NONDO KWA HIYO IDADI HAIFIKII HIYO GHARAMA HIYO ILIYOKADIRIWA KWA SABABU UTAAGIZA KWA TONE AMBAYO INAKUWA NA NONDO ZISIZOPUNGUA 90 NA HATA CEMENT UNAWEZA KUAGIZA KWA TONE 30 AMBAYO UNAPATA MIFUKO 600.
@fastonerugotwa30266 ай бұрын
Habari yako Mkuu , Kumbuka Mirunda, Mbao 2*2, 4*4, 1*8, six na Marine board. Board moja 48*60= Wawekee watu kila ki2, Then sijasikia habari ya ring, grill, maji kwenye ujenzi na kumwagilia slab for 14 to 21 days , na basi kama ni 140*140 au 120*120 kitako cha maana. All in all mambo mengine umeyaweka vizuri. Binafsi niliongeza na pagola ya kupumzikia juu yaani sehemu ya floor ya pili ndo ikagusa 380.
@VickKulekana-si1ib7 ай бұрын
Ulijuwaje jaman nilikuwa nataka raman ya kagolofa simplo kama hili zur ❤
@ce-087 ай бұрын
Bro Mungu akupe umri mrefu umenifanya nianze kujiamin kumbe naweza jenga nyumba ya maana hata kama sio ghorofa🤝
@user-dz9xg9ll1n7 ай бұрын
Great job
@jimmysantana39877 ай бұрын
Umetishaaaaaa ndugu yng good insipiration
@SalimhchialaAtilio-qj5cs7 ай бұрын
Thanks brother 🥰
@shabanikitula6457 ай бұрын
Bado iko juu sana
@jobuumwambelo23417 ай бұрын
Mwambaa Mungu akuwekee kwa kadili apendavyooo 🤝🤝🤝🤝
@eliyagervas86807 ай бұрын
Thanks man
@aploscoder43587 ай бұрын
wow wow wow UMETISHA MAN, TANGU NIMETUMIA VIDEO LEO NDO NMEKUTANA NA CHANEL YA BONGO YENYE VITU VYA MSING NA FONDESHENI
@user-xn8jh1yw1h6 ай бұрын
Tutajenga. Ahsante kwa ushauri.
@samwelisamsoni64027 ай бұрын
Asante kaka nmejifunza kitu Mungu akubariki saba
@zaiboris96967 ай бұрын
Nice
@babupiza6417 ай бұрын
Nimekuelewa sana mzee
@user-is9oc6ul8h5 ай бұрын
Uko njema bro
@sheikhalumbalambala26557 ай бұрын
Safi sana
@phantyrhymes95366 ай бұрын
Very good explanations...umetumia bei halisia ya 2024,,, Nondo Tsh.23,000/= Cement 18,000/= Mchanga Lori 100k kwenda juu, Nondo 280K. Uko sahihi mkuu.
@peternyambui74927 ай бұрын
Safi sana❤❤❤❤
@jovinmancomedytz6 ай бұрын
Nakubari
@elipidhugotesha19097 ай бұрын
saf sana
@mkwejonathan3617 ай бұрын
Uko vzr, ntakucheki tukae tuyajenge brother
@yusuphHatibu-jy6kv2 ай бұрын
Broo Allah akujalie sana mana unatupa ufaham na kujiamni kua tunaweza kufanya vitu vikubwa. Shukran sana
@bexy.7 ай бұрын
Umetisha kaka sina kitu ila natamani nyumba kana hii walau hata baba yangu alalie tu
@AalyahNassor7 ай бұрын
🎉🎉🎉
@chrizostomchristian18847 ай бұрын
Ntakupa Kaz mwanza na bukoba uwe on line muda wote
@shomarisangari-rt6le6 ай бұрын
Ahsate sana
@tonnyford57826 ай бұрын
Sawa bosi ngoja niandae nondo tofar na mchanga nataman sana hii kitu,nikiwa na 200m naanza ujenz❤
@idrisadalluc44986 ай бұрын
Mwijaku choko
@osoromageta33817 ай бұрын
Nakukubali sana upo vzr
@VickKulekana-si1ib7 ай бұрын
Namba zake si iso juu jaman ya mwisho 56
@starfordalex41396 ай бұрын
Uko sahihi
@jonasafumwisye63577 ай бұрын
Mwamba nimekukubali nitakutafuta maana akina meinjaku wanatutisha sana
@stephenmwampondele78936 ай бұрын
Saf nimekuelewa
@ericmwakingili67462 ай бұрын
KAZI NZR KAKA NTAKUTAFUTA
@user-my6vn6mp6g7 ай бұрын
Mwamba we mkweli sana
@ChipakaJama-bi2jg7 ай бұрын
Et b moja hv yuele kichaa anazan wote ni wendawazimu kama yeye b moja kigorofa kimebana kama vile chiz sana yule
@julianaharrison43567 ай бұрын
Ole gorofa ya Mwijaku ni nzuri ila kiwanja kidogo sana haina hata garden ya maana
@cuthbertmkemwa49037 ай бұрын
hahaha, kaka mbona kama umemmind? kazidisha pale
@pendowilbert88086 ай бұрын
Tatizo ukipigiwa simu una majibu ya kukatisha tamaa,unatuvunja moyo💔
@luckymsomba48186 ай бұрын
mwijaku anatuona watanzania n mabwege
@IsayaSamweli-pm4dd7 ай бұрын
Safi sans no yako mkuu.
@kevinmary71297 ай бұрын
200M to 250M gorofa za billion 1.5M ni hotel za kitalii ghorofa 12 had 17 kwenda juu
@samtelah75787 ай бұрын
Umeelezea vzur sana
@christinainnocent32405 ай бұрын
Unaweza kufika billion kulingana na nakshi ulimwende utaoweka na vitu vya thamani nk kama majakuzi swimming pool bustani ya sehemu ya kuchoma nyama na kufanya sherehe , ndani sehemu ya bar parking garage ya magari basement madirisha makubwa marefu ya za ajabu ajabu nk
@VickKulekana-si1ib7 ай бұрын
Nataka kama hilo
@hallin95617 ай бұрын
Lile Ghorofa la marehem Mengi kule machame ni million 800 na ni ghorofa la maana sio poa vioo tupu limepanda hewani, Sasa uyu mpuuzi mwijaku anatuongezea namba kwa ghorofa gan pale Billion 1.3
Hilo golifa juu lina sehem ya kupunzikia kama kwa mwijaku
@collinndabi19147 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@SallmaXg7 ай бұрын
😂😂😂😂
@fettiemaganza14847 ай бұрын
Ile ghorofa nimeaingalia weeeh kisha nikaenda kwa nyumba ya msechu nikaoangalia weeh kisha nikaangalia ya Aristote jibu likaja wale walojenga za chini wametumiq gharama kubwa kuliko yy
@adkajisi45367 ай бұрын
Nalo Neno
@lucynoah173721 күн бұрын
Kazi nzuri sana unaenda kuwa mtu mkubwa Naomba kuona kama umejenga lodge yo yote kwa design ya hidden roof
@joskimmaro15563 ай бұрын
Hiv hiz hydraform block ni salama kwa ujenzi especial kwa mazigira yetu?
@dottosweetbert88796 ай бұрын
Sasa Mr House decorations, je watu wanaojenga maeneo magumu kama Mwanza (ardhi ni mawe tupu), gharama hazipungui hapo?
@VickKulekana-si1ib7 ай бұрын
Na hiyo ya nje ni swiming pul au
@AishaSaid-yx3jl7 ай бұрын
Fundi bado upo juu kibajeti kwani tofari za chini TU elfu sita kwenye nondo upo vizur ila tofar upo juu kwisha kwa bajet hii nakubali kuwa mwijaku ikawa sawa maana hii sukwe thalasini milioni sitini je Ile yenye sukwea karibu mia mbili piga vizur hesabu zako naona kama hiyo ya fundi wako ndiyo galama za hiyo nyumba tupo pamoja wacheni tuendelee kutuliza nyumba za chini
@allanabdallah91247 ай бұрын
Wapuuzi walinitisha nikajenga ya kawaida na nimeshatumia 110M. Halafu unakuja leo kusema 😠 9:30
@ginimbifamily39957 ай бұрын
Umeshatumia 110M ..Kwan aujamaliza? Kuna watu wanatafuta Kazi kiaina..watu wanachukulia kujenga gorofa ni makalio 😂😂😂
@Mrpromotiongroup5 ай бұрын
Apo bado ni bei ya kiufundi 😅😅 nikijenga kwa kusimamia mwenyewe bila mafundi kuiba cement na nondo nanunua mwenyewe tsh 20000/= gorofa la vyumba 4 na kila kimojaa choo ndanj na jiko ni Tsh 200M
@KyandoSpareparts7 ай бұрын
Mm ata mil 100 haifiki nkiandaa ramani yangu kwenye cad
@fridakipingu7 ай бұрын
Ni nzuri asee ukiwa na milioni 150 usha maliza na usafi
@adkajisi45367 ай бұрын
M150 bora ujenge nyumba ya chini kali
@SallmaXg7 ай бұрын
@@adkajisi4536kwani kwa hiyo 150M ukijenga nyumba ya chini itakuwa ya rooms gapi
@sarahkimambo53247 ай бұрын
😂
@kimandafukitefu29995 ай бұрын
Ina square ngapi hiyo nyumba kabla ya budget yako?
@user-cu9mj3xj8x2 ай бұрын
mwijaku? daah
@alaamarisaviel29796 ай бұрын
Sasa wewe ndio umenipa motoooooo wa kuendelea kujenga gorofaaaaa
@user-nb1lv9xw6m7 ай бұрын
Big up uko sawa nitumie namba yako ya simu
@selemanmaganga-le4zg7 ай бұрын
Namba mbona kazitaja pia hata kwenye hii kazionesha pia namba zake, rudia kuiangalia video hadi mwisho
@yohaneskomba95597 ай бұрын
Nitumie namba yako brother
@muhammadmuhammad50437 ай бұрын
Huyu Mwenjaku Maarufu Majisifu Maarufu Mtu Anajifu Amsifia Mpaka Mkewe Hakuna Mwanake Mazuri Kama Mkewangu...???????
@VickKulekana-si1ib7 ай бұрын
Room 4 kwa maana chini vyumba viwil na juu viwil
@adkajisi45367 ай бұрын
Mimi pia sijaelewa.
@barakatingisa5056 ай бұрын
Hapana, ni ghorofa yenye vyumba 4 vya kulala.
@WorldExploration3817 ай бұрын
Bado mirunda na marine za kubebea zege,,,!
@gibsonjosephat63527 ай бұрын
😂😂😂😂 Kigoma Moja hiyo njoo niko Mwanga kwa Mchaga
@selemanmaganga-le4zg7 ай бұрын
Ujamsikiliza au bajeti ya kwanza kujenga Bola la gorofa alipata milioni 70 kasoro kidogo Ila ikasema we weka bajeti ya milioni 100 kwa Boma kwasababu ya vitu vidogo vidogo kama hivyo ambavyo akuolozesha!.
@WorldExploration3817 ай бұрын
@@selemanmaganga-le4zg hivyo sio vitu vidogo kwenye ghorofa,,!
@shabanialfani53947 ай бұрын
Wacha tujenge zetu za Million 5 tu huko tutaziona hata Barabarani
@Cruxtrend6 ай бұрын
Mimi nlijenga kama Hilo na Ksh 10m, sidhani inaezafika Tsh 1.5 b
@VickKulekana-si1ib7 ай бұрын
Kiwanja cha robo heka iyo raman inatosha sema kanafas katabaki
@tunkuh6617 ай бұрын
Robo acre sio ndogo ina m² 1012 so bado una nafasi ya bustani n.k
@oscarmwamlima937 ай бұрын
Hujasema vipimo vya nyumba ina sqm ngapi
@hallin95617 ай бұрын
ndio maana ameleta bajeti ya million 60 ila weka 40 pembeni. sikiliza kinachoongelewa kwanza
@selemanmaganga-le4zg7 ай бұрын
@@hallin9561Ndugu yangu hawa watu sijui wanasikilizaga wapi mtu Katoa Maelezo mazuri yaliyojitosheleza lakini mijitu inaanza kulaumu, kweli hakuna kazi Ngumu kama uwalimu.
@florencemlay93335 ай бұрын
Please tupostie ramani ya Jaqueline Walper jamani
@jovitjonas86647 ай бұрын
Hapo hakuna mbao, maji, bati,mbao za renta, milunda . Wewe ni muhongo haujawai Jenga nyumba ya kawaida boma si chini ya m 20,
@selemanmaganga-le4zg7 ай бұрын
Hivi we umesikiliza vizuri video au ulikuwa na mambo mawilimawili, bajeti yake ya kujenga hilo boma bila kupaua alifika milioni 70 kasoro kidogo ila akasema inabidi uandae bajeti ya milioni 100 kwa ajili ya Boma tu ilikufidia vitu vidogo vidogo ambavyo ajaviolozesha kama hivyo ulivyoviolozesha na kuna vitu vingi kwenye ujenzi vidogovidogo ambavyo hata wewe ukuviolozesha ndio kategea hiyo M40 inayobakia kwenye 100
@selemanmaganga-le4zg7 ай бұрын
We umeweka 20 mwenzako kaweka m 40 kwa ajili ya hivyo vitu vidogovidogo,
@sarabura89337 ай бұрын
Sasa hapo mbona hakuna afazari duh
@adkajisi45367 ай бұрын
Kimsingi ghorofa la maana uwe Na m500 au zaidi. Hizi zngne tutaziba nyufa sanaa.
@ReuKakulimaАй бұрын
Xamahan bro nawez kupata raman yake maan natak kujua ndan ikoje