағат бұрын
Inapigik vby Israel
@hamidamussa-sy4fmКүн бұрын
Mlitabili lebanoni ina nguvu haiwezi shambuliwa na islaeli leo hiii lebanon inashumbuliwa inakuja magofu
@WilliamKiletaКүн бұрын
Siku moja muiteni ibrahim rahby awape uchambuzi wa hiyo middle east maana naona gps ilijikita sana kwa ajili ya urus na ukraine lkn huo mgogoro naona hamjauchimba vzr zaidi tafuten wachambuzi wabobezi zaid ila nawakubali wote
@issajohn5996Күн бұрын
Ally Masubi ni dini gani? Plz guys don't take this personal
@hamadiharuna997422 сағат бұрын
Jama haeleweki bro
@MikelSitoeКүн бұрын
Sio kichapo kidogo anacho ki chezea israel Brow anachezea ki chapo chá mbwa koko😂😂😂
@AliNassor-qt6fmКүн бұрын
Netanyau amechanganyikiwa😂😂😂
@AwateeКүн бұрын
😂😂😂😂Alidhani atakula bata na kuamka ALLAH hajaghafilika na madhwalim anawapa muda tuu na hufanya mambo yake kwa hekima wengi hawajui
@NELVIS-p6gКүн бұрын
Swali ni hili inawezekanaje Irani kuishambulia Israeli Kwa madai ya kulipiza kisasi Kwa mauaji ya Ismail Haniyeh wakati Israel haikukiri kuhusika na suala Hilo naomba ufafanuzi
@salhawaziri1668Күн бұрын
Haikusema ni ismail haniyeh wamesema wamelipiza kisasi cha Nasarallah
@allykomsonde7813Күн бұрын
Chama cha wasomba comenti Tanzania (chawaconta) 😅
@FranckDaniel-cc5rgКүн бұрын
Kila siku ni iran
@hamadiharuna9974Күн бұрын
Aly unaboa bwana
@FranckDaniel-cc5rgКүн бұрын
Hv mbona hamtupi uchambuz kuhusu urusi yan had mnaboa sku iz
@hamismiraji3591Күн бұрын
Ali anamahaba na Israel na marekani
@hassanisaidi542222 сағат бұрын
Anaulizwa swali flani anajibu kingine,hawi straight,,tatizo yeye ni pro Israel na siyo mchambuzi
@hassanihamidu8546Күн бұрын
Ali kunamuda unaongea vitu vya uwongo Putin alishatangaza hanashida na kakive sasa wewe unatwambia hajatoboa
@hemedjackson226122 сағат бұрын
Waajemi hao wameweka mikwala hatari😂😂 wazee wa vilemba
@sharifahabsi5004Күн бұрын
Walikufa wengi tu israil
@salumabdallah299023 сағат бұрын
Ali masubi tena😂😂😂😂 aiponde israil haiwezekani😂
@yassinmohamed8241Күн бұрын
GPS
@hamidamussa-sy4fmКүн бұрын
Mbona putin hamsemi nayeye ananufaika kisiasa
@NardhisMhagama-sy3eqКүн бұрын
Akili ndogo yaaani Israeli wakose makombora yakufika Irani Irani waweze
@FredMwamgogwa-td6niКүн бұрын
😂😂😂😂😂 inachekesha mkuu
@GeorgeElias-p5oКүн бұрын
Netanyau hana mna huo, anatoa tahadhari mkileta siasa yeye anafyeka tu..😂😂 isitoshe hao walinda wanashirikiana na magaidi maana jirani tu kuna andaki la hezboallah
@chidiomari.65Күн бұрын
👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝💪
@omondiowino7875Күн бұрын
Netanyahu amekuwa akiwavimbia Marekani, Ufaransa, Uturuki na nchi kibao tu na kwa sasa hata sasa kiongozi wa UN...na hajakomea hapo Peacekeepers wa UN pale Lebanon pia amewapa salamu zao...hiyo inapasa kukufanya ujiulize swali ..huu ujasiri Israel anautoa wapi...? jibu ni kuwa Wayahudi ndo wanautawala dunia...na hiyo ilikuwa sababu kubwa ya mgogoro wa Wayahudi na Hitler
@salimali-rf9er22 сағат бұрын
Hiyo sio sababu, sababu ya hitla kuwauwa masyahudi, nikukataa kushiriki ktk vita km wanajeshi
@omondiowino787522 сағат бұрын
@@salimali-rf9er hapo wadanganya maana wayahudi walishiriki vita na hata ushahidi ulikwepo wa wayahudi wengi waliouliwa kwenye frontline... tatizo nikuwa wajerumani walijiamini Sana hivyo hawakuamini kuwa walishindwa hivyo kukawa na msemo kuwa wayahudi waliwasaliti ... hiyo ilikuwa sababu moja na pia watu wa ujerumani na Austria walikuwa hawawaelewi wayahudi maana walikuwa wanafanikiwa kwenye biashara na walikuwa na hela nyingi so jamaa pia wakawa na fikra kuwa kuna nguvu za kishetani ambazo wayahudi walikuwa wanatumia ndo zilizokuwa zikiwasaidia kimafanikio ila hapakuwa na evidence..na hivyo Hitler alikuwa akisema kuwa hawa wayahudi wakiachwa watakuwa wao ndo kusema kwa nchi yao ... hivyo akichukuwa uongozi atawaondoa wote na kwasababu walikuwa wakichukiwa na wengi Hitler alipewa uongozi and the rest is history
@youngb8672Күн бұрын
Hata zikimlaani wanamsaidia nn wao walichofanya palestina oct 7 kilikua kizuri??
@sonnyr189923 сағат бұрын
Hakikuwa kizuri hata kidogo ila usijizime data kusahau wapalestina wanachofanyiwa toka 1948 bro.
@Zuhuranadadoita23 сағат бұрын
Sisi unapotetea Warabu so kwamba Tunawapenda hapana ni ubinadam tuh mbali na roho Yao mbaya bado hawastahili kufa kama hapo tizama vita yaani boss anakuterekeza hajali utakufa ama vip yeye anaondoka anakuacha Bila passport Sasa unafanyaje utarudije kwenu roho mbaya ubinafsi Hawa watu wanao nikiwa Oman for 6 years hicho ndo kitu nimekiona mbali na yote ni binadam hawastahili hayo wanapitia Amani ipatikane tuh siku moja😢😢😢😢😢
@emmanuelsunday832523 сағат бұрын
Umoja wamataifa unapendea sana ,Mbona kipindi Israel wanapigwa hawakuingilia Sasa ivi wanaona hesborah wanapigwa et ndo wanaingilia
@aftapat5365Күн бұрын
kwanza umoja wa taifa la marekani na Eu a.k.a Un wenyewe hapo ulipo hawajamlipa myahudi aridhi yake alionunuliwa na kaka yao enzi hizo mshahara wenyewe wanapewa na myahudi
@FilbertRobert-e4u23 сағат бұрын
Daaah! Wapi tena?
@raydanfrenkКүн бұрын
Netanyahu ni mtu na nusu 😅
@AwateeКүн бұрын
Ni kichaa alie changanyikiwa ndio maana wanahangaika kila sehemu hivi unafikiri ndivo akili ya binaadam?
@raydanfrenkКүн бұрын
@@Awateendio maana nimesema mtu na nusu so siyo binadam wa kawaida
@aasatt78Күн бұрын
@@raydanfrenk Ni kichaa tu we ata humuoni alivyochanganyikiwa
@AFRICA_D669Күн бұрын
Mwambie huyo bwege akajifunze Vita kwa zelensky, hajui Vita anajifunza kutoka kwa mu US, akati hao wanao mwambia aache Vita wamepigana Vita kabla ya mmarekani na nimadora makubwa sana