Spika wa bunge la Tanzania atoa changamoto kwa wabunge wa Kenya kutumia Kiswahili

  Рет қаралды 34,882

Citizen TV Kenya

Citizen TV Kenya

Күн бұрын

Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano ya Tanzania Job Ndugai anahudhuria kikao maalum kuhusu umuhimu wa kamati za bunge katika bunge la kitaifa la Kenya.

Пікірлер: 215
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 4 жыл бұрын
Wabunge wa Kenya Kiswahili wanakitumua wakati wa kutafuta kura tu, wakienda bungeni ki kizungu tu😂😂😂😂😂😂
@mohamedalawy7704
@mohamedalawy7704 4 жыл бұрын
Kenya tusiwe kama Tanzania. Bungeni tuendelee kutumia Kiengereza.
@alfanm.8221
@alfanm.8221 4 жыл бұрын
@@mohamedalawy7704 kwanini tuitumie lugha ya kimombo wakati tuna lugha yetu ya kiswahili ata ukizungumza aliye mashinani anakuelewa vizuri
@Bigboy-nx3nc
@Bigboy-nx3nc 4 жыл бұрын
Mohamed Alawy your very stupid
@MK-qk2wv
@MK-qk2wv 4 жыл бұрын
Kenya wabunge hawajui Swahili unless those from coast region. Wale wengine ni sheng tu. Alafu there's nothing to listen in Kenya's Parliament. Sisi tuliachia wazee nchi we are busy with online works and employment abroad which requires English. Tz nyinyi mko sawa tu hamna shida. You're like our fellow coast citizens hawananga haraka ya life. Lol
@kingofccl6886
@kingofccl6886 4 жыл бұрын
@@MK-qk2wv hata wachina hawana haraka ndomana hawajui kingereza, so kutokujua kingereza ni kutokua na haraka, ivi nyi watu wa kenya mna shida gani nyi watu
@stanleywalker6284
@stanleywalker6284 4 жыл бұрын
Mnatuomba kura kwa kiswahili mkiingia bunge mnajifanya hamjui kiswahili pongezi kuu kwa mheshimiwa Mohammed Ali mbunge wa nyali ulituomba kura kwa kiswahili na bado unatuwakilisha kwenye bunge kwa kiswahili shukran mheshiwa 🙏🙏🙏🙏
@janetmwangi3868
@janetmwangi3868 4 жыл бұрын
Ni kweli Mheshimiwa spika wa Tanzania.
@millotv8050
@millotv8050 4 жыл бұрын
Sio spika ni mwenyekiti wa bunge
@gitucha
@gitucha 4 жыл бұрын
KISWAHILI NI LUGHA YA AFRICA MASHARIKI 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Amen to that.
@Zoentje89
@Zoentje89 4 жыл бұрын
C wote Africa mashariki wanaongea Kiswahili, dat not true
@amoswekesa1476
@amoswekesa1476 4 жыл бұрын
Ufisadi kieleweke hadi tutangatange.
@tolumnyama3935
@tolumnyama3935 4 жыл бұрын
Mhe: sipika wa bunge nilkuwa cjawahi kufahamu kama unaweza ongea straight hivi kwny public namna hyo congratulation upo vizuri mhe; spika wetu Tz woyeeee.!!
@goo6341
@goo6341 4 жыл бұрын
Hodari sana Mheshimiwa mpendwa kutoka Tz. Tuitukuze lugha ya Kiswahili!!!
@timothyyosef3769
@timothyyosef3769 3 жыл бұрын
i know it's quite off topic but do anyone know a good site to stream newly released tv shows online ?
@brayanchandler3374
@brayanchandler3374 3 жыл бұрын
@Timothy Yosef i use flixzone. Just google for it =)
@mako331
@mako331 4 жыл бұрын
Safi ongea Kiswahili tu, mzungu aliondoka bado tumetawaliwa kwa lugha na mambo mengine
@Jkemtranslators
@Jkemtranslators 3 жыл бұрын
Kiswahili daima ndio lugha yangu najivunia sana nitaitangaza na kuizungumza popote
@kennedyolang1175
@kennedyolang1175 6 ай бұрын
Watu wa kibera wanaelewa kizungu sanaa you dont need to explain anything to them in swahili.
@ibrahimwerejuma4816
@ibrahimwerejuma4816 4 жыл бұрын
Nakubaliana na wewe bwana sipika wa bunge la Tanzania bwana ndugai.
@gshdhvdhf8283
@gshdhvdhf8283 4 жыл бұрын
Ni kweli mheshimiwa...nikama vile sisi wafirika tuliamini mungu ni mmoja tu hana mshirika wala mwana na ni mungu wapekee asiekua na mfano wake, mwenye kumiliki dunia na bingu na anaeshusha nvua...na hayo yote tuliamini kwa lugha zetu za kiasiri bila kingeleza lakini alivyokuja mwingereza ndio akaja na vituko vya mungu ako na mtoto mungu na watatu ndani ya mmoja yaani confusion na ndio maana kabla ya kuja wao sisi tulikua na umoja na kweshimiana kama wafirika hakuna wakati wafirika waliwahi kupigana wao kwa wao tuliheshimu sana viongozi na wafalme wetu bila kujari kabila wala nani, jerani kwa jerani walikua dada kaka....lakini yote yalipotelea baada ya kukuja mgeni mweupe ndio maana wahenga hawakukosa busara kunena MGENI KUMUKARIBISHA NI KUJICHONGEA.......
@annwangai5856
@annwangai5856 4 жыл бұрын
Wakenya tuna shida.... Twakipenda kiswahili tu hatukimanyi.
@newbornhaule1635
@newbornhaule1635 4 жыл бұрын
Uje nikufundishe
@bantuvoicemuchaikinuthia2536
@bantuvoicemuchaikinuthia2536 4 жыл бұрын
😂😂
@duidala3228
@duidala3228 4 жыл бұрын
Tunaomba kiswahili kitukuzwe muwache kuzungumza lugha za wakoloni
@fatmafa1896
@fatmafa1896 4 жыл бұрын
Pongezi mh spika umeongea vyema Sana kweli Mungu Baba yetu wa mbinguni akulinde na akujalie uzima tele kwa jina la yesu kristo aliye Bwana na mwokozi wetu amen
@mwarabumbarak4342
@mwarabumbarak4342 4 жыл бұрын
Mhh umepotea njia ww
@arafataliomar7432
@arafataliomar7432 4 жыл бұрын
Mie sijui lugha nyengine zaidi ya kiswahili
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 4 жыл бұрын
mbadlishen mpka vitabu vya sekondar nchi nying wanatumia lugha mama kwenye sector zote za elimu n.k tubadilikeni bhana tz tunaweza kabsaaaa.
@alexandermutune6131
@alexandermutune6131 2 жыл бұрын
Kiswahili kitukuzwe.
@omarabdallah2974
@omarabdallah2974 4 жыл бұрын
Kweli kabisa tunafanya lugha za wakoloni ni bora kuliko lugha zetu. Ajab ati mtu hajui lugha ya taifa
@mushken65
@mushken65 4 жыл бұрын
Aibu sana
@sallykalya9023
@sallykalya9023 2 жыл бұрын
Hatupangwigwi pia😂
@alexandermutune6131
@alexandermutune6131 2 жыл бұрын
Very lovely speech by the speaker of TZ...Endelea kutunza lugha ya Kiswahili.
@isasora4846
@isasora4846 4 жыл бұрын
Waambie baba
@ghulamyassintv4825
@ghulamyassintv4825 4 жыл бұрын
Kielewe dah imetajwa
@joowest
@joowest 4 жыл бұрын
Ata sisi tunataka serikali ihamie Mombasa ama kisumo
@mushken65
@mushken65 4 жыл бұрын
Umesema kweli spika wa Tanzania. Ujinga wa viongozi wa kenya ni ujinga wa kasumba ya kuongea kingereza . Ati wanajiona bora wakiongea hiyo lugha. Watu wajivunie lugha Yao Kiswahili.
@agreysambo4858
@agreysambo4858 3 жыл бұрын
Sipika was bunge job jamanii hatendi haki kutaja simba na kuzalau tanga tunamheshimu sanaaa
@saidimusungu1753
@saidimusungu1753 3 жыл бұрын
Safii sana, wabunge wa Kenya ni wagora, iweje kura kuomba kwa kiswahili kwa bunge ni kimombo.
@johnwillingstone3121
@johnwillingstone3121 4 жыл бұрын
Safi sana Mh. Spika wa Tz
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 4 жыл бұрын
Spiker wa Tz umenipunga kumbe huwa mwawasikia TANGATANGA NA KIELEWEKE
@fahadfaraj1263
@fahadfaraj1263 4 жыл бұрын
Tunajua sana mambo ya Kenya kina Aisha jumwa tunawafatilia sana
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 4 жыл бұрын
@@fahadfaraj1263 Ndio vzr hata ss tunafatilia Mzee Magu .
@fahadfaraj1263
@fahadfaraj1263 4 жыл бұрын
@@binthassancollection.6308 HAHAHAA Mnamsikia Magu Anavyonyoosha hakuna mwanaume wakujiita fisadi mambo yamenyooka Kula rushwa au iba pesa ya serikali uende jela tumesahau ufisadi
@binthassancollection.6308
@binthassancollection.6308 4 жыл бұрын
@@fahadfaraj1263 Hongera zake
@fahadfaraj1263
@fahadfaraj1263 4 жыл бұрын
@@binthassancollection.6308 Watu twaheshimiana tz hakuna tajiri Wala maskini wote sawa ukijifanya we tajiri wamuonea maskini akikupeleka mbele unaishia jela
@mushken65
@mushken65 4 жыл бұрын
No aibu kubwa sana ukiona kiongozi akiringa na lugha ya mkoloni wakati mkoloni anacheka kweli aliprogram nyani akitazama kwa tunings huko ulaya
@igniamsuiluj7044
@igniamsuiluj7044 4 жыл бұрын
Umebonga vibest!
@mkuki2000
@mkuki2000 4 жыл бұрын
Wakenya hawajui Kiingereza wala Kiswahili, wanalonga Kisheng. Wanajifanya wanajua kizungu lakini wakiongea na wazungu, wanazua vichekesho tuu.
@kassimmwamambeya4489
@kassimmwamambeya4489 4 жыл бұрын
Unajua unacho ongea lakini wewe?...africa yote hakuna watu wanaongea kizungu vizuri kama kenya na tena wakenya wako na akili nyingi xana
@kanaelinaiman8889
@kanaelinaiman8889 4 жыл бұрын
EAC united
@khamismohamed399
@khamismohamed399 4 жыл бұрын
@@kassimmwamambeya4489 Zimbabwe nao watasemaje?
@MK-qk2wv
@MK-qk2wv 4 жыл бұрын
Only a native can speak English fuetly. Same as Swahili. But Kenya you can't compare with tz. Yaani do research uone zile awards and grants za innovations and scholarships Kenya Imepata and the employment rate internationally. In Africa its Important to learn and speak and understand English since we have to look for employment outside our Countries because of corruption and level of unemployment here. Nyinyi bakini na kiswahili Chenu hapo. Nothing is invented in Swahili language. English is the official language of the world. Sasa MTU amesoma chemistry na Swahili atafika wapi jameni. Lol
@mkuki2000
@mkuki2000 4 жыл бұрын
@@MK-qk2wv You should be proud of your kukuyu language then, if you don't want to learn swahili, but when it comes to innovation, invention and technology take a look at these countries, and tell me if they speak english: Japan, Germany, China, Russia, Sweden, France, Denmark, S.Korea, Norway and m.m. But you kenyans speaks sheng/english and thinks it will help you to be successful, you're dreaming.
@smadon5638
@smadon5638 4 жыл бұрын
Kwa hilo na kukupongeza kwa kuwakumbusha kwamba Kiswahili tunalikubali,na kwa taarifa sahihi ni kwamba kenya ilidhinisha kiswahili kiwe lugha rasmi katika katiba ya kenya mwaka 2010👍
@mauhmoh8947
@mauhmoh8947 4 жыл бұрын
Excuse me mister, a Kenyan child knows swahili. Talk to Ugandans
@mosesnn9295
@mosesnn9295 3 жыл бұрын
Numbari wani...🤣🤣🤣🤣🤣 kizungu kibaya
@nelibaba
@nelibaba 4 жыл бұрын
Hongera sana Mh.Spika Ndugai.
@hussenimohemedalmas5945
@hussenimohemedalmas5945 4 жыл бұрын
SAfi sana jobu ndugai waambie hao wakenya ndio mana wanazidi Kua mafsadi nikwaajili yakujifanya nahiyo runga" yautumwa
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Ww umejifanya mwalimu wa kiswahili una nini cha mno? Sahizi bila English you can't get a good job abroad.hata waraabu sikuhizi wanaongea english
@MK-qk2wv
@MK-qk2wv 4 жыл бұрын
Wewe na kiswahili yako umefika wapi. In Africa if you don't knoe English, you can't make it since there's so Much corruption we opt to seek employment in English speaking Countries since they're the ones who have employement for us. Nonsense
@mangerarisimmangerito2088
@mangerarisimmangerito2088 4 жыл бұрын
Wambie Mimi hushangaa Sana Kwa Sababu, wengi wetu tumeongea lakini wapi tunabaki tukisema lakini tunabaki tukibaki tukambiwa si muhimu
@Rageedii
@Rageedii 4 жыл бұрын
Ati kismayu? Sema kuchanganyikiwa!
@oradhajiro4351
@oradhajiro4351 4 жыл бұрын
anaaba la yaabay
@happeningnow243
@happeningnow243 4 жыл бұрын
Kiswahili is the best and full of romantic words and respectful words sasa shida ni kuongea iko na ngeli mob sijui hata niseme ako ama iko ama kiko😅😅😅
@lwitikophilipopelela1891
@lwitikophilipopelela1891 3 жыл бұрын
Kina*
@onelife7850
@onelife7850 4 жыл бұрын
You can tell the language of the colonial is lingering on. Even this guy still uses NAMBARI ONE. That is Swahili which is intruded with English. Why?
@onelife7850
@onelife7850 4 жыл бұрын
Mwaniki Mwaniki, the irony of it all is that the whole emphasis was supposed to be speaking in Swahili and not “Swinglish” so to speak. Well, I must agree with you. When one is a multilingual like many of us in Africa, it is very possible to mix languages during one’s speech.
@onelife7850
@onelife7850 4 жыл бұрын
Mwaniki Mwaniki, no problem. I am a linguist, so I know a thing or two about languages and the speaking of them. Thank you for your interaction.
@onelife7850
@onelife7850 4 жыл бұрын
@Mwaniki Mwaniki I sensed that immediately. In our field, it is not difficult to figure each other out. Congratulations! You are in the right field bro.
@ismailnoor6729
@ismailnoor6729 4 жыл бұрын
Kweli kk hata kismayo ni Kiswahili
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
We kisimayo ni matusi bana hahahahaa
@ismailnoor6729
@ismailnoor6729 4 жыл бұрын
Mica Mathew ww nn kuma nn soma ndiyo ujibu fala ww ss watu wa kismayo na mombasa malindi kote ni Kiswahili mbaka kismayo somalia 🇸🇴 ni Kiswahili fala kama ww soma kwanza ndiyo
@bantuvoicemuchaikinuthia2536
@bantuvoicemuchaikinuthia2536 4 жыл бұрын
Safi sana... ninge penda kuongea na wanaotumia kiswahili huko Kismayu
@kimuei
@kimuei 3 жыл бұрын
Ufisadi😂😂😂
@jimjam4162
@jimjam4162 4 жыл бұрын
Tatizo letu sisi wakenya ni vituko tu.
@ngenoamos8818
@ngenoamos8818 4 жыл бұрын
mimi si mwahili. lungha zote mbili kiswahili na kingereza nilifundishwa. niruhusiwe nitumie ile lugha naifahamu
@mushken65
@mushken65 4 жыл бұрын
Kwani hujivunie kuwa na lugha yake ya taifa vile nufaransa,muingereza,mujerumani,murashia. Wore anajua kingereza lakini sumu kuongea na wananchi wao. Kuwa mzalendo a rap mashamba
@yahayasalum2943
@yahayasalum2943 4 жыл бұрын
Hii tunasema fuata maneno yangu si vitendo vyangu
@johnkamau4294
@johnkamau4294 4 жыл бұрын
shukilani muhechimiwa kwa hayo
@swalehsalim9297
@swalehsalim9297 4 жыл бұрын
Waambie wanajifanya kizungu kingi lakini roho zao mbaya na wanadulma kwa wananchi wao.
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Wewe unaroho safi......mbona tz ni wachawi sana
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 жыл бұрын
Roho mbaya iliojaa Tanzania bado hujaiona?hata kina tundu lisu wanakufia kwa nchi za wawenyewe😏😏😏
@kassimmwamambeya4489
@kassimmwamambeya4489 4 жыл бұрын
Sisi hatuja dhulumiwa na mtu yoyote na tuwache na kizungu cheti...wewe unafikiri kiswahili kitakupatia kazi nje
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
@@kassimmwamambeya4489 true
@swahiliwithdavid5910
@swahiliwithdavid5910 4 жыл бұрын
@@kassimmwamambeya4489 Kwa nini uwaze kazi nje? Kenya hakuna kazi?? au waKenya wote wanaojua Kiingereza wanafanya kazi nje?
@robertgaitho3998
@robertgaitho3998 4 жыл бұрын
Wakenya mumeelewa ama mumerewa hapo, kuomba kula na kiswahili pia mbuge iwe kiswahili
@johnkaaya739
@johnkaaya739 4 жыл бұрын
Sema kura siyo kula
@litmosstash9871
@litmosstash9871 4 жыл бұрын
Was this guy for real? there is no "kiswahili" in Kismayo. They speak a rich language called Somali
@hussenomar500
@hussenomar500 4 жыл бұрын
Litmos Stash Yes, kismayu was under the rulership of the sulatanate of Zanzibar’, Kisiwa cha Juu, pronounced as Kisiwa cha yuu hence kismayu
@litmosstash9871
@litmosstash9871 4 жыл бұрын
😂😂😂bruh get your facts right Sultanate of zanzibar was only part of the swahili coast. Today part of Kenya and Tanzania
@litmosstash9871
@litmosstash9871 4 жыл бұрын
Somalis had there own great empires in Africa, one was the Ajuran Sultanate they even established cities as far as Mozambique
@jumak.thegreat8867
@jumak.thegreat8867 4 жыл бұрын
Litmos Stash Somali is poor 😂
@fauzishma8033
@fauzishma8033 4 жыл бұрын
Ulimwengu wa sasa bila kizungu bwana inakuachangamoto lazima ujue lugha zote
@swahiliwithdavid5910
@swahiliwithdavid5910 4 жыл бұрын
Ni kweli lakini usikitukuze Kiingereza halafu ukakishusha Kiswahili!
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
English is okey for Kenyan,followed by Swahili.....juu bila English u can't get a job u will still working has houseboy and shambaboy
@swahiliwithdavid5910
@swahiliwithdavid5910 4 жыл бұрын
@@millicentayango3879 Ilikuwa hivyo toka enzi za ukoloni na bado itaendelea hadi leo kama fikra hazitabadilika...Warusi, Wafaransa, Wachina, Wajapan etc wanatumia lugha zao na wanapata kazi...wanaelewa kuwa kimataifa wanahitaji Kiingereza lakini wanathamini lugha zao kwa kiwango cha juu sana. Na sisi waAfrika tunatakiwa kuzipenda lugha zetu...romanticizing the colonial master's language, pedestalizing it at the expense of our own, only confirms that we are still in mental slavery/colonial rule! And not all people who speak English are smart/educated people...even in the US, Canada, Ireland, UK, Australia and New Zealand - where English is spoken as a native language - there's a good number of unemployable people. What makes one employable is not the language but the skill and the value they bring to the table...nimechanganya lugha ili uone kwamba ninaweza kutumia Kiingereza lakini ninakipenda Kiswahili sana sana sana na sidhani kuwa Kiingereza kiko juu ya Kiswahili ndani ya nchi yangu!
@willydeezle88
@willydeezle88 4 жыл бұрын
Upumbavu Ni mzigo
@fauzishma8033
@fauzishma8033 4 жыл бұрын
@@willydeezle88 sasa umebeba mzigo wa upumbavu ama mzigo wa ujinga
@yohangidion3916
@yohangidion3916 4 жыл бұрын
Manaomba kula kwa kiswahili mkisha fanikiwa mnakitelekeza kiswahili safi sana.
@johnkaaya739
@johnkaaya739 4 жыл бұрын
Siyo kula sema kura
@yusufmohamed8874
@yusufmohamed8874 4 жыл бұрын
Umetumia neno DHAIFU
@ismailnoor6729
@ismailnoor6729 4 жыл бұрын
yusuf mohamed mm siyo mtanzania wala mkenya pro tafadhali sana usifikirie. Kiswahili kilianza Zanzibar au Mombasa au kisumu au kismayo au Yemen Kiswahili kilianza hapa gabla mji mingine hata makabur ya walionzisha Kiswahili hupatikana hapa from nagash to king afswad history ina sema walingudua dareslam kwa bahat tu ni originally history ya Kiswahili lkn nyie munasema kuna kireno ndani ya Kiswahili wakat nn kwa kireno na nn kwa kiarabu
@litmosstash9871
@litmosstash9871 4 жыл бұрын
Was this guy for real? there is no "kiswahili" in Kismayo. They speak a rich language called Somali
@smadon5638
@smadon5638 4 жыл бұрын
Litmos Stash in kismayo they speak Kiswahili,do your research 😂😂😂
@litmosstash9871
@litmosstash9871 4 жыл бұрын
@@smadon5638 u guys must be hallucinating or what?😂😂😂 Kismayo is a somali land why in the hell will they speak kiswahili for?
@benamimulokozi6052
@benamimulokozi6052 4 жыл бұрын
Speak....english man.
@shakiramohamed8032
@shakiramohamed8032 4 жыл бұрын
A point of correction to the speaker in kismayo they don’t use Kiswahili but rather somalia
@mirandaal4541
@mirandaal4541 4 жыл бұрын
shakira mohamed A point of correction to shakira mohamed. In Kismayo they don’t use Somalia. Somalia is not a language but a country. They speak Somali.
@shakiramohamed8032
@shakiramohamed8032 4 жыл бұрын
Miranda Al ,yes I know that was a typing mistake.
@sabraali9941
@sabraali9941 4 жыл бұрын
Hivi Kenya wanajua maana ya neno MUBASHARA🙊🙊
@kimuei
@kimuei 3 жыл бұрын
😂😂similar* kama sijakosea
@dastonamichaels1854
@dastonamichaels1854 3 жыл бұрын
Live broadcast
@anthonymuchai6689
@anthonymuchai6689 3 жыл бұрын
Hii nini?
@aliabdi2429
@aliabdi2429 4 жыл бұрын
Kkkkkkkkkkkk
@b.truthful
@b.truthful 4 жыл бұрын
Haha haha
@mauhmoh8947
@mauhmoh8947 4 жыл бұрын
Sisi tunatumia zote na inawezekana
@mfaumeally1862
@mfaumeally1862 4 жыл бұрын
Mkundu wewe
@mauhmoh8947
@mauhmoh8947 4 жыл бұрын
@@mfaumeally1862 your stupidity is beyond human being's, am a kenyan and this is kenyan government. Now watch your account." Mkundu" is your low class good for nothing thought
@SturehCharles
@SturehCharles 4 жыл бұрын
Hahaha, tangatanga
@mauhmoh8947
@mauhmoh8947 4 жыл бұрын
Kenyans can teach kiswahili because most of them are trilingual
@jasperetale6916
@jasperetale6916 4 жыл бұрын
Hapa Kenya, kiswahili ni lugha ya wasiowasomi, masikini na wanyonge!
@swahiliwithdavid5910
@swahiliwithdavid5910 4 жыл бұрын
England pia kuna wanyonge. USA kuna wanyonge. Australia na New Zealand kuna wanyonge pia. Na wanongea Kiingereza pia. Hizo ni fikra zilijengwa na mkoloni wa Kiingereza wakati akiwatala. Miaka 58 baada ya uhuru bado utawala wa kikoloni uko kwenye fikra za watu wengi!
@heraldloshi1864
@heraldloshi1864 4 жыл бұрын
Jasper Etale - Kasumba mbovu.
@jonathanmuturi8803
@jonathanmuturi8803 4 жыл бұрын
Uyo mbuge anatukejeli
@pjones1035
@pjones1035 4 жыл бұрын
😂 mnafiki huyo mzee ana roho mbaya si watanzania tunamjua ingawa kweli hapo kaongea point ila ana pumba sana
@amoswekesa1476
@amoswekesa1476 4 жыл бұрын
ati ufisadi kieleweke😄😄😄😄😂😂
@mirandaal4541
@mirandaal4541 4 жыл бұрын
Jonathan Muturi Sasa Jonathan? Bado unaishi Kinoo ama ushahama? Du sprichst hervorragend Suaheli.
@kinjeketilengwale1141
@kinjeketilengwale1141 4 жыл бұрын
Miranda Al hii lugha gani tena?😆😆😆😆
@smadon5638
@smadon5638 4 жыл бұрын
Pwani mwa kenya ni waswahili hata kuliko Tanzania bara😂😂😂😂
@kimuei
@kimuei 3 жыл бұрын
Uko sure?
@salimbakarisalim7216
@salimbakarisalim7216 3 жыл бұрын
Asante mweshimiwa spika wangu kwa kusimamia haki zetu kitaifa Binadamu Wote Dunia.Swahili Lugha Mamma na Babà Dunia Nzima
@ismailnoor6729
@ismailnoor6729 4 жыл бұрын
Hata Kiswahili ni cha waarabu
@picsandvidstv1348
@picsandvidstv1348 4 жыл бұрын
Ismail Noor Unajua unachokisema wewe??!!
@mirandaal4541
@mirandaal4541 4 жыл бұрын
Ismail Noor Kiswahili si cha Waarabu ila ni lugha iliyotokana na lugha za Kiafrika, Kiarabu na pia Kireno.
@ismailnoor6729
@ismailnoor6729 4 жыл бұрын
Miranda Al nilikuwa na kuambiya hata Kiswahili imetoka kwa wakoloni simplicity no colonial no Kiswahili umeelewa ss
@ismailnoor6729
@ismailnoor6729 4 жыл бұрын
PICSandVIDS TV ukoloni =Kiswahili kama hakuja basi na Kiswahili kisigekuwepo Kiswahili =kiarabu =ukoloni simply wonderful language but is from Arab people who sold our great grandparents we are finally speaking our master language
@ismailnoor6729
@ismailnoor6729 4 жыл бұрын
Kiswahili =arabs =colonial =same
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Tz hamuendi america kwa sababu ni Swahili tu
@pjones1035
@pjones1035 4 жыл бұрын
twende kufanya nini wewe wa marekani ndo wanakuja TZ.Njoo TZ mabalozi wote wa nchi za nje wanajifunza lugha kiswahili
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
@@pjones1035 wacha zako Kenya tunaongea lugha zote ,,tena kunawakenya wengi sana wameenda USA kufunza wazungu kiswahili.....ndio sababu tz hampatikani Uganda juu huko ni English through out.. Pia tz mjifunze English.
@pjones1035
@pjones1035 4 жыл бұрын
@@millicentayango3879 nioneshe sehemu niliyosema wakenya hawaongei kiswahili acha kudandia treni kwa mbele.Sielewi ata unachoongea tz hatupatikani uganda heheh hizo ni shida zao bro rwanda,burundi,eastern congo,eastern zambia wote wanaongea kiswahili kwasababu yetu sisi km uganda hawataki kujifunza shauri zao.Kiingereza ni somo tu huku tz tunajifunza kuanzia la kwanza hadi form 4 hamna mtu ana shobo nalo tunachukia kuongea kiingereza mpaka walimu wamekata tamaa huku ni kiswahili tu mwanzo mwisho.Mbona wa spain,wabelgiji,wajerumani,waitaliano wanaishi ulaya na kiingereza wengi hawajui zinduka wewe unapotea.
@pjones1035
@pjones1035 4 жыл бұрын
@@millicentayango3879 sisi tumeingia mkataba na serikali ya china,nchi za sadc tunapeleka walimu karibia kila mwaka mzee.wa tz hatuna shobo na kiingereza huku ni mwendo wa kiswahili tu one nation one language.
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
@@pjones1035 hata hivyo Kenya we are superpower. East Africa
@MK-qk2wv
@MK-qk2wv 4 жыл бұрын
Why on earth would a human being ask another to speak a language just because they themselves are fluent in that language. I grew up in Kenya speaking sheng and English and that won't change. I'm no slave to any mans language whether English or Swahili. Tz syllabus is in Swahili Kenya, its English. So leave us alone English is the worldly most common language endeleeni kubaki nyuma juu ya language barrier.
@khamismohamed399
@khamismohamed399 4 жыл бұрын
Tupo nyuma yako
@swahiliwithdavid5910
@swahiliwithdavid5910 4 жыл бұрын
Kenya's National Language is Swahili. And that guy was invited by Kenya's National Parliament in the launching of Parliament Swahili Standing Orders. So what are you bitching about?
@Bigboy-nx3nc
@Bigboy-nx3nc 4 жыл бұрын
M K Kiswahili is an important language . Stop the b.s
@MK-qk2wv
@MK-qk2wv 4 жыл бұрын
@@swahiliwithdavid5910 I'm bitching about someone coming to Kenya to educate us on language use. As long as I'm paying taxes, able to communicate with the world , what do I need Swahili for or any other language.
@MK-qk2wv
@MK-qk2wv 4 жыл бұрын
@@Bigboy-nx3nc where is it Important. Tanzania is a very backward country. How on earth do you learn chemistry in Swahili? A colonial country has the disadvantage of not being able to speak a foreign language because of the rate of employment and corruption we have here In Africa. Countries like China Japan Germany don't really need learning English because they are stable and most people get employment in their Country. Kenya we are lucky that's why our youths are being employed in the uae and being able to do business not Tanzania and its language barrier. Kiswahili yako imekusaidia na mini surely.nothing!
@kingsultan2223
@kingsultan2223 4 жыл бұрын
Uko vizuri spika wa tz wafundishe na hao wakenya ujinga waachee
@LOL-bw1mg
@LOL-bw1mg 4 жыл бұрын
Ujinga uache wewe
@bennjanja2382
@bennjanja2382 3 жыл бұрын
English is the international language to be used in our kenyans offices , a reason we go to school
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
Tz ovyo ndio hamna chenyu
@pauldaniel5685
@pauldaniel5685 4 жыл бұрын
Millicent Ayango weww ndiyo ovyo, huyo anaongea siasa tu hapo. Ungejuwa sisi Tz tuna kamusi yetu na ni tofauti na ya huko kwenu. Na wala hatuchukuwi misemo yenu
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
@@pauldaniel5685 we can't take tz dictionary.... Why??? bcz our level is international OK? By the way,, no problems anyone has is choice.
@SturehCharles
@SturehCharles 4 жыл бұрын
Ungejua umhimu wa kuhifadhi tamaduni hungesema hivyo,
@millicentayango3879
@millicentayango3879 4 жыл бұрын
@@SturehCharles heeee sisi tuna kitamaduni yetu ...tena tunazingatia sana.......
@SturehCharles
@SturehCharles 4 жыл бұрын
@@millicentayango3879lugha ni baadhi ya njia za kuzingatia mila na tamaduni za jamii,
@mauhmoh8947
@mauhmoh8947 4 жыл бұрын
Let's be honest Kenyans, kiswahili is hard with countless ngeli and prepositions. Kenya sihami ( when, venacular, sheng,my simple( kenyan) swahili, English is enough)
@jumak.thegreat8867
@jumak.thegreat8867 4 жыл бұрын
maurine adero first of all you Kenyan speak 5th grade level English. And if you want to learn something you should first learn how not to give up easily
@mauhmoh8947
@mauhmoh8947 4 жыл бұрын
@@jumak.thegreat8867 you speak swahili. No one is interested in your swahili. So who told you your grammar is correct? Wait a kindergarten kid is far better than your high school teachers
@kelvinogaro6948
@kelvinogaro6948 4 жыл бұрын
Tanzania pia wajaribu english
@benmbwele
@benmbwele 4 жыл бұрын
No. Not important
@kinjeketilengwale1141
@kinjeketilengwale1141 4 жыл бұрын
Ya nini tulikuwa tunatumia english wakati wa mkoloni hatuhitaji tena!
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 301 М.
Man on the cross: DP Gachagua faces bitter final rituals
4:41
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 19 М.
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 67 МЛН
Incredible: Teacher builds airplane to teach kids behavior! #shorts
00:32
Fabiosa Stories
Рет қаралды 11 МЛН
Пришёл к другу на ночёвку 😂
01:00
Cadrol&Fatich
Рет қаралды 11 МЛН
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 11 МЛН
129th IOC Session - Keynote speech by Professor Muhammad Yunus
1:26:36
I Visited Tanzania (Part 1) Advanced Swahili listening
16:22
Kiswahili With Abdulkarim
Рет қаралды 3,8 М.
Makueni Senator Dan Maanzo files censure motion against President Ruto
3:13
Kiswahili Cha Kenya VS Kiswahili cha Tanzania
31:00
Kiswahili With Abdulkarim
Рет қаралды 4,7 М.
when you have plan B 😂
00:11
Andrey Grechka
Рет қаралды 67 МЛН