Kipande kifupi cha wimbo kikionesha mpangilio wa sauti na namna zilivyorekodiwa katika studio za CGen Pro. +255765449914
Пікірлер: 147
@user-co3ke5kz9s4 ай бұрын
my best song 2024 barikiweni mnapo hubiri NENO
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
Hicho ni kipande tu, wimbo mzima utakuwa hewani siku si nyingi
@mussakasela556211 ай бұрын
Vijana wako vizur sana
@victorodehe616011 ай бұрын
Kazi nzuri Fortune👏
@shuaiberegae286711 ай бұрын
Twasubiri kwa mpigo mwalimu
@marcomihayo74511 ай бұрын
Hongrra sana kazi nzuri,,,hata ungesema ni siku gani hiyo ingrtufas zaidi kazi nzuri sana!
@JoenHarry-jw3zu10 ай бұрын
Mbona WAKATI NI SASA haijatok
@delphinaandrew65347 ай бұрын
so lovely😍❤️…mewapenda bure Mungu awabariki🙏❤️
@user-sr2yy9ov5l8 ай бұрын
Kazi nzuri na sauti tamu..naomba kusaidiwa na nota za huu wimbo..tafadhali @F. M SHIMANYI.
@gradientlife5 ай бұрын
Hatari sana congratulations mtunzi na waimbaji
@kennykibzofficial6 ай бұрын
Huu wimbo unaachiliwa lini, nimengojaaaa sanaaaaa
@josephnzioki20138 ай бұрын
Kazi safi.... Naomba nota za huu wimbo
@josephnzioki20139 ай бұрын
Mkuu FM Shimanyi naomba nota za huu wimbo
@praxedakimario29289 ай бұрын
Hujawah kukosea shimanyi, Mungu akibarik sana
@millardfrank901210 ай бұрын
Mwezi gan utakuwa tayali huu wimbo
@SweegHMs2dio10 ай бұрын
Amujamaliza nausubiri kwa amu sana
@mapendoglory169 ай бұрын
Wimbo mzuri Sana tuupateje wote??
@melinarevocatus16203 ай бұрын
Eei soprano❤❤❤❤❤
@namepaulo31387 ай бұрын
huu wimbo jamani utatoka lini harakisha tunachoka kusubiri lakini wimbo wenyewe mkali sana
@andreayohane580011 ай бұрын
Hatari na nusu hii
@TonyNjoka9 ай бұрын
Kwani huu wimbo utaachikiwa lini
@paskaliakonaay016 ай бұрын
tupe full mziki mbn fup san af tamu kinom🔥🔥🔥
@mosesm90795 ай бұрын
Kazi nzuri Katumbi
@FrankJKyalo2 ай бұрын
Music Art at best ❤❤❤
@joakimndanga117011 ай бұрын
😅😅😅 ila nyie jamaaa mtauwa watu🙌🙌🙌 # Mkuu Shimanyi. # Mkuu Duke. # St. Thomas Moore Mzumbe
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
Ooooh Mungu ni mwema kaka
@mkatolikikenya81647 ай бұрын
Wimbo Safi Sana 😊
@kevintiraya69649 ай бұрын
Shimanyi🔥🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤
@julietnangekhe37656 ай бұрын
I love this 🥺💯❤️
@amosmakori95369 ай бұрын
Hello wimbo tamu sana increase at least uwe 5mins plz
@AllexjeremiahMbogo-sk7dx6 ай бұрын
Wangapi tunasubiri mpka leo na haijatoka
@user-bu2ok8pd9g8 ай бұрын
Haki waiting full video, it's so nice❤
@upendopeter807811 ай бұрын
Wimbo mzuri sana,, sauti nzuriii,, mungu awabariki sana muendelee kuimba . Nawapenda sana
@hkiptiony4 ай бұрын
Eeeeish you never disappoint
@richardrobi46445 ай бұрын
🎉 very great ❤
@machariadavis31598 ай бұрын
Shimanyi Have been waiting for this Song and Score for over two months now 😢
@laurentgama183410 ай бұрын
Nimependa sana Huu wimbo ❤
@jaxmkada67972 ай бұрын
Classic🎉❤
@user-jl2ss4ik6c3 ай бұрын
This is nice 🙂
@MATHEWLOUISE-dg6ig11 ай бұрын
Mkuu Shimanyi... 🙌🙌🙌 Mapenz Yako yatimizwe
@kelvinbarnabas961711 ай бұрын
Hongereni...ila tusimsahau na amani ni Tunu bora
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
Hakika
@anthonybyalushengo403211 ай бұрын
Aaah hatari
@brunojoseph48176 ай бұрын
Talented❤
@greatmind86827 ай бұрын
ningekuwa na uwezo wa kuhama Kenya nije Tanzania kwasababu ya mziki lakini najua mungu yupo na ipo siku...nausubiri huo wimbo kazi kuntu sana hongereni
@fortuneshimanyi20645 ай бұрын
Uko tayari
@aloyceisdory785511 ай бұрын
Ila shimanyi 🙌🙌🙌🙌🙌
@millardfrank901211 ай бұрын
Wimbo mzuli saana tena sana
@lilianongasia560210 ай бұрын
Heko mgurugezi we're still waiting for song
@sarahkiragu.blessings39239 ай бұрын
Lovely 🎉🎉
@alfredngugi129310 ай бұрын
Soo sweet ñ melodious.keep up❤❤❤
@martinmwake62189 ай бұрын
Special❤
@stephenmuchiri184110 ай бұрын
Kazi safi 🎉
@franciskironjo93697 ай бұрын
Waiting....the other one is out sasa ni hiii...
@upendopeter807810 ай бұрын
Wimbo hautoki sijui wamekwama wapi
@Imaginable-Image.11 ай бұрын
🙌🏽🙌🏽Sanamu yako kaka tunaitafutia maeneo ya kuiweka tu...Heshima kwako
@user-oe3tn4sq7n10 ай бұрын
Safi
@nasinyarlukumay475711 ай бұрын
Hongereni sana mungu awabariki kazi njema
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
Amina
@avelinaadelard628711 ай бұрын
So nice Mbarikiwe kwa utume mzuri
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
Amina, barikiwa pia
@TamalySabas-dl9pn9 ай бұрын
huu wimbo asee naupenda sana ❤❤ nausubiri hauji tu maan nina kipande tu so good
@marymimina11 ай бұрын
Hapa umewasaidia walimu wa kwaya wasiojua kusoma nota. Shukrani sana mwalimu ubarikiwe sana. Naingoja kwa hamu❤❤❤
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
Inanjoo siku si nyingi
@pacreasiusnyabwengi292610 ай бұрын
Kazi safi Shimanyi nangoje huo wimbo na ule wakati ni Sasa
@jerrytv155111 ай бұрын
MFANYE haraka kutoa video huu wimbo nimeupost status Kila mtu akawa ananiomba,mko vizuri sana
@fortuneshimanyi20645 ай бұрын
Iko tayari waweza itazama
@KAMILIUSNguya-ti7zp8 ай бұрын
Good song
@anjescochoga2311 ай бұрын
Daima shimanyi sijawahi kukuona umefeli hii ni hazina kubwa kwa kanisa heko Sana mkuu
@JoenHarry-jw3zu10 ай бұрын
Hii nyimbo narudia mara20 sasa hata sichoki jama ❤❤🎉🎉
@kelvinbarnabas961711 ай бұрын
Nmezikumbuka ngoma zangu😥
@eldavinasalvatory67611 ай бұрын
❤❤waooo
@simbah254310 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤
@franklataman21649 ай бұрын
Mnajua mpaka mnajua tena. Hongera zenu nyingi sana.
@martinndambuki577310 ай бұрын
This is it being a proud catholic 🎉
@mapendoglory168 ай бұрын
Watoto wa Mungu Na wakanisa. Huu wimbo ulienda wapi? Unafariji roho zilizovunjikaaaa.
@mZeeBabu1237 ай бұрын
Hata nami nashangaa. Nimeusubiri sana
@pancratiusmocherenyamira967910 ай бұрын
This Guy!!!Shimanyi F.M yuko juu sana,..kazi yake safiii,.never disappoints,..am from Kenya mimi ni mwalimu nimeweka huu wimbo status kila mtu mwenye anaview ananiomba huu wimbo,... Please Shimanyi huwa nafuatilia nyimbo zako naomba namba yako angalau unifunze mziki kidogo Bado Kuna wimbo nangojea sijawahi ona unaitwa Wakati Ni Sasa,..
@mkatolikikenya81647 ай бұрын
Ata mm nliungoja huo wimbo Sana lakini ameutoa hivi majuzi
@magymumbua89366 ай бұрын
I'm a Kenyan too and have been looking for this song for quite some months now lakini wapi ! Huwa siioni
@revaniakataga807010 ай бұрын
Kazi nzuri sana, Mungu akubariki sana kwa kipaji chako
@phyliskandagor451511 ай бұрын
Shimanyi never dissapoints... Waow...longing for this one🎉❤❤❤❤
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
Tumshukuru Mungu
@rachaelkiilu3229 ай бұрын
❤❤❤
@anthonyndolo86707 ай бұрын
Itakuwa hewani lini
@trynessmhagama211 ай бұрын
Jamani mziki wenyewe ndo huu 🔥🔥🔥🔥💕
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
😊😅❤
@fadhilisalufu223811 ай бұрын
Huyu shimanyi hatari
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
Tumshukuru Mungu
@smark-b146211 ай бұрын
Pure music .❤
@ludovickremejio873610 ай бұрын
Tuma bhabhaa tunakisubiri
@upendopeter807811 ай бұрын
Mbona wimbo mfupi?
@yasintaissala761310 ай бұрын
Woow wimbo mzurii sana nausubiri kwa hamu sanaa😍😍
@pendopeter17907 ай бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰🥰
@alexkabogo68657 ай бұрын
❤
@holgamazde574910 ай бұрын
Ooh mzuri sana naungoja,,
@bathlomeoflorian459711 ай бұрын
Shimanyi we ni fundi... Nakuelewa sana big brother 🤜
Shimanyi Hongera sana, ila naona kama unacopy melody alaf unabadirisha kidogo sana, au unataka kuweka historia kuwa wimbo fulani ukianza lupiga watu wajue huu wimbo wa shimanyi??
@avelinaadelard628711 ай бұрын
Muhimu
@phylismboi755911 ай бұрын
Wow utakuwa mtamu kweli ❤
@fortuneshimanyi206411 ай бұрын
Tunatumai
@phylismboi755911 ай бұрын
@@fortuneshimanyi2064 utunzi wa nyimbo zenu wapendeza na wa kipekee sana. Natarajia kuusikiza
@upendopeter807810 ай бұрын
Huu wimbo badotu haujatoka mzima??
@josephmusyokim.914110 ай бұрын
When are you releasing it
@didacusodhiambo70508 ай бұрын
When is this one dropping
@joycetillya19889 ай бұрын
Awosome Voices ❤
@julianakasengi639011 ай бұрын
This is lovely❤
@alfredngugi12939 ай бұрын
Melodious song.pls Shimanyi when are u releasing this song.❤❤❤❤🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼