RAIS RUTO AULIZWA KUHUSU MTOTO wa MIAKA 12 ALIYEPIGWA RISASI 8 KWENYE MAANDAMANO - AJIBU...

  Рет қаралды 16,037

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

RAIS RUTO AULIZWA KUHUSU MTOTO wa MIAKA 12 ALIYEPIGWA RISASI 8 KWENYE MAANDAMANO - AJIBU...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 45
@jacklinezombo5806
@jacklinezombo5806 3 ай бұрын
uyu ruto Yani anaona kua raisi basi anadhani kutawala adi watu umu kenya anaweza fanya lolote Aki wewe ruto utalipia kila ulilo lifanya
@MusaOgwoko
@MusaOgwoko 3 ай бұрын
Ruto una Mali nyingi sana wakenya watachukuwa yote na kufugwa nimeota Niko Tz
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 3 ай бұрын
Nchi yako iko kwenye mfadhaiko mkubwa na ww uko hapo unastarehe na kukunja nne, kweli ww ni mtu mwenye moyo mbaya kweli kweli
@abusalmaabdullah2093
@abusalmaabdullah2093 3 ай бұрын
Initially i was in total agreement with rest of the kenyans who thought the president was lying but now i have realized that he is right in most of what the president says is TRUE
@djlove254themonsterkiller
@djlove254themonsterkiller 2 ай бұрын
Is he answering what he's asked
@hateemmerj6020
@hateemmerj6020 3 ай бұрын
Ruto muongo sana yaani mtu awapokonye askari bunduki halafu aue raia badala ya police??wewe acha kutubeba ufala
@CharlesSomeke-ml7ju
@CharlesSomeke-ml7ju 3 ай бұрын
Hivi ninyi hao askari mnawachukulia kua ni miti mnawapiga mawe wao hawana uchungu?
@eunicemulaa939
@eunicemulaa939 3 ай бұрын
He's not even sure who he's talking about, and yet goes on to explain....
@VanessaMatti
@VanessaMatti 3 ай бұрын
​@@CharlesSomeke-ml7juusitumie hii akili kuvuka barabara ukiwa busy
@sabihasalim942
@sabihasalim942 3 ай бұрын
Good question !!!!🇬🇧👍🏽
@johnlobuin4212
@johnlobuin4212 3 ай бұрын
​@@CharlesSomeke-ml7ju If it is a rivalry, then the citizens too be armed and go with police in a range competition.
@VanishMoraa-iu3om
@VanishMoraa-iu3om 3 ай бұрын
Uongozi mbaya
@sarahkeivaly3351
@sarahkeivaly3351 3 ай бұрын
Mmekunja 4 hapo kwasababu mnaraha, Hujali kabisa wananchi wako walioteketezwa na ambao wako Hosp
@MoinaminaAmina-qh1jb
@MoinaminaAmina-qh1jb 3 ай бұрын
Magaidi wa Haïti wana anza kusema kwenye mitandao kua wata wachoma polisi wa Kenya walio kwenda kwenye nchi yao
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 ай бұрын
Mhe Ruto Nchi inapitia wakati mgumu waache Polisi wakusaidie kutuliza ghasia, haya mambo ya kuiga wakina Biden kuita waandishi wa Habari sio poa , Waite baadae kukishatulia , Wakenya wameamua kuiharibu Nchi Yao na wewe umekula kiapo kulinda raia wema na Mali zao, ukianza kuita hizi media kukuhoji zitakuchanganya , wewe ni Rais halali kwasasa Ungekaa kimyaaaa hadi Polisi watakapo maliza hizi kadhia
@sankofaman4112
@sankofaman4112 3 ай бұрын
Wafkiri ni rais wa Tanzania? Kenya inaongozwa na katiba na rais sharti aeleze nchi kwenye vyombo vikuu vya habari kila kunapotokea jambo. Vyombo vya habari vya Kenya vina uwezo ki katiba kumuita rais interview, sio yeye aliyewaita.
@sankofaman4112
@sankofaman4112 3 ай бұрын
Halafu ujue wa Kenya wanatengeza nchi yao, anayeharibu nchi ni yeye. Pia rais wa kenya hana mamlaka juu ya polisi. Kenya police is a service, not a force, na polisi ukiua unakwenda mahakamani mwenyewe, sio rais. Wewe tulia uangalie tu. Kenya hata ikibomoka Tanzania tutakuja kuwakuta hapohapo tu mkipiga mark time.
@philemornmutta1597
@philemornmutta1597 3 ай бұрын
Mmmmmmmmmhhhhhhhhhhh poleni sana ila wanaoumia ni wafiwa yaani wajane yatima n.k​@@sankofaman4112
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 3 ай бұрын
​@@sankofaman4112😂😂 sisi maroboti wanatufanya watakavyo
@hajikhamis3288
@hajikhamis3288 3 ай бұрын
Huyu ruto hayuko SAWA kiakili kwa sasaa kutokana na majibu na muonekano wake
@SharonAron-t1j
@SharonAron-t1j 3 ай бұрын
Afadhali hata Ruto anakubali kuulizwa maswali
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 3 ай бұрын
Yani hyu jamaa mungu pekee ndio atake mtosha tu
@sponsor7882
@sponsor7882 3 ай бұрын
wanandi roho ngumu sna kama sura zao
@tausikiyabo6302
@tausikiyabo6302 3 ай бұрын
hv hawa lugha yao ya taifa ni kiswahili lkn wanakuwa watumwa hongra Uhuru Kenyata
@eliahmahega5639
@eliahmahega5639 3 ай бұрын
Kingereza na kuswahili.....tanzania tu kiswahili ndio lugha ya taifa pekee
@daudiniyonsaba1113
@daudiniyonsaba1113 3 ай бұрын
Who is interviewing who? Mr President, it is clear that situation is out of hand unfortunately.
@michaelgilbert1531
@michaelgilbert1531 3 ай бұрын
Your Ruto no longer who you're 😂
@kevinoyile2663
@kevinoyile2663 3 ай бұрын
Still calling people criminals
@TitusMutinda-e5w
@TitusMutinda-e5w 3 ай бұрын
😂very bad
@elnorahmjomb1896
@elnorahmjomb1896 3 ай бұрын
Mungu sijui tunaongozwa na mtu wa aina gani
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
huyu Rais wa Kenya apewe muda tuu. ameshaskika malalamiko ya nchi yake kimatendo ss anaenda kutekelezwa. ila nmeskia huo mswada unamambo mengine makubwa kweli kwaajili ya nchi jirani na kama yakiteelezwa Kenya inaenda kuwa nchi yenye mafanikio sana
@MwanatumuJumaa-rj4fg
@MwanatumuJumaa-rj4fg 3 ай бұрын
Ila kutimia ndio ndoto sisi ndio tunamuelewa raisi wetu vyema ni muongo😢
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 ай бұрын
@@MwanatumuJumaa-rj4fg jmni thats a strong statement jirani..kweli useme Rais ni muongo?
@alisoncarol8504
@alisoncarol8504 3 ай бұрын
​@@jedidahbintidaudi8241kama ni ukweli usisemwe? Alaa!
@alisoncarol8504
@alisoncarol8504 3 ай бұрын
​@@jedidahbintidaudi8241ukweli lazima usemwe..alaa
@alisoncarol8504
@alisoncarol8504 3 ай бұрын
​@@MwanatumuJumaa-rj4fg100 percent
@allynassoro8448
@allynassoro8448 3 ай бұрын
Wacha ujinga ushauri kapeke kwenu Tz kamshauri samia
@aginiweyessayakyando5594
@aginiweyessayakyando5594 3 ай бұрын
Watanzania tunasikitika Sana kwa Mambo yaliyotokea Kenya🇰🇪🇰🇪 Lakini Rais wetu wa Tanzania🇹🇿🇹🇿 Muache kbs usituingize kugombana na nyie. Na Sisi tunayo yakwetu Leave us alone
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 48 МЛН
Офицер, я всё объясню
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 4,6 МЛН
ОТОМСТИЛ МАМЕ ЗА ЧИПСЫ🤯#shorts
00:44
INNA SERG
Рет қаралды 4,7 МЛН
KAMA HUKUUMIYA KWA HAYA WEWE UNAPATA DHAMBI
20:12
arkas online tv
Рет қаралды 13 М.
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Fighting Spirit
Рет қаралды 4,2 МЛН
Oliver Kahn will never forget this humiliating performance by Ronaldinho
10:07
🔴#LIVE: JANA NA LEO NDANI YA WASAFI FM | 01-10-2024
Wasafi Media
Рет қаралды 151
Watermelon magic box! #shorts by Leisi Crazy
00:20
Leisi Crazy
Рет қаралды 48 МЛН