Mwili wa aliyewahi kuwa Mwenyekiti na mfadhili wa Yanga, Yusuf Manji, ambaye umeswaliwa katika Msikiti Al Hayy uliopo Florida, Marekani. Mwili wa Manji unatarajiwa kuzikwa leo Julai Mosi, 2024 nchini humo.
Пікірлер: 49
@bibitititv933319 күн бұрын
Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahali pema peponi, Amina
@user-ly2tv5og1n23 күн бұрын
Allah SW umpe makazi mema mja wako... Amin !
@chikujuma1822 күн бұрын
Inlilaahi wainalilah rajighun mwenyezi mungu ampe khauli thabiti ndugu yetu
@saleemshehabu307123 күн бұрын
Allah amsamehe makosa yake
@hajimassawe259223 күн бұрын
Allah ampe kauli thabiti!
@mamlomamlo906423 күн бұрын
Wanachama wa yanga siwaoni hapo,innalilah wa Ina ilayhi rajiun
@user-xb7jv2jt7d22 күн бұрын
INNAH LILLAH WAINNA ILAIH RAJ OON
@muhiddinmustafa79069 күн бұрын
innadina indallahil islam,hakuna dini ya haki isipokuwa ni uislam.
@alimau793923 күн бұрын
Anapokufa mtu hukatika matendo yake ila mambo 3,swadaqa ya kuendelea, mtoto mwema na elimu yenye manufaa
@allycomm155320 күн бұрын
Hakutakaga KUKAA na watu wa kher Hilo ndio balaa lake ukisha kufa ALLAH atufishe ktk uislaam n sunna hiyo ndio salaama yetu
@ALIKHAMIS-un4fv23 күн бұрын
Mungu amlipe anachostahiki mshia huyu mtume Muhammad Sala na Salam ziwe juu yake amesema hakika pepo imezuiliwa kwa kila mtu wa bidaa
@ashachitemo78166 күн бұрын
Kusoma surat fatiha katika sala ya maiti si lazima.rudini mkasome wapendwa
@user-zf2ty3ng6u17 күн бұрын
Arafatmahmud kama kitu hukijui uliza kaka ACHA ushabiki wa madhehebu nisome unijue nikusome nikujue hatito gombana
@shegiahuseinshegia900815 күн бұрын
Swala ya jeneza ni Dua, kama ilivyo swala ya mtume,tukiambiwa tumswalie mtume hatusomi faatiha
@lusakaone778223 күн бұрын
Innalillah wainna ilayhi raajiuun
@ismailmshana282821 күн бұрын
Kwa wale msiojua ndugu yetu alikua raia pacha
@missmoona449722 күн бұрын
Innah lillah wainnah illah rajiuna
@user-ug4du2kv6v22 күн бұрын
Shia akakute aloyatanguliza katika kuwatukana wabora wetu
@christophermunuo355422 күн бұрын
So mtanzania huyo kwa mini azikiwe marekani
@paulokenedy409023 күн бұрын
Si ndio hao unaowaona au unataka rangi?
@majaliwaking450023 күн бұрын
Duh kumbe alikua Shia Allah amlipe anachostahiki duh ushia sawa Na ukristo
@iddikibwana918522 күн бұрын
Innah lillahi wainna illahi rajjiun
@SHIJAFELICIAN20 күн бұрын
Imani yao ni hiyo kwa hiyo kila binadamu huamini anachokiaminj na hakuna binadamu mwenye uhakika wa dini ya kweli wote tunaamini maandiko tu
@Allybinamour18 күн бұрын
Allah kaleta kitabu akamleta na mtume saw kuufundisha ummah,ikiwa hadi leo hujui dini ya kweli ni ipi umekula khasara nzito
@YasiniMomboka23 күн бұрын
Inalilah
@ZaiNdogondogo-wf7mw23 күн бұрын
Kila nafsi itaonja umauti
@arafatmahmud354723 күн бұрын
Hiyo ndio swala ya maiti kwa mashia, haina Surat Al Fatiha, pia katika dua ya imamu ameomba amfufue pamoja na maimamu, maimamu 12 wa Kishia.
@user-ly2tv5og1n23 күн бұрын
Surat Fatiha wamesoma kimya kimya pamoja.
@ibrahimomari245823 күн бұрын
Nyinyi mtafufuliwa pamoja na akina boka, omi na suma
@officialmkacha65222 күн бұрын
Duuh kwel kazi ipo
@officialmkacha65222 күн бұрын
@@ibrahimomari2458kivip et
@user-rc1em7ol6u21 күн бұрын
Huna elim kaka
@HeriMagwaza-cd4wg23 күн бұрын
Kila nafsi itaonjaa mauti rala manji
@Saidy-eu1hc21 күн бұрын
Mmmmh mashia jaman hii swala ya maiti kweli 😂😂😂😂😂
@user-dp9mt6rd8u20 күн бұрын
Swala ya maiti ni ipi..?
@Saidy-eu1hc19 күн бұрын
@@user-dp9mt6rd8u bila alihamdu
@NjunguNdinga-kq1jh23 күн бұрын
Kla nafc itaonja pepo na umaut
@rashidhemed681623 күн бұрын
Swalatul maiti ina takbira 4 hapo nimesikia 5 na takbira ya kwanza sijasikia wakisoma suratul fatiha
@ramadhanihashibae980523 күн бұрын
Hao sio waislamu, ni mashia ndio maana utaratibu wa ibada zao ni tofauti na wetu
@hamadsuleiman517723 күн бұрын
@@ramadhanihashibae9805Mapokezi tofauti...Haya tuwachie wenyewe Allah ndie anaejua usahihi zaidi...Waislamu ni 1 duniani.
@ashachitemo781623 күн бұрын
@@ramadhanihashibae9805utaratibu wa Ibada uko tofauti kivipi?
@shamzone38823 күн бұрын
@@ramadhanihashibae9805mashia pia niwaislam Kuna madhehebu mengi ya kiislam
@SuleimanAlKharusi-rr6zb22 күн бұрын
Shia ni miongoni mwa wa waislamu, tofauti zilizopo ni ndogo sana hivyo tupo pamoja nao. Hatuwezi kusema sio waislamu wakati wanatambua uwepo wa Allah Subhanah Wataalah na mtume wake Muhammad SAW.