Had wanaume kumbe mna shobo za kike za kuomba like
@PaulinaSemindu-ob3de9 ай бұрын
Ndo hao wanaolewa dume zima kuomba like
@estermshana80819 ай бұрын
Unazipeleka wap
@CHALYATV9 ай бұрын
@@PaulinaSemindu-ob3de aya aanze mzee wako sawa tuko pamoja
@OfficialPrisca-b5c9 ай бұрын
When he starts making big money….. I swear people will change their minds
@abdulsimbarakiye41459 ай бұрын
Habari zenu ukweli ni nayo furaha kubwa kuona kama Tanzania tuna weza hongera sana ni mimi Simba from Netherlands
@PrincessHellen-pg1oy9 ай бұрын
We mwiraq umekosa wanawake nyumbani unaenda kuchagua mke Mr right duh unatufelisha ndugu zako 😢
@consolatamedard65939 ай бұрын
😢😢niaibu aisee alafu mm naona kama niukahaba unaendlea hapo
@nadhifagabriel8 ай бұрын
Kumbeee ni mbuluu mwenzgu 😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤😊
@evaakyoo30097 ай бұрын
Kuna wengine tulikataa watu wadogo wenzetu tukataka mazee ...mazee yakatujaza mimba wakakimbia wakaja kulea wale watoto wenzetu 😢
@anordgerison86399 ай бұрын
Nimependa jamaa jinsi Anavyo tembea 🔥🔥🔥
@PrisilaNdiminiАй бұрын
Kazuri
@mkambaselemani-ej7np9 ай бұрын
Wanazingua hao madem wenu wanajishongodoa sana
@MagrethMallya-we8ui9 ай бұрын
Hahahaaa, niko manyara hapa nawazuum ndugu zake huyo jamaa walivyo wazuri !!!! Weuweeeeeeeee! Wairaq ni wazuri bana dah!!!
@bennylove60219 ай бұрын
Mbona Manyara kuna watoto wazur sana kaka si uende kwenu ukaoe?
@rosemery30179 ай бұрын
Wakorofi sana ndugu zake😅
@agnesjohn93829 ай бұрын
Nabii hakubaliki kwao 😂
@SabrinaMasoud9 ай бұрын
😂lulu tumesema sawa sawa
@happynkya97703 ай бұрын
Hivi mpaka kuja kutafuta mwanaume au mwanamke kwenye makamera haya jamani ni kwamba huko mtaani kwao hakunaaga wanawake au ichi kipindi kinawachagua watu kufanya ivi wanawalipa?
@braggadachu17239 ай бұрын
Huyu florah hafai kuwe mke anafaa kuliwa tu na kuachwa sio kila mwanamke ni wa kuoa
@hatmampya46429 ай бұрын
Hawa wadada wanapoteza muda tu, nahs hamna anaejua anachokitaka
@oloiplemaatv8 ай бұрын
Huyo dem ameyumba 😂😂
@ZainaOmary-zu4ii9 ай бұрын
🎉❤
@EstherHabonimana-e8i6 ай бұрын
Na mimi nataka kutafuta mchumba ntapapata Je....😅😅😅😅
@laurmwangi91279 ай бұрын
Flora🤣🤣
@omaraonasir43619 ай бұрын
Nikimwona aaliyah naona ukahaba tu
@bossykalewa9 ай бұрын
Alliyah limeshamtaman mister right...
@ZerudeizyTrezney9 ай бұрын
❤🎉
@gloryjohn17469 ай бұрын
😂😂😂😂😂rudi karatu uchukue wa mburu wenzio
@WinnieBenard-x5c9 ай бұрын
😅😅😅😅ngoja ncheke
@JeniphaEzekiel-z1s8 ай бұрын
Flora utazeeka apo
@consolatamedard65939 ай бұрын
Kwani nyie wakaka mmefikia hatua hii jaman kwani huku kwenye jamii hamuon wanawake mbona mnajizalilisha Hivi familia zenu zinajiskiaje Na huu niumalaya uliojificha
@Lovekidoti325 ай бұрын
Acha ujinga hii ni burudani Kama burudani nyingine umalaya peleka kwenu
@PrincessHellen-pg1oy9 ай бұрын
Wadada chefu
@halidhemed75245 ай бұрын
Flora 😂
@ChazJulias9 ай бұрын
Mwana kaacha pisi yumbani kaja kwa wakogwe mani turudi hom
@HegraEid9 ай бұрын
Namtaka uyu
@magreciousthomas35279 ай бұрын
😂😂😂😂flora ni nyoko
@waidarajabu69779 ай бұрын
Ana matatizo ya akil
@happynkya97703 ай бұрын
Ivi wambulu ni watu wa arusha
@Salmaseleman-m2j7 ай бұрын
Natak nijiunge jmn nafanyaje
@janetshingwa86659 ай бұрын
Huyu madam anavsaje yupo uchiuchi tu hapendezi
@kilogreekachananawatuwasio40549 ай бұрын
HAWA WANAWAKE MGEWAPENGIA WAKIZINGUA MALA TATU ANATOKA KATIKA MASHINDANO WANAWESHA TAA WANAZIMA SABABU AZINA MSINGI WANAPOZESHA KIPINDI😂😂😂😂 🇹🇿 🇬🇷