SPIKA DKT. TULIA AWA MKALI, ATOA MAAGIZO KWA SERIKALI KUMALIZA MGOGORO WA WANANCHI

  Рет қаралды 6,558

Uhondo TV

Uhondo TV

4 күн бұрын

#UhondoTV #Uhondo

Пікірлер: 15
@NEFRONKonga
@NEFRONKonga 2 күн бұрын
Spika upo vizuri mno. Nakufuatilia napenda unavyo endesha Bunge unakaa katikati ya mawaziri na wabunge kujenga hoja za kusaidia wananchi. Mungu akubariki sana nakufurahia kwa kweli.
@fridoliusrushunju9093
@fridoliusrushunju9093 2 күн бұрын
Yupo vzr Sema shida yake anashindwa kufanya maamuzi pale anapogundua kuna tatizo upande wa serikali ila yupo vzr siyo kama zungu na hii mijadara muhimu zungu awezi kuendesha
@nyembobea7285
@nyembobea7285 2 күн бұрын
Hakika wewe ni spika mzuri sana MUNGU akuongoze vyema uishi maisha marefu na udumu katika vyeo ili tufaidike na hekima zako
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 2 күн бұрын
Uzur wake nn sura au urefu wa twiga
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 күн бұрын
Kwa vikao hivi Spika maua yako,umesimama vizuri kuwatetea wananchi.
@josephlorri431
@josephlorri431 2 күн бұрын
Hakuna uwingi wa polisi.. neno 'mapolisi' anatumia sana lissu ili kuwakera hao askari polisi
@jamesbayo1910
@jamesbayo1910 2 күн бұрын
Spika Tulia Mungu akubariki kwa jinsi Unavyoogoza kwa Haki na kwa Upeo mkubwa Bunge letu la TZ. Na viongozi waige Umahiri wa Spika Tulia Ackson.
@graciouskibona3853
@graciouskibona3853 2 күн бұрын
Spika unatenda haki lkn je watu wako wa mbeya mbona umekaa kimya kwenye eneo lao nane nane mbeya
@elibarikimollel7149
@elibarikimollel7149 2 күн бұрын
Hawa Mawaziri wanatengeneza migogoro kati ya wananchi na serikali kwa kupokea maagizo sahihi kwa mh.Rais,na kwenda kutekeleza kinyume bila kuheshimu historia. Hawa wanamyumbisha Rais aonekane mbaya kwa wananchi! Mh.Spika fuatilia okoa serikali na chama...kwasababu Kairuki na Jerry wana lao jambo...
@DaimaebraniaMbilinyi
@DaimaebraniaMbilinyi 2 күн бұрын
Kama ulivyo mgogoro mpaka wa wanging'ombe na makete vilevile.dah! Hawa viongozi ni shida
@user-fy3cy5fe6q
@user-fy3cy5fe6q 2 күн бұрын
Hao ndio wabunge wanatakiwa nchi hii
@georgemaganga3804
@georgemaganga3804 2 күн бұрын
Nimekukubali spika
@georgemaganga3804
@georgemaganga3804 2 күн бұрын
Spiral wa kiwango.Huyu Waziri anababaisha.Hana jipya
@epafraditopajenga4650
@epafraditopajenga4650 2 күн бұрын
Rais Sio Msada Mawaziri Wanafanya ujinga,2025 bora mtanganyika Hata kama ni upinzani kuliko,chama tawala kagombea Mzanzibar
@JacksonNovatM
@JacksonNovatM 2 күн бұрын
Uhondo mnazingua mnakwama kwama.
THE PRESIDENT TV INTERVIEW GONE WRONG
29:46
Iko Nini
Рет қаралды 7 М.
Khóa ly biệt
01:00
Đào Nguyễn Ánh - Hữu Hưng
Рет қаралды 20 МЛН
Khó thế mà cũng làm được || How did the police do that? #shorts
01:00
President Ruto: Alfred Keter was not abducted, he was arrested
10:36
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 215 М.
Khóa ly biệt
01:00
Đào Nguyễn Ánh - Hữu Hưng
Рет қаралды 20 МЛН