Рет қаралды 118,523
Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Selemani Jafo amefanya ziara mkoa wa Iringa ambapo ametembela Ujenzi wa Jengo la Utawala ndani ya Stendi mpya ya Mabasi Iringa, Ambapo ndani ya Jengo hilo kutapatikana Vyumba 30 Vya Hoteli kwa Ajili ya Wageni