Рет қаралды 1,274,743
SIMBA 0-1 YANGA: Ukisikia kuna watu waliupiga mwingi, hii ndiyo maana yake. Kuna wakati ilipikwa ‘biriani’, zikapigwa ‘sambusa’, boli likagongwa moja moja lakini mabeki wakafanya kazi yao.
Hebu pata burudani kidogo.
Je, hili ‘pira’ tulipe jina gani?
#NgaoYaJamii2021
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz