Ni kiongozi gani Afrika anaweza kufanya kama mpendwa raisi wetu alivyofanya Mungu akufunike kwa Damu ya Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo you are extra ordinary we proud of you be blessed
@Fatima-v9k6f14 күн бұрын
From 🇧🇮 mashaallah
@benjaminsamangu26474 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu amlinde na ambariki Rais wetu kwa mema aliyoyafanya
@monicagabriel43884 жыл бұрын
Umtangulize mungu kwanza toa moja ya kumi maana nchi na vyote vijazavyo ni Mali ya bwana.
@floranjagi65004 жыл бұрын
Mfano bora wa kuigwa kwa kweli. Mungu ana nguvu zake! Hongera sana Bilionea mpya!
@khayraatsaidi38014 жыл бұрын
Maa shaa Allah Hongera sana Mungu Akubariki
@hijjahbintmardhya66134 жыл бұрын
Mmefanya vyema kumpa ulinzi na pia anaitajika ushauri wa matumizi asitumie vibaya mana wenye macho manne wanamtizama Sasa namna watakavyomtumia ila Mwenyezi Mungu atamlinda naatamuelekeza namna ya kutumia kama alivyo mpa Mwenyezi Mungu akulinde kabisa Mashaa llah
@patricklangisa71264 жыл бұрын
Ik
@RIZIKISEMUNAOFFICIAL4 жыл бұрын
Mungu wa mbinguni akutangulie uzitumie vizuri na damu ya Yesu kristu ikufunike na macho ya waaribifu.Mungu mkubwa kweli Mmmmmmmmm🏖🏖🏖🏖🏖
@salimmariane46084 жыл бұрын
Naombaa mchukue nambaa yangu coz wiki ijayoo naamin nitavunjaa zaidii,,,amen🔥🔥🔥
@charlesking82524 жыл бұрын
Mungu ni mwema daima
@zaharaallymwndelezotunatak8184 жыл бұрын
Mashaallah mungu akuzidishie
@marymary67584 жыл бұрын
Magufuli nirais aliyetumwa na mungu,zamani walikuwa wananufaika wazungu
@husseinkhalfan94674 жыл бұрын
MUNGU AKITAKA KUPA HAKUANDIKII BARUA HUKUPA KWA NJIA YAKE MWENYEWE ANAYOJUA.
@bilioneamwegole51384 жыл бұрын
Kwel na walikiwa wakichimba miaka yote ila kwa sasa na kwa uongoz wa awamu ya 5 pia naipa heshima anaweza kuongoza hamasa kama hizi hazikuwepo kwakwel
@marasightings67353 жыл бұрын
Billionaire Tanzania hio ni shillingi kumi kenya😂
@petermwantole94334 жыл бұрын
hakika Biteko nawe ni kiongozi ambaye unaacha alama ,kweli awamu ya tano ni moto,,viva JPM!!
@muniraahmed6244 жыл бұрын
Laizer kam laizer😔😂
@saidachimmy80744 жыл бұрын
Asante mungu nimemuona baba angu mdogo laizer nilipoteana nae mda mref mwenye no yake naomb nilimc baba angu
@alimachiusaugustine14454 жыл бұрын
😂😂😂😂
@samwelsulle97554 жыл бұрын
😂😂😂😂 baba mdogoooo
@nasmasanga19024 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jacksontulito9694 жыл бұрын
Kwakuwa amepata b 7🤪🤪
@pendomwenda61904 жыл бұрын
Baba Masai naomba ajira
@sumayafissoo83274 жыл бұрын
Manyara hoyeee marerani hoyeee
@eliahiluka8302 жыл бұрын
Mambo ya mbinguni waachie wataramu Wa mambo ya rohoni wewe elezea mambo ya Madini usimwambie mtu ataingia mbinguni kwakuwa amesema serikali ichukue kodi yake yote hicho sio kigezo cha kupima MTU kwenda mbinguni maana neno la Mungu linasema kwamba ni vigumu tajiri kuingia mbinguni ni vyepesi ngamia kupenya katika tundu la sindano
@automotivetz12754 жыл бұрын
Ambae yupo free tukachimbe
@no3edward1184 жыл бұрын
Nipo asee tuzame zetu
@nyangigelucas30504 жыл бұрын
Mkulima n mmoja walaji wengi😂😂😂😂
@mboweirene96704 жыл бұрын
Mambo ni🔥🔥
@lavagpocian4574 жыл бұрын
Xxxx
@jabilishekusa22024 жыл бұрын
Mimi ningeomba serekali imjengee nyumba za kupangusha
@josiaatupele17874 жыл бұрын
Daaaa mpunga uo
@eliahiluka8302 жыл бұрын
Mambi ya mbinguni waachie wachungaji Mtu Wa Madini Biteko wewe elezea mambo ya madini
@leilamdoe91784 жыл бұрын
Kila lakher ktk utumiaji wako wa hizo pesa
@leahsimba71594 жыл бұрын
Mmh
@mrsochu75044 жыл бұрын
Maskiniii! Kalala maskini kaamka tajiri. Allah akbar😭😭
@angelsaidina31114 жыл бұрын
Hahaha ww alikuwanazo huyo ameongezewa2
@jagnamohamed62984 жыл бұрын
Nani kakwambia alikua maskini uyo
@no3edward1184 жыл бұрын
Huyu alikuwa tajiri tu alisha anza kujenga shule kabla ya yakuwa bilione
@princesssway13964 жыл бұрын
Nipeni number ya uyo Tajiri uwii
@madadamadada14024 жыл бұрын
Princess Sway haha haha
@abdulmelele73224 жыл бұрын
Ukamfundishe jinsi ya kuzitumia🤣🤣
@princesssway13964 жыл бұрын
No nitumie nae jamani nimempenda yeye na pesa zake kkkk