Mwacheni akatafute malisho mengine, kama vile alivyokwenda tafuta malisho Fei.
@edwardmizambwa2375 күн бұрын
Simba kweli wametua mzigo kwani Chama kaisumbua Uongozi wa Simba kwa muda wa miaka 3 mfululizo. Halafu Chama ni wa kawaida tu. Uwanjani akikabwa tu na mtu, hatembei.
@user-wk2bg8zf3l5 күн бұрын
acha aende tu yeye na inonga ndo waliyouza mechi ile ya tano moja ,nandiyomana moo akasema hamtaki kwasababu umri ,nakingine yanga wanasajiri kwamihemko