Tazama NARCO Kongwa walivyofanikiwa kwenye malisho ya Juncao!

  Рет қаралды 3,484

mifugouvuvi Online Tv

mifugouvuvi Online Tv

3 ай бұрын

Mkurugenzi wa Maeneo ya Malisho na Rasilimali za vyakula vya Mifugo Dkt. Asimwe Rwiguza ametembelea ranchi ya Mifugo ya Kongwa iliyopo chini ya Kampuni za Ranchi za Taifa (NARCO) ili kuona namna walivyofanikiwa kwenye kilimo cha malisho ya mifugo aina ya Juncao.. Tazama hapo mazungumzo yake na wao yalivyokuwa..

Пікірлер: 17
@cyprianmgogo7625
@cyprianmgogo7625 Ай бұрын
Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?
@SaidKondo-rw8wb
@SaidKondo-rw8wb 3 ай бұрын
Hongereni sana
@GeraldinaGerard-xy6pl
@GeraldinaGerard-xy6pl 23 күн бұрын
No za Jossam kwa kqgera
@jacob.surassa725
@jacob.surassa725 2 ай бұрын
Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi
@GeraldinaGerard-xy6pl
@GeraldinaGerard-xy6pl 23 күн бұрын
Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera
@mifugouvuvionlinetv9032
@mifugouvuvionlinetv9032 3 ай бұрын
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
@davidkelvin1692
@davidkelvin1692 3 ай бұрын
Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa
@user-li5ub9sb7v
@user-li5ub9sb7v 3 ай бұрын
Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma
@ekyochisikitaya5354
@ekyochisikitaya5354 Ай бұрын
Jani hilo linaitwa aje?
@MATHIASLUGIKO
@MATHIASLUGIKO 3 ай бұрын
Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta
@hildakamugisha1135
@hildakamugisha1135 2 ай бұрын
Dar tunapata wapi
@ekyochisikitaya5354
@ekyochisikitaya5354 Ай бұрын
Na mbegu tutaipata wapi?
@user-iw4ho4wb5p
@user-iw4ho4wb5p 3 ай бұрын
Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure
@felixchristopher7018
@felixchristopher7018 Ай бұрын
Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!
@user-iw4ho4wb5p
@user-iw4ho4wb5p 3 ай бұрын
Tayari Muleba tuna mbegu nyingi
@felixchristopher7018
@felixchristopher7018 Ай бұрын
Hongereni sana mkuu. Mawasiliano yenu tafadhali
@GeraldinaGerard-xy6pl
@GeraldinaGerard-xy6pl 23 күн бұрын
No za Jossam kwa kqgera
Hatua kwa hatua namna ya kupanda malisho ya Juncao!
5:44
mifugouvuvi Online Tv
Рет қаралды 854
ZIZI LA NG'OMBE- BARAKA AGRICULTURAL COLLEGE || AKILI SHAMBANI
28:31
MBCI TV OFFICIAL
Рет қаралды 6 М.
A teacher captured the cutest moment at the nursery #shorts
00:33
Fabiosa Stories
Рет қаралды 27 МЛН
Sigma Kid Hair #funny #sigma #comedy
00:33
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
Namna Dkt. Nawanda alivyobadili wafugaji Simiyu kupitia Unenepeshaji
9:18
mifugouvuvi Online Tv
Рет қаралды 10 М.
WEZI NI TATIZO KUBWA KWENYE MIRADI YA WAFUGAJI TANZANIA.
15:51
KILIMO MSETO (AGROFORESTRY) KILIVYOCHANGIA KUONGEZA KIPATO KWA WAKULIMA MKOANI MARA.
6:41
ANSAF - Agricultural Non State Actors Forum
Рет қаралды 908
Uandalizi wa chakula cha ng’ombe wa maziwa kwa njia ya silage
30:40
International Livestock Research Institute (ILRI)
Рет қаралды 73 М.
UFUGAJI KIBIASHARA WA MBUZI
24:39
Mulap Farm
Рет қаралды 912