Yeah mipango mizuri sana pia hilo jiji lijengewe pia miundombinu ya reli za umeme kuzunguka jiji na mabasi ya umeme pia na fly over nzuri pale jamatini.pia pale kati majengo ya kizamani ya vunjwe hao wa Korea au wajapan wapewe fursa wajenge majengo marefu ya guides yanayo himiri tetemeko la ardhi katika bonde la ufa.
@JustinMwashilindi3 ай бұрын
Waboreshe jiji hilo
@Optionxll_Playz15 ай бұрын
Wambie Hao wakorea waje wajenge na viwanda vya treni pia .
@user-eb2el9kw6m6 ай бұрын
Tunashererkea kukopeshwa kweli. Sawa bhana sherehekeeni kukopeshwa na nchi ambayo 1952 ilikuwa maskini kabisa leo wanatukopesha na wanatufadhili. Shame on us
@miltonjohn97796 ай бұрын
Nchi inaongozwa na viongozi washamba na wajinga
@Optionxll_Playz15 ай бұрын
Mambo ya aibu sana eti tumekopeshwa million 450 anaona Ni nyingi inchi yetu ina Madini mengi tu.
@whatisthetruth.87936 ай бұрын
kama jiji la kisasa kigamboni alilo jenga Kikwete 🤣🤣🤣🤣.
@gangmore90916 ай бұрын
Hahaha maneno mengi....😅
@whatisthetruth.87936 ай бұрын
@@gangmore9091 maneno matupu ya ubabaishaji
@miltonjohn97792 ай бұрын
Kiwete alijenga nn kigamboni na wewe! Ile ulikuwa ni ufisadi mtu