WAKRISTO WA MADHEHEBU TOFAUTI WAHITILAFIANA JUU YA BIBLIA

  Рет қаралды 15,970

Straight Path Dawah

Straight Path Dawah

Күн бұрын

‪@StraightPathDawah‬ #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..

Пікірлер: 105
@MohamedMeja
@MohamedMeja 2 ай бұрын
Mashallah mungu awaongozea wakristoo
@Noorein-ws8wk
@Noorein-ws8wk 2 ай бұрын
Amiin
@chiefmkalikibz1503
@chiefmkalikibz1503 2 ай бұрын
Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah
@josemu870
@josemu870 2 ай бұрын
Barikiweni sana sana
@aishaali9583
@aishaali9583 Ай бұрын
Subhana Allah sheikh una kazi mungu akupe mwisho mwema
@user-fr6rv2yb4s
@user-fr6rv2yb4s 2 ай бұрын
Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 ай бұрын
Hakujasomwa vitabu au umetazama nusu na kuhukumu?
@nassrasalemu1403
@nassrasalemu1403 2 ай бұрын
Qql0) mm​@@StraightPathDawah
@morallyify
@morallyify 2 ай бұрын
Subhanallah
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 2 ай бұрын
Mashaallah Allha 💖
@twaine40
@twaine40 2 ай бұрын
Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah
@Jingajinga64
@Jingajinga64 2 ай бұрын
Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran
@MohammediSemndili
@MohammediSemndili 2 ай бұрын
Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 ай бұрын
insha'Allah
@azizashiundu5778
@azizashiundu5778 2 ай бұрын
Mashallah
@morallyify
@morallyify 2 ай бұрын
😊
@ashrafnuru6402
@ashrafnuru6402 2 ай бұрын
Yaaan Bibilia n mtihani
@adanabdi5249
@adanabdi5249 2 ай бұрын
Sawa
@user-ie7yt9db6f
@user-ie7yt9db6f Ай бұрын
Akkah bariki kazi nzuri sana mungu awajaakie heri
@HamzaAkilimali
@HamzaAkilimali 2 ай бұрын
Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.
@morallyify
@morallyify 2 ай бұрын
Haoni haya nawe
@peterthuo1404
@peterthuo1404 2 ай бұрын
Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂
@dominicwafula3997
@dominicwafula3997 2 ай бұрын
Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊
@seifissa9705
@seifissa9705 2 ай бұрын
Yaani hao jamaa mungu awasamehe
@Mimein-vn7or
@Mimein-vn7or 2 ай бұрын
Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.
@prettyaysha7892
@prettyaysha7892 2 ай бұрын
Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 2 ай бұрын
Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo
@Adm9464
@Adm9464 2 ай бұрын
Confusion continues. Wakristo hawasikisani.
@mohamedmaina2279
@mohamedmaina2279 2 ай бұрын
Shukuran
@hythamhashiem4458
@hythamhashiem4458 2 ай бұрын
Tomaso ni chizi! hio ni kali
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 ай бұрын
NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MwanaidyMwambez
@MwanaidyMwambez 2 ай бұрын
😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa
@samxx411
@samxx411 2 ай бұрын
Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.
@zainabhussain4114
@zainabhussain4114 2 ай бұрын
Kweli 😂😂
@HaliaKheri
@HaliaKheri 2 ай бұрын
Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊
@thomasnizigiyimana5122
@thomasnizigiyimana5122 Ай бұрын
Yeye njo njiya yakweli na uzima
@MullasKhamis
@MullasKhamis 2 ай бұрын
Dalodi
@Ozihamza
@Ozihamza 2 ай бұрын
Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 ай бұрын
Allah.yupo.mlinzi.mkuu.atamlinda.leo.mpakakesho.yaumalikiama.lnshaAllah
@shabamuhidin634
@shabamuhidin634 2 ай бұрын
Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 2 ай бұрын
SubhanaAllah.
@muddathirkassim2407
@muddathirkassim2407 2 ай бұрын
Eti yesu alikuwa kwakanisa,,,😂 hata hana haya 😂
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 2 ай бұрын
Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.
@AzizaNurdin
@AzizaNurdin 2 ай бұрын
Vita ni Vita muraa
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 2 ай бұрын
@@AzizaNurdin Vita za kijinga hizo.
@dulividuli5237
@dulividuli5237 2 ай бұрын
Watu washadanganywa snaa sas ni mda wa kudhihirisha Ukweli tu hamn kulinganisha imani hapa ni.ukweli tu ujulikne sio watu kupelekw kibubusa
@patrickndichu3905
@patrickndichu3905 2 ай бұрын
@@dulividuli5237 Mchina si mkisto na si mwislamu lakini ujuzi wa maendeleo anao....nyinyi bakini hapo kwa dini yetu.
@Inagole4233
@Inagole4233 2 ай бұрын
Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,
@akonkwojryorondo4504
@akonkwojryorondo4504 2 ай бұрын
hata kna mwingine anaitwa...jesus navas😂😂😂
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 2 ай бұрын
Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa
@badmanno.1650
@badmanno.1650 Ай бұрын
Story nyingi 😅😅 maandiko sifuri
@wakeshojana
@wakeshojana 2 ай бұрын
HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.
@abdulJambe
@abdulJambe 2 ай бұрын
Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe
@StraightPathDawah
@StraightPathDawah 2 ай бұрын
Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri
@softymoha5484
@softymoha5484 2 ай бұрын
@@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote
@samxx411
@samxx411 2 ай бұрын
Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.
@mahmudmugarura2175
@mahmudmugarura2175 2 ай бұрын
​@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge
@TARUMBETAYAMWISHO
@TARUMBETAYAMWISHO 2 ай бұрын
Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza
@benwambua902
@benwambua902 2 ай бұрын
Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans
ASKOFU WA DINI YA MOWAR ROHO AAHIDI KUSILIMU.
33:34
Straight Path Dawah
Рет қаралды 2,1 М.
DADA ASHANGAA NA MAANDIKO HUKU WENGINE WAKISILIMU.
50:01
Straight Path Dawah
Рет қаралды 12 М.
My daughter is creative when it comes to eating food #funny #comedy #cute #baby#smart girl
00:17
Cute
00:16
Oyuncak Avı
Рет қаралды 10 МЛН
BIBLIA YAFUNDISHA MSIKITI NI NYUMBA YA MWENYEZI MUNGU
1:17:09
Straight Path Dawah
Рет қаралды 15 М.
MAJI YAZIDI UNGA KWA WANAOAMINI UTATU (PART 2)
1:04:10
Straight Path Dawah
Рет қаралды 17 М.
Mwingine asilimu na kujiunga uisilamu wakristo waleta swali tata la jibiwa
1:15:30
WACHUNGAJI WAKIRI YESU SIO MUNGU BAADA YA KUNENA KWA LUGHA MPYA
1:36:45
Straight Path Dawah
Рет қаралды 27 М.