SUALA LA TOTO AFYA KADI BADO KIZUNGUMKUTI, SERIKALI INAJIPANGA KWA SASA NI MWENDO WA VIFURUSHI

  Рет қаралды 160

Balagumu Media

Balagumu Media

Күн бұрын

Wizara ya Afya imesema kuwa bado inajipanga katika utoaji wa huduma za Toto Afya Kadi lakini haikueleza ni lini mpango huo utakamilika ingawa watoto wanaendelea kupata huduma kupitia vifurushi maalumu.
Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Mei 27,2024 na Naibu Waziri wa Afya Dk Godwin Mollel wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Ulyankulu Rehema Migilla.
Kwenye Swali lake mbunge huyo amehoji ni lini Serikali itarudisha mfumo wa Toto Afya Kadi ambao uliondolewa licha ya kuwa na msaada mkubwa kwa wananchi hasa watoto. Migilla pia amehoji kwa nini Hospitali kubwa zinadai barua za rufaa ili kuwahudumia watoto chini ya miaka mitano ambao matibabu yao yanaelezwa ni bure.
Naibu Waziri amesema mpango wa Toto Afya Kadi umebadirika na sasa watoto wanahudumiwa kupitia utaratibu wa shule na vifurushi vya Bima ya Afya vya najali,Wekeza na Timiza ambavyo wanajiunga kupitia wazazi wao.

Пікірлер
'Matokeo ya Uchunguzi kuhusu kupigwa kwangu risasi bado mpaka leo'
51:24
BBC News Swahili
Рет қаралды 107 М.
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН
Sigma baby, you've conquered soap! 😲😮‍💨 LeoNata family #shorts
00:37
"كان عليّ أكل بقايا الطعام قبل هذا اليوم 🥹"
00:40
Holly Wolly Bow Arabic
Рет қаралды 13 МЛН
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
HOOOTDOGS
Рет қаралды 2,7 МЛН
Impeached DP Gachagua speaks after leaving Hospital
14:16
KTN News Kenya
Рет қаралды 253 М.
What message did Russia give to Israel?
16:50
GZT
Рет қаралды 264 М.
How the Most Elite Spy Agency Operates
22:42
Newsthink
Рет қаралды 2 МЛН
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 11 МЛН