WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI MGOGORO ARUSHA - MWANANCHI ATAKA KUNYWA SUMU BAADA ya KUVUNJIWA NYUMBA..

  Рет қаралды 51,112

Global TV  Online

Global TV Online

Ай бұрын

WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI MGOGORO ARUSHA - MWANANCHI ATAKA KUNYWA SUMU BAADA ya KUVUNJIWA NYUMBA..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 181
@globaltv_online
@globaltv_online Ай бұрын
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Ай бұрын
Binadamu tunadhulumiwa hapa duniani 😭😭wenye pesa wanatudhulumu 😢😢😢tulio lia pamoja na huyu baba like plz 🙏🙏🙏😥😥😥
@user-lz3yl4yb5v
@user-lz3yl4yb5v Ай бұрын
Silaha na makonda Allah atawafanyie wepes katk uongoz wenu tunawapenda sana
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 Ай бұрын
Allahumma Amiin
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya Ай бұрын
Aminaa
@dinakyoma5977
@dinakyoma5977 Ай бұрын
Mungu akutunuku mheshimiwa Jerry Slaa , akupe maisha marefu
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Ай бұрын
Ameen 🙏
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 Ай бұрын
Jamani haya machozi ya watu nilaana kwenye taifa,huyu baba aripe nyumba zao,wote ario wafunjia, Mungu nimwema atamtumia Jeri silaa,kupata haki zenu,
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp Ай бұрын
Hangela waziri silaa yani tanzania 🇹🇿 hii wew na Makonda ni viongozi kabisa❤
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 Ай бұрын
Huyu ndo waziri wa kwanza kuwa simple safi kabisa.inauma sana kuvunjiwa nyumba.hujuwi miaka mingapi mtu alisumbuka mpaka kukamilisha ujenzi wanyumba yake.unauma sana.kuna viongozi mavi serikalini wapo.
@eveliynejoseph7944
@eveliynejoseph7944 Ай бұрын
Yaan na mtu alivojinyima,kujenga sio Kaz rahisi jaman afu mtu akubomolee
@awaynaaaa3490
@awaynaaaa3490 Ай бұрын
Yaan inaum nyie iskiye t kwa mwenzio lisikufik yaan huli hunyw kwasabb upate sehem ya kujistir
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 Ай бұрын
Ktk teuzi za mama akika uyu wazili na makonda akika mungu awalinde sana
@section8ight174
@section8ight174 Ай бұрын
*WaziRi
@edlumala9428
@edlumala9428 Ай бұрын
Nchi ngumu sana hii, kama uji wa moto! Ukitaza kwa juu unaona umepoa, ukianza kunywa unakuja ule wa chini ambao ni wa moto sana! Mungu akupe afya na umri Mh Jerry Silaha kwa kazi nzuri.
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 Ай бұрын
Daa MAKONDA NA SILAA MUCH RESPECT🇹🇿✅
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts Ай бұрын
Mungu azidi kuwatangulia na kuwatunza
@hassaniabdi3991
@hassaniabdi3991 Ай бұрын
Alfu mijitu mingine imekaa ofisini kazi yaoo kuwatete watu waxhache wanao waaribia maisha walio wengi.ongera Jerry slaaa
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
Naombeni namba ya huyu kaka nimsaidie hata chochote 😢😢
@user-nd8gg4ig7m
@user-nd8gg4ig7m Ай бұрын
Kwakweli inaumiza mno unahangaika unapata kwako tena unavunjiwa😢😢
@FreeGod368
@FreeGod368 Ай бұрын
Nimeangalia video zingine uko nyuma kumbe jamaa ni machinga aisee, na watoto wake wa3 na mke wamerud kijijin hawana tena makazi😢 ila mtafte insta respis blasius ,au fb U mtafte kwa nickname yake ya baloon macheni,msaidie broo kama unaweza
@kayombotv9758
@kayombotv9758 Ай бұрын
Mungu akubariki sana mheshimiwa Jerry Slaa kwa kazi njema unayofanya. Hicho kitu wajifunze na watu wa mazingira wafanye kazi bila ya kumwonea aibu aliyetenda kosa. Kitu kiko dhahiri lakini wanachojua ni kuzungusha watu bila sababu hii ina umiza bila sababu.
@prettygirl8325
@prettygirl8325 Ай бұрын
Yan mimi najenga room 2 tuu mwaka wa tatu cjamaliza....alf mtu anavunja nyumba yko kirahisi rahisi ivo...yesuuu...utajenga gorofa mbona
@MonicaRaila-tn5rb
@MonicaRaila-tn5rb Ай бұрын
Mama samia mungu akushidishie maisha uokoe watanzania
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 Ай бұрын
Jerry shujaa wa kweli mzalenda wa kweli sina maneno mengine zaidi ya kusema MUNGU akubariki
@RASHIDMOHAMMEDI
@RASHIDMOHAMMEDI Ай бұрын
Munampata vipi mh waziri maana mzee wangu anamtafuta kupita maelezo kazurumiwa mali zake na hajui anampata vipi mh kwa ajili ya msaada wa kurusha mali zake
@user-fy3cy5fe6q
@user-fy3cy5fe6q Ай бұрын
Hii serikali yuko Rais, slaa waziri na Makonda wengine wasindikizaji tu bila kuwasahau Bulaya, na mpina na mdee
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 Ай бұрын
Wanajua kutuletea robot Eunice, eti anawasalimia bungeni! Huku wakiwasahau wananchi waliowachagua ili kutetea haki zao!
@elizabethwakanyi1017
@elizabethwakanyi1017 13 күн бұрын
Huyu waziri aokoa Maisha ya huyu baba. Pole sana baba watoto. Nimesikia machozi moto...kwangu. i wish niko karibu...nikusaidie pia kidogo. Mi ni Mkenya. ❤❤ your tears are hurting me kabisaaaa kama mama.
@faridakailembo3060
@faridakailembo3060 Ай бұрын
Duh,hakika Mungu ni mwema😢.
@reginaedward4883
@reginaedward4883 Ай бұрын
Pole sana kaka yangu mwenyezi mungu atakulipa, mh JERI SILAA NA Mh Makonda watakusaidia.
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 Ай бұрын
Mashaallah waziri slaa mungu akupe umri mrefu na afya umeokoa maisha ya mtu aliyekata tamaa ya maisha hongera sana!
@MonicaMassawe-eh4xf
@MonicaMassawe-eh4xf 21 күн бұрын
Pole kaka Mungu akupe nguvu inaumiza usikate tamaa Mungu yupo.
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 Ай бұрын
Hongera sana Mh waziri Jerry silaa kwa kweli unajitoa sana Kwa ajili ya wananchi hawa. Aidha nikuombe Mh waziri, kama itakupendeza nakuomba toa mawasiliano yako ili wananchi waweze kukupata direct kuokoa maisha ya wengi. Ninaamini wenye changamoto kama hizi ni wengi sana na wengi wao wanashindwa kupata msaada mwisho wa siku ndio wanaishia kutoa uhai. Embu tazama huyo baba kwa kweli inaumiza sana
@user-qu1mq2ik2e
@user-qu1mq2ik2e Ай бұрын
Waziri siraa na makonda ni wachapa kazi live long to help the voiceless in the society
@karamaabood4367
@karamaabood4367 Ай бұрын
Fanya toba kwa M mungu ndugu yangu mungu pekee ndo atakusameh nasio padri
@dennishyera5448
@dennishyera5448 Ай бұрын
Mwenyezi Mungu mlinde mh. Slaha ,(waziri).
@musasaguti4760
@musasaguti4760 Ай бұрын
Mungu awatie nguvu, ulinzi na busara wale wote watendao haki, na kuangalia haki za watu wengine pia. Jerry, Mungu awe nawe, timiza wajibu wako na muogope Mungu peke yake.
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 Ай бұрын
Inaumiza sana. Zaburi 35 isome ili Mungu akulipizie kisasi
@ttss7716
@ttss7716 Ай бұрын
Wanyonge haki yao kwa mungu ukiipata duniani mpaka watu wana muogopa mungu kama kina makonda na kina silaa 😢😢😢😢
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z Ай бұрын
Huyu kaka kaniliza 😭muheshimiwa Saha mungu akupe maisha marefu 🙏mtete WA wanyonge tunakupenda tunakuombea🤲
@mohdsaid8744
@mohdsaid8744 Ай бұрын
Asante Mh Slah kwa kweli wewe na Makonda Mungu Awabariki kwa kazi nzuri mnayofanya kutetea haki kwa kweli mnastahiki sifa sana Mungu Awabarik
@EsterNdosi-ud4xp
@EsterNdosi-ud4xp Ай бұрын
Mungu yupe slaa na makonda Kila wilaya ni
@annazacharianmko4657
@annazacharianmko4657 Ай бұрын
Hakika Jerry slaaa ni wa mungu mwenyewe mungu akulinde kila hatua unayoiendea maana sio wote wanaokupenda kwenye huu ulimwengu ukiwa mkweli ni vita maana nafasi za wengi zimejaa udhalimu na uongo mwingi ulindwe na malaika kama musa
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 Ай бұрын
Yaani am speech less Hata mimi clip ya mh Jerry Slaa akiwa bungeni nilifatilia kwa kweli ile hotuba yake kwanza inakupa moyo na msimamo na kukupa mwanga ufanye nini? Kwa kweli libarikiwe tumbo lililokuzaa na Mungu akusimamie kwa kila jambo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@user-jt7uv6vu1d
@user-jt7uv6vu1d Ай бұрын
Waziri wengu mpnda haki mungu akubarik
@penuelmmbaga1118
@penuelmmbaga1118 Ай бұрын
Pole sana kaka,hongera mh.Jerry Slaa,umeokoa maisha ya watu.
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 Ай бұрын
Kwani haya anayofanya waziri mahakama hawaonagi mapungufu yoote hayaa Samia mama anza na watu wa mahakama
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u Ай бұрын
wazaziwalowazaeni yiyiwatuwa will nawapongezasana makona nasilaha kamawazazi wenuwakohay munguawapeuri mrefu kamakura alotanguliyambele yahaki munguawapepepo kwakuwachawa totowema
@patrinraura1397
@patrinraura1397 Ай бұрын
Mungu akubariki Mhe Slaa WANANCHI walio wengi wametiririkwa na Machozi kutokana na hili tukio ambalo ni mfano hai wa baadhi ya VIONGOZI na hasa wenye hela wanavyodhulumu haki.Umeokoa maisha ya huyo Ndugu yetu kw kutoa HAKI"MUNGU AKUPE AFYA Na akulinde Tutazidi kukuombea
@dorcasjonathan9793
@dorcasjonathan9793 Ай бұрын
Pole sana kijana wangu mungu atakusaidi nyumba yako itajengwa na utaishi umtukuze mungu alie kuumba mungu ambariki Dr slaa pole kaka
@user-en5ub7rt1i
@user-en5ub7rt1i Ай бұрын
Mungu yupo kaka
@hadijaally5735
@hadijaally5735 Ай бұрын
Silaha mungu akutuze ❤
@user-fo9cn6kx1s
@user-fo9cn6kx1s Ай бұрын
Mungu ni mwema
@hajjisanga789
@hajjisanga789 Ай бұрын
Mungu kakuponya mshukuru Sana na utoe sadaka
@robertzamani5612
@robertzamani5612 Ай бұрын
Waziri huyo aliyebomoa nyumba za watu ajenge sio kuwalipa fidia
@jeromejulius238
@jeromejulius238 Ай бұрын
Kwenye hii dunia kuna watu tunateseka sana
@khadjamhozya
@khadjamhozya Ай бұрын
Bongo Ni ya kwanza
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 Ай бұрын
​@@khadjamhozya wanaoteseka ni wengi sana palestina, kongo.... dhuluma ni kubwa sana hapa duniani yaani mtu akiwa na vijisenti kidogo anajiona yeye ndo yeye wengine wote sio - INASIKITISHA SANA
@deokulaya450
@deokulaya450 Ай бұрын
Jerry na Makonda Mungu azidi kuwawekea uwigo
@EmilyMsacky-hq9qy
@EmilyMsacky-hq9qy Ай бұрын
Mungu wa mbinguni mwenye enzi yote azidi kuwatumia watu watendao haki Tanzania kwaajili ya wengi na wasiyopenda haki Wala rushwa mungu awafute kazi ktk jina la yesu.
@alexnyigo8864
@alexnyigo8864 Ай бұрын
Mungu ni mwema sanaa
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 Ай бұрын
HUYU jamaa kaongea kwa uchungu sana. Serikali ya Samia imkate huyo jamaa alievunja nyumba za watu.
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf Ай бұрын
Tunaumia sana ukisha kua mwajiriwa wa serikali ndio vimbo yakuwatandika wengine toshekeni na mishahara yenu muezi jitoe sadaka kwa mungu zipo kazi ambazo azina lawama kwa mwananchi
@amospetro8789
@amospetro8789 Ай бұрын
Aseee poleee kaka
@ip_header
@ip_header Ай бұрын
Kudos kwa Mh. Slaa, May Godbless him
@ntangiregemfuruki5478
@ntangiregemfuruki5478 Ай бұрын
Bba silaga love❤ aana
@jeniferlyimo8260
@jeniferlyimo8260 Ай бұрын
Mungu akutunze daima
@cjrtz
@cjrtz Ай бұрын
Wabaya sana hao wanashiriki udhurumati
@johnkapesula122
@johnkapesula122 Ай бұрын
Halafu mtu ajitokeze kuwabeza viongozi kama hawa.
@TRAVELER288
@TRAVELER288 Ай бұрын
Aliyetokw na chozi kw hii video tujuane 😢
@petercostakisoka
@petercostakisoka Ай бұрын
Poleni sana uyo jamaa jinsi anavongea alikuwa anajiuaa kweli
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Ай бұрын
Mungu akubariki Mheshimiwa Slaa
@zainabamran8230
@zainabamran8230 Ай бұрын
Pole sana
@juliethkatabwa5306
@juliethkatabwa5306 Ай бұрын
Mungu ambariki waziri
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 Ай бұрын
Wanalaanika sasa hawa viongozi ?
@GoshaNgosha
@GoshaNgosha Ай бұрын
Mungu akubaliki jeli nakufatilia Sana
@sayuni123-kl6xk
@sayuni123-kl6xk Ай бұрын
Watu wanadai haki zao alafu kuna wengine wamekaa kwenye viti tu wanapindisha haki zao lakini Mungu anaona
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Ай бұрын
Mungu,akuponye sanaa.
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 Ай бұрын
Duh, Mkuu poleni Sana. Inauma.
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 10 күн бұрын
Mungu yuko nawe.
@juliusdominic-uk4bu
@juliusdominic-uk4bu Ай бұрын
Mungu wa haki na wema akulinde mh slaa
@MuhinaCharse-gt7og
@MuhinaCharse-gt7og Ай бұрын
Mungu akutie nguvu wazir jer silaa
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 Ай бұрын
Mungu Yupo kila mahali.
@siamollel6051
@siamollel6051 Ай бұрын
Mungu tunaomba utuinulie viongozi wenye uchungu na watu masikini
@elizabethsjoberg5734
@elizabethsjoberg5734 Ай бұрын
😭😭😭pole kaka
@user-yj3gy4jc1t
@user-yj3gy4jc1t Ай бұрын
Mungu akubariki
@user-se9no4rg3k
@user-se9no4rg3k Ай бұрын
Waziri adi kalia pole sanaaaa nchi inadhuluma hiiiik
@Happizo
@Happizo Ай бұрын
Unajiuliza kwanini MTU kajinyonga... 🙏🥺😭😭😭Kumbe ni Mambo Kama haya jamani... Uwiiiiiiiiiii Mungu tusaidiee Wanyonge
@dn.n4983
@dn.n4983 Ай бұрын
Unabusara sana muheshimiwa mawaziri egeni mfano huu mzuri sio kunyanyasa watu watu kukaa kwelye aircondition navkutumia magari serikali kazi imelala sio kwa ubaya wote wamkuu mkoa wajumbe sione aibu kusema mnaiga hii ndio kufanya kazi kwani huyu mweshimiwa anapata kusaiha watu kuna mshara unongezeaka yeye baraka maisha marefu na anapata usingizi nzuri kweli kwa hiyo fanyeni kama yeye ana sifa wala kutetea majiriri kama haki yako anakusaidia ukijua halipo panda basi mfate ili tatizo lako litatuliwe safi ila muheshimiwa upate mda weekend na family yako maana mke asije halalamika ongera sana sana
@user-jt7uv6vu1d
@user-jt7uv6vu1d Ай бұрын
Pole san kk mungu akipambanie
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt Ай бұрын
Inauma sanaaaa
@goodlucknnko5493
@goodlucknnko5493 Ай бұрын
Kiukweli JERRY, MUNGU AKUFANYIE WEMA WOTE UNAOHITAJI. MIMI SINA INTEREST YOYOTE KWA SILAA ILA NINAUHAKIKA WA DHATI KUWA NI MTUMISHI NA SIYO BOSI, ENDELEA HIVYO MKUU KWANI MUNGU UWANYANYUA WANAOTETELEA WENYE SHIDA
@MarthaBura-or8fe
@MarthaBura-or8fe Ай бұрын
Mheshimiwa Jeri silaha njoo kinyamwezi pungu dar tumedhulumiwa viwanja na Matapeli .wanaochukua aridhi za watu.sasa ni mwaka watano. Tunateseka. Jamani mungu akulinde.
@juliethkatabwa5306
@juliethkatabwa5306 Ай бұрын
Mungu Yupo
@karolikisaka8991
@karolikisaka8991 Ай бұрын
Tatizo ni serikali maana hii kesi imechukua miaka zaidi ya 30.hukumu ilipotoka kwanini serikali isingesitisha ubomoaji na serikali ni ya ccm. Hii siyo sawa
@edithlameck8170
@edithlameck8170 Ай бұрын
Anatia huruma sana huyu kaka. Viongozi MJITAFAKARI. Kuna wananchi wangapi wanaumia kama huyu kijana jamani.....
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg Ай бұрын
Aisee mungu yupo
@RiddoRiddo-jj1bx
@RiddoRiddo-jj1bx Ай бұрын
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi
@newbornhaule
@newbornhaule Ай бұрын
Kwasasa tunahitaji vijana nasio vijana ni VIJANA MAKINI kama hawa Mungu awalinde wafanikiwe sana katika mambo yote
@SuzanMairy
@SuzanMairy Ай бұрын
😢😢😢😢
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 Ай бұрын
Hivi ndivyo halo halisi ilivyo nchi nzima
@neemanziku5403
@neemanziku5403 Ай бұрын
Watanzania tunateseka sana
@user-pw4bc7sr5y
@user-pw4bc7sr5y Ай бұрын
Nikweli tusicheze na maisha ya watu
@akademkkz
@akademkkz Ай бұрын
Dahh 😢
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 6 күн бұрын
Mwaume kumfikia hapo ujue ni maumivu ya kupitiliza
@FloraNgoma
@FloraNgoma Ай бұрын
TUBU TU KWA MWENYEZI MUNGU MOJA KWA MOJA WEWE NA MUNGU YEHOVA KATIKA JINA LA YESU KRISTO. NI MWINGI WA REHEHA ATAKUSAMEHE AMINA.
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 Ай бұрын
Sijui nalia nini 😰😰
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Ай бұрын
Maumivu ndugu yangu.Duniani hapa kuna huzuni nyingi mnooo
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 Ай бұрын
😢😢😢
@lindakapongo8421
@lindakapongo8421 Ай бұрын
pole
@user-qn3cf2bg4u
@user-qn3cf2bg4u Ай бұрын
mamaikibidi hawa watuwawili waogezemshahara munguawaepushiyeni maaduwi awavizekama mayayiviza nawapendasana
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd Ай бұрын
dah hiii nchi hivi hapa ukimuuwa mtu utakua Nakosa gani dah emungu we mjalie huyu wazili akae kwenye hiii wizala maisha yake yote Na asije akabalika awe hivi hivi aiyogope kesho yake
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 55 МЛН
когда повзрослела // EVA mash
00:40
EVA mash
Рет қаралды 4,4 МЛН
LOVE LETTER - POPPY PLAYTIME CHAPTER 3 | GH'S ANIMATION
00:15
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 19 МЛН
Did Modi really kill black money in India? : Economic case study
27:40
US-Wahlkampf: Stimmung unter jungen Menschen
7:57
tagesschau
Рет қаралды 55 М.
Became invisible for one day!  #funny #wednesday #memes
00:25
Watch Me
Рет қаралды 55 МЛН