Рет қаралды 91
Meneja Masoko na Uhusiano wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Geofrey Meena amemueleza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo aliyetembelea banda la shirika hilo lililopo katika Maonesho ya Kitaifa ya teknolojia ya Madini yanayofanyika mjini Geita kwamba, mkaa mbadala wa kupikia ‘Rafiki Coal Briquettes’ uliobuniwa na shirika hilo una uwezo wa kutumika kwa zaidi ya mara tatu ya mkaa wa kuni. Mkaa huo ambao unazalishwa kwa makaa ya mawe na malighafi nyingine, unauzwa Sh 1,000 kwa mfuko wa kilo moja.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...