Kama utaangalia hii nyimbo baada ya kifo Cha Muheshimiwa Magufuli Like na Tumia dakika moja ya Ukimya kwa kumuombea.
@khamismohamedjr56663 жыл бұрын
Daaah ndugu umenigusa mule mule 😭😭😭 nlikua naangaliaga mwanzo cz naipenda but leo nimerudia cz ya huu msiba nimejikuta nimepanda uzalendo ghafla daaaah tz is nchi yangu
@aminakunja277 Жыл бұрын
Nakupenda nchi yangu 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Pumzika kwa amani magufuli 😪😪
@gmaillameckmnyika7 ай бұрын
Dah pumzika KWA AMANI Magufuli😢😢😢😢😢😢
@neil_sawn9 ай бұрын
I love this Tanzanian patriotic song. R.I.P JPM, long live mama Samia Suluhu. Much much love from Kenya 🇰🇪
@zainul-hassanhussein8 ай бұрын
Tanzania, Tanzania Nakupenda kwa moyo wote Nchi yangu Tanzania Jina lako ni tamu sana Nilalapo nakuota wewe Niamkapo ni heri mama wee Tanzania, Tanzania Nakupenda kwa moyo wote. Tanzania, Tanzania Ninapokwenda safarini Kutazama maajabu, biashara nayo makazi Sitaweza kusahau mimi mambo mema ya kwetu kabisa Tanzania, Tanzania Nakupenda kwa moyo wote. Tanzania, Tanzania Watu wako ni wema sana Nchi nyingi zakuota nuru yako hakuna tena Na wageni wa kukimbilia ngome yako imara kweli wee Tanzania, Tanzania Heri yako kwa mataifa. Tanzania, Tanzania Karibu wasio na kwao Wenye shida na taabu Kukimbizwa na walowezi Tanzania yawakaribisha Tuungane kiume chema wee Tanzania, Tanzania Mola awe na we daima.
@elizabethmbuya6213 Жыл бұрын
Anayefundisha huu wimbo kwa kuwasikilizishia wanafunzi kama mimi abarikiwe sana na Mungu.
@johntonshwe4538Ай бұрын
Amina
@pendoclare7589 Жыл бұрын
Kama bado unachungulia hii song gonga like hapa
@dorothyxavery61784 жыл бұрын
Exactly... Sitaweza kusahau kamwe mambo mema ya Tanzania yetu ya Amani...nchi zingine ni vita kila siku y me Tanzania...Asanteee Mungu
@kanisiusnyakaselula52854 жыл бұрын
Hakika wimbo umeonesha asili ya Tanzania, mbuga wanyama ardhi yenye rutuba n.k sauti pia zimekaa sawa. Asanteni JMC kwa kazi nzuri
@gaudencemwakwenda6253 жыл бұрын
🤩🤩😍 wimbo bora Sanaa.... Wazee wa 2021 gonga like hapoo
@dotoeliudi71973 жыл бұрын
Ukiwa mbali na Tanzania ni kama upo mbali na mama, mawazo ya kwenda nyumbani hayaishi, Nchi yangu pendwa imebarikiwa sana. Hakuna raha kama ukitua salama na ndege nyumban, huwa naibusu nchi yangu.
@raiyanyusuf44792 жыл бұрын
Yani umesema kweli kwabisa nimemis but I no one day yes insha'Allah
@violatechagula811210 ай бұрын
Nilidhania ni Mimi tu hua namiss my country like crazy nkitua salama I wish to embrace and kiss my country
@svenheilborn15376 ай бұрын
Congratulations for your national holiday on 26th April Tanzania a from your friends in Germany
@GeradinaJohn6 ай бұрын
Love you too❤❤
@vitalnixon2031Ай бұрын
I learned from a friend from Tanzania. ❤❤❤ From Central African Republic
@user-kw3yb2sh3s8 ай бұрын
Tanzania nchi yangu, naahidi kukupenda mpaka mwisho wa maisha yangu ❤🇹🇿❤🇹🇿 I feel proud kuwa Mtanzania 💪✊
@Pilot_Enock Жыл бұрын
Ooh my God, This is extremely amazing, I love my country Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😇
@norahnorah53423 жыл бұрын
Tanzania my home though wakuja tu .... peaceful place to be God bless Tanzania rest in peace pombe magufuli my president
@christophermwanilwa70743 жыл бұрын
Karibu sana. Feel at home Norah
@annewanjiru818 Жыл бұрын
OMG this is a beautiful song I learned from my mum who lived and worked in Tz years back, a real TBT. Quite nostalgic 😢🇰🇪
@user-ve7vl5wq5w9 ай бұрын
tanzanians are amazing
@christsflowe.r2 ай бұрын
Nilijifunza primary enzi hizo, i love this song
@mariacalvob3 жыл бұрын
Beautiful Tanzania
@athumanimussapiko85913 жыл бұрын
Love to my country Tanzania 🇹🇿
@sphamandlamashalaba27333 жыл бұрын
God Bless Tanzania! All the way from South Africa.
@tonybrown76652 жыл бұрын
Illuminati secret brotherhood . Are you a student, businessmen and women, footballer, pastor, singer,entertainer, presenter, governors, president, lecture and you want to be known all over the world and to become rich, famous and powerful or you want to have power to protect your family and your wealth kindly join the great Illuminati family () to achieve all your heart wishes add us on whatsapp on +1(509)6317129 and achieve millions of dollars every month... What'sapp immediately +1(509)6317129
@Catholic.Echoes2 жыл бұрын
Welcome Tanzania
@sethmartin65552 жыл бұрын
Hello Mashalaba welcome to Tanzania. So many of your country people lived here in Tanzania in those dark days of fighting apartheid. You will feel home here, but try to learn Swahili to feel happier.
@GeradinaJohn6 ай бұрын
Welcome❤❤❤🇹🇿🇹🇿
@mwahulimajuniour26912 жыл бұрын
Daaaah huu wimbo hd leo bado unanishinda kuimba kwa jinsi ulivokuwa mgumu
@faduminabeauty33373 жыл бұрын
Love you Tanzania 🇹🇿 my country miss you soo much
@pedrotzmunis41322 жыл бұрын
..namshukuru Mungu kuwa Hai leo..Huu wimbo tulikuwa tukiuimba kila siku asubuhi kabla ya kuanza madarasa.. na mara nyingi somo la kwanza Jumatatu lilikuwa hesabu..
@abdararashid86273 жыл бұрын
Tuendelee kumuomba ALLAH atujaalie na kutulindia amani yetu!Amein,inshaallah.
@dorothyxavery61784 жыл бұрын
Hata wageni wanakukimbilia Tanzania na ngome yako iko imara..Mora awe nawe daima Tanzania🙏💕💗💖
@machabamabenga57194 жыл бұрын
Amen
@Emmanelmollel10 ай бұрын
Love to my contry Tanzania
@juliusmwita86964 жыл бұрын
naposikiaga hizi nyimbo za nchi yangu nahisi mwili kunisisimuka mungu ailinde nchi yangu
@abbyadams86913 жыл бұрын
Kabisa mkuu,kuna muda huwa nahisi hakuna nchi nzuri km TZ.
@Kidson_-Manda452 жыл бұрын
God bless my country tanzania
@charleslyuki94474 жыл бұрын
Ahsante sana, nchi yangu Tanzania najivunia kuzaliwa Tanzania
@lucy111st3 жыл бұрын
Is the Best. mpangilio wa sauti, picha zilizohusishwa ni uhalisia. hongera St. Paul Mbeya
@renatusludovick83763 жыл бұрын
Tanzania is good More than all countries I love Tanzania I love it is song
@rizickluxford53313 жыл бұрын
Big tune 💚💛💜💓💔 Tanzania
@favourkimaro5490 Жыл бұрын
Maneno mazuri sana ni kumbukumbu nzuri ya kumuenzi mtunzi wa huu wimbo mchungaji Silas Msangi. RIP
@AffectionateCrab-xn3tm5 ай бұрын
Tanzania ni inchi teule na mungu
@mariodonboscomoshi23412 жыл бұрын
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Ee Mungu dumisha amani na uhuru wa nchi yetu pendwa Tanzania 🇹🇿 Rest In Peace ✌️ all the leaders who passed away(Mwl Jk Nyerere Benjamin Mkapa John Magufuli Edward Sokoine Rashid Kawawa)mlituacha kipindi tulichowahitaji😪😪😪😪😢😢😢😭ila hakuna shida Mungu yupo pamoja na Watanzania wote
@yohanamasibayikija3972 жыл бұрын
Niko tayari kufa kwa ajili ya nchi yangu I love you TANZANIA
@raylaurent43894 жыл бұрын
Waaoh... Nakupenda Tanzania Nchi yangu... Kwa moyo woteee
@anitauwamahoro-qi5su3 ай бұрын
Tanzania no nchii nzuri sana
@janemwangi60653 жыл бұрын
Sauti tamu congratulations from Kenya. God bless you allways.
@stellaj67333 жыл бұрын
Thanks good blessing you
@janemwangi60653 жыл бұрын
@@stellaj6733 welcome 🙏
@GeradinaJohn6 ай бұрын
Much love❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@nilastephen82652 жыл бұрын
I'm proud to be Tanzanian
@stancreezzy55003 жыл бұрын
Alieona kinvuli cha droony ikiwa juu agonge like
@GeradinaJohn6 ай бұрын
Mmmm watu hampitwi Mimi nipo tu nasoma zangu comments
@phinawatwego72602 жыл бұрын
Tanzania yetu oyeeeeeeeeee.
@janethjohnmrsjoseph21712 жыл бұрын
Tanzania Tanzania nchi yangu watu wako ni wema sana❤️❤️❤️❤️
@yasintamakongoro59573 жыл бұрын
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
@josephkobelo55794 жыл бұрын
Mungu awabariki sana wana John Paul ii, Mungu ambariki pia dada angu kipenzi Hazina Maduhu
@mkobavibes3 жыл бұрын
Hlw
@salhaheko34123 жыл бұрын
Nakupenda Tanzânia yangu MUNGU ibariki Tanzânia
@mossessimon2355 Жыл бұрын
Hongereni sana
@haibreus20052 жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿. Hii wimbo iimbwe na watoto na wananchi wote in a country every morning kuongeza uzalendo.
@dorothyxavery61784 жыл бұрын
Hakika tunawakaribisha watu wetu wote mliotawanyika duniani kote karibuni Tanzania, 💗💞💖💖🙏
@abdullahpongwa15373 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿 💚💚💚 Peace and Love
@user-wj2ss1qk8k3 жыл бұрын
I love you tanzanian
@muhammadhussein3342 жыл бұрын
Yaa Allah bless Tanzania and their people
@yunaisamir20994 жыл бұрын
Pale unavo sikiliza hv alfu uko nchi ya mbali nahis kulia ninapo kumbuka harufu upepo aman na upendo wa nchi yangu 💔💔💔😢😢
@stellaj67333 жыл бұрын
Wah is true dear pia mm nafeling ivo aky
@kanyeewastee29763 жыл бұрын
nakupenda Tanzania wangu
@lorenzotrevisani44214 жыл бұрын
My best & wormfull compliments for the video & choir, excelent. Sorry for writing in english, my swahili is poor. HONGRA watu wote.
@lorenzotrevisani44214 жыл бұрын
Assanteni sana wa kuni jibu na roho. God bless you all.
@mageleonlinetv14744 жыл бұрын
Karb sana bro
@lorenzotrevisani44214 жыл бұрын
@@mageleonlinetv1474 Asante.
@mageleonlinetv14744 жыл бұрын
@@lorenzotrevisani4421 🤗
@BarakaAyubu-qw5ic6 ай бұрын
Love so much my country❤❤❤❤❤
@fayamina25603 жыл бұрын
Safi sana
@allyabdi61653 жыл бұрын
Huu wimbo unachanganya sana kila miaka kadhaa wanabadili beti zake
@woltabenad83114 жыл бұрын
Naipenda sana njiiyangu Tanzania
@oscarmuhumenya13454 жыл бұрын
Tisha sana
@samwelmbuya927610 ай бұрын
I love the song of tanzania omg
@JohnPaulIIMbeyachoir10 ай бұрын
Thank you Samwel
@sunrose91964 жыл бұрын
Good wimbo
@madpusher20364 жыл бұрын
Saut ya tatu hongera kwa kutembea na key
@samwelicleophacemutabuzi57622 ай бұрын
Nimelia sana
@aishamatangamatangamatanga1344 Жыл бұрын
Tanzania 🇹🇿 nakupenda kwa moyo wotee ❤️❤️
@gwasaally53113 жыл бұрын
😭😭😭 r.i.p magufuri
@maganyarobert70082 жыл бұрын
Mungu atubariki sote
@JohnPaulIIMbeyachoir2 жыл бұрын
Amina @Magaya🙏
@mujahidsyed75111 ай бұрын
Shuleni baada tuki maaliza national anthem tukiimbaga hiyo nyimbo pia
@eliasmyamba47674 жыл бұрын
Nakupenda kwamoyowote TANZANIA
@yonasrobert78554 жыл бұрын
Hakika Tanzania yetu ni nzr Barikiwa Rais JPM
@asmaajuma33283 жыл бұрын
Nakupenda kwa moyo wote 🇹🇿❤️
@laurentlugema5932 жыл бұрын
If we want peace, we must strive for justice
@mzamilshop71033 жыл бұрын
Heshima ya tanzania
@emanuelpesambili Жыл бұрын
Tanzania. Nakupenda. Kwa. Moyo. Wote
@MS.independent89344 жыл бұрын
m'mpendeza sn
@manyanzabusiga59863 жыл бұрын
Siku hizi wanafunzi mashuleni hawahimizwi kuimba nyimbi hizi ndo maana nwanafunzi anafika mpaka darasa ka tano hajui yuko nchi gani daah
@steventambi63534 жыл бұрын
Wonderfully Song
@helakridiwella61208 ай бұрын
🎉🎉🎉2023
@williamatati59612 жыл бұрын
Who is the artist
@mujahidsyed75111 ай бұрын
🇹🇿
@Mamiseti72 жыл бұрын
💗😍
@willey_brandtrue99662 жыл бұрын
Tanzania Yetu Iwe nchi ya amani
@meshackpallangyo9002 жыл бұрын
Mwamba ni yesu
@RithaPasco3 ай бұрын
Nchi yenye amani
@loner_wolf3 жыл бұрын
Huu wimbo naukumbuka siku za Jumatatu Head Master anakuwa Assemble anasubiri nyimbo iishe aanze kukaguwa wanafunzi wachafu, mm nilikuwa na rumba kichwani kwahiyo nakausha tu sihudhurii mstarini kwahiyo nakuwa nimejificha chimbo haswa nasikia hii nyimbo kwambali sana 😂😂😂
@GeradinaJohn6 ай бұрын
Dah everyone with his story. Wow vizur mwaya😂😂😂😂😂
@adamfidelisi284 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana,niombe kama Nikita kudownload naipata wapi nyimbo hii na nyingine zenu
@ambroserukonda594 жыл бұрын
Kama una tubemate au snaptube unaweza kuzidownload zote kupitia jina hilihili
@adamfidelisi284 жыл бұрын
Kama sina napataje
@ambroserukonda594 жыл бұрын
Ingia Google uandike tubemate afu download then install
@adamfidelisi284 жыл бұрын
Nimefanikiwa nikuombe na nyimbo ya unisikie naipata hapa hapa
@faustapaul86604 жыл бұрын
Wimbo mzur kweli hongeren kwa kuliombea nchi yetu, hakika Tanzania nakupenda ❤️❤️mola awe nawe daima🙏🙏
@niwemugenimediatrice5640 Жыл бұрын
Nchi yangu tu hata kama siishi huko na Sina uraia lakin Nina tumaini kwenye ulimwengu mpya nitakaa upande huo
@gerryvenansi1526Ай бұрын
Je wewe ni shahidi wa Yehova
@zefaniawasha8014 жыл бұрын
Audio
@hildaalonso1812Ай бұрын
NAKUPENDA TANZANIA NINATOKA USA-CUBA
@cecylianamatigi72075 ай бұрын
❤😊🎉😊🎉🎉🎉❤❤❤😢
@edermanutencaoejardim9138Ай бұрын
I thought the Tanzanian anthem was in English
@kambamazig020243 жыл бұрын
Wakati huo watanzania walikuwa na uzalendo wa nchi yao, leo kila mtu matusi tu kwa nchi yake na anasahau nchi ilivyomsomesha bure na kufikia alipofikia. Kweli shukrani ya punda ni mateke.
@svenheilborn15376 ай бұрын
Congratulations for your national holiday on 26th April Tanzania a from your friends in Germany