Even when I don't speak the language yet , i am 🇭🇹🇺🇲, but I love watching these videos and I am captivated by president Magufuli speeches
@tegezdomin83634 жыл бұрын
Welcome
@footmobonline4 жыл бұрын
Thank you for that.
@irenewile4 жыл бұрын
Karibu Tanzania,,land of Swahili language
@merishoherman1694 жыл бұрын
Wa kwanza Leo nipen like zangu Kwa niaba ya Magufuli
@spoko124 жыл бұрын
Like hapa kama kura yako kwa jpm 2020 🙌🙌
@ababuumwanazanzibar49084 жыл бұрын
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
@Addi_Teacha5094 жыл бұрын
I think i understand what you wrote, JPM number 1
@rachelkibaya85374 жыл бұрын
Dyuuu Dr.Magufuli forever,Mungu mbariki Dr.Pombe na Watanzania na CCM.
@ericadelard47304 жыл бұрын
Ben ... Mie wa pili kucoment.. zawadi yangu ben... Much love from kenya ..
@sawababdul74264 жыл бұрын
Wakati mwingine nilikuwa najua unakulupuka lakini nimemfatili dkt pombe labda sababu jina linafanana na pombe nikafikiri ivyo lakini si ivyo kumbe unayo yatekeleza ni ilani ya chama bba pole kwa mzigo mzito nimamini uliposema ukimaliza muda wako uongezi ata nukta kweli nimeamini kazi ya kuwaongoza watu ni kazi ngumu mungu hata kulipia kumbukumbu unayo taachia haitafutaka miaka na miaka
@rwegoshoramichael31444 жыл бұрын
Hongera ndg yetu
@rwegoshoramichael31444 жыл бұрын
Tunawapenda Wakenya ndg zetu
@alfredkalaba16144 жыл бұрын
Stesheni ina muundo wa tanzanite. Much love from TZ 🇹🇿
@zuwenakazoka554 жыл бұрын
Magufuli hoyeeeeeee 💪🏾💪🏾
@sekiondowarema17864 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu mpee kila mtanzania maono ya kuona juhudi za Mh Raisi Dr Magufuli. Kila mtu anawajibu wa kumkubali rais
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Mungunibariki Tanzania, viva Jpm
@sawababdul74264 жыл бұрын
Saluti dkt pombe wakati mwingine ni vigumu kusema ukweli kwamba tumeweza lakini ni kweli tumeweza
@mohamnedsalum21504 жыл бұрын
Safi sana
@temkezatv43814 жыл бұрын
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@emmanuelchaplingi90504 жыл бұрын
Sikupingi
@michaelrweyemamu10684 жыл бұрын
Inapendeza sana!
@muniradady48814 жыл бұрын
Da safi sana nimeipenda hii
@michaelsiweya65004 жыл бұрын
Ben... Benn.. Benny.. Mr Benni.. Kitu hicho... Yaani umenikuna utosini hadi upala umeongezeka ..Ayaa .ni zaidi ya ulaya sasa... Kitu hicho.. JpM anatisha
@sijalikifunyo9124 жыл бұрын
Yaeh yaeh! JPM hadi 2030.
@adamvrolik33464 жыл бұрын
Nawapatavizuri kutoka south africa tanzania oyeeee magufuli oyeeeeeee
@thebossman48754 жыл бұрын
Magufuli Oyeeee!!
@veelmng77464 жыл бұрын
Safi sana Diamond kijana wa kazi
@Addi_Teacha5094 жыл бұрын
Tanzanite
@cosmasdaud90884 жыл бұрын
Mambo ni moto
@amirimbago83254 жыл бұрын
2:42 Kama umeskia mradi wa treni Mbagala....sema woyoooooooo
@johnmlay47594 жыл бұрын
Woyooooooooooo
@augustinemzeentinginya30574 жыл бұрын
Woyooooooo
@EK-kp2np4 жыл бұрын
Woyooooooooooo
@fatemaligalawa41514 жыл бұрын
Woyooooooo
@aggreymsemwa12494 жыл бұрын
Woyooooo
@emmanuelchaplingi90504 жыл бұрын
Me watatu comments magufuli oyee
@bakarirashidi95334 жыл бұрын
Kaka ben lile jengo la ghorofa pembeni ya iyo station liko wapi?ingependeza zaidi vyote viende kwa pamoja.ingependeza zaidi
@MYCYOBEL4 жыл бұрын
Hiyo ni phase nyingine, ambapo ben alisema itakuwa na ofisini nyingi za trc
@chifupromise95754 жыл бұрын
Aya mambo yalitakiwa kufanyika kipindi cha mkapa adi sasa tungekua mbali sana
@happynicholaus64744 жыл бұрын
Magufuli amejitoa wa watanzania
@jamesjames23684 жыл бұрын
TRC TV😘😘😘
@Addi_Teacha5094 жыл бұрын
Even when I don't understand the language i watch it all
@rwegoshoramichael31444 жыл бұрын
Nimefurahi sna comment ya Diamond 💎 Platnumz... kwakweli uko vizuri kaka
@alenmwakila38544 жыл бұрын
Mambo n moto an honger Mr president jpm
@TeslaMedia4184 жыл бұрын
Jpm anapiga gazi huyu mzeee ni konki fire kazi safi he should be the president of East Africa 😍😍😍😍😍
@kahroogall56954 жыл бұрын
Nice home 😘💋👌👌
@ozacsic28324 жыл бұрын
Lava lava n Zuchu hav spoken lik a human beings the rest sasa yan they aint loyal n humble kabisa .
@neemakilomoni42584 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 kwanza mengine badae
@mangegervas96514 жыл бұрын
Gud saana watendaji... Gud Mkuu Wa mkoa makonda na jemedar jpm
@jeyadam8334 жыл бұрын
Sawa nimekubali mambo juu kwa huu
@ismovickitogo25804 жыл бұрын
Nikifanya nafanya
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Weee😁😁😁
@happynicholaus64744 жыл бұрын
Watanzania tungekuwa waelewa katiba ibadilishwe aongoze moja kwa moja
@michdevis4 жыл бұрын
Yaan kila siku munatembelea mrad munachelewesha kaz kuisha. Huo n ushamba
@AIG71874 жыл бұрын
Yeeeeeah
@mosaidi26334 жыл бұрын
Hizo nihuduma za kijamii duniani na kila nchi lazima kuwe na transport , CCM MUST GO NO MATTER WHAT
@beaugosseadam68314 жыл бұрын
You will go before CCM.
@errydeo88654 жыл бұрын
Wachawi utawajua tu!i bet u have miserable life
@rwegoshoramichael31444 жыл бұрын
Nendraaa weyeee. Huna lolote
@jamesjames23684 жыл бұрын
We Diamond si ulizingua kule Mwanza airport, mkaiponda airtanzania😕 !!!
@Addi_Teacha5094 жыл бұрын
Tanzanite
@innojtm18614 жыл бұрын
diamonda magufuli oyee imetoka moyoni kabisa
@Nedjadist4 жыл бұрын
Hizi ziara za Makonda zimekithiri. Ni kuonyesha ukosefu wa ubunifu na kuwaharibia wengine wakati wa kazi. Huyu Makonda hajui kitu gani Dar inataka? Kwa nini haweki taa za sola?Mji mzima giza tu? Aanzishe kiwanda cha maguzo na taa za solar, aweke taa milioni moja hivi mji ung'ae. Hilo pia ni gumu? Pia aanzishe mabustani yenye maji ya kububujika. Eneo la Jangwani lote liwe 'man made lake, ndege maji na mauwa vitawale. Hivyo ndio Ulaya, kama apendavyo kusema. Ulaya si mijengo ya masumenti pekee!
@michaelsiweya65004 жыл бұрын
kweli kabisa.. Ulichokiongea... Na ndo maana Magufuli kamuengua ukuu wa mkoa
@mavuzijiwe68054 жыл бұрын
Mradi kama Huu Harafu Tusimpigie Kura JPM, kama Hautompigia Kura JPM basi kichwani kutakuwa na Usaha
@machaggechacha34224 жыл бұрын
Maendeleo kama haya ya watanzania yanapingwa na huyo Tundu Lisu. Huyo Lisu ni Savimbi wa Tanzania. Tumuangalie! Ni mwizi.
@azmankiddo88724 жыл бұрын
I wonder who dislike this video 🤦🏾♂️
@nimoahmed50204 жыл бұрын
Lisu🤔
@alvinsafi27334 жыл бұрын
Chadema hao
@kahroogall56954 жыл бұрын
Kaka Ben nukiina zirikuwa gorofa mbili iyo nyingine ikowapi
@manish-fp1fb4 жыл бұрын
Kwamba wasafi nzima ni ccm, something is wrong.
@setholivier48624 жыл бұрын
What's wrong ???
@manish-fp1fb4 жыл бұрын
@@setholivier4862 uoga wa kupoteza walichokijenga.
@kabete10994 жыл бұрын
Hiki kitu kiishe sasa ni miaka 4
@safiyatheonlything78484 жыл бұрын
Nawapata nikiwa Muscat omani like zenu mashaghara wezangu wale tunao tumia Wi-Fi za bure mwendo wa kuperuzi tu mambo ya nyumbani
@loisjackeliakim43394 жыл бұрын
Shida mnampampu sn
@mossymtwana64224 жыл бұрын
Kula chupa
@loisjackeliakim43394 жыл бұрын
Hata wakoloni walitengeneza barabara na reli
@errydeo88654 жыл бұрын
Kaishi syria
@pauldaniel56854 жыл бұрын
Una mbwembwe nyingi mpaka unaharibu
@remmyexusper11784 жыл бұрын
Anafikisha ujumbe vzr sana. Anafanya kaz vzr,. Hayo mengine ni chuki binafsi
@sijalikifunyo9124 жыл бұрын
@@remmyexusper1178 kweli kabisa, Kaharibu nini sasa hapo.