Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@sirkingsky1082 ай бұрын
We jamaa yaan uko very intelligent unaulza maswali technical mnooo czan kama hujasoma psychology kaka
@omaryadam68842 ай бұрын
Fact
@SaidMaida-g6z2 ай бұрын
Kuna jambo hapo
@joycemmassi50462 ай бұрын
Ni kweli kuna uficho sana
@fridoliusrushunju90932 ай бұрын
Mungu amjalie afya njema rais wetu makonda tunamwombea🙏🙏
@Carolina-sm5zt2 ай бұрын
Jamani Makonda Mungu wetu wa huruma akulinde huko uliko
@Nabeel_brand_official2 ай бұрын
Allah amlinde sana Mr president Paul makonda...kuna ktu tunafichwa hapa
@nkwazigatsha2 ай бұрын
Sijui Samia na wapambe au mashushu wake wakisoma hii anajisikiaje. Kumbe Makonda ndiye mheshimiwa Rais. Je hiki ndicho kinyago ambacho hakimtishi mchongaji alichomaanisha Nappy Mapepe Nnauye.
@ndolepeter27702 ай бұрын
Mmh jaman hili litawachafua sana viongozi wetu kuwen makin, pia waweken watu uwazi.
Mi mwenyewe nishaanza kupata mashaka na kiongozi Wetu...
@alphoncewilliam43252 ай бұрын
Ata kwa magu ilikua hivihivi
@suddytele36922 ай бұрын
liko jmbo
@shabaniathumani17892 ай бұрын
Kuna Jambo makonda alikuwa bado anaijenga arusha nivigumu yeye kuomba likizo ,,yaani tumetega sikio tuu mwaka huu tumechoka kuuwawa,,
@thelonewolf44292 ай бұрын
Mwenye akili naaelewe jibu lipo wazi . Serikali ya tz mnawivu jamaa anapendwa ila mnamuua tu ivi ivi daah
@aloycemisigalo39832 ай бұрын
Namuomba mungu amrudishe salama Azory Gwanda, wenye hila waliamua kumpoteza ila naamini wewe Mungu ni fundi naomba yaliyo gizani yaweze kuwa hadharani na walio husika wote naomba Mungu uwaadhibu kwa walicho mtendea Azory.
@majidfrolian49042 ай бұрын
Yaani hapo kuna shida sio bure kuna kitu asee watanzania tuingie Kwenye maombi tumwombee Makonda 🙏🙏🙏
@cheiknamouna20582 ай бұрын
Kidoogo ajisemee ukweli akashtuka ila mdomo umeweza kumkaba hadi nimekuongezea asilimia KAZI Yako ni nzuri hongera🎉🎉
@DeogratiusAndrew-zi7zv2 ай бұрын
Hii watanzania mjifunze kitu, hapo kwani muandishi ana uliza maswali ya akili lakini kiongozi anakwepa kujibu,nini kimefichwa na mjifinze kumsoma anae jibu anaongopa lisije likapasukia mikononi mwake,
@pendowilfredmatahi57702 ай бұрын
Anaeulizwa majibu yake yanadhihirisha kabisa anajikanyaga kanyaga unaona kabisa anakosa la kujibu,na akijibu unaona kabisa ana hofu ya anachojibu. Hapa kuna kitu,sidhani kama huyu baba yuko salama jamani.
@pendowilfredmatahi57702 ай бұрын
Anaeulizwa majibu yake yanadhihirisha kabisa anajikanyaga kanyaga unaona kabisa anakosa la kujibu,na akijibu unaona kabisa ana hofu ya anachojibu. Hapa kuna kitu,sidhani kama huyu baba yuko salama jamani.
@LugomeRisasi2 ай бұрын
Kama wamemuumiza makonda.tusikae tu kwa kunung,unika ila tuonyeshe nguvu ya Uma ikoje tumuombe MUNGU awaazibu wahusika
@DeogratiusAndrew-zi7zv2 ай бұрын
@@LugomeRisasi kuna mambo yakuomba Mungu nisawa lakini Mungu ametupatia akili sisi tuwe na sauti moja ya pamoja bila woga , kutokuogopa tuungane kama wenzetu nchi jirani kenya,Uganda nk,
@hellenngwilla5502 ай бұрын
Hapa kuna kitu jaman eeh Mungu msaidie mtumishi wako Makonda tunataka kumwona jaman kwan kuna shida ganiiiii???
@ConnieJohn-ts9rp2 ай бұрын
Baba ktk Jina la Yesu Kristo watoto wako tuko mbele zako tunamwombea mpendwa wetu jasili shujaa Makonda POPOTE alipo Mungu ukamwokoe Makonda natuma majeshi ya Mungu yakawapige wote wanaopanga njama mbaya zidi ya Makonda Mungu ukamtetee Makonda uko aliko naachilia upako wa Yesu ukamponye na kufuta kila roho za uhalibifu zimwachilie Makonda akawe mzima, nafuta kila roho za mauti Makonda akawe hai kwa Jina la Yesu ,,na wote wanaopanga njama za kumuuwa Makonda washindwe na walegee hukumu ya Mungu. Iwatafune hao maadui mafisadi wapigwe wazimu mala 7 na Makonda wetu malaika 7 wamuhudumie. Wote tuseme Ameeeeen .
@JenipherJulius-x6m2 ай бұрын
Aaaamen
@JenipherJulius-x6m2 ай бұрын
Na iwe hivyo Kwa jina la yesu
@ruthdavie11752 ай бұрын
Mungu wa mbingini amrejeshe Mh Makonda
@oswardjaphal-cd6np2 ай бұрын
Acha wa endelea kutujaza sumu kwawuwongo wao. Ndo wanatupa hasila na kuto waamini tena. Mukivuka hiili. Ccm. Muombe mungu. Hatuna imani nanyi tena
@rabanphotostudionyakanazi_41152 ай бұрын
Yani kwakweli,mtu anayepambana vizuri,anashambuliwa wana
@RahmaJuma-yi3gh2 ай бұрын
Nikweli maana wanatupa mashaka
@taifaramadhan86842 ай бұрын
Jemedali Tundu Lissu alipo pigwa Risasi zile lengo kuuliwa watu wengi walikaa kimyaaa ni wachache sana tulo ongea japo mitandaoni na kulaani kitendo kile. ila kwa huyu aaahhh watu wana ongea. Ccm itatawala hadi lini? tunahitaji mabadiliko sasa
@monicamsile22842 ай бұрын
Yaleyale ya Magufuli! Anatafutiwa ugonjwa hapo Makonda, ili mwisho wa siku waseme alikuwa anatatizo la muda mrefu, ila sijui kwann hawagundui kuwa wanafahamika wanachokifanya, au ni makusudi kwasababu hawafanywi chochote hata kkama inafahamika, ni bora wafanye hadharani tu maana hata hiyo amani inayozungumziwa na uhuru kwasasa Tanzania ni uongo hakuna tena
@KMuleke-kk5eo2 ай бұрын
Awamu hii watatwambia makonda alikuwa anasumbuliwa na taifod
@hamidamussa-sy4fm2 ай бұрын
Hhhhh
@michaelmaziku9912 ай бұрын
Hii ni nchi ya ajabu sn yaan wananchi wanahoji yuko wap kiongozi wao halaf watu wanaficha kwan kun dhambi gn km kwl yupo salam akajitokeza huko alipo ili kuwatuliza wananchi wake hp kuna jambo sio bure
@ritapiusnicolaus70682 ай бұрын
Mungu amtetee Makonda 🙏🙏
@nathanpallangyo52442 ай бұрын
KWANI TANZANIA KUNA VITA? TUKIAMBIWA UKWELI SHIDA IKO WAPI, KUNA MAMBO YA KUFICHA KUNA MENGINE YA KUWEKA WAZI TUU.
@jumannemalungo50182 ай бұрын
Usili umezidi nchi yetu
@dorothyannan81842 ай бұрын
Mkiwa mmemtenda Makondaa.Hio zambi itawarudia mara 100000
@ZainabuOmary-ys8oq2 ай бұрын
tutaomba kila dini kwa ajili ya makonda mtetea watu
@latifasuleiman75272 ай бұрын
Kweli kilicho chema hakidumu inasikitisha mpaka nimeingia hofu
@taifaramadhan86842 ай бұрын
Hata Tundu Lissu wetu nae alipigwa Lisasi. lengo ilikua ni kumuua. na walo mpiga eti hadi sasa hawajulikani wala serikale ya wakati ule haikuunda tume ya uchunguzi. nasi bado tuna uchungu na maumivu yale japo watu wengi walikaa kimyaaa hawakupaza sauti japo mitandaoni kama hivi wanavyo paza sauti hapa
@EventsClubD2 ай бұрын
Mama yetu kipenzi Samia kama mama mpenda jamii yake TU ya kitanzania tunaomba kujua kuhusu kaka yetu kipenzi mwanao kipenzi Paul makonda 👍👍🙏🙏🙏
@ShabaniBakari-p4r2 ай бұрын
Makonda hayupo hai jaman tusidanganywe kama watoto wadogo😢😢😢😢,mimi nimeshaweka msiba mda mrefu maskani kwangu!
@rehemajuma70942 ай бұрын
Asije akawa amekufa jamani😭😭
@MankaVodacom2 ай бұрын
😭😭😭😭
@RafaelRafaeli-h8c2 ай бұрын
Afe mara ngapi@@rehemajuma7094
@khamismtoma49022 ай бұрын
😭😭😭😭
@Pixxmoleli2 ай бұрын
Jamani nafuta maneno yako kwa jina la Yesu
@carolinemariki40292 ай бұрын
Mwenyezi Mungu Tunakuomba msimamie RC wetu Makonda asipatwe na lolote. Na kama kuna mkono wa mtu simama nae eeh Mola. RC wetu uko wapi pse ongea tupate amani
@FrenkKahigi2 ай бұрын
Jaman makonda wetu tunakupenda sana mungu awe nawe huko uliko japo hatupajui ulipo
@josephchacha74562 ай бұрын
Tanzania ninchi yetu lakini unapokuwa kama.kiongozi au hata kama.unanguvu yakuongea kiasi gani usiwe unajioendekeza KWAKILA mtu kwasababu Tanzania ninchi ya chuki Tanzania haitaki kuona mtu anawasaidia wananchi yaani Tanzania inataka wale viongozi wenye cheo ndoo waseme wao kama.wao.asa makonda kayatimba ndoo watu mpunguze vipaumbele
@MARIAMUBAJUTA2 ай бұрын
Mungu akulinde Makonda wetu
@pendowilfredmatahi57702 ай бұрын
Mi nishajikatia tamaa,kwa majibu haya ya kujikanyaga kanya hivi? Daaahh! 😢😢😢😢
@pendowilfredmatahi57702 ай бұрын
Mi nishajikatia tamaa,kwa majibu haya ya kujikanyaga kanya hivi? Daaahh! 😢😢😢😢
@alphoncewilliam43252 ай бұрын
Sina humani eti anakaim duu
@HamisMajogoro2 ай бұрын
Mungu ampe wepesi
@alphoncewilliam43252 ай бұрын
Duuu kwa makonda tarifa na majibu 😢😢😢
@AlHamra-k4u2 ай бұрын
Mbona majibu ya Rc kilimanjaro yana laleta utata hapa Kuna kitu nyuma ya panzia mnatulixha matango pori. Watanzania tunajua mlichokifanya. Viongozi mnajitengenezea kutowaamini kabisa. Tunaomba Mh Makonda awe salama arudi salama.
Hii ndo global bwana, yan napenda San hii chanel wako vizuri sana
@alfristricks75152 ай бұрын
Likizo ya kiongozi siyo Siri. Inapaswa tu kusemwa, ana likizo ya wiki kadhaa, yupo nchi Fulani, atarudi siku hii, anakaimu Fulani nafasi yake Hadi siku Fulani. Na nyongeza, inaweza kusemwa, Sheria za likizo kwa viongozi wa umma zinasemaje kuhusu likizo husika.
@DullaMsanja-x9r2 ай бұрын
Nchi gani isio mawasiliano ata asijitokeze kuongea makonda ? Lipo jambo
@Bilioneabichwa3312 ай бұрын
Yesu akuponye haleluya
@SeverinepauloPeter2 ай бұрын
Kwa magufuli mlitudanganya mnataka kuona hii nchi ni ya mamaenu
@aishaalbalushaishabalush82912 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@EMAPLUSTV2 ай бұрын
MUNGU MUUMBA WA MBINGU NA NCHI TUNAMKABIDHI MKUU WA MKOA WA ARUSHA PAUL MAKONDA MIKONONI MWAKO TUNAAMINI YUPO SALAMA KWA WEMA NA FADHILI ZAKO
@ramiamisanya98732 ай бұрын
Mbona anajing'ta ng'ata!! Kuna kitu sio bure.....!!!
@angelatarimo19692 ай бұрын
Eti wamempanga mtu anafanya maxoezi wamevisha Tshirt wameiandika MAKONDA nyuma wanatudanganya ni yey. Hakuna mtoi huku tunaelewa vizuri
@benardpeter35622 ай бұрын
Daah hatari sana kwakweli hii nchi yetu....
@stephanonyembedodo7582 ай бұрын
Aisee kama unazo akili timam unajiongeza hapo kuna kitu akiko sawa.
@josephineokama22002 ай бұрын
Imani yangu inanituma vibaya sana naogopa kusema
@simonMollel-rr3gb2 ай бұрын
Ata mm nina hofu juu ya hili😢@@josephineokama2200
@AbrahBuraheze2 ай бұрын
kaka tumesha juwa kilichomkuta magu ndio kinamkuta makonda tunasubiri likizo ishe ni mwez watatueleza tu uchaguzi wa safari hi hatupigi kura kwa mambo yakishenz kama hay
@demicratia40712 ай бұрын
Ameuliza "KWANI KUNA NINI?😂😂😂😂BASI HAJUI NCHI INAENDAJE. HANNA NEWS NO COMMUNICATION HANA TAARIFA AU HEKAHEKA ZA WATU WAKE Arusha well done Actor
@neemanziku54032 ай бұрын
Waandishi was habar tupazien sauti tunataka majibu kwa serikar Makonda Yuko wapi? Ni haki yet kujua
@alexandermanase89562 ай бұрын
Bado najaribu kujifunza siasa za tz lakin bado sizielewi kabisaaa,,, yani unakaimu nafasi ya mtu na hujui utakaimu Kwa muda gan? Tz bhana tuna mambo ya hovyo sana, tuombe Mungu awe mzima huko aliko, kinyume na hapo viongozi mtakuwa mmetukosea mnoooo, na mtakuwa mnaendelea kutengeneza bomu ambalo siku likilipuka hii nchi haitakalika.
@ullujaffariyohani11862 ай бұрын
Unajua hii Nchi ni ngumu sana yaani watu hawataki maendeleo ya nchi yao wanaona ufisadi ndiyo wanaotaka ukiwa mkweli wao hawapendi
@zaramuneer32572 ай бұрын
mmmmh Mungu tumbe macho ya rohoni tuone sawsaw
@abednego38762 ай бұрын
Mm nnadhani deepstate na usalama wa taifa wana matatizo makubwa sana na ni vibaraka.
@zianasalimuhivikunamchunga52242 ай бұрын
Mtajua Mungu atawahukumu mmoja mmoja
@simonMollel-rr3gb2 ай бұрын
Kwa hapa Tz ndo nchi pekee viongozi tu ndo watu wazima sis wengne tupo chekechea tunafumbwa macho kwa lazma duh ee MUNGU baba tuokoe
@jonasimwanzi2 ай бұрын
Nyie makonda mzama kweli au mbona sielewi jamani
@marcoenock45962 ай бұрын
Mh kwa majibu tuu tayar tuna mashaka na Hali ya mpendwa wetu
@hajihassan54332 ай бұрын
Serikali semeni ukweli kuhusu RC . Kufa ni mkataba wa kiumbe na Mungu wake na kunaweza kutokea wakati wowote, lkn akifa RC wetu kama Magu hatutaelewana kamwe. Likizo ya Mfanyakazi ni mwezi mmoja kila baada ya mwaka wa UTUMISHI, RC ana miezi 5 tu Ofisini kaenda likizo ya nini? Angekuwa mwanamke tungedhani kateuliwa RC akiwa mjamzito kaenda kujifungua, lakini dume kabisa. Ipo namna!
@IsayaMpalanzi-qu7iv2 ай бұрын
Tuweni makini yaleyale ya jpm
@ShabaniBakari-p4r2 ай бұрын
Siasa ni mchezo mchafu sana,makonda ana tatizo kubwa lililomkuta ambalo hawataki kulizungumzia😢
@Zubaiba2 ай бұрын
Jamani mbona nimepata hofu kubwa kwa anayejibu maswali,eee mungu mlinde makonda kwa ufalme wako
@rosemarykimath93372 ай бұрын
Tz ni nchi yetu mambo mengi semeni ukwel
@regnethmtemanyongo22372 ай бұрын
Nimemkumbuka sana
@ChristineElias-bn4dw2 ай бұрын
Mwandishi uko vzr xn lkn huyo mheshimiwa anajikanyanga xnaaaa tena xnaaaa hapo kuna kitu hakiko saw kikubwa watuletee makonda wetu
@ChoghoghweDaudi2 ай бұрын
Yanihapa labda ameomba likizo kwakua serekali nachama nikitukimoja kwakua alikua kwenye chama ila inanitatiza bado hatauongeze naniezi mi 5 aliohudumu ndani yachana bado likizoyamwaka haijafika labda wataalamu watusaidie likizo inapatikana kwa vigezo ainangap?
@EdithTelemark2 ай бұрын
yaani danganya toto ila IPO siku litajulikana Mungu akuinue ewe makonda umeonyesha kujali wanyonge
@RobartShello-qj4vr2 ай бұрын
sijui kwanini alikubali mutego huo wakupewa uongoz wakati alikua kajipumzika baba wawatu, asa wamekamilisha ndoto zao eeh mungu tunakuomba kama viongozi wa tz wanatumia mdaraka yao kuwaua wasema ukweli bas laana ziwapate mafisad wote
@johncharles26862 ай бұрын
Msiwe na Shaka mheshimiwa Yuko salama na Hana tatizo lolote la kiafya. atarudi soon❤
@jenyyusuph49732 ай бұрын
Mnafanya mzaha na maisha ya wanadamu Mungu atawawezeni TU kwa wakati wake mtu unaulizwa swali unaongea unavyojisikia ww utafikili unaongea na wajukuu zako uliyozoea kuwadanganya
@ramajuma56202 ай бұрын
Kwanza hyu anaeulizwa maswali kama nahis yupo bar analewa sasa kwan kun siri gan kuhus makonda au tuandamane ndo watasema
@mwanzacarpenter2 ай бұрын
Wewe umejiongeza maana anayeulizwa kama yupo vibe hivi
@vero572 ай бұрын
Mbona anaongea kama ana sizia???😮😮 sasa munaficha nini??? Sisi ndiyo tuliwachagua lazima tujue kinacho endelea!!!
@AdamJohn-r1c2 ай бұрын
Piyaa nawatakaa muwee makinii Sanaa binadamu anakawaida ya kuifazii kituu moyoni mwakee
@YahayaKunga-le7mr2 ай бұрын
Umelaaalaaaaa yoooooooooo
@starfocus-92 ай бұрын
Yani weweeeeeeee
@siamnyone84032 ай бұрын
😂😂😊@@starfocus-9
@SamoraTabaga2 ай бұрын
Hapo nashituka sana
@elishakayagwa93712 ай бұрын
Kuna kitu mnatuficha, kwani mtu akiwa likizo haonekani au hata kuzungumza?
@evansokemwa65872 ай бұрын
swali nsuli ilo😢😢😢😢
@faridahalwaily852 ай бұрын
Makonda yupoo mzima salamah muombeeeni Affiyaa na duwaa kwa wingi….
@DannyWiston-xo4hx2 ай бұрын
Kama makonda kapatwa na Jambo nahama ccm
@NaftaryMgoye2 ай бұрын
Hata aliyekaimu anapiga chenga live anajua alipo na kilichompata Makonda😢
@winfridamushimushi70252 ай бұрын
Mmmh jmn aisee apo kuna jambo kwakweli😢
@maryaugustino87162 ай бұрын
Kwani mke wake Mary yupo wapi na kwanini wasimtafute mke wake wamuulize yeye ndiye atakuwa na majibu sahihi hata ndugu zake makonda watakuwa wanajua hali ya ndugu yao.
@leonardjohnson20582 ай бұрын
Hapo mke kafichwa
@philemonnestory42392 ай бұрын
Magufuli aliuawa hata make wake hakujua aliambiwa Yuko fiti kalikiti tz bana mmmh!!!
Mshkaj kazima wanafichaficha tu haya endeleen ukwel uwa haujifich trh 10 aifik Kila kitu kitakuwa waz😂
@estermathias83542 ай бұрын
Kama chizi vile nakujichekesha mxuuu.huna haya
@allyrashid12352 ай бұрын
Sina uhakika sana ila nikikuacho mm kuwa mkuu wa mkoa akienda likizo humpendekeza mkuu mmoja wa wilaya moja wapo iliyopo kwenye mkoa wake kukaimu nafasi hiyo hadi yy atakarudi kutoka likizo
@mtotowamanka2 ай бұрын
Ety likizo ya mwaka,kweli likizo ya mwaka kwa Serikali aice viongz wapo wa hovyo sana
@MnanilaMrsmnanila2 ай бұрын
Hii nchi haina amani.wanaoniunga mkono weka like zenu.haiwezekani kabisa hii inchi iwe na amani na ikiwa kiongozi anayesimamia Haki anaupotea ktk mazingira ya ajabu.sasa subirien Mungu anainua watu kwa ajili ya taifa wanapotezwa Sasa kweli Ikiwa Mungu atiacha inchi hii itakuwaje?kiongozi mmepewa kuisimamia Haki jueni hii nchi siyo Mali yenu wenyewe hii nchi mmewekwa kusimamia Haki ya wanainchi.
@mariamshabani71072 ай бұрын
Lakini ipo siku mtajuta
@emmanuelkereto43442 ай бұрын
Kama umeelewa kama mimi gonga like na tumuombee Makonda popote alipo.
@AnneHarold2 ай бұрын
wewe umeelewaje?
@RichardMassawe-dq9us2 ай бұрын
Ni haki yetu kujua taafifa kuhusu taarifa ya kiongozi wetu mteuliwa au mchaguliwa lakini kuhusu hili- naomba maswali yasiwe mengi.MUDA utaongea.Mimi binafsi sijui chochote na sifosi kujua chochote ila muda utaongea...Yaani kila mtu anaongea hili mwingine anaongea lile na mitandao ndio inatuchanganya zaidi hatujui mkweli wala muongo.Mimi namsubiri Raisi wangu kipeenzi atoe neno.
@mzalendomtokambali65512 ай бұрын
Mwandishi msomi kweli❤
@kingnyamafutv86462 ай бұрын
Mmmh MUNGU tusaidie wa TANZANIA
@Pixxmoleli2 ай бұрын
Mungu atawalaani mpaka mshangae
@dicksonsheja2512 ай бұрын
Hivi likizo inachukuliwa mda gani baada kuanza ajira au imejumlishwa na alipokuwa katibu mwenezi!!
@tobiusjtz76072 ай бұрын
Hatari hii
@peacemwesiga2 ай бұрын
Mmmmmm ❤❤❤❤❤ma Konda
@ErnestJosephat2 ай бұрын
HAPA KUNASHIDA KWELI😢😢
@noonelike63822 ай бұрын
Hv Kwa nn wananchi hasa wa Arusha muungane wote Kwa pamoja kushinikiza serikali Ili mumuone hadharani japo Kwa dakika kadhaa hivi na muheshimiwa makonda, kuliko hzi mambo za kusua sua. Mkuu ajitokeze hadharani kuzungumza na watu wake wa Arusha Ili kuondoa hzi taaruki, hii issue siyo ya kawaida.
@StanleySewando-nb4xm2 ай бұрын
Hivi Kwa nn wanashindwa kuweka wazi juu ya makonda jamani huyu nikiongozi Wa umma
@itanzaniaAS2 ай бұрын
WAOMBE SANA MAKONDA ASIKUTWE NA JAMBO BAYA. AREJEE KAZINI Vinginevyo NI AIBU KUBWA KWA TAIFA
@emanuelelias20822 ай бұрын
Sasa hii nchi yetu itaendelea kwel kwa style hii ya kuwauwa viongozi wetu wanaofanya kazi kwa moyo mmoja na kujitolea ? Asee its very sad😢😢😢😢
@rennyleo48742 ай бұрын
Tuombe Mungu iwe heli maana hatuombi yakitokea ya kutokea ccm haitaeleweka na uchaguzi itakuwa mgumu sana
@RahmaJuma-yi3gh2 ай бұрын
Yani ikitokea hayo tunayo hisi CCM wata poteza muelekeo
@am2323Diaspora2 ай бұрын
Wana shida CCM. Mtu akiwa anaelekea kuwa kiongozi hawamtaki. Wanataka jitu pumbavu maneno mengi rushwa tele tele.
@JustinaMunuo2 ай бұрын
Eee mungu ingulia kati msaidie makonda popote alipi