@StraightPathDawah #RamadhanKuria kwenye Dawah mitaani akishirikiana na baadhi ya wana Dawah kutoka jijini Nairobi. Tafadhali subscribe..
Пікірлер: 105
@MohamedMeja2 ай бұрын
Mashallah mungu awaongozea wakristoo
@Noorein-ws8wk2 ай бұрын
Amiin
@chiefmkalikibz15032 ай бұрын
Hai ipo wazi masheikh zangu, na hata wao kwa wao wadhihirisha kwa kukarangana. ALLAHUMMA TUJAALIE TUFE KATIKA UWANJA WA MAPAMBANO BALI SIO KATIKA VITANDA VYETU TUKIWA TUMESIBA #MANDIY. #Armie2Palestine #WorkForChange #WorkForPeace #WorkForKhilafah
@josemu8702 ай бұрын
Barikiweni sana sana
@aishaali9583Ай бұрын
Subhana Allah sheikh una kazi mungu akupe mwisho mwema
@user-fr6rv2yb4s2 ай бұрын
Sheikh leo kuna shida,munabishana na hawa mkitumiya story na fikra badili ya kuwanyamazisha na maandiko kama kawaida yenu.Kuna aya nyingi ndani ya biblia ya kuthibitisha yesu siyo mungu. Hii ya leo imekuwa story. ALLAH awabariki kwa kazi mzuri
@StraightPathDawah2 ай бұрын
Hakujasomwa vitabu au umetazama nusu na kuhukumu?
@nassrasalemu14032 ай бұрын
Qql0) mm@@StraightPathDawah
@morallyify2 ай бұрын
Subhanallah
@fardoshnassor78472 ай бұрын
Mashaallah Allha 💖
@twaine402 ай бұрын
Hawa uelewa wao nifinyu Sana yaani Mtu yuasoma andiko na Bado yuabishana Sub'haana Allah
@Jingajinga642 ай бұрын
Hao wa leo wamekuja kwa nia ya ushindani na kuharibu muhadhara. Na leo pia utaratibu umeharibiwa na hao jamaa. Musiwakubalie kamwe siku zijazo. Shukran
@MohammediSemndili2 ай бұрын
Masha allh mungu awabariki nasubir part3 kama itakuwep
@StraightPathDawah2 ай бұрын
insha'Allah
@azizashiundu57782 ай бұрын
Mashallah
@morallyify2 ай бұрын
😊
@ashrafnuru64022 ай бұрын
Yaaan Bibilia n mtihani
@adanabdi52492 ай бұрын
Sawa
@user-ie7yt9db6fАй бұрын
Akkah bariki kazi nzuri sana mungu awajaakie heri
@HamzaAkilimali2 ай бұрын
Huyo Anaejifunika kofia usoni, anaona aibu, kwa ukweli uliomo ktk. Biblia kitabu wanachokiamini. Kubali hamkubali, Yesu si Mungu, yeye alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu.
@morallyify2 ай бұрын
Haoni haya nawe
@peterthuo14042 ай бұрын
Yaani😢 I can't believe wakristo wanakuanga wamechanganyikiwa hivo😂
@dominicwafula39972 ай бұрын
Sheikh Abbas amenikosha sana alipo wafunga kwa kuwauliza sai yesu upo wapi na tena kma nani nilingoja swali hilo sana mpaka raha MashaAllah😂😊
@seifissa97052 ай бұрын
Yaani hao jamaa mungu awasamehe
@Mimein-vn7or2 ай бұрын
Allah akujaze kheri ya Dunia na akhira.
@prettyaysha78922 ай бұрын
Hii kazi haitaki hasira wallah mm ni mwanamke lakini naskia kugonga huyo wa white aki hata ingekua mm ndio nnafanya hii ningekaa na manundu ya uso kwakupigwa😊
@hythamhashiem44582 ай бұрын
Hawa niwabishi tu hawana wajuwalo
@Adm94642 ай бұрын
Confusion continues. Wakristo hawasikisani.
@mohamedmaina22792 ай бұрын
Shukuran
@hythamhashiem44582 ай бұрын
Tomaso ni chizi! hio ni kali
@SalmanMughal-lq5lt2 ай бұрын
NimechekaetiTomato.nichizi@🇹🇿🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@MwanaidyMwambez2 ай бұрын
😂😂😂 subhana Allah yaani binadamu kazaaa Mungu wawakristo daaaa
@samxx4112 ай бұрын
Huyu jamaa alovaa kofia hajui hata anasema nini?? ilimradi na yeye aseme.
@zainabhussain41142 ай бұрын
Kweli 😂😂
@HaliaKheri2 ай бұрын
Asalam alaykum 🤲🤲🤲☝️😊
@thomasnizigiyimana5122Ай бұрын
Yeye njo njiya yakweli na uzima
@MullasKhamis2 ай бұрын
Dalodi
@Ozihamza2 ай бұрын
Bro naona wengine wako na feelings chunga usivamiwe
Yani wamejazwa imani ambayo kwa maandiko hakuna mpaka wanaikataa Bibilia yenyewe...duh! Mtihani kweli na hawa marafiki zetu
@SalmanMughal-lq5lt2 ай бұрын
SubhanaAllah.
@muddathirkassim24072 ай бұрын
Eti yesu alikuwa kwakanisa,,,😂 hata hana haya 😂
@patrickndichu39052 ай бұрын
Huu upumbavu wa kulinganisha imani mtaacha lini...Mtu akae na imani yake...Mungu mwenyewe ndiye atatendea kila nafsi hukumu yake.
@AzizaNurdin2 ай бұрын
Vita ni Vita muraa
@patrickndichu39052 ай бұрын
@@AzizaNurdin Vita za kijinga hizo.
@dulividuli52372 ай бұрын
Watu washadanganywa snaa sas ni mda wa kudhihirisha Ukweli tu hamn kulinganisha imani hapa ni.ukweli tu ujulikne sio watu kupelekw kibubusa
@patrickndichu39052 ай бұрын
@@dulividuli5237 Mchina si mkisto na si mwislamu lakini ujuzi wa maendeleo anao....nyinyi bakini hapo kwa dini yetu.
@Inagole42332 ай бұрын
Hats kuna wakiristo wanaoituwa Jesus Kama Mchesaji maarufu Wa mpira Gabriel Jesuus,
@akonkwojryorondo45042 ай бұрын
hata kna mwingine anaitwa...jesus navas😂😂😂
@ramadhanchenga46062 ай бұрын
Maustadh hawanaga elimu eti baali yesu ni mtoto wa yesu ujinga kabisa
@badmanno.1650Ай бұрын
Story nyingi 😅😅 maandiko sifuri
@wakeshojana2 ай бұрын
HIYO SI ISHU YA AJABU....HATA WAISLAMU WA MADHEHEBU TOFAUTI HUITILAFIANA JUU YA KORAN.......TAFUTA RUTO AKUPEE KAZI HUNA HOJA.
@abdulJambe2 ай бұрын
Qur'an ni Moja Wacha makasiriko mlaji nguruwe
@StraightPathDawah2 ай бұрын
Sijaomba KAZI labda wewe uje nikuajiri
@softymoha54842 ай бұрын
@@chapchap-oz1ou Quran ni moja dunia yote kwa taarifa yako...then ibada yetu ni moja..dunia kote
@samxx4112 ай бұрын
Hakuna hicho kitu, qurani ulimwengu mzima ni moja tu....labda useme tafsiri inaweza kuwa tofauti kulingana na lugha ya sehemu..lakini qurani ya asili inabaki kuwa ni moja tu.
@mahmudmugarura21752 ай бұрын
@@chapchap-oz1ou mnapotea sababu hamjui maandiko wakristo walio kuepo wangapi wametoa Andiko,,? Chunga usije ukaolewa tena wewe ni mwanaume.mburukenge
@TARUMBETAYAMWISHO2 ай бұрын
Kama nyinyi vidume kweli muweke video yote mnakata mahali niliwagaragaza
@benwambua9022 ай бұрын
Kuria is a kikuyu name,kikuyus believed that their Supreme creator lived in Mount Kenya, this man should focus on his culture rather than going around with the name Mohammed, shouting everywhere to people, we should go back to our roots Africans