Sma ni mtu alonifungua sana kuelewa Geopolitics, God bless Sma
@soyamBay3 ай бұрын
Kwa kweli wanaumbuka vibaya wamagharb, Ahsante kwa kutufungua ubongo maana!
@BUSHASHASWITCH3 ай бұрын
Asante sana 💥🥰🇧🇮🇧🇮 ndakwemera cane 💥 BURUNDI 🇧🇮 tunakupenda sana
@RamadanPaul3 ай бұрын
Burundi 🇧🇮 &Tanzania 🇹🇿 🤝🤝🤝🤝🤝 ♥️♥️♥️♥️♥️
@sadikiswidik3 ай бұрын
Nakukumbali 100%
@graceKisomopepe3 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤natoka Congo mimi nakukubali sana ndugu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@AliNassor-qt6fm3 ай бұрын
Dj smaa nakukubali sana uchambuzi wako
@mndambokilavo25023 ай бұрын
Hizi zama ukweli hata uufiche vip utajitokeza tu
@EriyaRichard3 ай бұрын
Hiyo mijengo ni moto sana ❤🎉🎉 cjui MAGHARIBI na media zao wameona hii
@godwinmandary51163 ай бұрын
Magharibi wameipotosha Dunia kwa mda mrefu
@Zainab_salat3 ай бұрын
@@godwinmandary5116kweli wanasemaga Waafrika ni maskini
@goodluckmsoka36603 ай бұрын
Tujishughulishe na maisha yetu tunapoteza muda kujadili magharibi hakuna aliyekuambiaufatilie media zao
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Maghreb media za mashoga
@AFRICA_D6693 ай бұрын
@@goodluckmsoka3660 😂😂
@hemedmwipopo7803 ай бұрын
Korea Kaskazini siyo masikini kama tunavyo aminishwa ila ni propaganda tu za magharibi
@josephwilliam58133 ай бұрын
Ni kweli Ile ni NCHI ya kijamaa uchumi unamilikiwa na serikali na sio wananchi
@nsabimanaabedi5413 ай бұрын
In'chi inavikwazo tena inamahendeleo kuzindi in'chi zetu ambazo hazina vikwazo
@zanzibarsmzenji3 ай бұрын
Sisi kazi ni siasa tu
@RAMAMOHA-vn9xv2 ай бұрын
mimi ni ramadhani mohammed Asalaam aleikum warahmatullahi wabarakatu kutoka kenya nairobi
@appolonation3 ай бұрын
Dj Sma nakukubali sana kbs!!! Nakusikiliza kutoka Rwanda Kigali 🙌
@FrancisDonald-go9cs3 ай бұрын
Kigali wapi uko mbinde ndani ndani
@omarymwaluko97653 ай бұрын
@@FrancisDonald-go9csunaumia ww choko
@bahatihamissi11613 ай бұрын
From Mwanza nawakubali sana
@Hillary_Daudi_Mrema3 ай бұрын
Hongera kwa kazi nzuri Dj Smaa. Team Russia, China, North Korea, Iran tukiongozwa na Vladimir Emirovic Putin lengo ni kuwaondoa Mabepari Barani Afrika kupitia Viongozi Vibaraka.
@JumaAyo-qp3fm3 ай бұрын
upo poa ,👍kutoka pemba
@kyangwesignermohamed78673 ай бұрын
Dj Smaa mimi nimshabiki wako ninakufatilia kutoka Switzerland🇨🇭
@surusuru19943 ай бұрын
Ila mee toka niazekujua manaya siasa sijawahi kuiugamkon ulaya yote kabis ❤
@davidndaha96073 ай бұрын
Mimi niko USA 🇺🇸 ila kuna city na state zimechakaa hapa huwezi jua kama ni USA
@ilovejesus93033 ай бұрын
True
@KS-iw7qv3 ай бұрын
True 👍
@Kidavoxe_TzАй бұрын
😂😂
@Expl0rer.3 ай бұрын
Asante bro 👍
@WadySaidi3 ай бұрын
Njaa hata marekani wanayo mbona Wana kuja afrika kuchukua chakula
@piusrweyemamu39003 ай бұрын
Mbona hata hizo picha wanazoonesha wa magharibi sio mbaya sana zinaonyesha kuna nafuu kuliko huku kwetu!
@niyibigiratimothy54483 ай бұрын
Nakufuata kutoka Cape Town city center CBD, Cape Town 🇿🇦 ila mimi ni mwananchi wa Burundi 🇧🇮 Bujumbura.
@sharifahabsi50043 ай бұрын
Pamoja kaka frome Oman 🇴🇲 Al amraty
@FadhiliAlly-fy2tx3 ай бұрын
Dj sma ningekuwa na pesa ya kuwapeleka Korea oya nyote mngeenda mukaimbia ukweli dunia mungu awabaliki sana
@mansooranam8313 ай бұрын
SNS ni wazungumza ukweli yaani facts and logics mungu awasimamie, amiin!!
@KS-iw7qv3 ай бұрын
Tumekuelewa 💯
@TrinaRoman3453 ай бұрын
Dj smaa hawa vichwa vigumu tuachie sie wana fuse tutawapa ngumu kumeza..😂😂😂 tutawapeleka BBCpropaganda bila nauli 🤗 🫢
@dengepandu97343 ай бұрын
Kutoka Zenj ddj smaa tunakuelewa vyema
@RashidRajab-oz5ec3 ай бұрын
Ruto kazi anayo
@RamadanPaul3 ай бұрын
😂😂
@ABDULShq-wv6st3 ай бұрын
Upo vizuri kijana good job 👍
@SalimKombo-xo4pq3 ай бұрын
Thanks mr.dj sma
@khalfanmlala50933 ай бұрын
From kigoma Asante tunakupata vzr
@jongosalehe10363 ай бұрын
Congratulations sana DJ Smaa na Hao maraisi Putin na Kim
@kenochieng30983 ай бұрын
Dj sma wewe utaki mumerika kweli kweli amerika ako kwa power kwa ajili ya mungu
@selemancokker49943 ай бұрын
Dj smaa ubalikiwe
@kingmtetezi66703 ай бұрын
Nakufata vizuri kabisa nikiwa Mwanza Tz
@valentiniradukunda3 ай бұрын
From burundi kk❤❤❤
@talents79343 ай бұрын
Uzalendo na kauli moja Ndio imewafikisha hapo walipo😢
@davismuzahula9073 ай бұрын
Nchi zenye watu walio serious na maisha
@IshakaIssa-h4w3 ай бұрын
Asante sma kwa kuzid kutup madini ambayo huyapt popote
@Jitumasta3 ай бұрын
Nchi pekee yenye mafanikio bila IMF na WB
@thelonewolf44293 ай бұрын
Moja kati ya sera za mashoga (west) nikuuhadaha ulimwengu yaani uwongo kila maali
@rogatimushi6893 ай бұрын
Leo nakupata Thailand umetisha sana
@IshipalemyPasko3 ай бұрын
Magharibi ni wa hovyo sana
@Brunotarimo103 ай бұрын
Dj sma mtu Wa fact 👏
@SelemaniKizenga3 ай бұрын
No economic restriction
@dominic47273 ай бұрын
Mti unao pigwa mawe ndio wenye matunda
@SalimKombo-xo4pq3 ай бұрын
Mashallaah ni mzuri sana
@salehkhalfan73453 ай бұрын
Kutoka Zanzibar
@sleifikhajjir2623 ай бұрын
Pamoja sana 🎉❤
@davidwalalason76303 ай бұрын
Damn it, North korea is fuccin beautiful
@19ddr3 ай бұрын
Sma kama Richard medhust
@user-pi3vj5sn3l3 ай бұрын
Mimi binafsi nasema Korea kaskazin hakuna njaa na wanaishi vzr sana hayo ndio maisha yao nchi za magharib tushazielewa mipango yao ni kutia ila maendeleo ya nchi nyingine
@SM-fu1yv3 ай бұрын
Duh naomba nchi zetu za Africa japo moja kuwa kama hivi
@King_Of_Everything3 ай бұрын
👊✌️👍
@brownshirima59243 ай бұрын
Sma. Hakika nakuambiah leo north ni watu brave sana. Na wanachokisema BBC n uwongo mtupu jua kuwa mwanamke awez msifia mke mwenzake bhnan. Ila big up una open sana mind za watu hakika
@CrissManda3 ай бұрын
And its the most sanctions country in the world, but still doing good, tanzania haina hata sanctions lakini full kukopa
@LORDRICKNKYA3 ай бұрын
Most sanction saa hivi ni Russia na bado uchumi wake umezidi kukua kila mwaka na ndio uchumi namba Moja Ulaya nzima
@BeatriceBeat-hk5cy3 ай бұрын
Yaani wako vizuri kuliko nchi ambazo hazina vikwazo
@mtulivu-ir1nq3 ай бұрын
Africa tu ndio tupo nyuma ila nchi nyingi za Asia zimeendelea na licha ya vikwazo vyote Korea kaskazini sio masikini
@MohammedBwanga3 ай бұрын
Me naona hizo nchi zinazopewa misaada na hazijawekewa vikwazo ndio taabani kuliko hao wenye vikwazo.
@milindiibrahim82853 ай бұрын
Dj sma habari za geopolitics Drc-rwanda please
@technicalgearboxenginebysc13603 ай бұрын
Ngozi nyeusi tuna laana wizi ndio tunajua
@MasomeAbell-cr1um3 ай бұрын
Halloo kweli
@niffonlinetz72143 ай бұрын
MWANETU DJ SMA THE GENIUS MAN
@JaziraMustafa-g9p3 ай бұрын
Keep it up
@millionairementorndobandol47243 ай бұрын
MAREKANI PIA KUNA SEHEMU MBAYA SANAAA NA WANAKAA WATU
Bora nasisi tuwekewe vkwazo labda ndo tutapata akili ya kujinasua kamavmataifa yalio wekewa vkwazo ndo wanamaendeleo kuliko cc
@DANIELWILLIAM-jo5bw3 ай бұрын
tuko live sma
@sharifali1783 ай бұрын
BBC ,DW,CNN, Ni vyombo vyakwao wenyewe haviwezi kusema ukweli
@josephjulio61123 ай бұрын
Nimependa viji vyao
@husseinhamisimwindadi22113 ай бұрын
Walikuwa wanatuaminisha kuwa Urusi njaa kali,mpaka wakatufanya kwenye viwanja vyetu vya mpira,wanaokaa upande wamashariki(waopingwa jua usoni)wamekaa upande wa Urusi.Wakati ukweli...watu wa wamagharibi wategemea mafuta,gas,nani nk.kutoka huko
@shijakuligi26743 ай бұрын
❤ na hitaji kujiunga kwenye whsapp group....
@INFORMATIQUE-yr5mx2 ай бұрын
Ili niwe kwenye groupe tunafanyaje
@ndiiyolazaro11253 ай бұрын
Nipo bagamoyo
@mtzhalisi22323 ай бұрын
Kutoka dodoma kaka
@salumkasongo75073 ай бұрын
Russia sanction zote hizoooo 😅😅😅
@mohamedmarijani3 ай бұрын
North Korea yenye vikwazo ni Bora kuliko tz isiyo vikwazo
@AlmachNestory3 ай бұрын
Hakika vikwazo vinafanya kazi kwa mataifa ambayo viongozi wake hawajitambui kama wa kwetu Afrika, Korea kasikazini ina vikwazo lakini wana maendeleo endelevu yao wenyewe.
@omariddi3 ай бұрын
❤
@edisonbayona-rz9ed3 ай бұрын
Sis atujawai kuwewa vikwazo mbona Bado wamasikini
@MosonVevo2 ай бұрын
Hayo majengo yapo kwa eneo dogo tu la aridhi ko sina lakusema
@SM-fu1yv3 ай бұрын
Mimi binafsi habari za bbc france 24 huwa sitizami kabisa naonaga ni propaganda
@michaelkessy57403 ай бұрын
Maendeleo makubwa yanafanywa Kwa njia ya usiri. Ili kupunguza changamoto kutoka Kwa maadui wako wa karibu. Notes: Kuna watu ni lazma uwaonyeshe, Mtazamo wa kawaida Ili uweze kuwapumbaza kwenye malengo yako, Wasijue una malengo gani. NDIO SIRI YA MAFANIKIO KWA MAADUI. #HonMichaelDeusdedityKessy.
@emmanuelkamoli82153 ай бұрын
Kaka Sma hizo picha hata Tz vjjn ni hali mbaya ila ukienda majijin hali ni zuri
@shegiahuseinshegia90086 күн бұрын
BBC,Hawajawahi kutangaza mazuri yoyote sio kwa North Korea tu,hata Tanzania ya kijani wanaona magojwa na uvunjifu was haki za mashiga tu.
@jskills0193 ай бұрын
Mtangazaji anakaza San maneno
@JansanMokiwa3 ай бұрын
Daah kama bongo KUBABAKE 😂😂
@HamzaMbasha-xs2ky3 ай бұрын
Wanavikwazo hila mji wao ni mizuri kushinda nchi nyingi vibaraka..
@dr.chaplickobaraka13983 ай бұрын
Asa mbona sisi hatuna vikwazo na bado tunahangaika2
@NardhisMhagama-sy3eq3 ай бұрын
Wanakula siraha
@JELSONMAUKI15 күн бұрын
Vp Africa??? Africa vs north Korea???
@Hillary_Daudi_Mrema3 ай бұрын
Kaka naomba utuandalie makala ya Kenya na Afrika Kusini maana nahisi maandamano ya Reject Finance Bill ya Kenya very soon yatahamia Afrika Kusini
@sondemtanashati61643 ай бұрын
Ww bna unashabikia hao wapuuz so usiseme eti unabalance mambo, ila ww huyo na wenzio nawambiaje hao watu wenu hawana uwezo wa kushindana na Marekani.
@BimHamdi3 ай бұрын
Marekani baba lao ila tatizo wauwaji kusapoti vita sana
@omarymwaluko97653 ай бұрын
Huyo marekani shoga la dunia
@CalisahBrown3 ай бұрын
🇧🇮
@African5113 ай бұрын
Mimi binafsi huwa siwaamini wazungu,maana akikuambia maneno yake,weka uchunguzi wako wa kina ili uone kupitia maono na usikilize kwa kina zaidi hawa wajomba waongo mno,unaweza kuambiwa Africa kuna tembo wa kupaa na usipochunguza unaweza kulishwa matango pori😂😂😂
@jumaciza4613 ай бұрын
Wakati putin anatembelea Urusi nilivyo ona Nika comment kwenye sky news. Wanavyo ponda north korera Eti hakuna maendeleo nimepata majibu zaidi ya 100 😂😂😂
@DANIELWILLIAM-jo5bw3 ай бұрын
kutoka kagera kayanga nakupata vyema dj sma
@USDisdoomed2 ай бұрын
Nchi zamagharibi ziko nawivu sana na nn hasidi dhidi yahii nchi ndio maana wanmuita huyu jmaa dictator,,,,,N.korea haijawai kuvamia nchi zengine nakuziharibu kma walivyofanya wao manya'ngau
@bakarussi54283 ай бұрын
Tunaambiwa hii nchi ni maskini...sasa najiuliza kma hivi ilivo tu ni maskin je ikija ikawa tayar itakuwa na muonekano gani...maana huu mji wao hata nairobi hauingii ndani
@mozeekamana3 ай бұрын
🙌🙌
@YoanePeace3 ай бұрын
Achana nao watu wa marekani n'a ma rafiki zao, niwa Huni tu