Waiteni jemedari joff oruma Oscar wakae wapate shule😊😊😊
@minazsaid2470Күн бұрын
InshaAllah harusi iwe ya kheri
@ZaydShafii-v2n16 сағат бұрын
Emu warudi nyima kombe la mapinduzi nusu finali simba na fonten geti daki za mwisho Cha iyo rudi kwa Costal yuniyo dakika za mwisho anataka kufunga tuu
@LucianaSintufyaКүн бұрын
Sio Levo zao kweli kwakuwa wako wengi hatuwawezi wamo viongozi,wamo marefa, wamo matajiri wa nchi wamo wachambuzi wa kila vyombo vya habari , watu maarufu ,sasa simba ataweza wapi vikao vya saa tisa viongozi na marefa simba ataweza wapi?
@ZaydShafii-v2n16 сағат бұрын
Nawewe simba unabebwa sana
@angelosonge238914 сағат бұрын
Shida watu waliozoea kulalamika. Nyinyi mlisema mnatengeneza timu Sasa mnataka mjilinganishe na timu ambayo ilishajipata. Mtu asie na pesa na anamaisha magumu hata ukimsalimia atasema unamtukana.
@SaidiOmary-q7c18 сағат бұрын
Je pia unaufuatilia ushindi wako ukiwa Simba? Marefa hawahusiki na makosa ya kuipa Simba ushindi?