❤❤❤hiii ndo kali kuzid ile mwafulan❤❤❤Aristote baba❤❤❤❤umeua❤❤❤
@julianaharrison43568 ай бұрын
Hilo neno mimi napenda eneo kubwa nilivyoona nyumba ya Mwijaku nikasema angejenga nyumba ktk eneo kubwa ingependeza sana
@chachajulius44818 ай бұрын
Safi Sana kaka nyumba Ina eneo la kutosha
@salhaomar5382 Жыл бұрын
Hongera zako
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@happylynguya3464 Жыл бұрын
Nyieeee kuna watu wanaakili jamani, amejenga wapi? Labda alinunua heka moja kwa shilingi milioni moja, natamani nijue mtaa ambao amejenga na kumiliki heka mbili na nusu.
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@asiamohd5516 Жыл бұрын
Mmmmh waja tuna mambo
@ravigelmkini497810 ай бұрын
Haha amejenga mapinga
@MrTop-wj7no Жыл бұрын
😂😂😂😂 Aristoteee❤❤
@sanukamedia9084 Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@AdrianoStephen7 ай бұрын
Ni Hela za uproduza au uproduza ni kivuli tuuuu ila mungu ndioo anajua ukweli wako kanyaga twende alistote
@lucyjeremia13817 ай бұрын
Arstotee hongera Sana ❤❤❤❤
@Bossbebe058 ай бұрын
Ramani ya nyumbani kama hii inagarimu sh ngapi mpaka nyumba kukamilika please