Рет қаралды 1,658
Baada ya mafanikio kwenye safari yake ya kwanza kutoka Ureno hadi India kwa kuzunguka bara la Afrika, Vasco da Gama alitumwa tena na Mfalme Manuel kufunga safari hiyo, lakini ukatili alioufanya ulikuwa wa kiwango cha juu na wa kutisha. Sheikh Riadh Al Busaidi anasimulia.