habari ndugu,, kiukweli unajuwa sana tena sana, nimejifunza mengi sana kupitia kitabu hicho.. barikiwa sana
@mohammedrashid2906Ай бұрын
Upo sawa kabisa
@methodmartinchuwa9109Ай бұрын
Good message bother.
@JamesAtilioАй бұрын
Asante sana
@fratilupembe3479Ай бұрын
Real recognizes real.
@hamudshabani7801Ай бұрын
Upo sahihi economist,analyst and speaker.kwa mujibu wa biblia kwenye mkutadha wa mawaidha ya vitendo kitabu cha mithali 6:6-8 [6} ewe mvivu mwendee chungu zitafakari njia zake ukapate hekima. {7} kwa maana yeye hana kiongozi Wala msimamizi, wala mkuu, {8} Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa mavuno. #Tukutane nchi ya asali na maziwa#
@JamesAtilioАй бұрын
@@hamudshabani7801 😄sawa kaka, shukrani sana.
@bhokewambura9941Ай бұрын
Ni muhimu kudhibiti matumizi. Barikiwa
@LearningWithCuriousMindАй бұрын
Nimejifunza kitu bro
@boyrobby5612Ай бұрын
Nakupa subscribe na notfcation on
@Madam255Ай бұрын
Asante sana Bro endelea hivyo hivyo asubuhi hii nmeingza akili nyingne kichwani🎉🎉
@JamesAtilioАй бұрын
@@Madam255 Asante sana, Barikiwa.
@JamesAtilioАй бұрын
Asante sana kwa ujumbe wako na kwa kujali maelezo ya kitabu cha The Richest Man in Babylon. Ni vizuri sana kwamba unajitahidi kujilipa kwanza na unataka kuwa na elimu bora kuhusu uwekezaji. Kujilipa mwenyewe kwanza ni hatua muhimu sana katika kujenga usalama wa kifedha. Kuhusu elimu ya uwekezaji, ni kweli kwamba elimu ni muhimu sana. Si lazima kuwa na elimu ya juu katika mifuko ya uwekezaji ili kuanza, lakini inasaidia sana kuwa na maarifa na kufanya utafiti kabla ya kufanya maamuzi. Hapa kuna baadhi ya hatua ambazo unaweza kuchukua: Jifunze Msingi wa Uwekezaji: Anza na kujifunza misingi ya uwekezaji kama vile hisa, mapato ya kudumu, na mali isiyohamishika. Kitabu kama Rich Dad Poor Dad kinaweza kuwa na manufaa kwa kuanzisha mawazo yako kuhusu uwekezaji. Tafuta Mafunzo na Kozi: Kuna kozi nyingi za bure na za kulipia mtandaoni kuhusu uwekezaji. Websites kama Coursera, Udemy, na Khan Academy zinaweza kuwa na mafunzo bora. Anza Polepole: Kujaribu uwekezaji wa kiwango kidogo na kufuatilia maendeleo yake ni njia nzuri ya kujifunza bila kuchukua hatari kubwa sana. Hii itakusaidia kuelewa jinsi soko linavyofanya kazi. Nimefurahi kuona kwamba una mtazamo wa tahadhari kuhusu uwekezaji, kila hatua unayochukua kuwa makini elimu pia itakusaidia kuepuka majuto na kufanikiwa katika malengo yako.
@everyaman4260Ай бұрын
Akiba na Uwekezaji 🎉🎉🎉
@JamesAtilioАй бұрын
Hakika
@everyaman4260Ай бұрын
@@JamesAtilio Endelea kutupa Madini Brother 🙏🙏🙏
@JamesAtilioАй бұрын
@@everyaman4260 sawa kaka
@kelvinmushubiro8187Ай бұрын
Kuna swala la kumtantuliza Mungu pia,,maana wachawi nao wapo kazin
@JamesAtilioАй бұрын
@@kelvinmushubiro8187 Hakika
@dansonkateme8264Ай бұрын
Ubarikiwe sana
@JamesAtilioАй бұрын
@@dansonkateme8264 Amen
@hamenyalugano7238Ай бұрын
kujilipa kwanza
@JamesAtilioАй бұрын
@@hamenyalugano7238 Natumaini umepata kitu.
@lamecktabu1157Ай бұрын
Appreciation sana brother🙏🙏
@JamesAtilioАй бұрын
🤝
@FarajaMkumbo-pc3ftАй бұрын
Naweza nikapata hiyo summary kwa lugha kiswahil
@JamesAtilioАй бұрын
@@FarajaMkumbo-pc3ft samahani sijakuelewa
@FarajaMkumbo-pc3ftАй бұрын
@@JamesAtilio Namaanisha naweza nikapata softcopy ya kitabu hicho
@JamesAtilioАй бұрын
@@FarajaMkumbo-pc3ft ndio unapata 0759551270.
@hdjirungakashililika7538Ай бұрын
Heshima kwako ndugu.mana ni uchambuzi yakinifu kwelikweli ❤
@JamesAtilioАй бұрын
@@hdjirungakashililika7538 Asante sana ndugu
@shamimabdallah4394Ай бұрын
Hapo kwenye kanuni ya kudhibiti matumizi.Aisee Mimi naona nahitaji elimu sana
@JamesAtilioАй бұрын
@@shamimabdallah4394 Inawezekana kuwa na malengo ya mda mfupi ya kufatilia matumizi yako unaweza jifanyia mazoezi hata ya siku au wiki kwanza kujifuatilia. Hii itakusaidia kwamba kila wakati unapotaka kununua kitu lazima utakumbuka na kujiuliza unachotaka kufanya kina umuhimu gan, ukiandika lengo itakusaidia zaidi kukumbuka, maana chochote unachoandika mara nyingi ndio unakikumbuka.
@kepherkunasa8073Ай бұрын
Shida yangu inayonifanya nishindwe kuweka fedha, nayo ni kusomesha watoto.
@JamesAtilioАй бұрын
Kujua Bajeti na Kuweka Kipaumbele kwenye Akiba: Kwa mzazi anayekabiliwa na changamoto ya kuweka akiba kutokana na gharama za kusomesha watoto, hatua ya kwanza ni kutengeneza bajeti ya familia. Hii itasaidia kujua mapato na matumizi yote, na kubaini maeneo yanayoweza kupunguzwa. Ni muhimu kuweka akiba kama sehemu ya bajeti, hata kama ni kiasi kidogo kama asilimia 5 hadi 10 ya mapato kila mwezi. Hii itasaidia kuanza kuweka akiba na kuhakikisha usalama wa kifedha wa baadaye wa familia.
@bestcakes7098Ай бұрын
Kujilipa kwanza
@janetmbwana553Ай бұрын
Wow👏👏👏 Asante sana Kiukweli Mimi najitahidi sana kujilipa lkn tatizo bado sijapata namna sahihi ya kuwekeza pesa Sina bado elimu nzuri ya mifuko ya uwekezaji mana biashara pia lazm uijue inside out ili usiingie kwenye majuto
@weddingmarriagelifeexperienceАй бұрын
Asante sana kwa ujumbe wako na kwa kujali maelezo ya kitabu cha The Richest Man in Babylon. Ni vizuri sana kwamba unajitahidi kujilipa kwanza na unataka kuwa na elimu bora kuhusu uwekezaji. Kujilipa mwenyewe kwanza ni hatua muhimu sana katika kujenga usalama wa kifedha. Kuhusu elimu ya uwekezaji, ni kweli kwamba elimu ni muhimu sana. Si lazima kuwa na elimu ya juu katika mifuko ya uwekezaji ili kuanza, lakini inasaidia sana kuwa na maarifa na kufanya utafiti kabla ya kufanya maamuzi. Hapa kuna baadhi ya hatua ambazo unaweza kuchukua: Jifunze Msingi wa Uwekezaji: Anza na kujifunza misingi ya uwekezaji kama vile hisa, mapato ya kudumu, na mali isiyohamishika. Kitabu kama Rich Dad Poor Dad kinaweza kuwa na manufaa kwa kuanzisha mawazo yako kuhusu uwekezaji. Tafuta Mafunzo na Kozi: Kuna kozi nyingi za bure na za kulipia mtandaoni kuhusu uwekezaji. Websites kama Coursera, Udemy, na Khan Academy zinaweza kuwa na mafunzo bora. Anza Polepole: Kujaribu uwekezaji wa kiwango kidogo na kufuatilia maendeleo yake ni njia nzuri ya kujifunza bila kuchukua hatari kubwa sana. Hii itakusaidia kuelewa jinsi soko linavyofanya kazi. Nimefurahi kuona kwamba una mtazamo wa tahadhari kuhusu uwekezaji, kila hatua unayochukua kuwa makini elimu pia itakusaidia kuepuka majuto na kufanikiwa katika malengo yako.
@JamesAtilioАй бұрын
Asante sana kwa ujumbe wako na kwa kujali maelezo ya kitabu cha The Richest Man in Babylon. Ni vizuri sana kwamba unajitahidi kujilipa kwanza na unataka kuwa na elimu bora kuhusu uwekezaji. Kujilipa mwenyewe kwanza ni hatua muhimu sana katika kujenga usalama wa kifedha. Kuhusu elimu ya uwekezaji, ni kweli kwamba elimu ni muhimu sana. Si lazima kuwa na elimu ya juu katika mifuko ya uwekezaji ili kuanza, lakini inasaidia sana kuwa na maarifa na kufanya utafiti kabla ya kufanya maamuzi. Hapa kuna baadhi ya hatua ambazo unaweza kuchukua: Jifunze Msingi wa Uwekezaji: Anza na kujifunza misingi ya uwekezaji kama vile hisa, mapato ya kudumu, na mali isiyohamishika. Kitabu kama Rich Dad Poor Dad kinaweza kuwa na manufaa kwa kuanzisha mawazo yako kuhusu uwekezaji. Tafuta Mafunzo na Kozi: Kuna kozi nyingi za bure na za kulipia mtandaoni kuhusu uwekezaji. Websites kama Coursera, Udemy, na Khan Academy zinaweza kuwa na mafunzo bora. Anza Polepole: Kujaribu uwekezaji wa kiwango kidogo na kufuatilia maendeleo yake ni njia nzuri ya kujifunza bila kuchukua hatari kubwa sana. Hii itakusaidia kuelewa jinsi soko linavyofanya kazi. Nimefurahi kuona kwamba una mtazamo wa tahadhari kuhusu uwekezaji, kila hatua unayochukua kuwa makini elimu pia itakusaidia kuepuka majuto na kufanikiwa katika malengo yako.
@givenessdavid3743Ай бұрын
Woow
@visionaryyouthorganizationАй бұрын
Asante, Tunaomba namba yako tafadhali 👏👏
@JamesAtilioАй бұрын
0759551270
@kelvinmushubiro8187Ай бұрын
kitabu kizr, na mafundisho mazr,,changamoto ni kwmba kuna muda yanakutokea majanga kabla hata hujafikia hatua ya kuweka hyo hakiba ya dhalula,,kuna muda unashambuliwa na majanga had unajihis kama umelogwa,
@JamesAtilioАй бұрын
Kwanza pole sana ni kawaida kukutana na changamoto kabla ya kufikia malengo yako, lakini usikate tamaa. Hakikisha unakuwa na mpango wa bajeti mzuri na uwe na malengo ya dharura. Ikiwa matatizo yanakushambulia, jaribu kutafuta msaada wa kitaalamu na fikiria jinsi unavyoweza kuboresha mipango yako. Kila hatua ndogo unayochukua itakusogeza karibu na mafanikio yako. Uvumilivu na mpango mzuri utakusaidia kupita vikwazo na kufanikisha malengo yako✍️
@privaushaki7395Ай бұрын
Kuweka akiba na kuifanya akiba izae hakika lazima utoboe