No video

GOROFA YA ROOMS 4 SIKILIZA BAJETI HAPA ATA WEWE UNAWEZA KUSIMAMISHA GOROFA UKIACHA UWOGA

  Рет қаралды 86,121

Sanuka Media

Sanuka Media

7 ай бұрын

#gorofalamwijaku

Пікірлер: 101
@athumannambombe4334
@athumannambombe4334 7 ай бұрын
NONDO KWA HIYO IDADI HAIFIKII HIYO GHARAMA HIYO ILIYOKADIRIWA KWA SABABU UTAAGIZA KWA TONE AMBAYO INAKUWA NA NONDO ZISIZOPUNGUA 90 NA HATA CEMENT UNAWEZA KUAGIZA KWA TONE 30 AMBAYO UNAPATA MIFUKO 600.
@fastonerugotwa3026
@fastonerugotwa3026 6 ай бұрын
Habari yako Mkuu , Kumbuka Mirunda, Mbao 2*2, 4*4, 1*8, six na Marine board. Board moja 48*60= Wawekee watu kila ki2, Then sijasikia habari ya ring, grill, maji kwenye ujenzi na kumwagilia slab for 14 to 21 days , na basi kama ni 140*140 au 120*120 kitako cha maana. All in all mambo mengine umeyaweka vizuri. Binafsi niliongeza na pagola ya kupumzikia juu yaani sehemu ya floor ya pili ndo ikagusa 380.
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 ай бұрын
Ulijuwaje jaman nilikuwa nataka raman ya kagolofa simplo kama hili zur ❤
@ce-08
@ce-08 7 ай бұрын
Bro Mungu akupe umri mrefu umenifanya nianze kujiamin kumbe naweza jenga nyumba ya maana hata kama sio ghorofa🤝
@user-dz9xg9ll1n
@user-dz9xg9ll1n 7 ай бұрын
Great job
@jimmysantana3987
@jimmysantana3987 7 ай бұрын
Umetishaaaaaa ndugu yng good insipiration
@SalimhchialaAtilio-qj5cs
@SalimhchialaAtilio-qj5cs 7 ай бұрын
Thanks brother 🥰
@shabanikitula645
@shabanikitula645 7 ай бұрын
Bado iko juu sana
@jobuumwambelo2341
@jobuumwambelo2341 7 ай бұрын
Mwambaa Mungu akuwekee kwa kadili apendavyooo 🤝🤝🤝🤝
@eliyagervas8680
@eliyagervas8680 7 ай бұрын
Thanks man
@aploscoder4358
@aploscoder4358 7 ай бұрын
wow wow wow UMETISHA MAN, TANGU NIMETUMIA VIDEO LEO NDO NMEKUTANA NA CHANEL YA BONGO YENYE VITU VYA MSING NA FONDESHENI
@user-xn8jh1yw1h
@user-xn8jh1yw1h 6 ай бұрын
Tutajenga. Ahsante kwa ushauri.
@samwelisamsoni6402
@samwelisamsoni6402 7 ай бұрын
Asante kaka nmejifunza kitu Mungu akubariki saba
@zaiboris9696
@zaiboris9696 7 ай бұрын
Nice
@babupiza641
@babupiza641 7 ай бұрын
Nimekuelewa sana mzee
@user-is9oc6ul8h
@user-is9oc6ul8h 5 ай бұрын
Uko njema bro
@sheikhalumbalambala2655
@sheikhalumbalambala2655 7 ай бұрын
Safi sana
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 6 ай бұрын
Very good explanations...umetumia bei halisia ya 2024,,, Nondo Tsh.23,000/= Cement 18,000/= Mchanga Lori 100k kwenda juu, Nondo 280K. Uko sahihi mkuu.
@peternyambui7492
@peternyambui7492 7 ай бұрын
Safi sana❤❤❤❤
@jovinmancomedytz
@jovinmancomedytz 6 ай бұрын
Nakubari
@elipidhugotesha1909
@elipidhugotesha1909 7 ай бұрын
saf sana
@mkwejonathan361
@mkwejonathan361 7 ай бұрын
Uko vzr, ntakucheki tukae tuyajenge brother
@yusuphHatibu-jy6kv
@yusuphHatibu-jy6kv 2 ай бұрын
Broo Allah akujalie sana mana unatupa ufaham na kujiamni kua tunaweza kufanya vitu vikubwa. Shukran sana
@bexy.
@bexy. 7 ай бұрын
Umetisha kaka sina kitu ila natamani nyumba kana hii walau hata baba yangu alalie tu
@AalyahNassor
@AalyahNassor 7 ай бұрын
🎉🎉🎉
@chrizostomchristian1884
@chrizostomchristian1884 7 ай бұрын
Ntakupa Kaz mwanza na bukoba uwe on line muda wote
@shomarisangari-rt6le
@shomarisangari-rt6le 6 ай бұрын
Ahsate sana
@tonnyford5782
@tonnyford5782 6 ай бұрын
Sawa bosi ngoja niandae nondo tofar na mchanga nataman sana hii kitu,nikiwa na 200m naanza ujenz❤
@idrisadalluc4498
@idrisadalluc4498 6 ай бұрын
Mwijaku choko
@osoromageta3381
@osoromageta3381 7 ай бұрын
Nakukubali sana upo vzr
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 ай бұрын
Namba zake si iso juu jaman ya mwisho 56
@starfordalex4139
@starfordalex4139 6 ай бұрын
Uko sahihi
@jonasafumwisye6357
@jonasafumwisye6357 7 ай бұрын
Mwamba nimekukubali nitakutafuta maana akina meinjaku wanatutisha sana
@stephenmwampondele7893
@stephenmwampondele7893 6 ай бұрын
Saf nimekuelewa
@ericmwakingili6746
@ericmwakingili6746 2 ай бұрын
KAZI NZR KAKA NTAKUTAFUTA
@user-my6vn6mp6g
@user-my6vn6mp6g 7 ай бұрын
Mwamba we mkweli sana
@ChipakaJama-bi2jg
@ChipakaJama-bi2jg 7 ай бұрын
Et b moja hv yuele kichaa anazan wote ni wendawazimu kama yeye b moja kigorofa kimebana kama vile chiz sana yule
@julianaharrison4356
@julianaharrison4356 7 ай бұрын
Ole gorofa ya Mwijaku ni nzuri ila kiwanja kidogo sana haina hata garden ya maana
@cuthbertmkemwa4903
@cuthbertmkemwa4903 7 ай бұрын
hahaha, kaka mbona kama umemmind? kazidisha pale
@pendowilbert8808
@pendowilbert8808 6 ай бұрын
Tatizo ukipigiwa simu una majibu ya kukatisha tamaa,unatuvunja moyo💔
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 6 ай бұрын
mwijaku anatuona watanzania n mabwege
@IsayaSamweli-pm4dd
@IsayaSamweli-pm4dd 7 ай бұрын
Safi sans no yako mkuu.
@kevinmary7129
@kevinmary7129 7 ай бұрын
200M to 250M gorofa za billion 1.5M ni hotel za kitalii ghorofa 12 had 17 kwenda juu
@samtelah7578
@samtelah7578 7 ай бұрын
Umeelezea vzur sana
@christinainnocent3240
@christinainnocent3240 5 ай бұрын
Unaweza kufika billion kulingana na nakshi ulimwende utaoweka na vitu vya thamani nk kama majakuzi swimming pool bustani ya sehemu ya kuchoma nyama na kufanya sherehe , ndani sehemu ya bar parking garage ya magari basement madirisha makubwa marefu ya za ajabu ajabu nk
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 ай бұрын
Nataka kama hilo
@hallin9561
@hallin9561 7 ай бұрын
Lile Ghorofa la marehem Mengi kule machame ni million 800 na ni ghorofa la maana sio poa vioo tupu limepanda hewani, Sasa uyu mpuuzi mwijaku anatuongezea namba kwa ghorofa gan pale Billion 1.3
@adkajisi4536
@adkajisi4536 7 ай бұрын
Ile ya machame M800?
@user-pw4dx9hr1l
@user-pw4dx9hr1l 6 ай бұрын
Nimekukubali bro ntakucheki napapata malamba mawili
@user-wy3jv4ri7x
@user-wy3jv4ri7x 6 ай бұрын
Zanzibar unaweza kuja kujenga
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 ай бұрын
Hilo golifa juu lina sehem ya kupunzikia kama kwa mwijaku
@collinndabi1914
@collinndabi1914 7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SallmaXg
@SallmaXg 7 ай бұрын
😂😂😂😂
@fettiemaganza1484
@fettiemaganza1484 7 ай бұрын
Ile ghorofa nimeaingalia weeeh kisha nikaenda kwa nyumba ya msechu nikaoangalia weeh kisha nikaangalia ya Aristote jibu likaja wale walojenga za chini wametumiq gharama kubwa kuliko yy
@adkajisi4536
@adkajisi4536 7 ай бұрын
Nalo Neno
@lucynoah1737
@lucynoah1737 21 күн бұрын
Kazi nzuri sana unaenda kuwa mtu mkubwa Naomba kuona kama umejenga lodge yo yote kwa design ya hidden roof
@joskimmaro1556
@joskimmaro1556 3 ай бұрын
Hiv hiz hydraform block ni salama kwa ujenzi especial kwa mazigira yetu?
@dottosweetbert8879
@dottosweetbert8879 6 ай бұрын
Sasa Mr House decorations, je watu wanaojenga maeneo magumu kama Mwanza (ardhi ni mawe tupu), gharama hazipungui hapo?
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 ай бұрын
Na hiyo ya nje ni swiming pul au
@AishaSaid-yx3jl
@AishaSaid-yx3jl 7 ай бұрын
Fundi bado upo juu kibajeti kwani tofari za chini TU elfu sita kwenye nondo upo vizur ila tofar upo juu kwisha kwa bajet hii nakubali kuwa mwijaku ikawa sawa maana hii sukwe thalasini milioni sitini je Ile yenye sukwea karibu mia mbili piga vizur hesabu zako naona kama hiyo ya fundi wako ndiyo galama za hiyo nyumba tupo pamoja wacheni tuendelee kutuliza nyumba za chini
@allanabdallah9124
@allanabdallah9124 7 ай бұрын
Wapuuzi walinitisha nikajenga ya kawaida na nimeshatumia 110M. Halafu unakuja leo kusema 😠 9:30
@ginimbifamily3995
@ginimbifamily3995 7 ай бұрын
Umeshatumia 110M ..Kwan aujamaliza? Kuna watu wanatafuta Kazi kiaina..watu wanachukulia kujenga gorofa ni makalio 😂😂😂
@Mrpromotiongroup
@Mrpromotiongroup 5 ай бұрын
Apo bado ni bei ya kiufundi 😅😅 nikijenga kwa kusimamia mwenyewe bila mafundi kuiba cement na nondo nanunua mwenyewe tsh 20000/= gorofa la vyumba 4 na kila kimojaa choo ndanj na jiko ni Tsh 200M
@KyandoSpareparts
@KyandoSpareparts 7 ай бұрын
Mm ata mil 100 haifiki nkiandaa ramani yangu kwenye cad
@fridakipingu
@fridakipingu 7 ай бұрын
Ni nzuri asee ukiwa na milioni 150 usha maliza na usafi
@adkajisi4536
@adkajisi4536 7 ай бұрын
M150 bora ujenge nyumba ya chini kali
@SallmaXg
@SallmaXg 7 ай бұрын
​@@adkajisi4536kwani kwa hiyo 150M ukijenga nyumba ya chini itakuwa ya rooms gapi
@sarahkimambo5324
@sarahkimambo5324 7 ай бұрын
😂
@kimandafukitefu2999
@kimandafukitefu2999 5 ай бұрын
Ina square ngapi hiyo nyumba kabla ya budget yako?
@user-cu9mj3xj8x
@user-cu9mj3xj8x 2 ай бұрын
mwijaku? daah
@alaamarisaviel2979
@alaamarisaviel2979 6 ай бұрын
Sasa wewe ndio umenipa motoooooo wa kuendelea kujenga gorofaaaaa
@user-nb1lv9xw6m
@user-nb1lv9xw6m 7 ай бұрын
Big up uko sawa nitumie namba yako ya simu
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 7 ай бұрын
Namba mbona kazitaja pia hata kwenye hii kazionesha pia namba zake, rudia kuiangalia video hadi mwisho
@yohaneskomba9559
@yohaneskomba9559 7 ай бұрын
Nitumie namba yako brother
@muhammadmuhammad5043
@muhammadmuhammad5043 7 ай бұрын
Huyu Mwenjaku Maarufu Majisifu Maarufu Mtu Anajifu Amsifia Mpaka Mkewe Hakuna Mwanake Mazuri Kama Mkewangu...???????
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 ай бұрын
Room 4 kwa maana chini vyumba viwil na juu viwil
@adkajisi4536
@adkajisi4536 7 ай бұрын
Mimi pia sijaelewa.
@barakatingisa505
@barakatingisa505 6 ай бұрын
Hapana, ni ghorofa yenye vyumba 4 vya kulala.
@WorldExploration381
@WorldExploration381 7 ай бұрын
Bado mirunda na marine za kubebea zege,,,!
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 ай бұрын
😂😂😂😂 Kigoma Moja hiyo njoo niko Mwanga kwa Mchaga
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 7 ай бұрын
Ujamsikiliza au bajeti ya kwanza kujenga Bola la gorofa alipata milioni 70 kasoro kidogo Ila ikasema we weka bajeti ya milioni 100 kwa Boma kwasababu ya vitu vidogo vidogo kama hivyo ambavyo akuolozesha!.
@WorldExploration381
@WorldExploration381 7 ай бұрын
@@selemanmaganga-le4zg hivyo sio vitu vidogo kwenye ghorofa,,!
@shabanialfani5394
@shabanialfani5394 7 ай бұрын
Wacha tujenge zetu za Million 5 tu huko tutaziona hata Barabarani
@Cruxtrend
@Cruxtrend 6 ай бұрын
Mimi nlijenga kama Hilo na Ksh 10m, sidhani inaezafika Tsh 1.5 b
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib 7 ай бұрын
Kiwanja cha robo heka iyo raman inatosha sema kanafas katabaki
@tunkuh661
@tunkuh661 7 ай бұрын
Robo acre sio ndogo ina m² 1012 so bado una nafasi ya bustani n.k
@oscarmwamlima93
@oscarmwamlima93 7 ай бұрын
Hujasema vipimo vya nyumba ina sqm ngapi
@hallin9561
@hallin9561 7 ай бұрын
ndio maana ameleta bajeti ya million 60 ila weka 40 pembeni. sikiliza kinachoongelewa kwanza
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 7 ай бұрын
​@@hallin9561Ndugu yangu hawa watu sijui wanasikilizaga wapi mtu Katoa Maelezo mazuri yaliyojitosheleza lakini mijitu inaanza kulaumu, kweli hakuna kazi Ngumu kama uwalimu.
@florencemlay9333
@florencemlay9333 5 ай бұрын
Please tupostie ramani ya Jaqueline Walper jamani
@jovitjonas8664
@jovitjonas8664 7 ай бұрын
Hapo hakuna mbao, maji, bati,mbao za renta, milunda . Wewe ni muhongo haujawai Jenga nyumba ya kawaida boma si chini ya m 20,
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 7 ай бұрын
Hivi we umesikiliza vizuri video au ulikuwa na mambo mawilimawili, bajeti yake ya kujenga hilo boma bila kupaua alifika milioni 70 kasoro kidogo ila akasema inabidi uandae bajeti ya milioni 100 kwa ajili ya Boma tu ilikufidia vitu vidogo vidogo ambavyo ajaviolozesha kama hivyo ulivyoviolozesha na kuna vitu vingi kwenye ujenzi vidogovidogo ambavyo hata wewe ukuviolozesha ndio kategea hiyo M40 inayobakia kwenye 100
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 7 ай бұрын
We umeweka 20 mwenzako kaweka m 40 kwa ajili ya hivyo vitu vidogovidogo,
@sarabura8933
@sarabura8933 7 ай бұрын
Sasa hapo mbona hakuna afazari duh
@adkajisi4536
@adkajisi4536 7 ай бұрын
Kimsingi ghorofa la maana uwe Na m500 au zaidi. Hizi zngne tutaziba nyufa sanaa.
@ReuKakulima
@ReuKakulima Ай бұрын
Xamahan bro nawez kupata raman yake maan natak kujua ndan ikoje
@josiahkulwa5318
@josiahkulwa5318 6 ай бұрын
Great job
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 6 ай бұрын
safi sana
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 10 МЛН
My Cheetos🍕PIZZA #cooking #shorts
00:43
BANKII
Рет қаралды 19 МЛН
Ouch.. 🤕
00:30
Celine & Michiel
Рет қаралды 32 МЛН
Ujenzi  Wa Apartments wa Gharama Nafuu
2:51
SwahiliUnits
Рет қаралды 17 М.
BANGALORE LA VYUMBA 7 LINAUZWA TSHS BIL 1.4, SALASALA
9:11
DalaliMwanamke
Рет қаралды 272 М.