TANZANIA BARA INAFAIDIKA NA ZANZIBAR

  Рет қаралды 14,355

CLOUDSMEDIA

CLOUDSMEDIA

Күн бұрын

#SERIKALITATU #KATIBAMPYA #MFUMOWASERIKALI #MUUNGANO #MAKAMUWAKWANZARAISWAZANZIBAR #OTHMANMASOUD
"Nini Zanzibar inaweza kushirikiana na Tanzania Bara katika misingi ya kiuchumi ukitazama Tanzania Bara inaweza kufaidika Sana na Zanzibar Kwa sababu ya historia yake, mahali ilipo. Kama walivyoona wenzetu wa Wachina Wana Visiwa vyao kama Macau ni Visiwa ambavyo havijawahi kuwa nchi huru ni sehemu ya China miaka yote lakini Kwa sababu ya mahitaji ya kiuchumi wameweza kuvifanya vile ndio maana wana policy ya nchi moja mifumo tofauti. Kwa mazingira ya Visiwa viachwe vijiendeshe Kwa misingi inayokubalika Kwa uchumi wa visiwa na wamefaidika Sana. Ukitazama China uwekezaji mkubwa umetoka kwenye Visiwa hivyo" Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Mhe Othman Masoud.
#HakunaKuleft
#LiveOnClouds360
Tazama LIVE 📺 @Cloudstv kupitia | Azam channel no 403| Dstv no 387| Startimes no 109| antenna/497

Пікірлер: 59
@saidmohd7240
@saidmohd7240 2 жыл бұрын
Hongera Me. Othman Kwa kuusema Wazii Muungano! Huu ni muungano WA nchi mbili huru zilizo ungana! Wanachama WA Umoja wa mataifa!
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 7 ай бұрын
​@@sleemhamoud4394Sasa waarabu na Zanzibar wapi na wap? Mbon unakuwa pimbi ww
@saidabdala4980
@saidabdala4980 2 жыл бұрын
Hakuna haki ZANZIBAR. Serekali ina jeshi la nato la CCM. Linaitwa mazombi. Au watu wasio julikana. Hebu muulizeni kuhusu LUKUVI kule kanisani. Mulizeni vipi kuhusu jecha. .
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 2 жыл бұрын
Ilove Zanzibar
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
I love Tanganyika
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 2 жыл бұрын
nakukubali sana makamu wangu Allah akuhifadhi, unaufasaha mashaallaah.
@sirborybravo6249
@sirborybravo6249 2 жыл бұрын
Hongera
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 Жыл бұрын
Wakitaka kufahamu unachokisema waweke zanzibar kujitegemea wenywe
@noffelsalim830
@noffelsalim830 2 жыл бұрын
Kazi njema mh
@obillaezra6205
@obillaezra6205 2 жыл бұрын
Yupo very straight forward
@hasbunakhamis487
@hasbunakhamis487 2 жыл бұрын
Hongera omo
@edwardleonard7402
@edwardleonard7402 10 ай бұрын
Wapeni Zanzibar yao bhanna Kila siku Zanzibar Zanzibar Kuna nn Kwan apo
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Na pia uuzwaji wa pombe pia una sababisha Wazanzibar kutokuajiriwa
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 жыл бұрын
Kiongozi huyu Ana maono mazuri nchi lazima ibadilike kisiasa zaidi kuelekea kibiashara ndiyo italeta matokeo bora
@sasi_tv6702
@sasi_tv6702 2 жыл бұрын
Ipo vyema Hii Nimeikubali Maswali yake na majibu yake... Ila narejeya Tena kwa ushauri iyo meza ondoeni apo HAIENDANI na location ya apo🤔
@dadaagnes4483
@dadaagnes4483 2 жыл бұрын
😂😂😂😂 hata mimi nimeiangalia sana nikaitafakari sikupata jibu
@musasabuu2808
@musasabuu2808 2 жыл бұрын
Wanasulibili chakula
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 жыл бұрын
@@dadaagnes4483 kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
@alzawahirabdallah2299
@alzawahirabdallah2299 2 жыл бұрын
Wanasema nchi hawajaipata kwa makaratasi na hawaitowi kwa makaratasi akili kichwani mwenu tafuteni njia nzuri ya kushuhulikia hilo tatizo
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
Tanzania na Zanzibar twafauti Bora muungano uvunjike
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Ungemwambia Kwanza aondoke studio maana Yuko bara huku, halafu ndio ufikirie kuuvunja Muungano
@omarhababuu3159
@omarhababuu3159 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 kwanza waodoshe wakenya wakongo wachina wahindi wazungu waburundi waganda wasomali warwanda nk mulokuwa hamujaungana ikisha mungano uvunjwe ndomuwaondoshe wazanzibari
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@omarhababuu3159 hahahaha,,,,,wahindi hawajataka Muungano uvunjike
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 Hawa wanajidai utafikiri Zanzibar ni Mbinguni..!!!
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@mamboshepea8888 wana umasikini wa akili,,,,,
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 жыл бұрын
wanapenda sana kumuhoji hyu mtu
@hamadali3231
@hamadali3231 2 жыл бұрын
Vp kwani haifai kumuuliza
@ommymehmed8880
@ommymehmed8880 2 жыл бұрын
Inafaa sana ...ila ni kwann hatupati ladha nyengine ...wahojiwe na waupande mwengine ,tuwasikie kauli zao je zinaendana na haya tuliyonayo sasa Zanzibar???
@samirsamir7177
@samirsamir7177 2 жыл бұрын
Wacheni Ujinga uwo semeni Tanganyika. Yani mumelishwa ujinga mpaka kuita nchi yenu jina lake imekuwa mnaona dhambi au aibu? Ndo maana Watanganyika wengi wanakuwa wajinga sana katika historia hawajui chochote kwa kusomeshwa mambo ya uwongo. Ni upumbavu ulopitiza mpaka vyombo vya habari badala ya kutoa elimu sahihi na wao ndo wanazidi kulisha watu matango pori.
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
kwasababu aiwezekani Mali zinatoka Tanzania bara Zinajenga Zanzibar
@mudighurayra
@mudighurayra 2 жыл бұрын
Mali gani iyo inayo jenga Zanzibar
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 Жыл бұрын
Kivip ?Zanzibar! Kuna arhdi uko Kuna madini uko Kuna misitu uko Kuna ziwa uko
@user-pm7yo3xi3h
@user-pm7yo3xi3h Жыл бұрын
Zanzibar Hakuna chochote Kuna watanganyika tele na kila siku wanajazana tu huku. Sijui wanafata mini huku hali ya kuwa hakuna kitu cha maana.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
Hamna kitu huyu!!
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 2 жыл бұрын
Ww una nn hata hao mabosi wko hawamfikii
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@salehkhalfan7345 Hahahaha,,,,,,hamna kitu hapo!
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 2 жыл бұрын
@@jumakapilima7295 Nlijua tu utakuja hapa
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 жыл бұрын
@@salehkhalfan7345 na Mimi nilijua Tu , ungekuja hapa!!
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*..
@masoudali2163
@masoudali2163 2 жыл бұрын
WATU WAZIMA MNAKAA KITAKO MUNAJADILI TANI 2000.HAHAHAHA
@mzeesuliman3158
@mzeesuliman3158 2 жыл бұрын
Tanzania Bara wamasai wanauwawa kwa bunduki wananyan'qanywa maeneo yao
@sleemhamoud4394
@sleemhamoud4394 2 жыл бұрын
kzbin.info/www/bejne/mYa3i51rnsSagq8 👆 *WAARABU WALIVYO KUJA AFRICA MASHARIKI*.
OTHMAN MASOUD AFUNGUKA KUVAA VIATU VYA MAALIM SEIF
15:13
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 10 М.
Bend The Impossible Bar Win $1,000
00:57
Stokes Twins
Рет қаралды 44 МЛН
When you discover a family secret
00:59
im_siowei
Рет қаралды 35 МЛН
Touching Act of Kindness Brings Hope to the Homeless #shorts
00:18
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 18 МЛН
EPISODE 4: MZANZIBAR ALIE TESWA MSUMBIJI AKIDHANIWA NI AL-SHABAB
36:53
Kutana na kobe aliyeona uso wa mtawala wa kwanza Zanzibar,
31:17
ITV Tanzania
Рет қаралды 2,5 М.
UTAJIRI WA BAKHRESA: Hoteli ya kisasa anayojenga baharini Zanzibar
11:08
Bend The Impossible Bar Win $1,000
00:57
Stokes Twins
Рет қаралды 44 МЛН