No video

THE CLASSIC SUGU EP 1:MIAKA 30 YA GAME /BEEF NA KWANZA UNIT/KUHARIBU ZAWADI MBELE YA MKUU WA MKOA

  Рет қаралды 20,822

KuviFacts

KuviFacts

Жыл бұрын

Kama hukuwahi kuona The classic na Sugu ambayo ilfanyika mwaka jana sasa ,tumekuwekea hapa ambapo Sug anaelezea alivyoanza game ya rap miaka 30 iliopita,katika episode hii Sugu ameelezea ugumu alioupata katika miaka hiyo na jinsi ambavyo aliwez kushinda vizingiti vikubwa katika safari yake mpaka sasa
#theclassic #sugu #jongwe #kuvifacts #trending #popular #podcast #bongoflava #kuvichaka

Пікірлер: 47
@nikkimbishiunju2402
@nikkimbishiunju2402 Жыл бұрын
Gego Masta Repping UNJU BIN UNUQ
@kingnebuchadnezar
@kingnebuchadnezar 7 ай бұрын
Ifike mahala watu wampe sugu maua yake, sio mpaka aondoke, daily watu wanataja, dogo hashimu,profesa jay etc sikatai kwamba hawa watu ni hatari na ni tunawasheshimu sana ila SUGU ndio engineer wa hip hop halisi, mwanaharakati
@thehunter5920
@thehunter5920 5 ай бұрын
Kwanza unit ndiyo waanzilishi,hata Sugu mwenyewe anakiri hapo
@kingnebuchadnezar
@kingnebuchadnezar 5 ай бұрын
@@thehunter5920 mwanaharakati, kupigania haki, toka enzi za wamachinga, sugu hakua wa kwanza hata kwanza unit hawakuwa wa kwanza, ila wote wapo kwenye kizaz cha kwanza cha hip hop ya bongo, ila sugu alikua tofauti kabisa
@thehunter5920
@thehunter5920 5 ай бұрын
@@kingnebuchadnezar wa kwanza walikuwa kina nani sasa,nataka niwajue
@kingnebuchadnezar
@kingnebuchadnezar 5 ай бұрын
@@thehunter5920 kuna mtu alikua anaitwa salehe jabir, alianzia kwa kubadiliaha nyimbo za kizungu na kuzichana kibongo, ila hao wote kina salehe, sugu, kwanza unit, kina KR wa temeke GwM, kina sygon wote watu wa mwanzo, yani kila kona kulikua na watu wameshaanza kuchana. Kizaz cha pili ndio kina proff jay, juma nature, jay mo, mwana fa,
@fadmwangosi1007
@fadmwangosi1007 Жыл бұрын
Mbona haijaisha wazee,tuwekeeni muendelezooo
@eliudntabusi9712
@eliudntabusi9712 6 ай бұрын
Hakuna kubisha SUGU kubws laoooo!!!
@TeamSelekta
@TeamSelekta Ай бұрын
Mrudie hii
@Bumutz-po2df
@Bumutz-po2df 7 ай бұрын
Sugu ni Tupac Shakur wa Bongo 🔥🔥 much respect kaka jongwe
@lowkeybongo
@lowkeybongo 11 ай бұрын
Hakuna kama Sugu hapa Bongo
@phinaphina3201
@phinaphina3201 Жыл бұрын
Sugu number 1 MC in Tanzania
@kazimilykulwa2516
@kazimilykulwa2516 7 ай бұрын
Kuna jamaa wanaitwa kwanza unity noma mzee na hao ndo wameanzisha mziki wa kufoka foka watu wazima sasa hatari sana
@ronaldissack3338
@ronaldissack3338 Жыл бұрын
Raha Sana kumskiza sugu ,namwelewa sana anko sugu
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 5 ай бұрын
Kuvifacts, am proud of you brother. Thanks for these Interviews. Peace.
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 Жыл бұрын
Bora nibaki na respect kuliko kuondoka na redio😂😂😂😂, Jongweee😅😅🙌🙌
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 Жыл бұрын
Mbeya Nchi,Sugu Raisi 😂😂😂
@castroydaimon3107
@castroydaimon3107 Жыл бұрын
Nakukubali Sugu Mkali
@castroydaimon3107
@castroydaimon3107 Жыл бұрын
Sugu moto chini
@mombamo5
@mombamo5 Жыл бұрын
💥💥Show Kal
@user-ti7nf4jc8g
@user-ti7nf4jc8g 5 ай бұрын
Kaka mkubwa jongwe toeni ngoma moja na Mwana Fa itakuwa 🔥🔥🔥
@abubakarishariff8489
@abubakarishariff8489 8 ай бұрын
Uyu jamaa ndio anajuwa interview na wasanii
@robartifabiani
@robartifabiani Жыл бұрын
Noma sana
@eddiemohamed9003
@eddiemohamed9003 Жыл бұрын
LEGEND🔥🔥🔥🔥
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 5 ай бұрын
Good vibez kabisa. Peace.
@twahangamba3082
@twahangamba3082 4 ай бұрын
Legend💪
@hameesnassoro7158
@hameesnassoro7158 Жыл бұрын
The meaning of real nigga...!!! Sugu moto chini..!! Wanamuita nani? Sugu. Hahaha Bro kuvi fanya km kuwe na muendelezo hv Taita bado hajamaliza story
@simas.a1003
@simas.a1003 Жыл бұрын
Sugu moto chini. Hatareeiii, nawakubali sana myamba EFM. Afu Tunamsubiri kwa hamu sana Jacob Makala a.k.a JCB😂😂😂👏👏🙌🙌🙌
@Abuukhatibu
@Abuukhatibu 6 ай бұрын
😂😂😂sugu 🙌
@ngaukamaita3979
@ngaukamaita3979 11 ай бұрын
Interesting Sugu
@maicgado58
@maicgado58 Жыл бұрын
Sugu
@RichardCossan-rk1ub
@RichardCossan-rk1ub Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥sugu
@isakangogo3636
@isakangogo3636 4 ай бұрын
Part 2 naitafuta sijaona
@vuvuzelajordankhasindu2963
@vuvuzelajordankhasindu2963 5 ай бұрын
Kindly bring Mr. Nice pia kwa studio. Peace.
@KuviFacts
@KuviFacts 5 ай бұрын
Tazama nyuma hapo amekuja miezi miwili iliopita mkuu
@issaabeid1215
@issaabeid1215 Жыл бұрын
Gego the master.... nakuona kwa mbali.😀
@muddyville
@muddyville 10 ай бұрын
Mwanangu Ice Cube 😂
@piuskusenge-jf2ob
@piuskusenge-jf2ob 5 ай бұрын
Ndo maana kumbe umekuwa ukifanikiwa sana
@pascalgodfrey686
@pascalgodfrey686 9 ай бұрын
Jongwe
@hassanbakari4525
@hassanbakari4525 Жыл бұрын
HE IS NOT FAKER
@user-kc3ux2oz8m
@user-kc3ux2oz8m Жыл бұрын
Mtata
@ayoubbilali1050
@ayoubbilali1050 Жыл бұрын
mfalme wa rhymes anatakiwe aje apo
@jiwefurniture1128
@jiwefurniture1128 Жыл бұрын
Sugu mtu makini
@bongeone
@bongeone 7 ай бұрын
@zombazezu
@zombazezu 7 ай бұрын
Noma sana
@abbyjma7355
@abbyjma7355 3 ай бұрын
Sugu
@raphaelmheta
@raphaelmheta Жыл бұрын
Jongwe
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 9 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 19 МЛН
Bony Just Wants To Take A Shower #animation
00:10
GREEN MAX
Рет қаралды 6 МЛН
Can This Bubble Save My Life? 😱
00:55
Topper Guild
Рет қаралды 46 МЛН
Salama Na SUGU Ep 50 | UJIO WA UMRI PART 1
32:38
YahStoneTown
Рет қаралды 110 М.
Mkasi - SO5E04 With Sugu
29:30
MkasiTV
Рет қаралды 156 М.
Soggy Doggy: Ni mimi tu ndo sikuwahi kunaswa kibao na Majani
34:46
Dizzim Online
Рет қаралды 18 М.
Salama Na Profesa ep 55 | MAPINDUZI HALISI Part 1
41:30
YahStoneTown
Рет қаралды 116 М.
Logo Matching Challenge with Alfredo Larin Family! 👍
00:36
BigSchool
Рет қаралды 9 МЛН