TAZAMA WAREMBO NANE WAKATALIWA NA MR RIGHT MWENYE SWAGGER | AMCHAGUA CHEUPE - S05E09

  Рет қаралды 114,843

ST BONGO TV

ST BONGO TV

Күн бұрын

►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Пікірлер: 214
@GtGt-rc4yo
@GtGt-rc4yo Ай бұрын
Atafanya Dunia iwe Salam kwake. neno tamu sanaa ❤❤❤🎉
@alexsikab6433
@alexsikab6433 Ай бұрын
Haaaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂 huyu Kaka anabalaa lake apewwe mauwa yake
@EmmanuelLaurent-n4k
@EmmanuelLaurent-n4k 5 күн бұрын
Huyu jamaa kweli number one🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩☝️☝️☝️
@OmanShinas-w4k
@OmanShinas-w4k Ай бұрын
Hiii nimeipenda sanaaaaaaa kwamara ya kwanza wakaowane kweli mungu ajaalie maisha marefuu yenye furaha na upendo namafanikio mengi sana❤
@ManziPeter-i4o
@ManziPeter-i4o 2 ай бұрын
Urimwiza cyaneeeeeee❤❤❤❤❤
@SaraGervas
@SaraGervas 14 күн бұрын
Nipeni maelekezo ya kuingia na me nipte mr right kama hyo yuko smart balaaa❤❤❤
@HanceDavid
@HanceDavid 2 күн бұрын
@@SaraGervas njoo
@EnnoConque
@EnnoConque 5 күн бұрын
Mr ametulia sana huyo si mkenya 😂😂😂😂😂ni congo
@HappyCityMap-vs2tr
@HappyCityMap-vs2tr Ай бұрын
Wameendana sana jamen,❤❤❤❤ maua yenu🎉🎉🎉🎉
@oluochkevo2686
@oluochkevo2686 29 күн бұрын
Vaibu za wabongo zimekashiz kashiz😅 Nawalombotove from 🇰🇪
@Rtyf4
@Rtyf4 8 күн бұрын
Iko 🔥 nimetokea kunipenda 🥰🥰
@SalhaAyub-z1v
@SalhaAyub-z1v 21 сағат бұрын
Nimependa sanaaa jamn na mm had natamn nipate wangu❤❤❤❤
@edwardpaulo3351
@edwardpaulo3351 2 ай бұрын
😅😅😅katuwakilisha vyema mr
@M.e.g.a-ec2mi
@M.e.g.a-ec2mi 9 сағат бұрын
Eliza hamna kitu hapo 😂😂😂
@ClarisseMartine-b3w
@ClarisseMartine-b3w Ай бұрын
❤❤❤❤❤ napenda kazi yenu
@EnezerMarithanga-ks6rv
@EnezerMarithanga-ks6rv Ай бұрын
sidhani kama anaweza kutokea mr right mwingine wa kuvunja record ya huyu jamaa inaonekana mpaka anapanda kwenye stage ya mr right alishajipanga vzr unaniinspire sana bro
@HakizimanaShaka-cw7bj
@HakizimanaShaka-cw7bj 13 күн бұрын
Hhmmm awo wa Dada duuuu. Ya mungu ni mengi Hhmmm
@Godchila03
@Godchila03 2 күн бұрын
Nipo mara ya pili apa
@مدينةشعبانسيف
@مدينةشعبانسيف 18 күн бұрын
Namimi nawasha taa Yangu 💡
@GetruderMnosi
@GetruderMnosi Ай бұрын
Wahehe oyeeeeee
@irenekerepini
@irenekerepini Ай бұрын
❤❤nataman ningelikuwa apo nimempend San uyo kaka 🎉🎉
@Aljentina
@Aljentina 18 күн бұрын
Ila ney ni mbaya jaman lakn marngo sasa daaah😮😮
@ShabaniKazii
@ShabaniKazii 9 күн бұрын
Na sis tunao koment tujuane vzr
@Platymoh17
@Platymoh17 2 ай бұрын
This is my best show since i started watchin mr.right show.❤
@EstherJoseph-u6m
@EstherJoseph-u6m 14 күн бұрын
😂😂uyu sizaniiiii😂
@SellinaMorris-p1j
@SellinaMorris-p1j 2 ай бұрын
Duuuuh Mr wine Yuko vizuri anajiamini na anajielewa❤
@richard-god
@richard-god 3 күн бұрын
Vraiment kipindi iki kina tu furaisha sana apa congoDR tena kalemie ivi si uje uanzishe pia Apa nyumbani kalemie 🎉❤
@mchellenmbunge55
@mchellenmbunge55 Ай бұрын
Huyu jamaa maelezo yake yamefanya nimkumbuke Dr Shika, Watanzania tunaamini watu haraka sana
@Cynthiadickson-y8o
@Cynthiadickson-y8o 19 күн бұрын
Love it❤
@LatifaMbwana-y8h
@LatifaMbwana-y8h 14 күн бұрын
Wahehe safiii
@SamLagat-wm4xe
@SamLagat-wm4xe 12 күн бұрын
Shada la maua🎉🎉 kazi nzuri
@mariamabraham-q5x
@mariamabraham-q5x 2 ай бұрын
Tunaomba tuwe tunaona live hii kitu jamn 😂😂
@ثامركعبي-ي1ق
@ثامركعبي-ي1ق Ай бұрын
😂😂😂wanawake kusu maokoto nhtr
@JoshuaNyiti
@JoshuaNyiti 11 күн бұрын
Ney ni mpuuzi kweli. Kwa hy msela akiyumba anasepa. Pumbavu kabisa.
@josephpeter2627
@josephpeter2627 28 күн бұрын
Kwa ushauri pia mngekuwa mnafatilia na maisha wakichukuan wanaendeleaj
@elibarickmayo7173
@elibarickmayo7173 22 күн бұрын
@@josephpeter2627 nilishawahi jiuliza hili pia, au wangewa wanakuja kufanya Anniversary hapa hapa
@Jackline-i7b
@Jackline-i7b 4 күн бұрын
@@josephpeter2627 😄😄 kweli
@alinemananzigamira3823
@alinemananzigamira3823 3 сағат бұрын
Ni kweli
@stellamrema8994
@stellamrema8994 2 ай бұрын
Nice 😂
@mariamabraham-q5x
@mariamabraham-q5x 2 ай бұрын
Hivi johar alikubaliwa au kaamua kwenda kula Christmas 😂😂
@rayahamisi118
@rayahamisi118 2 ай бұрын
😂😂😂
@sharifusaidi1603
@sharifusaidi1603 Ай бұрын
@@rayahamisi118 mm nahisi alienda kula sikukuu
@IddyAmir-n6t
@IddyAmir-n6t 12 күн бұрын
Kiukweli nimempenda bure Mr right naomba mungu mwanaume atakae nioa awe kama huyu inshallah
@PhilimonPaul
@PhilimonPaul 9 күн бұрын
Kijana yupo gud kabixa anajielewa uhakika bro
@LucyKashindi
@LucyKashindi 7 күн бұрын
Unaniinspire sana bro
@bernardmlenda9800
@bernardmlenda9800 2 ай бұрын
Nice couple 🎉
@HappynessFaustini
@HappynessFaustini Ай бұрын
Uwiiiih uyo kaka jomon nimempenda ile kinoumah
@KevooRespect
@KevooRespect 2 күн бұрын
Nltaka kujua kama hawa huwa wanawafuatilia maisha yao au ndo ikiisha hapa ndo badi
@MussaSelafini
@MussaSelafini Күн бұрын
Ahaaa njo kwang
@dariusshukuru8490
@dariusshukuru8490 Ай бұрын
Kikubwa zaidii Mr Right yupo smart,na ni mtu mweye kujielewa kbs Kuna mudaa munatuletea wa Mr Right ambao hawaji elewi,mudaa mwengine seule linashangia kikubwa
@ShedrackEmmanwel
@ShedrackEmmanwel 2 ай бұрын
Wame mechi🎉
@EstherKilegu
@EstherKilegu 3 күн бұрын
Wakipenda wanapenda aswaa
@FaridaMzee
@FaridaMzee 8 күн бұрын
Neno atafanya dunia iwe tam patamu hapo majibu ya kisomi jaman ❤❤❤❤❤❤
@JoyceMarwa-h2t
@JoyceMarwa-h2t 9 күн бұрын
Yuko vizur sana
@NafisaHeradi-o1z
@NafisaHeradi-o1z Ай бұрын
Eeeeh Nawa pendant Sanaa💐🫶🇨🇩
@godfreylwiza2071
@godfreylwiza2071 Ай бұрын
@@NafisaHeradi-o1z na laki nane tajiri
@dariusshukuru8490
@dariusshukuru8490 Ай бұрын
Nikiwa Drcongo Lubumbashi ❤ Yeah brot anatulia kama Mukongo kweli,hashituki kitu kutoka kwa hawa mademu.. makofi kwako mdogo yangu
@FaridaMzee
@FaridaMzee 8 күн бұрын
Kaka yupo vizur halaf kwa muonekano wake yupo vizur huwez amin kama ni msomi kias hicho jaman mungu mkali
@hawababy120
@hawababy120 2 ай бұрын
Wanapendezana mashaallah ❤
@ShebbyTheparadiso-hf6fz
@ShebbyTheparadiso-hf6fz 7 күн бұрын
Golden girl alikuwa nani?
@FaridaMzee
@FaridaMzee 8 күн бұрын
Neno atafanya dunia iwe tam patamu hapo majibu ya kisomi jaman ❤❤❤❤❤❤❤ 29:53
@Issaamchriss
@Issaamchriss Ай бұрын
Jameni tunamuombea kaka huyo mwandalie zawadi yakutoka wakwanza kwa kuvunja record ya taa.tunawapata kuto Burundi rumnge.eliza leo kamufie😂😅natamani angekuwa mimi niwe na Eliza namupenda sn
@MathiasMwibeleca-f8n
@MathiasMwibeleca-f8n 2 ай бұрын
Big up sana brow,
@PILLYJUMBE-h5o
@PILLYJUMBE-h5o Ай бұрын
nyie uyu kaka mbona duniaa kua sehem salama pakuish daaaa😊
@KIDNESS1178
@KIDNESS1178 2 ай бұрын
Uyu jamaa ana ngusa Dawa sio bure 🤧🤧
@RayChausa-g6m
@RayChausa-g6m 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@RayChausa-g6m
@RayChausa-g6m 2 ай бұрын
Ndio apendwe ama???
@lilianakeya9868
@lilianakeya9868 13 күн бұрын
😂😂
@OthiamboMgovano
@OthiamboMgovano 18 күн бұрын
Mwambaaa amejua sanaaa kuchagua safiii sanaa mnyalukolo
@RaiyaanRasheedRay
@RaiyaanRasheedRay 2 ай бұрын
Nimempenda huyu kaka siwez ish bila yeye
@Thatgurl-l8n
@Thatgurl-l8n Ай бұрын
😂😂😂
@AishaZuber-z6g
@AishaZuber-z6g Ай бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😂😂kwisha habar yako
@AsinaRashid
@AsinaRashid 8 күн бұрын
Zarishi atampata nan😂😂😂
@beatricemorice9269
@beatricemorice9269 Ай бұрын
Huyu kaka mm kwangu naona redflag jamani😂😂😂
@maryjoseph5855
@maryjoseph5855 14 күн бұрын
Nakuungaa😅😅😅
@lilianakeya9868
@lilianakeya9868 13 күн бұрын
Exactly 💯😂😂😂
@lilianakeya9868
@lilianakeya9868 13 күн бұрын
Maringo ndio mingi kwa huyu kaka na mwenye kujipenda
@NamiriNamiri-oz4xs
@NamiriNamiri-oz4xs Ай бұрын
Muwe mnawapima kwanza ili pasiwe na wingi wa maambukizi kabla ya kuowana muwapime
@jamesbanziabedi
@jamesbanziabedi 3 күн бұрын
Taweza djee kufika apo n'a mm nipate mke niko congo
@esthermalamsha2847
@esthermalamsha2847 2 ай бұрын
Aaliya yuko smart sana!❤❤❤
@leeboy4814
@leeboy4814 2 ай бұрын
KACHA NYASHI YA NEY KWELI🥹 #NIMELIASANA😢
@MsumenoKelvin
@MsumenoKelvin 2 күн бұрын
Ametisha
@hawababy120
@hawababy120 2 ай бұрын
Hivi Eliza kweli alipata mtu na mdomo wake ?😂😂😂
@NiyonkuruJuvenal-k8u
@NiyonkuruJuvenal-k8u 2 ай бұрын
@@hawababy120 sijuwi kweri kamarifanikiwa Eliza hatamimi
@NiyonkuruJuvenal-k8u
@NiyonkuruJuvenal-k8u 2 ай бұрын
Jamani mimi nimukazi waburundi iraniriwahi kuishi Tanzania 🇹🇿 ♥️ miaka 21 kwahiyo niipenda Tanzania jewa nawarundi wanaruhusiwa Kuja kwa kucaguwa?
@HappinesMbhanyasima
@HappinesMbhanyasima 2 ай бұрын
Wow gud and nice couple 🥰🥰
@ValerianaMsigwa
@ValerianaMsigwa Ай бұрын
Mipia najiuliza
@Yusra-mi7mm
@Yusra-mi7mm Ай бұрын
Hujambo wewe tuwe marafiki ​@@NiyonkuruJuvenal-k8u
@bujabestonlinetv
@bujabestonlinetv 2 ай бұрын
Nice one ❤
@MwanaishaShattry
@MwanaishaShattry 13 күн бұрын
Vipa laini kama mrenda ni sign ya kuonyesha kuwa hata huyo bi mkubwa ameregea 😢. Ukiona mtu vipaja vyake tepwere ujue mpaka huko Ikulu yake tepwere, mapata ya mwanamke yawe yamejishika basi mpaka misuli yake ya huko Ikulu imekaza. Funikeni vipaja vyenu mnasomwa
@RAHELIDARABE
@RAHELIDARABE 10 күн бұрын
Hapo hakuna waoaji wala waolewaji yaani kumchagua mke au mume wa maisha kama nyanya za sokoni
@FredyLusungu-v5w
@FredyLusungu-v5w 12 күн бұрын
Hakunaga mhehe mshamba ww wahehe ni noumaa❤
@BahatiAloys-w8l
@BahatiAloys-w8l 25 күн бұрын
Jamaa alitisha😂😂😂
@JohanessWilliam
@JohanessWilliam 12 күн бұрын
Saw
@JAPHETBUNZARYNKILIJIWA
@JAPHETBUNZARYNKILIJIWA 6 күн бұрын
Batuli beautiful one for me
@neemamabena-xx5er
@neemamabena-xx5er 2 ай бұрын
Wanaume wakihehe wanatuwakilisha vyema mahandsome wetu
@Givendivine
@Givendivine Ай бұрын
Kujinyonga sasa
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا Ай бұрын
Hiki kipindi wengi wanakuja ili waonekane tuu humu mtandaoni ila wengi wanakuja sio waoaji yanı kijana miaka 22 au 23 kweli inaujia kichwani anataka mke. Sangap kajipanga kama sio kutaka mtu wakuzuga nae
@aksasmon7998
@aksasmon7998 7 күн бұрын
OK DUNIA NIIFURAHIE MIE😅😅
@ChachaMwita-i1h
@ChachaMwita-i1h 4 күн бұрын
Kwan jinsi wanavyo kuja hapo ndo badae maisha yanaendelea hivo hivo au Kuna sinto faham
@EnnoConque
@EnnoConque 5 күн бұрын
Tanzania vipi kwani hamna maneno ya kuwapa wa dada mjini au vijijini nyie lazima mkapewe kama bursary 😂😂😂😂😂😂😂mwaokota kama nyanya sokoni 😂😂😂mwajiaibisha sana
@jemshidkhamis6158
@jemshidkhamis6158 Ай бұрын
second best cuple of mr right show for me
@NasmaKibayasi-o6s
@NasmaKibayasi-o6s Ай бұрын
Alf leo naona hawajasema wanamtaka mwenye hofu ya mungu
@زيتونتنزانيا
@زيتونتنزانيا Ай бұрын
Yanı mtu miaka 22 au 23 anasema anataka mume au mke kweli mi naona wengi wanakuja hapa kutaka tuu kuonekana mtandaoni
@allymakasi842
@allymakasi842 5 күн бұрын
Nipeni mwongozo nije nisepe na kijiji na mimi.😁😁
@magrethkasaba8926
@magrethkasaba8926 Күн бұрын
Jaman. Mbona hamjasema goldn girl. Alikua. Nan?
@dariusshukuru8490
@dariusshukuru8490 Ай бұрын
0scar mtu mwenye Malengo sana
@Robertdeus-z3o
@Robertdeus-z3o 4 күн бұрын
aya mambo yanafanyikaga seem gani
@Thatgurl-l8n
@Thatgurl-l8n Ай бұрын
😢😢kwangu its a NO
@majaliwamussa1343
@majaliwamussa1343 2 ай бұрын
Alyaaaa katisha
@zipporahmibei9007
@zipporahmibei9007 14 күн бұрын
Good luck
@ImmakhanSamson-e3w
@ImmakhanSamson-e3w 3 күн бұрын
saw kwa mr light kujielezea kwa yaliomkuta na kwakila kitu sasa je kwann na hao wanawake wasijielezee nature yao
@hermenstarimo1792
@hermenstarimo1792 25 күн бұрын
Mimi sijawahi kuelewa ni Muvi au maana sielewi
@LilianLilian-bx1ec
@LilianLilian-bx1ec Ай бұрын
Eliza atazeeka jmn😂😂😂
@IbrahimKamir-l6w
@IbrahimKamir-l6w 22 күн бұрын
Jambo n'a mimi munitafutiye murembo wa ki Tanzanie
@ChristinaMeshack-f4y
@ChristinaMeshack-f4y Ай бұрын
❤❤
@gloriouslameck6909
@gloriouslameck6909 22 күн бұрын
😅miak 27 washaanza kutafuta wenza mm najion mdg😅
@lilianakeya9868
@lilianakeya9868 13 күн бұрын
Tulia vile ulipo hii SI njia nzuri kutafuta nr right
@MusaMkembela-ex6ev
@MusaMkembela-ex6ev 10 сағат бұрын
Mhehe wetu
@RamadhaniNgongite
@RamadhaniNgongite 20 күн бұрын
Yan wanawake hawana thaman yan wamejipanga kama nyanya dahhhhh
@patrickalfred3680
@patrickalfred3680 Ай бұрын
Kaka uwage anaangalia macho .sasa hata havui miwani kweli....ukimkuta na jicho moja
@AishaZuber-z6g
@AishaZuber-z6g Ай бұрын
Kavua miwan jaman😢
@SalmaAmlani-s6y
@SalmaAmlani-s6y 10 күн бұрын
Napenda kipindi chenu
@alexcaspary7226
@alexcaspary7226 7 күн бұрын
lolo🥰🥰
@SumaRungo-o6m
@SumaRungo-o6m Ай бұрын
Je kama mm nahitaj hii nafax ya kuchagua ninaempenda hapa❤ je nn naweza fanya
@Itambu
@Itambu Ай бұрын
Mahusiano sio ngonjera
@josephmarwamarwakebokero9529
@josephmarwamarwakebokero9529 Күн бұрын
Kweli katisha huyu jamaa
@Mathayo-m4t
@Mathayo-m4t 8 күн бұрын
Hivi nikweli wanaolewa kweli au nimchozo tu
@mariamhakim1463
@mariamhakim1463 16 күн бұрын
Anaitikia rabeka yy nimwanamke😮
@SaidaShaibu
@SaidaShaibu 11 күн бұрын
@@mariamhakim1463 embu tuelewe jaaman abehee ni mwanamke rabeka ni mwanaume
Tuna 🍣 ​⁠@patrickzeinali ​⁠@ChefRush
00:48
albert_cancook
Рет қаралды 148 МЛН
小丑教训坏蛋 #小丑 #天使 #shorts
00:49
好人小丑
Рет қаралды 54 МЛН
Kipofu Awaliza Majaji; Tazama Hapa
4:15
Nyota Shine Tv
Рет қаралды 10 М.
BABY ZUCHU Akiwavunja mbavu barnaba, Mario na Whozu
6:46
WiMediaTZ
Рет қаралды 998 М.